LAANA | Full Movie
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- LAANA - Filamu ya MAPENZI | 2024 Swahili Movie | Adam Leo Bongo Movie
Filamu ya LAANA inamuhusu kijana Adam ambaye anateseka na Laana aliyoipata kwenye maisha yake, hivyo kupelekea kupoteza kila mimba anayompa mke wake.
Fuatilia kisa hikicha kusisimua ujifunze vingi kuhusu maisha.
DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
#laana #bongomovie #filamumpya #swahilimovies #2023movies #adamleo #adamleobongomovie #filamuyalaana
Filamu mpya hapa👇👇
ua-cam.com/video/vG5vlq4Y4Jc/v-deo.htmlsi=PNBC88RujJo7Zurl
Mkono wa tahania kaka🤝kwa amali hii ya kupendeza. Manani akuzidishie neema na baraka mpwito👌..,.. endelea kupaa ktk 🇰🇪🇰🇪
Ameen
Jaman wapi team strong ...njooni muone Adam huku na team yke ❤🎉🎉🎉 much love 4rom saudi...Allahu barik kazi yenu ❤❤❤🤲
Shukrani
Laana inashika kwenye uhalisia wa jambo , mwishoni mwa filamu hii nimetokwa na machozi , Hongera sana ADAM LEO ...
Pole na asante
Ndio
Yaani sai ndo naamini yupo mwingizaji aliyetolewa na Mungu kumreplace our late kanyumba,, Adam unaenda bali na nitakukubusha hili after 5yrs to come,, Mungu atupe maisha marefu, nakukubali sana
Ameen
kweriii
Filamu mpya utazipata hapa👇👇hakikisha una SUBSCRIBE
youtube.com/@HalisiFilm?si=mOhLwwetVC3MozN7
Wabongo kw kuchanganya lugha hamjambo
@user-mk3zl3yr3m ila umeelewa!
Kazi mufti sana kaka Adam
Jamani msalimieni huyo mzambia mwenzangu mwambieni ndemuposha sana lesa ampale tukamonane
Zimefika😂😂
Wisa muzambiani
Adam hii move imetulenga sis wanaume hakika tunachakujifunz apa kwenye hii move bg up broo kwakutuletea movie Kali 🙏
Shukrani sana sana
Inaelimisha....Kazi safi kaka Adam....victor from Nairobi, Kenya..
Thanks
Jamani watazamaji wenzangu tulike pia
Shukrani kwa kuwakumbushaaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Picha kama hiz hazi fai zakuza lilisha wanaume hazifai
Inaonekana kama umeoa mkeo anapata shida sana maana hupendi kuambiwa ukweli! Huo ni MFUMO DUME na utakuja jutia siku moja!
Broo uko vzr uki act roho mbaya mpaka unakera jinsi ulivyomfanyia huyo mwanamke duuuh
Shukrani sana
Nakuvisha taji la ushindi Adam u killed it😊🎉 but movie yako mpya itatoka lin?
Leo jioni
Ndarama first brother huyo mzambia ameplay part yake 💯 kazi nzuri brother
Asante
Afazali unapata ujyauzito, je waliokosa hata ujyauzito ? Wajyiuwe? Ebu jikaze
Kabisaa
Adam,ukipenda,kweriunapendavuzuri,iraukimkatamutu,dah
Asante
Wanawake wafupi wamefikwa 😂😂😂
😂😂😂
Sitaki kuona picha ya mwanamke akipigwa na kuteswa, hivyo nimebadilisha channel.
Pole
Kaka wewe ni wa tofauti na wasanii walio wengi umekuwa ukitoa kazi zote za kuelimisha jamii tena uko kihalisia kabisa nakutakia kheri nyingi na usibadilike ukafanya za kishetani .
🙏🙏
Ki ukwel cna Cha kusema Zaid ya kukupa maua Yako2 🌹🌹🌹🌹🌹na hongraa sanaaa
Asantee sana
Adamu!! Ulitoa miba kwa mikono yako mwenyewe!! Hlf saa hii unataka mtoto?
Nilikosea mimi najuta😭😭
Kazi nzuri sana Adam hongera sana ila nifunzo kwa wengine
Shukrani
Adam umenidhawishi kunyoa dongo kama wewe😅😅😅
😂😂
Naombeni siku Moja ata mtuonyeshe hio makande tuyajue
Hayaaa
Umetugusa weng tulofanyiw ukatili km huu dada 😔
Umeona eh
Adam limemkuta jamboo 😮😮😮 daaah cku zote watu hawajui machozi yamtu Mung anayapima kwa mzani na ipo cku atajibiw pale mtu anapolia na kuumia snaa aliyesababisha aliye ipo cku atakuja kuumia yeye na kumkuta jambo ndio kama adam sasa penda snaa namwona kanumba wetu kwa karibu snaa
Jamanii asante
Kidogo nikuchukue brother adamu kabla ya hii movie kufika mwisho ,kwa ulichomfanyia huyu mwanamke
Jamani
Msilanga nami niko online nachek
Poa poa
We mabinti wa morogoro atupigwagi ulimuonea tu huyo vivi yn mwanaume akijua unamtegemea xn na una pa kwenda anakunyanyasa xn yn
Jamani😂
unastahili iyo laana muchezi wa tabia loo 😢
Umeona eh
Kumbe ulikuwa firaunu kweli daah.acha ukose wa toto ndo una stahiri ilo
Jamani
unatutusi jaman wqnaake wa morogoro sijapentaaa😄
Hahaha jamani
Nmejifunza kitu hapo😢
Shukrani
Movie zuri pia Adam kumbe ukinyoa unaka seater namna hiyo daa
Thanks
😂😂😂😂😂😂😂unauzurigani mwaana mke mfupi 😂😂😂😂😂😂😂😂Adam mbinguni hukanyagi wallah😂😂😂😂😂😂😂
Jamanii😂😂😂
Kuna chakujifunza hapo❤❤
Mungu akupe afya njema kaka uzidi kuielimisha jamii🥰
Ameen
Huyu rafiki wa Fifi anaongea Kiwemba Cha Zambia
Ni kweli!
Jamniiiiiii mpak hurumaa hiii ipo kbsaa ni stor ya mtu kiukwel nimeitazam nikakumbka
Kumbee
Jamniiiiiii mpak hurumaa hiii ipo kbsaa ni stor ya mtu kiukwel nimeitazam nikakumbka
Pole
Next jamani tamu zaidi ya asali can't wait
Shukrani sana
"Usizungumze namimi kama unazungumza na wapumbavu wenzako uko nje." is his favorite line🤣
Hahah thanks for note😀
🤣🤣🤣
Filamu nzuri sanaa❤❤❤..mwambie cardo apunguze kua serious 😅..na dada pia amewexa sanaa❤
Shukrani sana sana!
Heeeeeee muzambia 😂😂😂😂😂adam salt kwako hawe nawenderera boys
Shukrani sana
Wanamme mjifunze kitu hapo
Kabisa
We mpuuzi hakika hii iwe laana milele😢
Yaani
Mwachita bwino ukubikamo nechibemba kazinzuli
Asante
Nimejikuta na mim nalia duuuh adam we nouma
Shukrani sana!!
Amaa ametusema waluguru zamu yk na usizae kbs yn
Jamani😭😭
Dah ila humu ulivyoigiza adam 😢
Yaani pole
We msichana mwenzako yuapigwa mbele yako hiyo hamu ya kulala waitoa wapi ...wanasema mwenzako akinyolewa chako kitie maji🥲
Yaani sijui katoa wapi ujasiri
Makande ni nini please naomba kujua
Mchanganyiko wa Maharage na Mahindi.
adam much love
Thanks
Nimejifunza kitu
Asantee
Duh inauma mafunzo mazuri
Asante
Napenda kuigiza
Karibu
Adam kiparangoto😂
Hahaha jamanii😂😂
Hongera kaka❤️❤️
Asante
Adamu jamani mm naitwa fifi.. Nakufatilia sana hongera kw filamu zenye mvuto..
Shukrani Fifo
Hongera kaka❤❤
Asante
Muposheni uyo mukashana akese ku mpika
Au sioo
Kazi nzuri adam ila hii movie ulikua na roho mbaya 😂😂😂adam.....umefanya nitoe machozi 😢😢ila hongera 🎉
Pole jamani
Hii Filam Umeipatia.Mungu Akuzidishie Uzidi Kuelimosha Zaidi
Amen
Picha nzuri htr nakukubali adamu leo
Asante
Adam na makande😂😂😂😂😂
Sanaa
Asante mwalimu wangu
Naona fahari nnapokuwona ukipafom❤❤
Shukrani
Adam na makande km mpare😂😂😂
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
😢😢😢inauma sanab kutolewa mimba
Sana kiukweli
Duu mpaka nimelia yañ funzo kumbwa kaka umetufundisha mwanamke nizaifu sana ila aba miujiza kwa mungu nazani tujifuze
Ni kweli kabisa kabisa!
Ningepata Wifi kama huyu .... Ningempenda daima ❤❤❤❤❤
Umeonaa eh❤️❤️
Kipenz sofy umeua asee duuh mungu atakufikisha mbali
Amen
Nzuri sana duuhh. Adam ongera bro
Thanks
Hii filam imenifunza sana tena meng 😭 hongera sana adam
Shukrani sana
Mimi niliambiwa nenda na hautapata mwanaume kama mimi 😂😂mungu ni nani na enjoy 💃💃💃yeye kinamramba tu.to much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umeona eh! Mungu hapangiwi🙏🏻
good movie
Thanks
Swali ni je. Haya unayotufundisha wewe mwenyewe unayatekeleza? Maana M/Mungu ametuambia yule anafundusha mwenzie mazur halafu yeye mwenyewe hayafuati mafunzo hayo ni sawa na mshumaa unaowaka ndani ya chumba lakini unamulika pale pale ulipo. Kwa maana hiyo ni hasara
Ila ni kheri kama mshumaa huu utamsaidia mtu mwingine kupata mwanga.
Hii comment ni povu
We umejuaje kama hatekelezi??. Poor comment
We umejuaje kama hatekelezi??. Poor comment
Wana wake wafupi tuna mapenzi ya kweli sema wanaume wakorof🫠
Eti eh
Adam noma
Thanks
@@AdamLeoStudios whao nimefurahi leo nimejibiwa🤣🤣👌🤲
❤kabl sjaitazama yote inaoekana mafunzo ka yote zaidi ya sabi daaah thanks bro MUNGU akuinue zaid na zaid mdo mdgo kaka utafikia malengo❤❤
Ameen
Adam we ndo uko na shida
Jamanii😂😂
Seriously 😂😂😂😂😂 the ending was just amazing tujaribu tena was busy cooling than boom it happened 😂😂😂😂😂
Hahahah thanks for watchin Vee❤️❤️
Adam vp
Poa
Kazinzuri.sana.kk.mungu.abariki.kipaji.chako.uzidi.kutuelimisha.kaziyako.iko.na.mafunzo.sana
Ameen
Hongera kaka adam imenifuzi mingi sana 🎉🎉🎉
Shukrani
Dah mzur sana hongera Adam⚘️⚘️⚘️
Shukrani
Adam salma aliendapi.?
Yupo, utamuona filamu ijayo.
@@AdamLeoStudios nimmemiss
Imagine hii movie nimeiangalia siku tatu siimalizi kisa ubize wakazi but today nimeimaliza nimefulahi kusikia chi Zambia ❤❤🇹🇿🇹🇿🇿🇲🇿🇲🙏
Shukrani sana
@@AdamLeoStudios tuko pamoja kiongoz tunasubili movie mpya
@@AdamLeoStudios tuko pamoja kiongoz tunasubili movie mpya
5:17 a
🙏🙏
😢😢😢❤❤❤jamn love all
Thanks a lot🙏🙏🙏
❤❤❤❤ much love from Kenya 🇰🇪 Nairobi
Asante sana!
Asante san kaka
Shukrani
Waooo mapunda Wang wa libindi umetixha xana
Nashukuru🙏🏻
Adam hapo hukutenda haki yani umekunya hadi kwa shuka na mwanamke mwengine then shuka mkeo akafue..lazima laana ikushukie.umejua kuniliza kwa hiyo dada uliempiga hadi kumtoa ujaozito wake
Pole
Filamu nizuri kbs kazi njema kbs 🎉🎉🎉🎉🎉 inafunza kbs
Shukrani sana
🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🙏
Aiseeee😢😢😢😢 adam apa we mwenywe njo umejilaani eti mtoto ni mkosi yarrabiii 😢😢😢apa umenilizakwa kweliii😢😢😢😢😢
Pole ndiyo maisha ya huku duniani!
🫵🤝👍🧑💻
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kazi imepoah kaka,,, ila Sasa jiunge kwenye mtandao jiongeze uwende viral worldwide
Sawa mkuu
❤❤❤
🥰🥰
❤❤❤
🔥🥰🥰
❤❤❤
😍😍
Big up team Adam..much love from 254❤❤🎉🎉...niko na request brother uyo mrembo ulimlaza nje naulizia namba zake if possible ..😊
Really??
@@CatherineKea for real