"HUYU NDIE MWANACHUONI ALIEABAKI EAST AFRIKA" SHARIF AHMAD ALWIY AKIMSIFU MWENYE BABA - KITUMBINI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 99

  • @adennurahuka402
    @adennurahuka402 6 місяців тому +4

    Mwanachuoni wa kweli hakubali sifaa,,,wallahi ni wanchuoni ni wachaji mungu si makhurafi wa kupiga dufu,,,,kidevu kinakaa embe hata hakuna ndevu,,,Allahu mustaan

  • @adennurahuka402
    @adennurahuka402 6 місяців тому +1

    Ata hawana adabu ya kumuomba Allah du'a,,,,mwone aliyevaa kizbao cha blue du'a ikisomwa,,,, subhanaAllah

  • @sophiaomar7875
    @sophiaomar7875 6 місяців тому +1

    Mwenye baba si mwanachuoni anapenda sifa sana huyu mzee

  • @adennurahuka402
    @adennurahuka402 6 місяців тому +2

    Nynyi mwajuwa maana ya kuwa mwanachuoni ama mnasema,,,masufi ni kweli hamna akili timamu,,maneno ya imam shafii ,,,,ukabila na kuabudu makaburi,,,ata juzzu amma hajahufadhi,,,mpiga dufu na dhikiri ya kukohoa ,,,Allahu musta'an,,twaghut

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww 3 місяці тому +1

    Napia mvunja SUNA,wote musiweke ndevu akisema hamuweki ila akiwambia pigeni Ngoma munapiga jee anaewacha la Mtume,lakwake yeye lifuatwe,je huyu ndo mwanachuoni wakutegemewa.innalillah waina ilaihi raajiun

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 9 місяців тому +1

    Wew ushaambiwa huyu ni mwana Chuini.eti mtu anahoji!!! Eti mwanachuoni hana ndevu 😢 hii dunia sijui inaelekea wapi sababu kuna watu majahili kweli kweli

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Рік тому

    Allaahumma swalli wasallim wabaarik alayhi

  • @sophiaomar7875
    @sophiaomar7875 6 місяців тому +1

    Si mwana chuoni huyo kazi kuchezea wanawake alioa kama Mara elfu moja watoto wake hawajui

  • @Hussein_Mustafa_Parmar
    @Hussein_Mustafa_Parmar 9 місяців тому

    Huyu alieongea mwanzo ni Syed Ahmed Khatib wa Mskiti wa Ijumaah, Kitumbini, Dar es salaam, Tanzania

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 2 роки тому +1

    mashaAllah mashaAllah

  • @hassanalbasq3160
    @hassanalbasq3160 2 роки тому

    Duh Allahulmutaan jamni ah

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Рік тому +1

    Hzo twariiqa ni Dini za ukabila

  • @jaz9974
    @jaz9974 2 роки тому +1

    Mashaallah

  • @quranrecitations7267
    @quranrecitations7267 2 роки тому

    Allah awaongoze

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 роки тому

    Sheikh unamsifia sana mpaka unavuka mipaka,,,,,

  • @SalehSaleh-re1ud
    @SalehSaleh-re1ud 2 роки тому +3

    Nadhani wanachuoni hua hawapendi kusifiwa, hua wanapendelea kujishusha sana.

    • @abdulkareemseif1892
      @abdulkareemseif1892 2 роки тому

      Hamna kitu Apo wanapachikana tu

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 2 роки тому

      Hajajisifu, kasifiwa na wengine. MaashaaAllah, Allah amhifadhi.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 роки тому +1

      Exactly

    • @rushu1232
      @rushu1232 Рік тому

      Hajajisifu amesifiwa na mtoto wake na nyinyi sifuni wenu hakuna chuki.

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 роки тому

    Msellem Aliy pia

  • @rushu1232
    @rushu1232 Рік тому

    Kula pote lina kiongozi wake na hawa tumekinai sana na wao na ilmu yao sasa nyinyi kama nyinyi muna masheikh zenu wafueteni hakuna ungomvi sababu mambo yaendelea na yatazidi kuendelea.

  • @quranrecitations7267
    @quranrecitations7267 2 роки тому

    Weeeee kenya yote. Kuna watu wasoma mpaka leo wasoma.

  • @nurudinsalim8955
    @nurudinsalim8955 2 роки тому +1

    yaallaah

  • @alihusseinali4756
    @alihusseinali4756 6 місяців тому

    Hata ndevu hana mwanachoni yupi ndevu nikatika Sunna za mitume yote hata wale wanachoni hoye haye wsnafuga ndevu bure kabisa

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 2 роки тому

    Allahumma Amiin

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 2 роки тому

    Duh! 😳

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 роки тому

    Othman Maalim jee?

    • @shafiimohamed6503
      @shafiimohamed6503 2 роки тому

      Kasomeshwa na huyo aliyotajwa hapo

    • @swalahuomar5314
      @swalahuomar5314 2 роки тому +2

      Huyu ametunga vtabu vingi ni msomi ajabu othman maalim ni mwanafunzi wake

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 роки тому +3

    Labda mwanachuoni mkubwa wa kisufi

  • @badawiyhusssein5496
    @badawiyhusssein5496 2 роки тому

    Boyka

  • @saydsultan9499
    @saydsultan9499 2 роки тому +3

    Mwanachuoni hana ata ndevu

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 2 роки тому +1

      Mnafurahisha haswa. Yaani wewe umeona ndevu ndio uwanawachuoni. Haya mthibitishe wewe uwanachuoni wake.

    • @saydsultan9499
      @saydsultan9499 2 роки тому +1

      Wewe ndio uthibitishe uwawachuoni wake ni upi
      Mana sisi tunaambiwa wanawachuoni ni warithi wa mitume lakini huyo tukimuangalia hata kujifananisha na mtume swallallahu alyhi wasallaam ameshindwa

    • @muhibbualii4580
      @muhibbualii4580 2 роки тому

      Mungu ndiye mwenye kuwaumba hivyo, Qur'an inatuzuia kuwacheka watu na kuwafanyia masikhara ninmadhambi makubwa, Allah akuongoze tu.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 роки тому

      Hapo sasa umeingilia uumbaji wa Mungu, sheikh kasome dini vizuri,,,

    • @benyamin5000
      @benyamin5000 Рік тому

      Mungu akuongoze akupe mwangaza akutoe katika Giza uliopo sasa halafu utajua ndevu ni Sunna na Sunna sio fardhi

  • @abubakariabdallahabubakari8054
    @abubakariabdallahabubakari8054 2 роки тому

    Duh eti muutamad hhhhh duniani

  • @uchihaitach1536
    @uchihaitach1536 2 роки тому

    Ulama wengi wako gerezani

  • @rushu1232
    @rushu1232 Рік тому

    Shida yenu kubwa munaliza watu wafuate itikadi ya masheikh wenu kina ibn Baaz kina Utheimin na sisi twaamini hao ni project ya mayahudi kutoka waqti sh.Muhammad bin Abdulwahab.

    • @adennurahuka402
      @adennurahuka402 6 місяців тому

      La!!!!uwongo ww khurafi,,,,Al jufri ndiye aliyewasifu na kusema anawapenda mayahudi,,mche Allah na uwe mwadilifu,,utaelekea Kwa mola wako Pekee yako

    • @rushu1232
      @rushu1232 6 місяців тому

      @@adennurahuka402 jufri niyeye peke yake atajibu kwa Allah lakini nyinyi manhaj mzima yakiwahabi imewekwa na waengereza na mayahudi akewekwa Sh.Mohd Abdulwahab kuuwa waislamu ambao hawakubaliani na fikra yake akisema ni washirikina.

    • @adennurahuka402
      @adennurahuka402 6 місяців тому

      @@rushu1232wallahi la!!!leta hoja,,,mm nimekueleza shekhe lenu mwanae mrejelea kuwa amewasifia mayahudi,,,nioneshe shekhe wa salafi akiwapongeza au kuwa sifu,,,ikiwemo ibn baaz ibn uthaymeen albani nakadhalika Allah awarehemu ,,,,Sisi dini yetu ni Qur'an na sunnah kwa ufahamu waliyoongozwa maswahaba na mwalimu wao mtume Muhammad swala na salamu zimfikie,,,,,nyie ni kupiga ukhurafi n ushirikina kuabudu makaburi na bida'a nyingi ambazo Allah hajateremsha katika uongofu Kwa mtume na waja wake,,,,,si rayi ama maoni ya mashekhe wenu Sisi tuko Kwa haqi,,,,tukosoea Kwa dalili ya Qur'an na sunnah tutafuata Lau si hivyo Baki na ukhurafi wako

  • @mruppercut7985
    @mruppercut7985 2 роки тому +2

    Mwanachuoni wa kisufi huyo halafu masufi mnavaa mapete mengi kwanin?

  • @muhammadmjara6776
    @muhammadmjara6776 2 роки тому

    ahallu bidai ndy tambia zao hizo tabia mbuvu kabx eti mwenyechooni atokee wapi

    • @muhibbualii4580
      @muhibbualii4580 2 роки тому +2

      Ungekuwa umesoma akhlaaq ungewaheshimu masheikh WA wengine hata kama hamuafikiani katika mambo ya dini.

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 2 роки тому +1

      Kuma wamuona c wAna chuoni ungempa heshima uisilamu au umuri wake Mtume saw amesema sikatisis asiyewa hurumiya wadogo na kuwahishimu wakubwa muislam mwenziyowamwita mwana choooni Subhana ALLAH

  • @mruppercut7985
    @mruppercut7985 2 роки тому

    Sufi mkuuu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 роки тому

    Kwasasa kunatuvijana tudogotudogo tumesoma hao wanachuoni wakusifiana sidhani kama wanafikia?

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 роки тому +1

    Ni kitabu gani ametunga au munapachikana tu uanazuoni

    • @jitukorofi9517
      @jitukorofi9517 Рік тому

      Unataka kitabu cha dini kitungwe km hadithi za bunuasi kitabu cha dini kinaandikaa boya ww

  • @zanzibaronlytv3470
    @zanzibaronlytv3470 2 роки тому +1

    watu wengi wa bid aa ukiwatizama kwa makini hawana akili nzuri

    • @fadhilimakore6142
      @fadhilimakore6142 2 роки тому +1

      Nawewe pia tukikuchunguza akili yako pia sio nzur nenda kasome din vizur

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 2 роки тому +1

      @@fadhilimakore6142 wallahi. Waone tu hao.

    • @ahmadymuhina6546
      @ahmadymuhina6546 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ما هو البدع

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar 2 роки тому +3

    huyo mwanachuon muutamad katunga vitabu vingan, sio mwanachuon bali ni ngwiji la bidaa

    • @saidinammenje644
      @saidinammenje644 2 роки тому

      Eti gwiji la bidaa Ebu kasome kasome kitabu chake kimoja tu kitakutosha kama macho unayo! Hapo utajua kama kama gwiji la bIdaa au gwiji wa sunna kitabu kinaitwa annusuusu swariha fil'aqiidati swahihah. acha kubwabwa

    • @abuanmarabubakar
      @abuanmarabubakar 2 роки тому

      @@saidinammenje644 mwanazuoni hawk mpenda matar kamwe , pia hata hivyo vitabu vyake vinaongoza kwenye hizo bidaa zake

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 2 роки тому

      Gwiji haswa

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 2 роки тому +1

      @@abuanmarabubakar hawa jamaa nafikiri wameteleza,shekhe mkubwa alobakia ni wewe.

    • @abdulkareemseif1892
      @abdulkareemseif1892 2 роки тому

      @@saidinammenje644 hapana mwanachuoni apo

  • @binmasoud6237
    @binmasoud6237 2 роки тому

    Muutamad vitabu vyake tuambieni alivyotunga au kupeana sifa tu al alawy sheikh nani upuuzi mtupu

    • @jitukorofi9517
      @jitukorofi9517 Рік тому

      Vitabu vya dini havitungwi vinaandikwa unatunga hadithi na nyimbo boya ww

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 2 роки тому +1

    Wapuzi.

    • @muhibbualii4580
      @muhibbualii4580 2 роки тому

      Aibu Kwa kakaangu kujiita jina tukufu la mtume Muhammad kisha akhlaaq ukakosa ukawaita maulamaa wengine wapuuzi,ni makosa sana, Allah akusamehe Ila si adabu ya kiislamu kuwatukana shurafaa wa wengine.

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 2 роки тому +1

      @@muhibbualii4580 Utukufu si jina wala kabila acha ujinga, ndio mukatukuza wata hadi kuwapa daraja wasizostahiki, ati (masharifu) ujinga mwingi na kutishana tuu wengine waingia kwenye shirki kwa ujinga huu.

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 2 роки тому +1

      @@muhibbualii4580 kama ujinga huu ndio uislamu pepo hakuna.

    • @muhibbualii4580
      @muhibbualii4580 2 роки тому

      @@faisalmohamed727 Allah akuongoze kiwaheshimu wakubwa zako in Shaa Allah.

    • @muhibbualii4580
      @muhibbualii4580 2 роки тому

      @@faisalmohamed727 iwapo unagawa wewe Pepo basi waingize wote motoni.

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 2 роки тому

    Wajinga hawa huwa hawazingatii kabla kupanua modomo yao.

    • @sharifukedaonlinetv8558
      @sharifukedaonlinetv8558 Рік тому

      Mjinga mama yako aliekuzaa kabla akafikiria

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 Рік тому

      @@sharifukedaonlinetv8558 Hahaha eti masharifu!!! masharifu mutakuwa nyinyi? masharifu ukwaju chama cga LGBT.

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 Рік тому

      @@sharifukedaonlinetv8558 Wajua mamako alikuwa mpezi wangu kabla ya yeye kuamua kuwa Malaya? huenda wewe ni mwanaharamu wangu.

  • @mabrukjuma3878
    @mabrukjuma3878 2 роки тому

    Wallah wewe ni mpuzi mkubwa wawajuwa wanachuoni au amekuridhisha wewe wacha upumbavu wako .