"KUZIMU NI HALISI IPO NA UNAWEZA KWENDA NA UKARUDI" | MCH.AMIEL KATEKELA ALIYEKUWA WAKALA WA SHETANI
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Tangia nimeanza kukufaham Mtumishi wa Mungu Amiel.kuna kitu kikubwa Sana nimejifunza .. Mwenyezi Mungu azidi kukubariki zaidi
Mungu akupe maisha marefu mchungaji wangu
Shuhuda zako mtumishi, zimeniongezea ufahamu zaidi juu ya shetani na harakati zake juu binadamu, lakini pia jinsi ya kuishinda hii roho ya uasi..!! Endelea kutufumbua ni nyakati za mwisho kweli.
Ameen pastor kwakwel mungu amekutoa mbali sana Jina la bwana libarikiwe
Mungu atende makuu hao uliowapa ushuhuda wa kuokoka kwako,waachane na udini,wampokee Yesu.
Kupitia mahubiri haya nimebarikiwa sana skukrani kwa neno zuri🙏🙏.
Mungu akubaliki mchungaji
Nimefurahi sana kukuona umesimama kwenye madhabahu hiyo ya Padre..... Karibu sana mtumishi na timu yote ya promover.
Amen ubalikiwe baba
Uinuliwe juu zaidi
Karibu RC
You really bless me mchungaji, I pray to meet you one day
Asante sana mtumishi wa MUNGU nimeelewa ni kwanini sifanikiwi
Kwani mtumishi unajibadilisha ngozi au niutukufu wam Mungu
Amina kabisa
Amiina mchungaji
Hubiri dhambi wakatoliki wanasali na dhambi madhabahuni, waokoke!
Aisee, ajidhaniaye amesimama aniangalie sana asije akaanguka.
Ww kwer mtu w mung unaingia ata kwa mafarisayo
Kweli MUNGU aitwe MUNGU
Toka nimeanza kukusikiliza nimejifunza mengi hata familia yangu wamejifunza mengi kupitia wewe mchungaji
Minara ya mashetani ndio ipoje?
Jamni waislam wako wapi??????
Amen
Mchungaji huyo Stephen Kanumba kwenye madhabahu ni Padri wa Kikatoliki?
Amen
Amen
Amen