mimi naamini kama mtu kapita madrasa hawezi kutukana wala kukejeli wewe unaotukana unavitbu gani ulivyo soma mbna mwajichumia madhambi zilzomijaa nichuki tuacheni na kumtaja kwetu alla na kumsifu mtume wetuﷺ
Mashallah jadhaka wallah lkheir ya shekh,umepita katika elmu kubwa sanaa,wambie wale jaamaa zetu wanayopinga haya,na wanapinga kwa uchoyo tu kwavile tunapata dhawabu alhamdulillah 😊
Ndiyo maana ulamaa wanasema kuwa bidaa inapendeza zaidi kwa ibilisi kuliko maasi. Anayefanya maasi kama vile pombe zina, kamari nk anajua kuwa yale anayofanya ni maasi akitubia anatubia kwa maasi anayofanya wakati mtu wa bidaa atatumia kwa jambo yeye analiona kuwa ni ibadah? Tafakari
We mzee hebu rudi ktk sunna sio muda utarudi kwa mola wako, Muogope Allah we mzee wangu utasimamishwa mbele ya Allah na utaenda kuulizwa ktk haya ulosema na mengineyo.
Nawashangaa sana wanao kusifia ktk hili ambalo unawapoteza kwalo...kwann usiwafundishe watu ukwel Muogope Allah. Kutokana na uchache wa maarifa yako ya kujua hadithi ipi sahihi na ipi dhaifu Unadanganya watu kwa hadithi dhaifu, ضعف الطالب والمطلوب
Kama unaona hajui na wew tupe unachojuwa kukwambia mzee kama huyu tena ni shariffu. Acheni kumkosoa kila mtu aamini anachojuwa ukiona halikufai nenda pembeni tuwachie dhikri yetu
@@hamadfaki2503 pole sana ndugu hujui shariffu ni nani labda una imani ya nyengine. Ukiona jambo kwako halikufai waachie wenye jambo lao. Dini yetu ni pana sana
Qur'an imetaja walii ni wacha mungu ila nyinyi muna mawalii wenu wa kisufi mnao wajua nyinyi,wkt hata ww unaweza kuwa walii au ndie kabisa,acheni kuwatukuza watu kupita mipaka baadae wanapofariki mnaenda kwenye makaburi yao mnaomba,mnaleta شرك أكبر
@@aninanichasi422 hahahaha,,,,, mjuzi na mwenye elimu asiyepitwa ni Allah Tu, hata nabiy ul llah Musa alikuwa na dhana hiyo kuwa ni yeye pekee alikuwa na elimu kubwa kuliko wote, Allah akamuonyesha Al kidhir mtu mdoogo sana asiyekuwa na jina ili amuonyeshe kuwa yeye Musa hajui kila kitu,,,,,,,kwahiyo sishangai hayo uyasemayo!
ndugu yangu, fahamu mtu yoyote huongea kulingana na mzingira husika, hapo hapakuwa na haja ya kuongea hivyo unavyotaka wewe kwa sababu waliokusanyika wote hapo hakuna anayepinga hilo swala hata mmoja, wote wanalikubali, laiti sheikh angekuwa ktk majadiliano ya kielimu na wanayoyapinga maswala hayo wala asingezungumza kwa lugha hiyo kabisa... zingeshuka nondo hapo mpaka angekimbia mtu.
Duuh Allahu l musta'an nashangaa herufi Inakuwa nikatika majina ya Allah ?hii nibalaa vipi herufi Inakuwa ni katika majina ya Allah? Sisi ELIMU yetu ni ndogo katika hadithi imekuja kuwa Allah anamajina 99 Sasa hili la AAa mbona hatujaliona limetukea wapi! Allah atudhibitishe katika Sunnah wallah لأن هذا من البلوا
Adabu zao ndogo sana hao wanaomkosoa Sheikh na elimu yao wanafundishwa ya kubishana na ndomana barka hawana kabisa na Allah alivyokua mkubwa basi masheikh aina hii wengi huwa wanapata shahada wanapokufa sasa sijui jaahil nani na wao shahada huwa wanaisikia kwenye bomba😄 ya Rabbi waongoze ndugu zangu uwaoneshe hakika ya mambo
Tafuta Hadith ya kujikohoza hata kala shetani utowe hapa iwe ww au hao mashekhe wako wa kujikohoza na lau ungekuwepo ushahidi wake tungeona dunia nzima wanakohoa sawa sawa ila kila mtu anakohoa aina yake fuatilia hilo, tuna taka hadithi sio mbwembwe
Hakuna wahabi ata mmoja alokufa akatamka kalima ufe yahudi utamke kalima wap subutuu kazi yahudi kazi yake ni kupatana katika dini kama biashara ili ataka hili hataki ndo tabia zao mayahudi tangu wakat wa mtume muhammad
@@sokotvonline8845 sheik mm hasa Sina haja ya kumjua jitu kma hlo lenye kupotosha watu ovyo. Ikiwa aqwaal Za maulamaa zinachukuliwa zikiwa ni sahihi na zinarudishwa kma sio sahihi. Ni Nani Uyo aongee hvo askizwe?? Hzo ni takataka anayoongea kutoka kinywani mwake.
Ibada ya Dhikri ilikuwepo Tangu kipindi cha Mtume na Maswahaba na Waliofuatia Baada ya Hapo.Lakini Mfumo huu wa kufanya Dhikri uliobuniwa na hawa Haupo katika Dini Mtume Hakufundisha hivi na wala Maswahaba Hawakufanya Aina hii ya Dhikri na wao ni wachamungu zaidi na wenye Elimu zaidi kuliko sisi .Hivyo mfumo huu wa Dhikr ni jambo La Bidaa na hauna Malipo na ipo Hadith Marfuu Swahaba Abdillah ibn Masoud aliwaona watu msikitini Wakikaa vikundi kufanya Dhikri za Pamoja na vijiwe aliwakemea na kuwafukuza Msikitini
@@hamisimwempozo6103 we ndo chenga kabisa unadhan dini ni ushabiki?? Kuwa shabiki wa haki acha kukurupuka kaa darasan utajua haki kuliko kusikiliza haki ipo kwenye vitabu waongeaji wengi wanachunga maslahi , kwahyo tunaposema alete maana ya Aa Aa Aa unadhan labda tumekurupuka siyo majina ya Allah yote Yana maana na sifa za Allah ndo Mana tunaomba kupitia majina yake kutokana na shida nilionayo km nimsamaha yeye ni ghafuru km nirizq yeye ni Al razaq km hvyo hvyo majina mengine Yana sifa ulitaka nusra au msaada kuna jina Lina sifa hiyo
Sisi watu wasaivi wengi niwajinga mfateni mwenyew mumueleze kama anasema uwongo mumekaa kama mambumbumbu kama hamujuw hamujuwi tu mafufu matupu kichwani
Mtafute ukweli ya hizo elimi alafu muite Watu waongo tunakosea Sana ndio maana mijadala imekuwa miiingi na makundi haiwi mtu kama shekh unamuita muongo wakati Elimu ya alichokisomea wewe haukijui
Mashallah elimu emeenda sheikh mungu akujaaalie akupe umri mrefu haki umesema kila utoalo haki maarifa ya ujinga ndio yanapanuka akhlaq hikma pia hawapo ndio maana watu wanaweza kutukana wanazuoni basi watawatukana hata wazazi wao
Hakuna hadithi yoyote kuhusiana na adhkari inayotaja dhikri kwa jina la Allah peke yake achilia mbali A a a. Wakati wote utaona jina la Allah Kwanza halafu neno jingine mfano Allah Akbar, Allah Al Mustaan n.k Au linaanza neno halafu jina la Allah mfano subhaana Allah, Astaghfiru Allah n.k Sheikh kachemka hapo.
Hawo wanao kutukana shekhe waachie mungu hawana hekima haoo mashaallh shekhe
Allah atujaliye kheir na baraka
mimi naamini kama mtu kapita madrasa hawezi kutukana wala kukejeli wewe unaotukana unavitbu gani ulivyo soma mbna mwajichumia madhambi zilzomijaa nichuki tuacheni na kumtaja kwetu alla na kumsifu mtume wetuﷺ
Shukran sheikh Allah akupe umri mref wente barakaa
Wewe kweli Ni sufiy ALLAH akuongoze wewe mzee
Huyu sio sufi wala pamba,ni sheikh Al allama al mujahidulqabir
Mashallahu mawahabi wanaumia san hawana elim ndo maana wanateseka
اللهم انفعنا بعلومه . واطال الله عمره
Shekhe umesema kweli zama izi elmu inapotea maalifa ndo yanakuja juuu wallah naapa shaidi allah mpk siku yakiama sasaivi elmu inapotea kwanz wanazuoni wasasa wanaojiita chipukizi awana hekma wala busara na allah amesema mweny hekm ndy anakher zote dunianii wasasa wamekosa nawanachosoma nimabishano nakuwaingiza watu moton haliyakuwa wote wapo dunianii ndy maana elmu zao zimekuwa azina kalama tuliziona kalama na maajabu kwa mashekh wetu wakaon bado wanaita walikuwa wachawi kwakel tutaja kuulizwa naallah
Mashallah jadhaka wallah lkheir ya shekh,umepita katika elmu kubwa sanaa,wambie wale jaamaa zetu wanayopinga haya,na wanapinga kwa uchoyo tu kwavile tunapata dhawabu alhamdulillah 😊
Hhhhhhhh mche allah thawabu ipi waipata kwa kukohoa wewe....huoni hata ametumia hadithi ya uongo. Emb kaa uchunguze
Ndiyo maana ulamaa wanasema kuwa bidaa inapendeza zaidi kwa ibilisi kuliko maasi.
Anayefanya maasi kama vile pombe zina, kamari nk anajua kuwa yale anayofanya ni maasi akitubia anatubia kwa maasi anayofanya wakati mtu wa bidaa atatumia kwa jambo yeye analiona kuwa ni ibadah?
Tafakari
@@aboubilal3926 Unamaanisha kutia Nia kwenye swala inapendeza zaidi kushinda zinaa?
MashaAllah al habib ustadh Ahmad
We mzee hebu rudi ktk sunna sio muda utarudi kwa mola wako, Muogope Allah we mzee wangu utasimamishwa mbele ya Allah na utaenda kuulizwa ktk haya ulosema na mengineyo.
Acha uyahudi wewe
Humjui huyo jaribu kutafuta kwenye you tube Kisha utamjua Ni Nani huyo
@@husseinthabiti311 ni miongoni mwa maswahaba wa mtume au ?
@@tatatabdi9999 hahahaha
Hata ww utarudi kwa mola wako tena omba mungu qkusamehe kutusi walimu yy ametupa yake hupendi na ww toa darsa lako tukuskize
Maa shaa Allah. Shukran yaa Sheikh kwa kutufundisha
Shukrani Al habiib
Masha’Allah elimu kubwa sanaah hiyo imetolewa na Sharifu
khurafi jijisufu ujinga mkubo sana allahu akuongoze rejea kwa allahu mjijisufi achani kiburj
Nawashangaa sana wanao kusifia ktk hili ambalo unawapoteza kwalo...kwann usiwafundishe watu ukwel Muogope Allah.
Kutokana na uchache wa maarifa yako ya kujua hadithi ipi sahihi na ipi dhaifu Unadanganya watu kwa hadithi dhaifu, ضعف الطالب والمطلوب
Yule aliekuambia wewe una maarifa ni nani? Ukamilifu ni wake M/Mungu.
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
Ma shall aah, ma shall aah, Allah akulipe kula Kheri. Zidi kutumpa elimu wapuuze majahili yenye kupinga pinga tu, Ila nimekuelewa Sana.
Shukran saanaaa sheikh wetu Kwa elim
Mashallah.
Masha’Allah Masha’Allah
Shukuran Sana sheikh sharif
eti aaah aaah ahhh. dini mpya hii
Allah kawaziba ufahamu mawahabi mayahudi wamepewa ufahamu wa kufuga ndevu na kuvaa kofia zao za kiyahudi za vitobo zile za kipadri tu
Mwatafuta pilau Tu hamna lolote wacheni kupoteza watu
Ndoooooo kazi ipo hapo
Subhanallah hakika umma unaupotosha turudini katika haki hamna dini kama hio
Kuna Chanel hazifai hata kufungua kama hii mnatueekea upumbavu kama huu
Hawi mtu suufi asubuhi ispokua jioni utamkuta chizi,imaamu shaafii
Hhhh Maa SHAA Allah barakallahu fyika Akhy FYI manhaji ssalafyi
Masha Allah
Huyusheikh sioni kwa nini hiki kitv kinampa nafasi ni mpotoshaji sana.
Wee uwez kuwa sawa unaelmu gan kwanz mpk ujue uyo anapotosha
Nenda kasome ww acha upuuz usipoteze umma mpuuz mmoja
Jitoto la zinaa lazima litoe kauli mbovu kwa waja wema.
Kwa mja mwema Gani...achen kutukuza nafsi zenu Allah anamjua
Kama unaona hajui na wew tupe unachojuwa kukwambia mzee kama huyu tena ni shariffu. Acheni kumkosoa kila mtu aamini anachojuwa ukiona halikufai nenda pembeni tuwachie dhikri yetu
Kwani Sharifu ni nani ee
@@hamadfaki2503 pole sana ndugu hujui shariffu ni nani labda una imani ya nyengine. Ukiona jambo kwako halikufai waachie wenye jambo lao. Dini yetu ni pana sana
Qur'an imetaja walii ni wacha mungu ila nyinyi muna mawalii wenu wa kisufi mnao wajua nyinyi,wkt hata ww unaweza kuwa walii au ndie kabisa,acheni kuwatukuza watu kupita mipaka baadae wanapofariki mnaenda kwenye makaburi yao mnaomba,mnaleta شرك أكبر
Katika watu wa lamu sheikhi wa kisawaswa ni sheikh Ahmad Msallam
ua-cam.com/video/vcL5mTCPQXI/v-deo.html&si=zS36dSb89CGwrDi5
Tuachane tuzikri tuende motoni shida nn
wacha kudanganya hadithi ni maudhur kuhusu aninu al maridh
Nafikiri Riyadh Al Janna iliyozungumzwa katika Hadeeth hiyo ni Majlis Al Ilm!!
Unajuwa kuliko sharifu? hata allaah akupe umri wakuishi miaka 500 huwezi kuifikiliya elimu yahuyo sharifu
@@aninanichasi422 hahahaha,,,,, mjuzi na mwenye elimu asiyepitwa ni Allah Tu, hata nabiy ul llah Musa alikuwa na dhana hiyo kuwa ni yeye pekee alikuwa na elimu kubwa kuliko wote, Allah akamuonyesha Al kidhir mtu mdoogo sana asiyekuwa na jina ili amuonyeshe kuwa yeye Musa hajui kila kitu,,,,,,,kwahiyo sishangai hayo uyasemayo!
Pumba unatumwagia
Mi nimtu wa dhikri lkn sijaona mashiko ya matetezi ya huku kukohoa anyway Alkamaalulillah.
ndugu yangu, fahamu mtu yoyote huongea kulingana na mzingira husika, hapo hapakuwa na haja ya kuongea hivyo unavyotaka wewe kwa sababu waliokusanyika wote hapo hakuna anayepinga hilo swala hata mmoja, wote wanalikubali, laiti sheikh angekuwa ktk majadiliano ya kielimu na wanayoyapinga maswala hayo wala asingezungumza kwa lugha hiyo kabisa... zingeshuka nondo hapo mpaka angekimbia mtu.
Maa Shaa Allah ♥️♥️♥️♥️♥️
Hiyo ni kwa uelewa wako shekhe a ha a ..ahlutwarika..naona unapigia debe ahlutwarika
Hakuna anaepinga DHIKRI,Bali tunapinga huku kujikohoza kohoza na kujamba Jamba ktk hiyo DHIKRI
Duuh Allahu l musta'an nashangaa herufi Inakuwa nikatika majina ya Allah ?hii nibalaa vipi herufi Inakuwa ni katika majina ya Allah? Sisi ELIMU yetu ni ndogo katika hadithi imekuja kuwa Allah anamajina 99 Sasa hili la AAa mbona hatujaliona limetukea wapi! Allah atudhibitishe katika Sunnah wallah لأن هذا من البلوا
Adabu zao ndogo sana hao wanaomkosoa Sheikh na elimu yao wanafundishwa ya kubishana na ndomana barka hawana kabisa na Allah alivyokua mkubwa basi masheikh aina hii wengi huwa wanapata shahada wanapokufa sasa sijui jaahil nani na wao shahada huwa wanaisikia kwenye bomba😄 ya Rabbi waongoze ndugu zangu uwaoneshe hakika ya mambo
Tafuta Hadith ya kujikohoza hata kala shetani utowe hapa iwe ww au hao mashekhe wako wa kujikohoza na lau ungekuwepo ushahidi wake tungeona dunia nzima wanakohoa sawa sawa ila kila mtu anakohoa aina yake fuatilia hilo, tuna taka hadithi sio mbwembwe
Sio kujikohoza mbona unabadilisha ni kumtaja Allah kule au hujamsikia sheikh vzr
Hakuna wahabi ata mmoja alokufa akatamka kalima ufe yahudi utamke kalima wap subutuu kazi yahudi kazi yake ni kupatana katika dini kama biashara ili ataka hili hataki ndo tabia zao mayahudi tangu wakat wa mtume muhammad
Mie elimu yangu ndogo nauliza katika majina 99 ya Allah mbona AAA silioni?
Utaiona wapi na elimu yako ni ndogo?
@@selemohd9060 ungenielimisha
😅😅😅🤣🤣
Hili swali hukuna Sufi yeyoto aweza kutujibu kabisaaaa حتى يشيب الغراب
Mumeokoka kama wakristo!!! Ulitoa wapi uhakika wa kusamehewa?
Maskini huwelewi mungu akusamehe insha Allah siku yakiyama utamjibu mola wako kufananisha muisilamu na mkiristo
Mzee ninakukumbusha kwa aya hii.
(فَلَنَسۡـَٔلَنَّ ٱلَّذِینَ أُرۡسِلَ إِلَیۡهِمۡ وَلَنَسۡـَٔلَنَّ ٱلۡمُرۡسَلِینَ)
[Surah Al-A'raf 6]
Sasa endelea kupotosha watu.
Kabsa ndugu yangu. Misufi wana taabu Sana.
Subhanallah
Hivi Huyo Mtu Munamjua Vzur Kwanza Kabla Hamjasema Lolote...Munamfaham Huyoo
@@sokotvonline8845 sheik mm hasa Sina haja ya kumjua jitu kma hlo lenye kupotosha watu ovyo.
Ikiwa aqwaal Za maulamaa zinachukuliwa zikiwa ni sahihi na zinarudishwa kma sio sahihi. Ni Nani Uyo aongee hvo askizwe??
Hzo ni takataka anayoongea kutoka kinywani mwake.
@@FatherofRabbits13 Sawa
Asante akhy umetukumbusha
Wenye Elimu zao vichwa vinawaka moto
Jinga sana hili
Upotoshaji huo..tufuate sunnah ya Mtume SAW tuache huu upuzi.
Wacha uongo muogope Allah mtaenda kuchomwa na bidaa zenu
Mawahabi tu ndo mtaenda peponi
utajuaje wakati hujui kusoma?
@@swedibr3218umesema ukweli kwa sababu mwahabi ndio wako juu ya haki kuliko watu wa tariqa
Hamna kitu hapo mpotoshaji jahiri bobezi katka bidaa
Sihaba kwamba umekubali kabobeya asante kwa hilo
sasa dhikri hiyo kaifanya mtume
Shekhe unajitahid kutetea ila sio dhikri hio yakukohoa adhkar zilizo sahihi nikesema subhannallah allahuakbar lailahailallah n,k lkn hizo nyengine wanavyo kaa kwenye vikundi nakukohoa sio sahihi vyovyote mujipambiavyo
Watu wa ovyo ovyooo
Ibada ya Dhikri ilikuwepo Tangu kipindi cha Mtume na Maswahaba na Waliofuatia Baada ya Hapo.Lakini Mfumo huu wa kufanya Dhikri uliobuniwa na hawa Haupo katika Dini Mtume Hakufundisha hivi na wala Maswahaba Hawakufanya Aina hii ya Dhikri na wao ni wachamungu zaidi na wenye Elimu zaidi kuliko sisi .Hivyo mfumo huu wa Dhikr ni jambo La Bidaa na hauna Malipo na ipo Hadith Marfuu Swahaba Abdillah ibn Masoud aliwaona watu msikitini Wakikaa vikundi kufanya Dhikri za Pamoja na vijiwe aliwakemea na kuwafukuza Msikitini
Unathubutu kumwita huyu sheikh muongo au jahil muogope Allah
Kwani maasum huyu ??
Majina yote ya Allah Yana maana tupe maana yake we mzushi
Wewe jinalako linamaanagn mpaka umuite shekh nimzushi
@@hamisimwempozo6103 we ndo chenga kabisa unadhan dini ni ushabiki?? Kuwa shabiki wa haki acha kukurupuka kaa darasan utajua haki kuliko kusikiliza haki ipo kwenye vitabu waongeaji wengi wanachunga maslahi , kwahyo tunaposema alete maana ya Aa Aa Aa unadhan labda tumekurupuka siyo majina ya Allah yote Yana maana na sifa za Allah ndo Mana tunaomba kupitia majina yake kutokana na shida nilionayo km nimsamaha yeye ni ghafuru km nirizq yeye ni Al razaq km hvyo hvyo majina mengine Yana sifa ulitaka nusra au msaada kuna jina Lina sifa hiyo
hadeeth iyo ni maudhui (fabricated hadeeth) acha uongo mjinga ww
Nadhani wangekunywa dawa ya kukohoa kwanza ingekuwa afadhali
Sisi watu wasaivi wengi niwajinga mfateni mwenyew mumueleze kama anasema uwongo mumekaa kama mambumbumbu kama hamujuw hamujuwi tu mafufu matupu kichwani
usitukane watu astaghfirullah
Mtafute ukweli ya hizo elimi alafu muite Watu waongo tunakosea Sana ndio maana mijadala imekuwa miiingi na makundi haiwi mtu kama shekh unamuita muongo wakati Elimu ya alichokisomea wewe haukijui
Mashallah elimu emeenda sheikh mungu akujaaalie akupe umri mrefu haki umesema kila utoalo haki maarifa ya ujinga ndio yanapanuka akhlaq hikma pia hawapo ndio maana watu wanaweza kutukana wanazuoni basi watawatukana hata wazazi wao
Nenda kasome juha wewe
Lijinga limoja lasema maasha allah majitu majinga kweli
😂😅
😂😂😂😂😂😂sheikh muingo ww
Hakuna hadithi yoyote kuhusiana na adhkari inayotaja dhikri kwa jina la Allah peke yake achilia mbali A a a.
Wakati wote utaona jina la Allah Kwanza halafu neno jingine mfano Allah Akbar, Allah Al Mustaan n.k
Au linaanza neno halafu jina la Allah mfano subhaana Allah, Astaghfiru Allah n.k
Sheikh kachemka hapo.
Hebu kuweni wakweli mbona hamuogopi falsafa za hovyo ambazo hazina dalili za Latisha.
Nn maana ya dalili
Kila linalofwanywa dalili zipo
Hahahahahahaha...acha uongoo ewe jina langapii???
Hicho kicheko chako ni kejeli ama wamuona sheikh ameongea pumba? Mungu akufanyie wepesi na akuongoze uwache kuwadhihaki masheikh
Achauongoo bhna huo ujaahilii.....nani katafsiri hivyoo katika wema walio kutangulia....
Jamaa jongo kichizi yani..
Kasome tafsiri ya ibn kathiri jinsi alivyoitafsiri aya isemayo" إن إبراهيم لاءواه حليم" ukishasoma rudi hapa tuzungumze
@@binmiraji2168 akifanya hivyo nafunga siku tatu. Kaishia kujaza comment za kumuita sheikh muongo tu na hilo linaonyesha level ya ilmu yake
Mwajazana ujinga pumbavu. Nyie
@@binmiraji2168 lisikushangaze matusi kwa Mawahabi.
wazushi nyinyi. moto matao ya wazushi. ivi huo upuuz mtume saw kwann asitufunze yy. abambanya hoja wafikie malengo
Hujasema isoku umenena urongoo...
Hebu tufafanulie urongo aliosema sheikh
Hahahhahaha mashekh uchwara hawa haaah ety jina la allah watu wanachekesha nyie dah wanajua kiarabu kuwashinda waarabu wenyewe
Huna elimu bado wewe elimu yako ni ndogo sana nenda ukasome kwanza ndo uje hapa
@@slaeem7515 wewe nipe moja ktk hayo alonena usikimbilie nenda kasome hata wewe kasome elimu nipana
hizi ni dalili za kiyama
Wewe kweli Ni sufiy ALLAH akuongoze wewe mzee
Ujinga mtupu..
Allah akuongoze
Kwa kutukana hamjambo..Allah atuongoze
Kumvunjia Muslamu mwenzako heshima ni kharaam
Ujinga gani ?
Hapo ndo mnapofeli na kudhihirisha jazba na kusahau hikma, kwahyo hapo ndo ilimu yako ilipoishia na umetufundisha nn sisi na huyo shekhe hapo?
Ujinga unaujua wewe