@@zawadichalale4047 hamna alikosea.. formula ni "JUMLA ÷ IDADI = WASTANI" Huwezi gawa wastani kwa idadi... Mfano: una machungwa 10, watu wapo 20.. Je, unafanyaje ili wote wale? Ndo unachukua machungwa yote, unagawa kwa idadi ya vipande 20, ili kupata wastani wa watu 20.
Ukiangalia Namna anavyojibu Maswali na kujieleza... Namna anavyosimama kwa nidhamu... Ndevu Hana ni mkakamavu.... Trust me 100% Jamaa Hawa ni kitengo..
Mm DR Samia natamani na mm siku moja nipate mualiko kama muuza madafu,ss najiuliza nitapata fursa hiyo vipi nami naishi huku kijijini?lakini mungu yupo ipo siku inawezekana mungu akitoa kibali amen amen amen
Yule aliyeojiwa mwazo clouds anasema hawakula ftali kwasababu walikosa muda kutokana na kusupply madafu huyu anasema walikula Kwanza futali which is which 😂,
Mungu akubariki sana mama yetu mpendwa SSH rais bora kabisa. Rais usiye na ubaguzi unatupenda watanzania wote bila hitikadi. Nimekuwa nikisema kila wakati watanzania tumepata rais mwema sana.
Angalia wanavo skikiliza maswali angalia macho yao ayatulii wakiwa wanajibu maswali angalia kauri za anae hojiwa mahala patakatifu ...ntagawa wastani bila idadi ....umamaji wao wa heshima na unyenyekevu ....
Mwenzake alisema mwenzie alibak na dafu 44..jamaa kasema alimwambia kiongoz alibak na dafu 50..hawa jamaa hawakujipanga kudangaya like walishtukizwa interview... Thought usalam wapo smart na two step ahead kulko normal people... Salute kwa makamanda sie tunafurah kuona tunausalama kona nying😅
Tanzanians all saw how Harmonize embarrassed Diamond Platnumz in the State House holding his net like a Puppet and instructing him to say something after himself... Blood is around the corner ⚠️⚠️⚠️
Hawa ndio wenyewe waliokuwa kwenye kuuza hayo madafu lakini Yule mwingine alienda cloudy wanamjua wenyewe sasa hata hii job ya usalama lazima uwe wa kujichsnganya ndio iendelee
Ndugu mtangazaji eneo hilo hilosubiri kama miezi 2 then rudi tena hapa ukiwakuta wapo na wanaendelea na biashara hiyo basi hao sio kitengo ila usipowakutaa jibu unaloo
Sina uwakika ila hawa si wahuza madafu afu ikulu si nyumbani yani uwende utoke ukaoge uludi tena 😂😂😂 acheni zuga yani ata kama angeingia mchafu vipi asinge lusiwa kutoka angeogea umo umo na mavazi angepewa umo umo kisha ndiyo hauze madafu yake ati alihingia akatoka kwenda kuoga 😂😂😂 aya bhana tena mtu mwenyewe wa kawaida ahingie ikulu atoke kama nyumbani
Hii kali yan unataman kuwa askari, na gari la askari ghafla linapita na kukupa hi kwenye simu kuwa oya kamanda tano ukajibu tano kamanda dakhhhh!!!😂😂😂😂
Unayerudia hii video kuhakikisha kama ni yeye gonga like😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nmefika😂😂😂😂
😂😂😂
Mapema sana
😂😂😂😂
Waliokuja hapa kuconfirm baada ya kuona hotuba yake kule siku ya muungano tujuane
#1:35 asante Commandooo ..
Apa sasa nimejiridhisha kabisaaa..
Code imeeleweka kwa wale tulio pita pita kwenye hizi mambo ..😊
NIMEKUJA KUHAKIKISHA KAMA NI YEYE😂😂
Dar es Salaam Nimeingia mwezi wa kwanza Afu tena mimi mwenyeji
Sasa je si niliwaambia hapa kipnd kle huyu ni Captain 😂 Sikia hata sauti yake ndo ileile alokuwa anasoma lisala... Makomando tunao weng tu huko mtaan
Jaribuu kuangaliaaa ilivyopita garii ya jeshii jamaaa alivyoangaliaaaa dakika ya 4:32 hhhh
Dha ume ona mbali
Ni kwel
Sijaiona
Huyu ndo yeye mwenyewe sasa imetisha kaka
"nitagawa wastani kwa idadi". imeisha hiyo
Hakika mgaa gaa na upwa hali wali mkavu,vjn kazeni buti huenda nyota njm inawaangazia,kila la heri ktk utafutaji wenu.
“NTAGAWA WASTANI KWA IDADI” Ni neno baadhi ya maneno ya KIJESHI
dizasta vina
@twalbkoga8901" ntagawa wastani kwà idadi" maana yake nini?
@@zawadichalale4047 hamna alikosea.. formula ni
"JUMLA ÷ IDADI = WASTANI"
Huwezi gawa wastani kwa idadi...
Mfano: una machungwa 10, watu wapo 20.. Je, unafanyaje ili wote wale?
Ndo unachukua machungwa yote, unagawa kwa idadi ya vipande 20, ili kupata wastani wa watu 20.
We umeona mtu mwenyew ameshawai kufanya kazi ya ulinzi 😂 kajichngany mwenyew hao ni mashsushu sio bure 😅
Hapo kajichanganya kweli, kisha eti anapenda uaskari, amecheza karate😂😂
Ukiangalia Namna anavyojibu Maswali na kujieleza... Namna anavyosimama kwa nidhamu... Ndevu Hana ni mkakamavu.... Trust me 100% Jamaa Hawa ni kitengo..
Umeona eeeh
Kwani humuoni licha ya mfanano,muonekano wake tu,unathibitisha kia ni askari,ss huga tunajuana weyewe,Bila ya kuvaa form.Gonga like anaenisapoti.
Sikuiangalia hii video mwanzo, imebd nije kuhakikisha leo😀😀😀
umakini unahitajika sio kwa wauza madafu tuh mbaka wauza samaki
Mm DR Samia natamani na mm siku moja nipate mualiko kama muuza madafu,ss najiuliza nitapata fursa hiyo vipi nami naishi huku kijijini?lakini mungu yupo ipo siku inawezekana mungu akitoa kibali amen amen amen
Nan anaangalia video baada ya kutrend huko ig😂😂😂
Sio yeye' ila wabongo mkiwa hamna kazi za kufanya ndo'......
Ila hii nchi ukijichanganya utajikuta jela unaongea ongea ovyo kumbe umesimama na usalama wa taifa😂😂😂😂
Aisee uyu jamaa kweli kitengo, 😂
Yule aliyeojiwa mwazo clouds anasema hawakula ftali kwasababu walikosa muda kutokana na kusupply madafu huyu anasema walikula Kwanza futali which is which 😂,
Yule wa cloud muongo hakuwepo huyu ndio alikuwepo namjua ni muuza madafu tupo nae mtaani kwetu
Huyuu jamaa anavyoongea tu! Muchizi komando
Mungu akubariki sana mama yetu mpendwa SSH rais bora kabisa. Rais usiye na ubaguzi unatupenda watanzania wote bila hitikadi. Nimekuwa nikisema kila wakati watanzania tumepata rais mwema sana.
Yule kasema mwenzie alimkuta na madafu arobain huyu anasema madafu hamsini 😂😂😂😂
😂😂
Vinywele vichanga ndevu safiiii , wauza madafu😂😂
Ni wa kitengo 100%. Hakuna shaka
Hahahaha😂😂😂😂😂😂
Angalia wanavo skikiliza maswali angalia macho yao ayatulii wakiwa wanajibu maswali angalia kauri za anae hojiwa mahala patakatifu ...ntagawa wastani bila idadi ....umamaji wao wa heshima na unyenyekevu ....
"mwanangu kumbe we kitengo" maneno haya yamesemwa na wahojiwa wawili na yanafanan
Mbn kama hawafananii 😊😂😂
Sema awafanani jichanganye huyo komandoo na kiongozi
Weee mnatudanganya nyie bwana na hapa ipo nyie 😂😂😂
2juane hapa. Tuliotoka kwa osca osca
Hahahahaha nyie mkija bilaa gudi atagawa wastan isiyo na idadii 😂😂😂 hamjashtukaa tyuuu
Iyo sign ya ki port
Discipline ya hali ya juu,heshima kwenu
Mwenzake alisema mwenzie alibak na dafu 44..jamaa kasema alimwambia kiongoz alibak na dafu 50..hawa jamaa hawakujipanga kudangaya like walishtukizwa interview... Thought usalam wapo smart na two step ahead kulko normal people... Salute kwa makamanda sie tunafurah kuona tunausalama kona nying😅
Hata wakiwa askari kanzu ni jumla ya kazi😂
Hahaha ukija bila gadi ntagawa wastani kwa idadi 😂😂 noma sana
Kauli za jeshini hzo
Kalate kidogo Boxng kidogo,,ulikuwa amalize tu na hapa ipo
Mbona sielewi yule wa Cloud tofauti ana huyu or ?
Walikuwa zaidi ya mmoja
Mama sema neno kwa vijana hawa hakika Mungu atakulipa zaidi
Walikuwa wanne 4
Angalia alivo angalia gari ya mp
Duuuh tunaomba mrudie interview baada ya picha yake kutrend kwenye maonyesho ya miaka 60 ya uhuru
Huyo hatopatikana tena
Akitokea atakua amefunga ndevu na dread😅😅😅
Ivo video uliona wapi
Cheki anavyoweka mikono kuficha silaha hadi mtangazaji anamgusa ashushe ila haelewi
Walikuwa 4
zingatia wote wamehojiwa wanasema kama mwaka na nusu😅 hawa nimewashitukia kweli na hapa ipo
Ni yeyeeeeeeeee
Sema tu Wakija bila gadi ntagawa wastani kwa Idadi 🔥
#824_JK
Hii no code? Mwenzenu sielewi
Ukija bila gadi nitagawa wastani kwa idadi...hii kauli ya kombati niliisikia nilipokuwa mujibu wa Sheria makuyuni jkt 😂
😂😂
Mambo ya combination one na two double
839 KJ
Kama hujui kusoma basi soma picha
Aiseee ni yenye, angalia anavyoangalia.
WAZEE WA SUTI NYEUSI HAWA
😂😂😂😂😂😂
Ni yeyeyeeeee
Watu wasiojulikana🤣🤣🤣 mtaji wadafu haufagi mwaka wa 2 huo
niyeyeeee in TID voice
Tanzanians all saw how Harmonize embarrassed Diamond Platnumz in the State House holding his net like a Puppet and instructing him to say something after himself... Blood is around the corner ⚠️⚠️⚠️
Hawa ndio wenyewe waliokuwa kwenye kuuza hayo madafu lakini Yule mwingine alienda cloudy wanamjua wenyewe sasa hata hii job ya usalama lazima uwe wa kujichsnganya ndio iendelee
🎉
Mtabakia misukule, huku mmeuzwa
Mama atuone nasie ambao hatukupata huo mualiko WA futari Atuone tukale na watoto. In shaa llah
Ndugu mtangazaji eneo hilo hilosubiri kama miezi 2 then rudi tena hapa ukiwakuta wapo na wanaendelea na biashara hiyo basi hao sio kitengo ila usipowakutaa jibu unaloo
Ww ni mganga nini
Jamani kumbe wengine hua mnaona mbal 😁😁
Confirmed
Umri Tofauti, Sura, pua tofauti nk
Sina uwakika ila hawa si wahuza madafu afu ikulu si nyumbani yani uwende utoke ukaoge uludi tena 😂😂😂 acheni zuga yani ata kama angeingia mchafu vipi asinge lusiwa kutoka angeogea umo umo na mavazi angepewa umo umo kisha ndiyo hauze madafu yake ati alihingia akatoka kwenda kuoga 😂😂😂 aya bhana tena mtu mwenyewe wa kawaida ahingie ikulu atoke kama nyumbani
Huyu ni commando kweli. Angalia hiyo mikono anavyoweka..,
Huyuu jaamaa ndiee uongeaji wake ukaaji waker na umemuona jinsi alivyomuangaliss mama kiaskari asaa na kikomandoo
Captain 😅
WATU HUMI WAJINGA SANA WAMEITWA NA MTU MWINGINE MNAMSIFIA MAMA
Hawa jamaah wamebeba uspuun yaani ujiko😂😂😂
Afande muuza madafu 😅😅
Wallah nimerudi Ili kujieidhisha
Bongo akili mingi sana jamaa ndio yeye bhana
Ni yeye
NDIO YEYE HATA HUYO WHITE NI WOTE. HAHAHAAA NI YEYEEEE
Jamaa hata mkao wake sio wa muuza madafu tuliowazoea...Jamaa Ni Komando
Cheki wenzao walipopita na gari albowacheki kimkakati😅😅
😂😂😂😂
"Ukija bila gadi, tutagawa wastani kwa idadi" maneno haya yanasemwa na watu kitengo, msihojiwe wazee mnajichanganya
Sio maneno ya vitengo hayo ndugu haujawi kuchez hat judo au kara tee hzo ni slogani za mchezo
Ukiutumia ubabe vibaya utakuvunja mwenyewe😢😢😢😢
Na hapa ipo
Daaaaa
Namna anyosimama huyu jamaa na mikono .....
Hata huyu mweupe ni wale walee
Wadogo zetu wa buhigwe kijiji cha songambele namuona kimambo kwa mbali
Huyu anayeongea ni yule aliyemletea faili mwenzake akiwa anasoma hotuba
Ni yeye😂😂😂
siyo yeye
Ukija bila gadi, nitagawa wastani kwa idadi 😅😅😅 kitengo
White mwenyewe poa huyoo duu
Wazee wa kitengo hao😂😂😂
T.I.D anasemaga Ni yyeyeeeeee
daaaah ila tisichukuliane poa aseeh
halafu cheki anajifafanya kutamani jeshi😂😂😂😂
nchi iko salamaa
Hii kali yan unataman kuwa askari, na gari la askari ghafla linapita na kukupa hi kwenye simu kuwa oya kamanda tano ukajibu tano kamanda dakhhhh!!!😂😂😂😂
Sio yeye
Futa iyo kauri ya kusema sehemu patakatifu
Jichanganye MT akumalize tisha sana om boy
Nilitaka nishangae hawa wauza madafu wasitafutwe na waandishi wa habari
Hao wote ni watoto wa mama kizimkazi😂😂😂😂
Hao mabroo nawaogopa ni wale wale na Hapa ipo
😂😂😂😂😂😂😂
dakika ya 4:10 wakati gari ya jeshi inapita dah aloo huyu kamanda😅😅
NI YEYEEEE😹
Hao zuga tu ni kitengo
Hili dafu lenyew linakatwa kijeshi zaid kwa nidham ya hal ya juu
Kwann msiwakutanishe wote