The story book: MATUKIO YA KUTISHA YALIOACHA MIDOMO WAZI KATIKA USO WA DUNIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 110

  • @denisalex-gx4uh
    @denisalex-gx4uh Рік тому +5

    story nzur xana

  • @KevinCheruiyot-bu8kp
    @KevinCheruiyot-bu8kp Рік тому +5

    Maashaalla 👏🙌👏😢

  • @zaiboris9696
    @zaiboris9696 Рік тому +5

    good job

  • @AliyOmar-co1dm
    @AliyOmar-co1dm Рік тому

    Asante Sana mtiga

  • @OfficialYuleboy-mq6si
    @OfficialYuleboy-mq6si Рік тому +4

    Brooo mtiga Kalibu kwetu vkg kitambo sana umetukimbia mdog wako hapa nakufatilia sana brooo

  • @emmanuelsilungu446
    @emmanuelsilungu446 Рік тому +5

    Mtiga ana Pepo yake katika Dunia hiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mbonayobabyjoe-mh1fx
    @mbonayobabyjoe-mh1fx Рік тому +1

    naku bali baba wewe ni wangu tupe izo izo zama history ya kale🥇🥇🎉🎊🏆

  • @TimotheoMatonya-zj4yf
    @TimotheoMatonya-zj4yf Рік тому +7

    Mtiga is the best of the best

  • @RjdEfuNny
    @RjdEfuNny Рік тому +4

    Mtiabdalah karudiii oyeee

  • @RashidiHussein-zi1mc
    @RashidiHussein-zi1mc 5 місяців тому

    Nakubali sana mtiga

  • @MutikiAlex
    @MutikiAlex Рік тому

    Fresh 🎉

  • @HoseaMgoba
    @HoseaMgoba 4 місяці тому

    Aaaah mtiga pamoja sana nakqbal👊🏻👊🏻👊👊👊👊👊👊👊👊👊

  • @barack2692
    @barack2692 Рік тому +2

    Ila wew broo samtime ni mwongo flani maana nikifikiria kwa akili zangu nan alikuwa anaiendesha na km ilikuwa mifupa haiji akilini

  • @OmaryNammadede
    @OmaryNammadede 4 місяці тому

    😢nimeipenda sana😊

  • @KuruthumuSozigwa
    @KuruthumuSozigwa 7 днів тому

    ❤❤❤❤

  • @yasristeven1135
    @yasristeven1135 Рік тому

    Allahu Akbar

  • @RashidiKatunzi
    @RashidiKatunzi Рік тому +4

    Umerudi broo

  • @millicentnjeru9602
    @millicentnjeru9602 Рік тому +1

    Karibu tena

  • @sophiaanna-s2u
    @sophiaanna-s2u Рік тому +2

    unajua sana

  • @andrewmaendaenda2433
    @andrewmaendaenda2433 3 місяці тому

    Mmeona mtudanganye sasa khaa

  • @kennedymasibo3049
    @kennedymasibo3049 Рік тому +4

    Welkam back we miss u,from kenya

  • @HassanWesu
    @HassanWesu 5 місяців тому

    Fresh sana

  • @starboystudio3680
    @starboystudio3680 Рік тому

    Nakubalii brother🔥🔥💯💯✅✅

  • @BenjaNickorous
    @BenjaNickorous Рік тому

    We jamaa nakufananisha na mungu hukosei kabisaa

  • @MturukiTz-ed3qo
    @MturukiTz-ed3qo 2 місяці тому

    Big up

  • @FadhilOmary-gy3gh
    @FadhilOmary-gy3gh Рік тому +2

    Atal Sanaa kak

  • @OBADIAHMAUTI-y8h
    @OBADIAHMAUTI-y8h Рік тому +1

    where did you. go please we miss you so much

  • @Arstachius
    @Arstachius 2 місяці тому

    Br umeua

  • @valvederraymond6125
    @valvederraymond6125 Рік тому +26

    Huna haja ya kutumia jina na logo ya mwanaume mwenzio kuwa mbunifuu una kipaji na unawezaa MTIGA

    • @msimbazijr7725
      @msimbazijr7725 Рік тому +2

      Lakini zile mbwembwe kuigiza kwa jamali profesa huyu ndy mwalimu wake isipo kuwa huyu aliondolewa wasafi na mtiga abdala ndy muanzilishi wa stori book ya wasafi

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey Рік тому +1

      Wewe umejiajir au umeajiriwa😂😂😂 au unamsema tu mtiga

    • @valvederraymond6125
      @valvederraymond6125 Рік тому

      Kuendelea kutumia logo ya wasafi sio ubunifu sasa sijui maswala ya kuajiriwa yanakujaje hapo

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey Рік тому +2

      @@valvederraymond6125 wewe unauhakika gan kama huyo ni mtiga huenda mtu kachukua clip za mtiga kaamua kufungua channel yake kwa kutumia logo ya wasafi alaf ww unakuja kumsema MTIGA direct

    • @chrispinjoseph5464
      @chrispinjoseph5464 Рік тому

      @@msimbazijr7725 huna unachojua, Bora ufanye utafiti kwanza au ukishindwa basi uliza maana kukuliza sio ujinga

  • @ABDULBALAWA
    @ABDULBALAWA Рік тому

    una weza

  • @AbdallahBashiiri
    @AbdallahBashiiri 5 місяців тому

    Stor zulikaka sema umezinguwa biti lefu sana ilo

  • @johngongana670
    @johngongana670 Рік тому

    Eaza bro...

  • @JohnZachalia-f3u
    @JohnZachalia-f3u 3 дні тому

    Mpo wa 3 mnaoweza wengine shida2

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 Рік тому +3

    Mtoga is the yin the world

  • @BeniMbota
    @BeniMbota 4 місяці тому

    Sijaisiki habali ya enoko mtumishi wamungu

  • @barnabankulungu1878
    @barnabankulungu1878 Рік тому

    Daah kka sauti yako haichoshi

  • @ELIMU-d7j
    @ELIMU-d7j Рік тому +2

    Wew unapoteza wakati kama hujui UA-cam wame update kids coppa sasa hizi sauti unazobeba na kupachika kwako utakuja kujiraumu kupoteza wakati bure😂😂

  • @jifunzemtandaoni2748
    @jifunzemtandaoni2748 Рік тому

    Nakukubali san bro @mtiga_abdallah✌️

  • @emmanuelaben-df6yr
    @emmanuelaben-df6yr Рік тому +1

    Inawezekena ,maana ata Sasa bado tunasubiri kurejea kwa air malasiya

  • @ReginaReginaregina-v4u
    @ReginaReginaregina-v4u 3 місяці тому

    😮😮😮😮

  • @EdwardMadosho-xi7ed
    @EdwardMadosho-xi7ed Рік тому

    Nakubal

  • @RjdEfuNny
    @RjdEfuNny Рік тому +2

    We miss yoou broo🎉

  • @agnesgoodluck
    @agnesgoodluck Рік тому

    Vizury

  • @hamisiwarioba707
    @hamisiwarioba707 Рік тому

    jamaa alipotea sana

  • @FredElisha-q7q
    @FredElisha-q7q День тому

    Pepo inakuhusu

  • @barack2692
    @barack2692 Рік тому

    Jaribu kutengeneza uongo mwingine wenye ushawishi unaoendana na ukweli huu ni uongo mkubwa lbd km ni majini na mapepo ya warabu yanaweza kufanya hivo pengine ni uchawi wa zamani

    • @YuzoKweka
      @YuzoKweka Рік тому

      Ww umejuaj Ni uongo nikuulize n ww. 😂😂😂

  • @PurityNdinda-g5j
    @PurityNdinda-g5j 7 місяців тому

    Mbona hii story umeigeuza last year ilkua hio mdege ilirudi na watu wakiwa hai na abiria walirudi wakiwa vile walienda ,Leo ni walirudi wakiwa wafu ,sasa mtu amekufa ataendesha aje ndege

  • @sabunitv2121
    @sabunitv2121 Рік тому +1

    Mnatuchanganya....na ile iliyopotea na kutua na watu wakiwa hai ambao wako hawajazeeka ni ipi? #wasafi #mtigaabdala

  • @miriamumbwilo164
    @miriamumbwilo164 Рік тому +4

    Kuna Repetitions za baadhi ya sehem

    • @DUL69
      @DUL69 Рік тому +1

      Achana nazo hizo REPETITIONS. Just concentrate on the Main story Dear. ITAPENDEZA🤣🤣🤣🤣

  • @AvitucChrictina-xk4zx
    @AvitucChrictina-xk4zx Рік тому

    Historia ya mchawi wa soka
    Ronaldnyo

  • @kitulasitta6627
    @kitulasitta6627 Місяць тому

    Ongeza ubunifu

  • @amanizacharyson5070
    @amanizacharyson5070 Рік тому

    Lakini katika maswali yote hawajataka kujua imekujaje na nani kaileta?

  • @StePhano-g6x
    @StePhano-g6x 9 місяців тому

    Nikweli inawezekan

  • @GoodluckyKastory-ue9of
    @GoodluckyKastory-ue9of 5 місяців тому +1

    Walikua wanakula nini miaka yote io

  • @JacklineLugayana
    @JacklineLugayana Місяць тому

    Ww umeyatoa wap

  • @SalumAdam-wh9vp
    @SalumAdam-wh9vp 5 місяців тому

    Hakika unafunzamengi

  • @Browns648
    @Browns648 5 місяців тому

    uongo tu😅

  • @Gabrieleliamonyo-xl2is
    @Gabrieleliamonyo-xl2is Рік тому

    🤝🤝🤝

  • @IradukundaayubuBogar-hl5oz
    @IradukundaayubuBogar-hl5oz Рік тому

    Burnaboy are songs

  • @lusajondelwa4984
    @lusajondelwa4984 Рік тому

    Fanya urudi kwenye tathnia basi. Wenzako tuliachaga kufatiliaga tena hizi mambo. Sasa tunarudi tena

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey Рік тому

      😂 vip ikiwa hajarud n record ya nyuma wameamua kukuwekea tena kuhusianisha na story iliyopita😂😂😂😂 Acha mbwembwe wote wanajua na kila mtu anaupekee wake

    • @lusajondelwa4984
      @lusajondelwa4984 Рік тому

      @@ZeraGeofrey au siooooo

  • @mwakwelisaid3152
    @mwakwelisaid3152 Рік тому +3

    Alafu amini usiamini mtiga ywajuwa kuliko jamal kama huamini bisha bashi

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 Рік тому +1

    Historia ya kubuni haina mashiko walijuaje maongez ya abiria ndan ya ndege na hapakuwa na mawasiliano yeyote ya kuwaatahadhirish abiria kufunga mikanda? history za wazungu nying hazina ukwel ata kusema mtu wa kwanza alitokana na nyani

  • @BekaKadewele-ng9bz
    @BekaKadewele-ng9bz Рік тому

    Oy jamaa mnatutisha ad siy pw sema nakubal

  • @BON357
    @BON357 Рік тому +1

    Oya history ya wahehe na wangoni kifupi makabila yetu Tanzania mbona utoyi

  • @robertotv7585
    @robertotv7585 Рік тому +2

    Make it a video

  • @RamadhanAbd-j9p
    @RamadhanAbd-j9p 2 місяці тому

    Uwe unatupa ndef ndef sas jmn mbn taaaaaam

  • @aloizulemkonki2960
    @aloizulemkonki2960 Рік тому

    Na kama walikua wamekufa nani aliiendesha hio ndege

  • @nkotankota1841
    @nkotankota1841 Рік тому

    Mjomba ameridi WCB

  • @YUUH_24IÇON
    @YUUH_24IÇON Рік тому

    Give of hritik roshan

  • @ELIFASMADEBHO
    @ELIFASMADEBHO 2 місяці тому

    Uliendaga wp mtiga

    • @joeljoyy
      @joeljoyy Місяць тому

      aliendag wap

  • @OTHMANKHAN-h8l
    @OTHMANKHAN-h8l 3 місяці тому

    Huo ni uongo

  • @PachaBoy-km7iy
    @PachaBoy-km7iy 7 місяців тому

    Ajabu

  • @AyubuExaud
    @AyubuExaud Рік тому

    Unaongea nini reimond acha unoko

  • @MsangalaleLyati
    @MsangalaleLyati 4 місяці тому

    😂me natak ta jonh

  • @RashidiHussein-zi1mc
    @RashidiHussein-zi1mc 5 місяців тому +1

    Nakubali sana mtiga

  • @PelloMnyama
    @PelloMnyama 4 місяці тому

    ❤❤❤