MAMA ALIA MTOTO WAKE KUUAWA NA MWALIMU WA 'FIELD' MOSHI KWA FIMBO "WAMEFUMUA KICHWA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 бер 2024

КОМЕНТАРІ • 513

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 4 місяці тому +42

    Walimu wa field, wasiruhusiwe kuazibu wanafunzi. Pole ni wazazi. Inauma sana .

  • @SangioNgoo
    @SangioNgoo 4 місяці тому +68

    Huyu mama anaonekana alikuwa hayuko karibu na mtoto wake ndiyo maana alikuwa anaogopa kumwambia ukweli. Hili ni tatizo kubwa la watanzania wengi. Wazazi wanakuwa wakali kwa watoto kiasi cha watoto kuogopa kusema wanapopata matatizo. Pili ni mama mzembe sana. Muda wote mtoto anatoa damu puani na mdomoni lakini hachukui hatua za dhararu. Serikali inabidi ikataze matumizi ya viboko shuleni. Hivi mtoto wa miaka 7 anapigwa kwa sababu gani? Kweli ujinga ni mama wa maovu yote. Mtoto amefariki kwa uzembe wa hali ya juu. Uzembe wa kuanzia kwa mama mtu, mwalimu, madaktari na serikali.

    • @annamussa185
      @annamussa185 4 місяці тому +4

      Kabisa,me pia ni muhanga yani mama ni mkali hata kama unashida unabaki kimya tu yani wazazi punguzeni ukali imefika sehemu hata hamu na mama sina Yani Daaah!

    • @WinnieIkwisa-ts6bz
      @WinnieIkwisa-ts6bz 4 місяці тому

      @@annamussa185 pole saaana

    • @florenciajacob5463
      @florenciajacob5463 4 місяці тому +3

      Kabisa mzembee kabisa 😢😢😢

    • @user-br4tl7jv9j
      @user-br4tl7jv9j 4 місяці тому +3

      Msilaumu upumbavu kisenge

    • @user-dn8rm7er1z
      @user-dn8rm7er1z 4 місяці тому +5

      @@user-br4tl7jv9j wanadam wanakosa huruma jaman... mwenzao kafiwa na mtoto mnamhukumu kwa kiwango hivyo kweli??

  • @vascombembela3632
    @vascombembela3632 4 місяці тому +20

    Poleni sana mtoto alicheleweshwa sana kufika hospitali! Ila walezi na walimu ni vizuri kuwa makini na watoto kwani wengine Wana changamoto kubwa za kiafya hivyo ukimgusa vibaya tu unasababisha matatizo.Inaumiza sana Mungu awe faraja kwa familia hii. Lakini funzo ni kwamba tuwe tunachukua hatua mapema kwa viashiria kama hivyo ambavyo ni hatari.

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g 4 місяці тому +18

    Bora tuwahukumu wenyewe fasta! Huko mbele hakuna msaada!! Pole sana mzazi!

  • @DianaMacha-jf8gw
    @DianaMacha-jf8gw 4 місяці тому +54

    Viatu vya huyu mama havinitoshiiii😢😢😢

    • @umiy1971
      @umiy1971 4 місяці тому

      Mwalimu amefanya uhasidi wake ila hana uwezo wa kuumba wala kuondoa uhai wa Mtu , sio kila lengo la mwanaadamu Mungu analiitikia , tungekuwa sote tumeshakufa .

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 4 місяці тому

      Pole Sana mama na apumzike kwa aman mwanangu 😭🙏

    • @kimarobeatus
      @kimarobeatus 4 місяці тому

      Kwakweli

  • @user-eb4nq5du2q
    @user-eb4nq5du2q 4 місяці тому +20

    Yan hiii kitu ilishamtokea mdogo wangu ila tulimbana sana aise mpaka kusema ukwel ilichukua muda sana naisi na walimu uwa wanawatishiagaa pia sheria imchukuliee hatua uyo mwalimu😢😢

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e 4 місяці тому +19

    Pole sana lakini mbona hukujiuliza baada yakuona mtoto anatoka damu mdomoni puani kwanini hujachukua hatua mapema dah walimu wengine

  • @carolynendossi1594
    @carolynendossi1594 4 місяці тому +3

    Kwanza waalimu wapimwe afya ya akili kabla ya kuajiriwa. Unamkuta mtu yupo na uchungu umekaa huko ndani yake miaka na miaka ana stress mia kidogo. Mtoto anafanya kosa dogo tu anapigwa kwa kiwango ambacho siyo sahihi. Bwana Yesu awe mfariji mkuu kwa huyu mama🙌🏻🙌🏻

  • @user-cd8ge8mx7p
    @user-cd8ge8mx7p 4 місяці тому +5

    Duuu pole sanaaaaa....pamoja uzembe wa Mama, nimelia sanaaa huyo mwalimu duuuu bac Mungu ndio atakujibu tuuuu

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n 4 місяці тому +16

    Mama Huna woga.damu zinatoka bila ya kumpeleka hospital. Wazazi wezangu tuwe na hofu.

    • @user-zm2zm7wy1t
      @user-zm2zm7wy1t 4 місяці тому +1

      Kama wew ni mzaz huwez kusema hivy cyo kwamba kila kitu utafany kama inavyostahil cyo kama hana woga kutoka damu kwenye viz ni hali ya kawaid ambayo mtu huwez kufkir kwa harakaharak kuw ni tatizo kubwa.

    • @shosemanjira9015
      @shosemanjira9015 3 місяці тому

      Inauma machoz yamenitoka, hizo damui kwann wamuongezee nyingi ivyoo

  • @happinesslema7264
    @happinesslema7264 4 місяці тому +5

    La msingi ni kumtanguliza Mungu ktka kila jambo shetani ana mbinu nyingi sana !!!!! Shetani huwa anatafuta chanzo tu aweze kutimiza lengo lake !!!!Mungu ndiye ajuaye yaliyosirini!!!!!

    • @hellenjulius7790
      @hellenjulius7790 4 місяці тому

      Hakika ni kumtanguliza mungu maana shetani yupo kazini

  • @user-dn8rm7er1z
    @user-dn8rm7er1z 4 місяці тому +7

    Pole sana Janet jaman... Mungu akutie nguvu kipenzi, kumbe nilipokuona kcmc ndio ulikua na jambo kubwa hivyo

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 місяці тому +12

    Daa mtoto Kapotea bila hatia 😭😭💔💔

  • @omarymtegwa2299
    @omarymtegwa2299 4 місяці тому +5

    Eeeehe angekuwa mwanangu....huyo mwalimu serikali ingepata majibu ningemuuwa kwa mikono yangu

  • @jenipheraron3566
    @jenipheraron3566 4 місяці тому +20

    Mama pia mzembe dah ila hawa waalimu sheria zichukuliwe

    • @user-df9vn1tc5o
      @user-df9vn1tc5o 4 місяці тому

      Mama ana uzembe gani

    • @user-dx2zl1vo5s
      @user-dx2zl1vo5s 4 місяці тому

      Kwel hakua karbu na mtoto

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 4 місяці тому +1

      Siku tatu mtoto hayupo sawa anamwangalia tuu bila kumpeleka hospital

    • @rodjeje5479
      @rodjeje5479 4 місяці тому

      ​@@bennamush4616hapana alimpeleka hospital usiku saaana

  • @bonita329
    @bonita329 4 місяці тому +2

    Inauma sana 💔ila huyu dada ni mzembe sana kwakweli 😢huyu angepeleka hospital siku hiyohiyo ... Mtoto katoka damu mdomoni na puani na sio kawaida yake bado tu ushutuki jamani😫😩na hii sheria ya kupiga watoto ipigwe marufuku Tanzania kote... Ni kheli kumpa mtoto adhabu lakini sio kumchapa mtoto wa watu ujui anamatatizo gani🤦🏽‍♀️

  • @StevenMremy
    @StevenMremy 4 місяці тому +25

    Mama mwenyewe nimzembe kwa maelezo yako ulikua umjali uyo mtoto siku tatu mtoto anatokwa damu usimpeleke hospitali kama vile ukumzaa 😢😢😢😢dah😢😢 RIP

    • @sueddelft9069
      @sueddelft9069 4 місяці тому

      Ni Kwli mama ni mpuuzi siku 3 unamuangalia tyuu

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 4 місяці тому

      Eti mtoto siku 3 damu zinamtoka yeye ana mwangalia tu. Mama nae kachangia kifo Cha mtoto wake Angempeleka mtoto hospital halafu mambo mengine yafuate

    • @fatumamakoye5711
      @fatumamakoye5711 4 місяці тому

      ​@@rehemaomary3493msiongee tu kiurahis nyie hv vitu vinaumiza amjui watu wanaishije mtu utakuta hana ata mia hospital zenyew ckuiz km huna ela unaonekan km mbwa tu

    • @user-cb3vw5fp8y
      @user-cb3vw5fp8y 4 місяці тому +1

      Na siku ya tatu ndo anaona mtoto majeraha siku zote hizo alikua hamuogeshi mtoto??

    • @ambroceharouna1612
      @ambroceharouna1612 4 місяці тому

      Fala San ilo Mama

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 4 місяці тому +2

    Yani we Mwalimu unakuja shule na stress zako za vikoba na mikopo,unakuja kunipigia mtoto wangu kama hivi mpk unamjua,Wallahi hata polisi hufiki tutamalizana!

  • @paulpastory1193
    @paulpastory1193 4 місяці тому +4

    Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake Libarikiwe Ameen

  • @ailenyanthony1550
    @ailenyanthony1550 4 місяці тому +12

    Alikuwa na tatizo la kiafya, fimbo tumepigwa sana tena zaidi ya 50, poleni ndg jamaa na marafiki roho ya marehemu ipumzike kwa amani

    • @sophyodago5062
      @sophyodago5062 4 місяці тому +3

      Acha ujinga wewe,, fimbo uuua watoto kichapo kikizidi au akipigwa pabaya

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 4 місяці тому +2

      Kuma ya mama yako mbwa wewe wakapige fimbo mama zao ingekuwa Mimi ningemuua huyo mwalimu ningelipa watu wamchinje shetani huyo

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 4 місяці тому +3

      Acha ujinga kuna sehemu hazitakiwi kupigwa.walimu wetu kuna maeneo walioyokuwa hawagusi kabisaa.

    • @victorhabonimana9055
      @victorhabonimana9055 4 місяці тому

      ​@@Kabwela776mbona na ww unafaa kupigwa unatukanaje ivo

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 4 місяці тому

      @@victorhabonimana9055 unaongea hivyo sababu sio mtoto wako ndio kuuwawa siku akiuwawa mtoto wako au ndugu yako ndio utaelewa uchungu wake, huyo mwalimu Ningekuwa Karibu ningeshawishi watu kumvamia na kumpiga Hadi kumuuwa au ndugu ni kumvizia na kumkupiga risasi ya kichwa mbwa huyo

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 4 місяці тому +7

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢aiseeeee hii kitu skia kwa mtu km hiviii Pole sn mama😢😢

  • @user-ej9sn1qq1p
    @user-ej9sn1qq1p 4 місяці тому +2

    Pole sana mama .wazazi tuendelee kujifunza tatizo linapotokea kufatilia kw karibu .

  • @anithiajohn9209
    @anithiajohn9209 4 місяці тому +5

    Jmni mtot mdog wamekatil ndoto zake jamni wazazi na walezi tujitaid sana kutokupuuzia jambo tafadhar

  • @sabamdekago
    @sabamdekago 4 місяці тому +2

    Mwalimu mkuu na mwalimu komo pamoja na DR wote walio simamia vipomo vya huyo mtoto wachunguzwe wawekwe chini ya ulinzi.
    Pls Waziri Wa Afya naomba ulifuatilie hili jambo hapo kuna janja janja zimetumika huyo mwalimu wa field ajulikane

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 4 місяці тому +10

    Sasa muda wote kwanini asimpeleke hospital jamani huyu mama….!!😢😢Yaan mimi nikimuona wangu anamafua tu mbiooo hospital mtoto ana bleed toka katoka shule kweli jaman….sijaribu kulaumu Ila nasikitishwa tu
    Poleni sana familia kwa kumpoteza mtoto…Mungu akutie nguvu mpenzi wangu 😢

    • @Yusudav
      @Yusudav 4 місяці тому +1

      Nilitaka kusema ivoivo..Asante kwa kuniwakilisha..Yaan huyu mama hakujiongeza kabisa

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 4 місяці тому

      Do maana Ni Mambo ya rohoni huyu mama alifungwa kote asijue la kufanya mzigo wa mwenzio Ni Kanda la Sufi pole dear wangu lisikie kwa mwenzio

    • @AishaHaji-jn7sg
      @AishaHaji-jn7sg 4 місяці тому

      @@beatricehenry6776 alifungwa na nani…?unataka kusema ni nguvu za giza….?

    • @stellashame7545
      @stellashame7545 4 місяці тому

      Yani 😥

  • @elizabethmassi7327
    @elizabethmassi7327 4 місяці тому +2

    leukemia damu inaisha haikai wanapewa hiyo damu iliyochuja ili isaidie kwenye huo upungufu wa damu na kuongeza plateletes kansa ya damu ina hivyo vyote anavyoelezewa na wataalam,kama alichapwa ni adhabu wengine walipitia ila bahati mbaya alikuwa na hiyo changamoto ya kansa ya damu kwa vyovyote huyo mtoto alikuwa anapata homa za hapa na pale ni vile mama mzembe

  • @user-op8tz6vj3g
    @user-op8tz6vj3g 4 місяці тому +2

    Pole sana mm jaman uyo mwalim achukuliwe atuwa za kisheria.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 місяці тому +1

    Baadhi ya walimu wa field wanakuaga na viherehere sana,tumewaona wengi.
    ni sheria ichukue mkondo wake ili kufundisha wengine

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 4 місяці тому

      Nikwel sikuna yule mwingine mwaka juzi nazani alimuuwa mwanafunzi mwanza alikuwa ni mwalimu wa field wamezidi sasa jmn

  • @elizabethmassi7327
    @elizabethmassi7327 4 місяці тому +3

    Kcmc wanasema mtoto alipimwa alikuwa na leukemia na hizo damu hadi fizi puani hizo uvimbe ni dalili za leukemia mume wangu alizipata zote hizo, huyu mama ni mzembe alikuwa hafuatilii mtoto wake

    • @berthajacob3433
      @berthajacob3433 3 місяці тому

      si uzembe bwana yaan n kutojua na isitoshe mtu akiugua at kichw imezoeleka anapew Pcm maisha yanasonga that's why akamwambia aweke maji kinywan na kutema..... kwenda hospital mpaka awee amezdiwa wabongo bwanaa weee ni atar!! but inategemea na uchumi piaa elimu.🤒🤒

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 4 місяці тому +2

    Poleni,,,pumzika salama mtoto mzuri,.Nashindwa kuelewa ni fimbo tu jmn?? Au kuna jambo jingine nyuma ya pazia? Na kwann huyo mtoto alimwaga babu jmn, kuna nn na huyo babu au ndo mtoto alikua kamzoea sana

    • @user-df9vn1tc5o
      @user-df9vn1tc5o 4 місяці тому

      Nguvu za Giza naiyoo!! Mwalimu ni kama daraja tuu

  • @andrewjuma2485
    @andrewjuma2485 4 місяці тому +3

    Inauma sana

  • @christinefuraha1513
    @christinefuraha1513 4 місяці тому +1

    Sio rahisi kupokea kama mzazi
    Hakika mtoto huyu alikuwa anachangamoto ambayo mama hakutambua mapema... saratani ya damu huweza mchukua mtu ghafla... Mwalimu alisimama katika nafasi ya kutoa adhabu ya fimbo kwa nia ya kujenga. Imekuwa tuu bahati mbaya kuambatana nyakati za hali ya ugonjwa... fimbo hizo angeweza kuwa amemchapa mzazi... Tuheshimu na kuwa na imani na wataaluma tulio nao... yapo mengi kujifunza tusitie chachu pasipo kuwa na uhalisia. Wanahabari mpate nafasi pia kuzungumza na wataaluma husika kwa ajili ya kuelimisha jamii na sio kujenga uchochezi usio na tija.

  • @MellanieKay
    @MellanieKay 4 місяці тому +1

    Poleni sana

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 4 місяці тому +2

    Dah pamoja na uzembe wa mama ila hawa walimu hawa haki ya Mungu aniepushe tu ila nitakufa na mtu nitaenda jela kwa niaba ya uyo mwalimu 😢😢😢

  • @AishaMohamed-wh9bs
    @AishaMohamed-wh9bs 4 місяці тому +1

    Jamani walimuuuu me mwanangu amepigwa Kofi na mwalimu jichoni kidogo jicho litoke

  • @carolynemokono8782
    @carolynemokono8782 4 місяці тому

    Pole sana mum.Mungu akushikilie na neema yake

  • @user-vn6so3on7z
    @user-vn6so3on7z 4 місяці тому +4

    😮😊😊jamani mtoto mdogo kwakweli dunia imekwisha

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 4 місяці тому +2

    Mtasumbuka sana huyo mtto kuna nguvu za jiza ila mwalimu ikikuwa chazo tu huyo katolewa kafara km sio baba yke mzazi alioko iringa au babu mana sasa ni hatari maisha ya sasa watu hawana uruma 😊

    • @clintonmsafi26
      @clintonmsafi26 4 місяці тому

      Na wewe kama huna cha kuandika ukae kimya saw sas baba ake amuue ili iweje labla mwezetu ndo umemuua mtoto wetu umemtoa kafala et baba ake au babu yake hzo ndo akili zako ulizonazo

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 4 місяці тому +1

      ​@@clintonmsafi26kwakwel uyu aliesema katolewa kafara ameongea utopolo ambao Ata hauusiani na hichi inamaan Yuko Dunia ipi uyu ajui walimu wa field wanavouwa wanafunzi kila sku

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 місяці тому

    Inalillahi wainailahi rajuun. ..pole mama Allah.akupe subra

  • @emmanuelmashauri
    @emmanuelmashauri 4 місяці тому +2

    Kuanzia hao madoctor mpaka mwalimu mpumbavu huyo wakamatweee.. Inauma sana aisee 😢😢 huo ni uzembe kwa madactari hawako vzr wanatuua tu jmn daah😭😭😭

    • @hamidkololeki5009
      @hamidkololeki5009 4 місяці тому +1

      Usikurupuke madaktari wanafanya kaz kwa matakwa ya kitabibu na c kwa jnc unavyotaka ww

  • @user-nb6cd7rx6v
    @user-nb6cd7rx6v 4 місяці тому +1

    Pole Sana mama😊

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 місяці тому +2

    Hicho ni kifo cha mashaka madaktari walete udhibitisho. Kwa nini mtoto achapwe shule na atishwe kiasi cha kushindwa kumwambia mzazi?

  • @luciacosmas-nq8lv
    @luciacosmas-nq8lv 4 місяці тому +1

    Wazazi musiwe na ukali na watoto wekeni urafiki na watoto ili vitu vibaya vinavyo wapata waseme aisee nimeumia Rest in paradise Jonathan😢

  • @steramwanakira7183
    @steramwanakira7183 4 місяці тому +1

    Pole sanaaa

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 4 місяці тому +5

    Innalilliah wainnaillaih rajiuun😭😭😭😭😭

  • @FlorenceMuthon
    @FlorenceMuthon 4 місяці тому

    Pole mama,wazazi tusiwe wakali sana qw watoto dio watuabie ukwel na walimu wasilete tress qw watoto wetu

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 4 місяці тому

    I feel bad about the story but praying to god almighty and protect you and give you strength 🙏

  • @hawaabdi6209
    @hawaabdi6209 4 місяці тому +1

    Mama ana uzembe ila madaktar ndio wazembe zaid hyo ilikua n emergency kwa maelezo ya huyo mtoto tumbo kujaa mojakwamoja tumbon kulikua na shida kwahyo mtoto alitakiwa angizwe kwenye upasuaji yan hao madaktar nao wamechangia kifo cha mtoto pumbavu sana mxuuuu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 4 місяці тому +1

    Mngemsaka huyo mwalimu na kumshushia kichapo Hadi kumuuwa au mama tafuta mtu mwenye bastola amvizie na ampigie risasi ya kichwa Na kumuuwa!

  • @EdwardsaibuluMollel
    @EdwardsaibuluMollel 4 місяці тому

    Pole sana mm

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 4 місяці тому

    Pole sana

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 4 місяці тому +2

    Daaah! Hivi hawa walim walio ajiriwa hawaon ukatil unaofanywa jamn

  • @user-xp6xw8fy8o
    @user-xp6xw8fy8o 4 місяці тому +1

    Yaaani Hawa walim wana bahati ninge zaa na yeye Adharani uni pigie mtoto wangu af uko hai mpka saivi wewe mwalimu oooh kama ungeishaji chimbia kaburi kwetu mbya nzuri aniii

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 4 місяці тому +1

    Pole Sana wamemuuwa jmn

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 4 місяці тому +3

    Walimu Walimu Walimu jmn munashida gani walimu wasikuizi si mlisomea wenyewe hiyo fani lakini

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 4 місяці тому +1

    Mungu ailaze Roho yake mahali pema

  • @honestandakidemi2332
    @honestandakidemi2332 4 місяці тому

    Mungu akupe NGUVU mama,da nmelia sana

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi 4 місяці тому +1

    Mwalimu wa field?? Ni mwalimu gani huyo?? Ni mzazi kweli anauwa mtoto wa watu kwa ushenzi wake, serikali vyombo vya haki za binadamu analieni uonevu huu, sisi wananchi tunataka kujua hatma ya huyu mwalimu asiyejua maana ya taaluma anayojifunza achukuliwe hatua stahiki. HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI TU.LAKINI SHERIA ICHUKUWE MKONDO WAKE.

  • @hildakimaro-we6mb
    @hildakimaro-we6mb 4 місяці тому +1

    Pamoja na hali ngumu ya maisha mama mzembe unaiyona damu unatulia kweliii😢😢😢poleni jamani

  • @levinaedrmf
    @levinaedrmf 3 місяці тому

    Pole sana mam ,ila jaman inatkiwa tukae karibu na watoto wetu

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 4 місяці тому

    Huyo mwalimu Mungu anamuona kakatisha maisha na ndoto za mtoto mdogo jamani inauma Sana sijui alimkosea Nini kikubwa hvyo kiasi Cha kumpiga mpaka kumpelekea umauti 😢😢😢😢😢

  • @MaryNikodem
    @MaryNikodem 3 місяці тому

    Pole sana dad's angu mungu hakutangurie

  • @mohdnasser3620
    @mohdnasser3620 4 місяці тому

    الله يرحمه ويغفر له ويسكنه فسيح جناته يارب العالمين

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 4 місяці тому +3

    Hivi Walimu walioko Field huwa Wana mashetani au shida nini!! Sasa huyo mtoto mdogo kakosea nini mpaka kupigwa hivo!!!🤔🤔🤔

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 4 місяці тому

      Na kama anamfundisha haelew angemuacha Kwan wake

  • @halimamusaamiri4187
    @halimamusaamiri4187 4 місяці тому +1

    We mzazi mkali sanaa ndiyo maana ata mtoto ameshindwa kukueleza mzazi inabidi mtoto umkague mtoto kila anapurudi nyumba laki pole

  • @ElishaElia-jh1bx
    @ElishaElia-jh1bx 4 місяці тому +1

    Pole mama

  • @GodJakobTash-mu9zf
    @GodJakobTash-mu9zf 4 місяці тому +1

    Dah kwa syle hii lazima nijeniue mtu akiamungu, pole mama.

  • @elizaminja4249
    @elizaminja4249 4 місяці тому +3

    aliumia sana mtoto jmn

  • @user-fh3of4yc6s
    @user-fh3of4yc6s 4 місяці тому

    Pole Sana dada

  • @veronicamasawe7893
    @veronicamasawe7893 4 місяці тому

    pole sana dada

  • @FggFff-sg2gm
    @FggFff-sg2gm 18 днів тому

    Pole sana 😭😭😭😭😭😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @athumanmbelako4317
    @athumanmbelako4317 4 місяці тому

    Pole

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 4 місяці тому

    Pole sana mama

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 місяці тому

    Mama pole. Mungu atalipa hili tunamuomba

  • @onyaluoma848
    @onyaluoma848 4 місяці тому

    Pole Sana mama Jon ila usikubali kuzika mtoto hadi ukweli ujulikane, Yule mwalimu asshikwe mwanzo

  • @user-gs6dy8uc2r
    @user-gs6dy8uc2r 4 місяці тому +1

    Jamani Walimu wakumbuke wao ni walezi.kumchapa mwanafunzi kiasi kwa kumrekebish na cyoo kupiga km wanauwa heee.

  • @RachelMethod-rt1qx
    @RachelMethod-rt1qx 4 місяці тому

    Pamoja na huyu mwalimu kupiga huyu mtoto, lakini pia kulikuwa na roho ya mauti unamuwinda huyu mtoto hyo imekuwa nisababu ya kifo chake, Mungu
    Awalinde watoto wetu

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 4 місяці тому +2

    Yaniii wewe dada kwe kweli sijui

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 4 місяці тому +3

    Haya ndio matokea ya serikali ya CCM na sera mbaya ya elimu watanzania tuamke

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 4 місяці тому

      ACHA ujinga wewe Sasa Ccm Imeingiaje hapo. Ka senge na wewe.

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 4 місяці тому

    Shinda nini jamani?. Kwanini tuue watoto wetu?. Uyo mwalimu anataka nini?. Pole sana mama.

  • @esterdavid2686
    @esterdavid2686 4 місяці тому +3

    Inaumiza jaman 😢😢😢

  • @brunobalama6046
    @brunobalama6046 4 місяці тому

    jaman wazaz mjifunze kutokana na uzembe wa mzaz mwenzenu huyu ...hata kaama huna hela omba msaada kwa watu mungu atakusaidia kupitia ukarimu wa watu ..... nimejisikia vibaya sana mama umefanya uzembe mkubwa sana ....but all in all mungu amlaze mahala pema peponi huyu mtoto 🙏

  • @user-is4xo4pp8v
    @user-is4xo4pp8v 4 місяці тому +1

    Pole sana Mama jamani, hawa waalimu jamani. Nataman hadi mtu asome ualimu wachunguzwe. Na huyo mwalimu akamatwe

  • @ashaomani5865
    @ashaomani5865 4 місяці тому

    Dah innalillah wainnaillah rajiun pole sana momy 🤲🏼🤲🏼😥😥😥

  • @AnnaSangamungunimwematunabarik
    @AnnaSangamungunimwematunabarik 4 місяці тому +3

    Hiv walimu mna shida gan

  • @emmanuelywilibert2198
    @emmanuelywilibert2198 4 місяці тому +1

    Inalillah wainaillah rajighuun

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 місяці тому +1

    Walimu kila mwaka wanaua watoto x bukoba x Lindi moshi n x2 sasa, serkali, Iko wp,hilo bunge lina kaz gan Dodoma,

  • @user-ux9sj2hr7t
    @user-ux9sj2hr7t 4 місяці тому +1

    SUBHANALLAH

  • @merabubirakashekwa350
    @merabubirakashekwa350 4 місяці тому +1

    😨 sijui kama naweza kuandika chochote cha maana kwa Sasa 😭😭😭💔💔💔. Kweli Hii ni issue ya kushughulikia kwa wepesi hivi? Kweli? I’m hurt to the maximum. Wananchi wakichafukwa wakajichukulia sheria mkononi wanaonekana wavunjifu wa sheria. Katika hali kama hii na miyeyusho hii , unategemea mtu afanyeje?

  • @FelisterAyubu-pk2fl
    @FelisterAyubu-pk2fl 4 місяці тому

    Pole sana mama mtoto Mungu akutie nguvu

  • @fatumamakoye5711
    @fatumamakoye5711 4 місяці тому

    mim mungu anijalie busara nikianza kusomesha maaan naenda na panga uko shule yani kumlea mtoto mpk afike umri huo afu mtu anakuja kumuua

  • @tumainimgonja2826
    @tumainimgonja2826 4 місяці тому +1

    Waziri wa afya Tuma timu ya uchunguzi madaktari wamechangia kifo cha huyu mtoto naomba Tafadhali wote walio mhudumia wawekwe kwenye uchunguzi tunaomba hii haukubaliki madaktari wamechangi hili

    • @toptopress4909
      @toptopress4909 4 місяці тому

      Mtoto ametokwa na damu siku zote izo anapelekwa dakika za mwisho, alafu unalaumu madaktari??

  • @achenikigava
    @achenikigava 4 місяці тому

    Ila duniani kina mapito jamani. Jambo likiwa kwa mtu mwingine ni rahisi sana kusema ningekuwa mimi ningefanya hivi, kumbe lingekukuta huenda usingejua cha kufanya kwa haraka japo inaonekana mama alikuwa mzito kuchukua hatua za kwenda hospital saa nyingine kipato na madaktari nao siku hizi hawatibu mgonjwa bila hujalipa kiasi kilichotajwa yaani ni Mungu tu amebqki wa kutusaidia.

  • @toptopress4909
    @toptopress4909 4 місяці тому +2

    Mlimchelewesha sana kumpeleka hospitali, dah??

  • @colethanyaku1077
    @colethanyaku1077 4 місяці тому

    Kwa kweli mama pole sana!

  • @stevennenelwa3192
    @stevennenelwa3192 4 місяці тому +1

    Binafc sielew hapa kuna shida gn mtt alikua na shida gan shida ni fimbo za mwalim au kulikua na shida nygne kwa mtt

  • @umiy1971
    @umiy1971 4 місяці тому +1

    Unamchapa mtoto hadi anatumbuka damu kwa ndani ? Huyu hakuwa mwalimu alikuwa ni jambazi na Muuwaji

  • @emmymgana5371
    @emmymgana5371 4 місяці тому

    Mungu wangu jamaaaani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 najaribu kuvaa viatu vyako dada havinitoshi cjui ni maumivu yaaina gani unayo pitia. Had nmelia wallah pole mama jonathani pole sana dada 😭😭😭

  • @pendomkumbo8262
    @pendomkumbo8262 4 місяці тому +3

    Mwanamke mwenzangu wewe ni mzembe kabisa na hauko karibu na wanao

    • @maureenmuhenje916
      @maureenmuhenje916 4 місяці тому

      ukweli kabisa hii mda yote no big noo

    • @pendomkumbo8262
      @pendomkumbo8262 4 місяці тому

      @@maureenmuhenje916 yaaan watoto wanakueleza hali ya mwenzao we unaendelea na shughuli zako ,Mara panadol Mara kuloweka kichwa kwenye maji wakati unajua iyo hali haijawahi mtokea mwanao? aiseeeeeeee ! Binafsi hunambii kitu kwa wanangu .....wao ni kipaumbele kuliko chochote kile haswa kwenye usalama Wa afya zao....hata siwezi lala fofofo bila kwenda kuwatizama mara mbili mbili vyumbani mwao,Sijui nawazaje aisee kwa huyu mwanamke mwenzangu.....ngoja nibaki nayo moyoni

    • @andrewmallya1704
      @andrewmallya1704 4 місяці тому

      We unajiongelesha tu....mtoto mwenyewe alikua anaogopa kusema kwa hiyo mama wala hana kosa ata kama ingekua siku 3..inaonekana alitishwa asiseme

    • @maureenmuhenje916
      @maureenmuhenje916 4 місяці тому

      @@andrewmallya1704 no hakuna kitu kama hiyo huyo mama n mzembe kwa kitu inaitwa damu hiyo n direct kwa daktari ama call ur neighbour akuangalie please kuna vitu zengine c zakunyamazia

  • @user-ps8nl3fv3f
    @user-ps8nl3fv3f 4 місяці тому

    Pole sana mama yangu Mungu akupe nguvu rest in peace mdogo wangu duh inauma sana