Salama Na CHARLES HILLARY Ep 38 | MZEE WA BUSARA Part 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
    Ilinichukua muda mrefu kuweza kupata nafasi ya kuongea uso kwa macho na Charles Hillary, maana toka enzi za Mkasi nilikua natafuta mwanya wa kuweza kukaa nae chini walau kwa hata nusu saa tu. Sikuwahi kukata tamaa badala yake nilikua kama chui kwenye mawindo yake, na mwisho wa siku kwa uwezo wa Mungu, binti yake Faith, Ivona Kamuntu na Mama kule nyumbani waliniwezesha kushinda mechi hii hatimaye. Mungu anajua tabasamu lilikua la ukubwa wa kiasi gani, na pengine hilo linaweza likawa limefanya niwe excited sana mpaka mengine nikayasahau kuyauliza, au kujua naulizaje, au kushangaa sana? Ushawahi kukutana na mtu alafu ukasahau yote ulotaka kuyasema, au kufanya. Ukabaki tu umeganda kama sanamu? Bado? Basi we ngoja tu.
    Simkumbuki Charles Hillary wa Radio Tanzania (RTD), namkumbuka wa Radio One zaidi. Wa taarifa ya habari, wa kipindi cha charanga, wa kutangaza mpira, huyo ndo ambaye alinifanya mimi nipende Radio, nipende kuskiliza mpira na pengine kuutangaza. Sauti yake tamu na lafdhi ilonyooka ilikua inakufanya uone kama unaona haswa anachokiongea. Kipaji cha kipekee kabisa. Kipaji kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambacho pia kilihitaji kujituma na kujitetea na kujiamini sana. Kutimiza ndoto si suala la kulala na kuamka tu, suala la kukosa usingizi. Suala la kutokwa na jasho, suala la kulia kwasababu tu unadhani hakuna anaye skiliza mawazo yako na ndoto zako... Mpango ni kutokata tamaa kamwe! Hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo yeye alipitia na akaja akawa Lejendari huyu tumpendaye na kumheshimu wote.
    So nlitaka kumfahamu zaidi, na huwezi kumfahamu mtu kama hujauliza maswali, so tulianzia kwenye asili yake na elimu, na kwa Mama yake ana Baba yake, kwenye kazi yake ya kwanza, vipindi vigumu katika maisha yake, transfer za kazi. Pia jinsi alivyokutana na Mama wa watoto wake, na zaidi tulimzungumzia Mama wa mtoto wake wa pili, wa kwanza hatukumzungumzia, skuona sababu ya kufanya hivyo maana alikua excited zaidi kumuongelea Sarah, ambaye anampikia wali na njegere zilizonyooka zaidi dunia nzima 😄. So alikutana naye vipi? Mwaka gani? Pia tuliongea kuhusu teknolojia na jinsi ambavyo yeye anaenda na wakati. Mahusiano yake na Ivona Kamuntu na AzamTV kwa ujumla.
    Kama nilivyosema mwanzo wa story yangu hii na Charles Hillary, naomba ufahamu kwamba hii ni moja ya interview nilizokua natamani kufanya na natumai pia uta enjoy na pia utajifunza chochote kitu kwenye suala zima la utafutaji, malezi, ndoto na mipango maana binafsi nimechota kadhaa. Lejendari akija mezani unachotakiwa kufanya ni kuskiliza zaidi na kuongea kidogo.
    Enjoy.
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown

КОМЕНТАРІ •

  • @Ali_Manzu
    @Ali_Manzu 4 роки тому +4

    Asante kwa kutuletea mmoja wa magwiji katika utangazaji Africa mashariki Salama. Sasa basi, kuna Tido Mhando, nadhani ni mwingine aliyeipa sura utangazaji ukanda huu. Nawazia tu, ikiwepo nafasi atafaa pia kutuchorea taswira akilini ya zama zao na sasa. Kazi nzuri. 🙌🏿

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 4 роки тому +2

    Waoooo...
    Baba yupo vizuri kwakweli...
    Kwa mujibu wa maelezo ana miaka 61 sasa.
    Mungu azidi kukupa afya njema tuendelee kupata uliyonayo mazuri.
    👏👏👏👏👏
    Thank you SALAMA

  • @vummymeela1091
    @vummymeela1091 4 роки тому +5

    Sauti nzuri na anavyoongea Kwa ufasaha haswa..... Kazi nzema sanaaaa Salama

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull9442 4 роки тому +3

    Salama njoo nizibe mdomo ,mana meno yote leo yaponje mwanzo mwisho,Ilike it mmwaah

  • @marymathew6529
    @marymathew6529 3 роки тому

    Hongera kwa Charles Hillary kupata nafasi Ikulu Zanzibar,he deserve that

  • @simonsanga2129
    @simonsanga2129 4 роки тому +1

    Role model,mwl,legendary.Namuelewa sana mkuu wa kitengo.
    Thanks Salama bado Ay

  • @felisterherman2568
    @felisterherman2568 4 роки тому +5

    Wow!!!!Bint Jabir hujawahi kutuangusha......love you

    • @WASHATube
      @WASHATube 4 роки тому

      TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇
      ua-cam.com/video/mJ5_G0bF-uw/v-deo.html
      NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @allymavura7023
    @allymavura7023 4 роки тому +12

    jamaa anaongea kiswahili kizuri bila kuchanganya changanya na kingereza! safi sana

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 роки тому

      Mzenji huyo

    • @haroldtarimo342
      @haroldtarimo342 4 роки тому +1

      Hii ni pamoja na kuienzi kuipenda na kuiheshimu lugha hii adhimu
      Tuipende lugha yetu

  • @ArmchairtourismTv
    @ArmchairtourismTv 4 роки тому +14

    "Kama kila siku hutaki kujifunza utadumaa"

  • @makamefaki3689
    @makamefaki3689 4 роки тому +2

    Nawaheshimu sana Anko Charles na Salama ila mimi nina stori tofauti kuhusiana na neno UINGEREZA. Kwanza hakuna neno la karibu la kiswahili linalomaanisha Britain au UK(United Kingdom) badala yake neno Uingereza hutumika kumaanisha Britain, UK na England pia. Neno Uingereza linatokana kutoholewa kwa mara mbili kwa neno ENGLAND, waarabu ambao walikuwa ni wafanya biashara kwa ukanda huu wa pwani waliita England kama IINKILTIRA au IINJILTIRA, kutokana na wepesi wa matamshi sisi waswahili hatukuita vile wanavyoita waarabu ila tulitohoa tena maneno hayo ambapo II ikawa UI, NKI/NJI ikawa NGE na LTIRA ikawa REZA na hiyo kwa ufahamu wangu ndiyo asili ya neno UINGEREZA. Kwa kifupi Uingereza ni England na siyo Britain au UK yote, sema kwa kuwa hatuna neno mahsusi kumaanisha Britain au UK ndiyo maana tunatumia neno hilohilo Uingereza.
    Kwaiyo anayesema EPL ni ligi kuu ya Uingereza amepatia zaidi ila na anayesema British Prime Minister ni Waziri mkuu wa Uingereza pia hakosei.

  • @naomyaloyce1923
    @naomyaloyce1923 4 роки тому +5

    nimefurahia sana mahojiano aya...🥰 Hongera sana Salama

  • @fatmamussa5255
    @fatmamussa5255 4 роки тому +3

    Salama looks excited kumhoji Chaz Hillary😄 dope interview💯

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 4 роки тому

    Usiwasahau mama zetu waleee wa taifa. Tunahamu ya kuwasikiliza na kujua tausi wao wanaendekeaje. Hapo umeelewa.

  • @maryamawad1859
    @maryamawad1859 4 роки тому +2

    Kwa kweli nikiangalia hbr akiwa huyu mzee n ivona naenjoy sana nagapende. Wakiwa hawapo ktk kipindi sina hata ham yakuangalia

  • @TheTemba1
    @TheTemba1 4 роки тому +1

    Mzee namkubali Sana Charles Hillary ana vocal balaaaaaaa

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 4 роки тому +4

    Hii Sauti Iko Moja Tu Tanzania nzima..🔥🔥🔥
    Ila hizo Picha ndo style hiyo..
    Au tangu mafuriko hamjarekebisha..

  • @RioIpo
    @RioIpo 4 роки тому +2

    Wazanzibar mmekutana hapo basi balaa

  • @shanishosho911
    @shanishosho911 4 роки тому +4

    Uzeeki kweli me Napendaga sn sauti yako

  • @paulmkoma406
    @paulmkoma406 4 роки тому +2

    Hakunaga kazi ngumu kama kumuhoji mtu ambaye ana level kubwa

  • @richardembajohn9277
    @richardembajohn9277 3 роки тому +2

    Leo ni siku yangu ya furara sana! Maana ni mara yangu ya kwanza kumuona mtangazaji bora na mkongwe wa Tanzania. Kwani nilipokuwa huko Tanzania miaka 25 iliyopita chalés ndio alikuwa ni mtangazaji favority wangu. Na miaka hiyo nikisikiliza taharifa ya habari yaani hata kama sijakula basi huwa nashiba kabisa. Thanks salaama kwa kuturetea chalés. Appreciate

  • @neemazephania2991
    @neemazephania2991 4 роки тому +2

    Hahahaha, salamaaa umezimwa leo!
    Bro kasema yeye sio mzee na tena sikuizi hakuna wazee! Ishia hapo,,,

  • @elizabetkawa6009
    @elizabetkawa6009 4 роки тому +1

    Waaooo niceee...kipindi kipo vizuriiiiiiii

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita 4 роки тому +25

    Naomba kupitia hii interview watu wakiheshimu kiswahili na waache kukichukulia poa. Kiswahili kidumu!

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 роки тому

      Hao wote ni Wazanzibar ndio mana kiswahili wanakijua sana

  • @crelincharles9358
    @crelincharles9358 4 роки тому +3

    I like this program very good salama

  • @danielnaibei3244
    @danielnaibei3244 3 роки тому

    Nampenda Charles Hillary akiwa sipoeki saudi nzuri

  • @art.ib6
    @art.ib6 4 роки тому +5

    Interview kali hii🔥

  • @calimahad9274
    @calimahad9274 4 роки тому +1

    Nimependa muulizwaji anavyo mpa tabu muuliziji kwa ubingwa wake wa kuzungumza kiswahili. Nimemsikia mara moja tu kutaja neno la kizungu tena kwa mfano tu.

  • @abuumwichumu5520
    @abuumwichumu5520 4 роки тому +7

    Duuu dingi anamatambo uyooo
    Azeek sababu, alipi ada adaiwi kodi hivyo furaaa any time 🤣🤣🤣🤣🤣nimeipenda hii

  • @selesaid4367
    @selesaid4367 3 роки тому

    mie chef mzuri karibu zanzibar nitakupikia best food from zanzibar

  • @nourvuitton2325
    @nourvuitton2325 4 роки тому +7

    Dada, unaniburudishaga sana 😍🙏🏽

  • @musadiksadik2013
    @musadiksadik2013 4 роки тому +10

    Salama tuletee masoud masoud

  • @Shirlmay
    @Shirlmay 4 роки тому +4

    Charles na Ivona 🔥 🔥 ,nice interview

    • @maxalfonso9050
      @maxalfonso9050 3 роки тому

      I know im randomly asking but does anyone know a trick to log back into an Instagram account..?
      I was stupid lost the login password. I would love any tips you can give me.

    • @jabarijabari6658
      @jabarijabari6658 3 роки тому

      @Max Alfonso Instablaster :)

    • @maxalfonso9050
      @maxalfonso9050 3 роки тому

      @Jabari Jabari thanks for your reply. I found the site thru google and im waiting for the hacking stuff atm.
      I see it takes a while so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.

    • @maxalfonso9050
      @maxalfonso9050 3 роки тому

      @Jabari Jabari it did the trick and I now got access to my account again. I'm so happy:D
      Thanks so much, you saved my account!

    • @jabarijabari6658
      @jabarijabari6658 3 роки тому

      @Max Alfonso No problem :)

  • @johampangala1209
    @johampangala1209 4 роки тому

    Jamani huyu baba kwa kweli ana rafudhi nzuri sana huchoki kuisikiliza.

  • @lilyabel2320
    @lilyabel2320 4 роки тому +1

    Dada. Salama, tunakupenda sana, mwenyezi mungu aendelee kukupa ubunifu mpya kila siku. Interview ni nzuri sana

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 роки тому +2

    Mzee wa Charanga!! ❤❤❤

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 4 роки тому

    Umetukumbusha magwiji ya utangazaji RTD. Hongereni sana.

  • @hgrintercon9537
    @hgrintercon9537 4 роки тому +4

    Salama tafuteni Pima maji/ leveller iwasaidie kutundika picha..manake picha zimekaa utadhani studio imepigwa na Tetemeko.

    • @bisekobernard5212
      @bisekobernard5212 4 роки тому +4

      Huenda huo ndo ubunifu wamefanya hivyo makusudii tu, kuweka level picha ni suala la kuona kwa macho tu

    • @HashilElhamdan
      @HashilElhamdan 4 роки тому +1

      hehehe

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 роки тому +1

    Umenitajia *Ahmed Jongo* nimeshtuka , nimemkumbuka Ashely chelewa, *Salum mbonde* Dah! Maisha haya.

  • @saadahumoud3132
    @saadahumoud3132 4 роки тому +1

    Hongera umenikumbusha sana nilipokua mdogo tarifa ya habari ikisomwa nafurahi sana na hutulia kuskiliza vile ulivyokuwa ukisoma habari

  • @aishajafa4139
    @aishajafa4139 4 роки тому +6

    Huyu mzee alitumia ujana wake vizur ndio maana sasa uzee hasumbuki

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 4 роки тому

      sio mzee kamrekebisha Salama kasema maisha haya hakuna mzee yeye ni m2 wa makamo

  • @crelincharles9358
    @crelincharles9358 4 роки тому +14

    Ipo siku salama utanihoji mm, tutakaa meza moja kama hivyo asee

  • @adrianhilary1241
    @adrianhilary1241 4 роки тому +1

    Mzee Nkwanga bana! Hahaha ! Great Interview!

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 4 роки тому +3

    Alianza kazi wakati mimi bado sijazaliwa, hongera babangu

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 4 роки тому

    Phillips sauti safu sauti kubwa. Hongera.

  • @hopemanrevocatus1472
    @hopemanrevocatus1472 4 роки тому +3

    Namuomba TIDO MUHANDO pamoja na PIUS MSEKWA

  • @hildahtemu2336
    @hildahtemu2336 4 роки тому

    UGONJWA WA KISUKARI
    Ugonjwa wa kisukari ni nini?
    Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili
    nguvu. Ugonjwa wa kisukari hutokana na kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu kuliko inavyotakiwa.
    DALILI
    Dalili za ugonjwa wa kisukari
    • Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
    • Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
    • Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati..
    Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.
    • Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
    • Wanawake kuwashwa ukeni.
    • Kutoona vizuri.
    • Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake
    • Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu na vidole.
    • Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
    • Vidonda au majeraha kutopona haraka.
    • Majipu mwilini.
    Wenye dalili hizi wanashauriwa kupima sukari ili kubaini kama wana kisukari. Kumbuka: Watu 9 kwa kila 100
    ya Watanzania wenye umri wa miaka 25 na kuendelea wana ugonjwa wa kisukari. Hata hivyo kati ya hao 9 ni
    wawili tu wanaojijua kuwa wana kisukari.

    MADHARA YA KISUKARI
    Sukari ikizidi kwa muda mrefu husababisha madhara mengi mwilini. Athari za ugonjwa wa kisukari
    • Magonjwa ya moyo huwa mara mbili zaidi ya watu wasio na kisukari
    • Shinikizo la damu na kiharusi
    • Kuharibika mishipa ya damu na mishipa ya fahamu husababisha ganzi, vidonda na hata gangrini ya
    miguu: kisukari ni sababu moja kubwa ya watu kukatwa miguu
    • Kuharibika figo: duniani kote kisukari ndio sababu kubwa ya figo kushindwa kufanya kazi
    • Kuharibika macho: duniani kote kisukari ni sababu kubwa ya upofu kwa watu wazima
    • Kupungua nguvu za kupambana na maambukizo: maambukizo ya fizi, ngozi, njia ya mkojo na ukeni na
    kifua kikuu huwa zaidi ya mara mbili kuliko watu wasio na kisukari.
    • Kupungua nguvu za kufanya kazi.
    • Kupungua nguvu za kiume na hivyo kuharibu mahusiano ya ndani: karibu robo ya wanaume wote
    huwa na tatizo hili wakishindwa kudhibiti kisukari.
    • Kuathiri uchumi kutokana na matibabu ya muda mrefu: tiba ya kisukari ni ya maisha. Mahitaji ya dawa
    peke yake hayapungui shilingi za Tanzania laki nne kwa mwaka kwa mgonjwa anayehitaji insulini.
    SULUHISHO
    Pambana na kisukari kwa kufanya mazoezi, punguza uzito, usitumie madawa makali
    sana, pata mda wa kupumzika na unywe maji ya kutosha lakini pia pambana na kushusha sukari kwenye damu
    kwa kutumia virutubisho vya glogogone na gluco bloka tea vinasaidia sana kuweka msawazo wa sukari mwilini.
    (kama utahitaji tuwasiliane kwa simu 0743138294 au 0625132485.
    MAELEZO YA TIBA
    Glugogone ni bidhaa ilitengenezwa kwa matango poli inayosaidia kusawazisha sukari iliyozidi kwenye damu
    lakini pia inaongeza ufanisi wa kongosho kufanya kazi yake vizuri.

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 4 роки тому +3

    Salama ame-blush😊

    • @WASHATube
      @WASHATube 4 роки тому

      TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇
      ua-cam.com/video/mJ5_G0bF-uw/v-deo.html
      NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @brownmwangosi1308
      @brownmwangosi1308 4 роки тому

      Good

  • @eliameena6586
    @eliameena6586 4 роки тому

    Charles Hilary moja kati ya watu walionifungua sikio la muziki wa LATIN. Salsa,Merenge,Charanga,Kumbia.

  • @hafidhissa4405
    @hafidhissa4405 4 роки тому

    Umemikumbusha mbali sana baada ya kumtaja Askofu Doglas Toto. R.I.P

  • @batulimakame7947
    @batulimakame7947 4 роки тому +1

    😃😃😃 "Nazeeka lkn sichakai" nimependa hiyo kauli

    • @agnesmkanga4617
      @agnesmkanga4617 4 роки тому

      Umesikia njegere tashatasha sio shatashata!😁😁

  • @afrayo04
    @afrayo04 4 роки тому

    Salama ubarikiwe dada yangu umefanya mahojiano na nguri

  • @CSMAPESA
    @CSMAPESA 4 роки тому

    Nakumbuka udogon kwakua niliitwa charles bas nikawa naitwa charles hilary bila kujua bmni nan mpka nikaja kumjua aiseeee nilifurah kumjua kaz nzur baba

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 роки тому

    Usifananishe mama na mkeo mama kitu kingine hakuna wakufanana na mama hafai kumwita mkeo mama acha hvo

  • @catherinejohn5157
    @catherinejohn5157 4 роки тому

    Nice nice.

  • @jboytz2384
    @jboytz2384 4 роки тому +1

    umetish sana

  • @naasamson9931
    @naasamson9931 4 роки тому

    Ahsante Salama kwa kutuleta Babu Charles

  • @goodluckuronu6759
    @goodluckuronu6759 4 роки тому +7

    Salama mtafute Zembwela ufanye naye mahojiano

    • @WASHATube
      @WASHATube 4 роки тому

      TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇
      ua-cam.com/video/mJ5_G0bF-uw/v-deo.html
      NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tumpeernest9690
    @tumpeernest9690 4 роки тому

    Ataki uzee,,😃😃

  • @othumanomary4032
    @othumanomary4032 4 роки тому +3

    Ecejay nliteee Hassan MWAKINYO

  • @chaz2215
    @chaz2215 4 роки тому

    Nilikuwa nafurahia saana alivyokuwa anatangaza mpira wa ligi kuu ya uingereza ...

  • @shanishosho911
    @shanishosho911 4 роки тому +3

    Charles Hillary

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 4 роки тому

    Wapi Sara Dumba!!!!!

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 роки тому

    Mwaka 88 ndio nazaliwa 👌

  • @shabanharuna3468
    @shabanharuna3468 4 роки тому +1

    Salama ni 80's kumbe aunt

  • @Bm_Mwakalobo
    @Bm_Mwakalobo 4 роки тому

    Dada iyo ya kujisikiliza Ni kweli maana Hata Messi anasema hapendi Sana kuangalia mechi iliyo pita Ambayo inamarudio yake

  • @lwitikophilipopelela1891
    @lwitikophilipopelela1891 4 роки тому +1

    Tuletee masoud masoud manju wa muziki

  • @malifa3061
    @malifa3061 4 роки тому +1

    My future wife get prepared kuitwa mama by me

  • @geraldjoel5727
    @geraldjoel5727 4 роки тому +3

    Salama tunakuomba umlete na sirjeff Denis

    • @WASHATube
      @WASHATube 4 роки тому

      TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇
      ua-cam.com/video/mJ5_G0bF-uw/v-deo.html
      NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 4 роки тому

    Hahaha sk hizi hakuna wazee😃😃😃

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 4 роки тому +12

    "NATAMANI HUYU CHARLES HILARY AWE MUISLAM PAMOJA NA FAMILIA YAKE YOOTE NA WEWE UNAYEISOMA HII"...NAWAOMBEA KWA MUNGU.

    • @aichaabdul5844
      @aichaabdul5844 4 роки тому +2

      Kwa nini wewe usiwe mkristo?

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 4 роки тому +4

      @@aichaabdul5844 Swali zuri,Nilikuwa Mkristo na kubatizwa kisha nikiwa naendelea kufundishwa Dini,Ghafla Uislam ukanipatia Majibu mengi sana,nililidhika na kuifuata.

    • @aichaabdul5844
      @aichaabdul5844 4 роки тому +3

      @@shenjamamzingi7950 asante ndugu kwa jibu lako, hata sisi wakristo tumeridhika ndio maana tumeamua kuufuata ukristo wetu. Kwa hiyo hata huyo Charles Hilary ameridhika na anafurahia dini yake ndio maana kabaki na ukristo wake mpaka leo.

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 4 роки тому +2

      @@aichaabdul5844 je wewe umeusoma Ukristo na ukauelewa?au umeridhika kwasababu Wazazi umewaona wakiabudu huko...sababu hakuna ndani ya Biblia palipo andikwa Ukristo ni Dini...ila ni jina la Mtu

    • @aichaabdul5844
      @aichaabdul5844 4 роки тому +1

      @@shenjamamzingi7950 kabla hatujaingia kwenye maandiko matakatifu, neno Dini lina maana gani? Lakini pia Kristo maanake nini?

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 4 роки тому +4

    Aunt cheupe tuletee Ally kamwe

    • @WASHATube
      @WASHATube 4 роки тому

      TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WALIO-TREND ZAIDI 2020👇👇👇
      ua-cam.com/video/mJ5_G0bF-uw/v-deo.html
      NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo5354 4 роки тому

    Salama tuletee Kalapina

  • @omaressau3299
    @omaressau3299 4 роки тому +1

    Dah leo kubwa kuliko hii!!

  • @jboytz2384
    @jboytz2384 4 роки тому

    namba 1

  • @reginaedward4645
    @reginaedward4645 4 роки тому +1

    Saut nzr haichoahi na haija zeeka

  • @seciliakilala7921
    @seciliakilala7921 4 роки тому +1

    🙏🙏

  • @aichaabdul5844
    @aichaabdul5844 4 роки тому +2

    Kumbe ulisoma Kinondoni Muslim hadi raha, kumbe tumesoma shule moja........wale wa Kinondoni Muslim tujuane jamani

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 4 роки тому

      Siabonga Numvete au Siabonga M'bongo...Mwaka gani ulisoma Kimbweru sec...mm wa 1994 form1

  • @mbwanadavid4371
    @mbwanadavid4371 4 роки тому +1

    Tuletee Ally Choki mzee wa farasi

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 4 роки тому +1

    Salama hicho chakula chako kinabadilika majina mara Arusha leo ni Pemba sema kikubwa mnakula wawili

    • @josephk90
      @josephk90 4 роки тому

      🤣🤣🤣🤣 kila siku kina jina jipya, kinazingatia mteja katoka wapi.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 4 роки тому

    Umetukumbusha mbali. Nini kiliuwa idhaa ya biashara jamani? Hivi leo hatuitaji jamani? Tuko uchumi wa kati.

  • @highthemetv7857
    @highthemetv7857 4 роки тому

    ua-cam.com/video/wRPhZP2M9WQ/v-deo.html
    👆👆👆👆👆👆
    Mfahamu shujaa aliekimbia Tanzania na kwenda kuiongoza Zimbabwe kivita nimekuwekea video 👆

  • @user-xf9or5cv1d
    @user-xf9or5cv1d 3 роки тому

    Salama hicho kichwa ulicho kifanya ume fanana na shetani

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 4 роки тому +1

    Hatatokea mtangazaji mpira mzuri kama wewe England kwa lugha ya kiswahili

  • @mercyjoachim662
    @mercyjoachim662 4 роки тому

    Sauti yake tu, haizeeki huyu mzee tangu nimeanza kumsikiliza enzi hizo

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 4 роки тому

    Kiswahili titi la mama.

  • @rehemaomary6631
    @rehemaomary6631 4 роки тому +1

    Ni kabira gani uyu jamaa maana kasema kalelewa zanziba je ni zanzibar

    • @asiajuma8342
      @asiajuma8342 4 роки тому

      Ni mluguru ila zanzibar alienda coz baba ake alikua anafanya kazi Kule

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 роки тому

      @@asiajuma8342 sio alienda kazaliwa hasa na mpk leo anakuja Zanzibar sana

    • @haroldtarimo342
      @haroldtarimo342 4 роки тому

      Kiswahili kidogo mmeteleza
      Siyo kabira ni kabila
      Siyo ake ni take
      Kiswahili ni kitamu sana

    • @haroldtarimo342
      @haroldtarimo342 4 роки тому

      Siyo ake ni baba yake

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 4 роки тому

    Vijana mpopo? Pendeni kiswahili kama huyu mzee.

    • @kasianimumba8451
      @kasianimumba8451 4 роки тому

      Salama Yuko wapi Jacob usungu wa radio free africa

  • @raheemiddi8094
    @raheemiddi8094 4 роки тому +3

    Salama naomba tuletee rollymsouth...a.k.a Madenge..

  • @abelmwakipesile4503
    @abelmwakipesile4503 4 роки тому

    Tuletee chidi benz dada

  • @jumannemfinanga3324
    @jumannemfinanga3324 2 роки тому

    Ligendary

  • @haysanhassan2685
    @haysanhassan2685 4 роки тому +1

    Tangia Charles Hilary aache kutangaza ligi ya Epl sijawahi kuskiliza tena

    • @mercyjoachim662
      @mercyjoachim662 4 роки тому

      Mimi pia,.... Nilikuwa napenda kusikiliza vile vistori vyake akiwa Salim kekeke enzi izo

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 4 роки тому

    Wali njegere kwa nazi na samaki. Nchi nzuri

  • @nizarbadru9072
    @nizarbadru9072 4 роки тому +1

    Inabidi umpate Millard

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 4 роки тому +1

    Kipindi kizuri

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 4 роки тому

    Aro habar yakooo haaaa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 4 роки тому +2

    Tuipende lugha yetu

  • @nizarbadru9072
    @nizarbadru9072 4 роки тому +1

    Pia chibu dangote

  • @charleslucas6042
    @charleslucas6042 4 роки тому

    Kama mkude

  • @saffepaschools4089
    @saffepaschools4089 4 роки тому +2

    Hizo sharubati tunywe basi

  • @godcompeter9844
    @godcompeter9844 4 роки тому

    Aliye muona Jeska ni mzur