Big Up Nandy. But Umeisha Mshukuru sana Marehemu Ruge inatosha sasa. I don't think ni Bizuri kumtajataja Mtu ambae hayupo at the same time uko na Mahusiano na Billnass. Please give Heshima kwa Fiancee wako na Stop Mentioning Ruge's Name kila mara. inatoshaaa. Inakuwa kama Unamdharau Billnass. That's my Advise to you. Apart from that Many Congratulations on your Achievements and to what you're doing👏
Very True. Mwenzie atajisikia vibaya. She should Stop Mentioning Ruge, Ruge while she Jumped to another Relationship kabla Ruge hajamaliza hata Miezi 6 Kaburini. She should TALK about BILLNASS Period. Ampe Heshima Fiancee wake.
Umependeza sana Nandy. Ukiwa na furaha ya moyo na nafsi unapendeza. Mimi nakuombea uendelee mbele zaidi. Ma drama queen tupa kule...! Sehemu yoyote kwenye mafanikio kuna vita..!! Mwamini MUNGU utashinda.
Unavyo kumbuka mkufunzi wako, Mungu azidi kukuza kipaji chako na KESHO uwakumbuke family ya Marehamu Ruge Mutahabah yazidi kutoka Moyoni yasiwe ya mdomoni. Piga kazi uliyofunzwa . Nakupenda sana tena sana ginsi unavyo mkumbuka RUGE kwa kuwa MKOMBOZI na MKUFUNZI wako Mungu azidi kukulinda na kuzidi kuikumbuka hiyo familia .
Big Up Nandy. But Umeisha Mshukuru sana Marehemu Ruge inatosha sasa. I don't think ni Bizuri kumtajataja Mtu ambae hayupo at the same time uko na Mahusiano na Billnass. Please give Heshima kwa Fiancee wako na Stop Mentioning Ruge's Name kila mara. inatoshaaa. Inakuwa kama Unamdharau Billnass. That's my Advise to you. Apart from that Many Congratulations on your Achievements and to what you're doing👏
Ni vema kumkumbuka Ruge Lakini imetosha endelea tu na Nenga asijisikie vibaya
Very True. Mwenzie atajisikia vibaya. She should Stop Mentioning Ruge, Ruge while she Jumped to another Relationship kabla Ruge hajamaliza hata Miezi 6 Kaburini. She should TALK about BILLNASS Period. Ampe Heshima Fiancee wake.
See how the princess is wise ♥️♥️♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umependeza sana Nandy. Ukiwa na furaha ya moyo na nafsi unapendeza. Mimi nakuombea uendelee mbele zaidi. Ma drama queen tupa kule...! Sehemu yoyote kwenye mafanikio kuna vita..!! Mwamini MUNGU utashinda.
Piga kazi Dada hongera nami nitafika inshallah
Nakupenda sana Dada angu nakupenda kwasababu
Unavyo kumbuka mkufunzi wako, Mungu azidi kukuza kipaji chako na KESHO uwakumbuke family ya Marehamu Ruge Mutahabah yazidi kutoka Moyoni yasiwe ya mdomoni. Piga kazi uliyofunzwa . Nakupenda sana tena sana ginsi unavyo mkumbuka RUGE kwa kuwa MKOMBOZI na MKUFUNZI wako Mungu azidi kukulinda na kuzidi kuikumbuka hiyo familia .
Hongera mamii mie nimekukubali saruti
Nandy unazidi Kua mzur umependeza momy
Siyo vizuri Sana kumtaja mwenzi wako ambaye haukonae Tena haipendezi nandy badilika mtazamo wa mtu ambaye hayupo
nampenda huyu dada jmn nataman sana niwe kama yeye tofauti na mziki jinsi tu avyo mungu akujalie kipenz
Alafu muninyime like..😀
😗nakupnda sna sweety umepndeza na nakkbal so cute girl 💕
Nzuri sana mungu akutangulie sana
Mie nakupenda bureee kivuruge
Mashallah nand umeongea vizur mdogo wangu
Congratulations nandy
Nakupnd buree ❤️❤️❤️❤️ loop u
Mashallah
Very very nice nandy
Congratulations my love nandy
Jamn nandy no mzur
nakukubali sistel
Piga kazi
Wela wela wela mwangaluka !!!!!!
Nyie acheni uongo
Nampend San nandy
D
😅😅😅😅😅