Bongo wanahabari na watu mnapenda sana personal life ya mtu kiundani sana hamna issue za maana kabisa daily the same things zero zero wanahabari hamna mpya
Yani nafurahi n'a majabu ya maman paulla yani maswali yenu ameyajibu vizuri yani tena anawongea ma dogo nipenda sana
Kwakweli kajala hata maongez yake Bado anampenda harmo napia kajala sikawaida sana vile kupungua kwasai nikama anamaswal mengi anajiliza kwakuachana na harmo
Kajala mwanamke Bomba nakupenda bure,mama paula likes 👍 for kajala na musubscribe dio mueze kunisapoti pia ♥
Kajala Maman Paula ❤❤❤❤❤
This is sick. Watu waulize maswali ya msingi. Mko deep na maswali binafsi.
Ask relevant questions to the product sponsorship hizi porojo zingine nnje
japo na kujulikana kabla h bado ulimvulia Nguo Madras wetu mnajizarilisha kwa watoto wa dogo Shida Nini
😂😂😂😂 mbona mazoezi ulikua unafanya toka enzi za hamonaze naulikuwa haujawai kuisha ivyo umekonda bwana
Haha😅😅😅nmecheka kakonda kwel lakin mkubwq mapnz yke kuyaongelea mtandaon
Much love mommy wanaume ndivyo walivyo ukiwa nae haoni kasoro yko bt mkiachana anaanza matusi
Akika kajala Mimi nakupa mauwa Yako 🌹kwanza unajibu vizuri ❤pili nakupenda sana 💞 akika kubwa Ishi miaka 💯
Nilichokigundua kajala bado anampenda harmonize 😮
@@mussarashid2216naanzaje kumkataa konde me mwenyewe mate yananidondoka😂😂😂😂
Wanapendana shida hapo Pau nafikiri Harmose kumtamani Mtoto Mzazi kaumia
Love you kajala wang hayo n maneno tu ya mwanaume❤❤❤❤
Ila umepungua kuachana sio mchezo kuachika ila mnapendana bana
Sema Kajala mwanamke na ujinga wake
Wewe wakwanza kujulikana lakini ulisha potea kwenye maskio ya watu hamo ndio kakurudisha mjini na kakufanya ujulikane zaidi mwanzo walikuwa wanakujua wa tz tu sasa ivi unajulikana kimatafa shenzi we uwe na shukrani
Acha dharau haya Bora hata mwenzako anajulikana hata mjini na nchi za nje wewe unajulikana wapi acha wivu
kajala wewe sio mwanamke mzuri wewe ni mwanamke mwongo unayependa kusema uongo na kumuumiza mume wako wa zamani😂😂😂
Tatizo la wanawake ni mmoja tuu jeuri na kiburi mwanamke unaweza mtendea wema kika kitu ila huyo uasili wakibinafsia wakike unawasumbua saana ,ila ninacho kiuona kajala anaguswa kutuko kushikilia vizuri penzi alilopewa na harmo ika harmo unampenda ila kilacho haribu kajala uyo ubinafsi wajinsia lakike lilimsumbua saana hara sasa lina msumbua ila kiukweli anaumia ndanindani kua hayupo ndani tena ya mapenzi ya harmo ,asili yakika mwanamke hupenda kudekeswa na kumpelekesha mpenzi wake inapo tokea hivo sometimes mme hayupo tayari kupelekeshwa kutoelewa kua ndio dizaini ya moenzake anavio taka ili penzi lawo lidumu sasa unapo paniki mmoja kwa mmoja mwamke anachikulia kama hupendi tena alafu anakuzira kutokana na usongo wake moyoni na ubungoni mwake ila badaye anajikemea hila hakubali kujishusha ila aishi fresh na mpenzi kutokana na uyo uzwaifu wao wakuto jielewa.ila wanaumia saana wanapo chukua uamuzi wakuzira mapenzi baasi jeuri ndio inayo watunza ila baala😮😢
alfu wandshi wa hbar taften habar za mana sio kla sku diamond hmonise Ali kba Mara kajala anglien tarifa za mana
Your a supper woman kajala pambana Dada, ilo nalo litapita tenda wema nenda zako. Harmonaiz anapendaga sifa tu ona alivyomnyeaga mond
Naku chukuru kajala ila mwana mke niku funga roho ni Emery kivundu from Congo oicha
Umezeheka kinoma
Acha kumusumbuwa kajala wangu, kwani uyo harmo ndo mwisho wawanaume ? Kwanza tangiya apo namuchukiya uyo amorapa, kajala love you so mach
Full respect kajala salute you....naomba tupatane...
❤pole san dada kajal
Mrembo hapa anajutia kudate kijana wa umri mdogo
Im from Kenya but of all Tz celebrities i love this gal and Zari
Ebwana eeeh bado penzilipo kwa mrembo wetu.kwasababu majibu yanaonesha ukweli penzi linaishi moyoni mweke.❤❤❤
Much love kajala
we love you kajala
Kajala nampenda bure
You didn't love harmonize but did have a true love and he still young it's okay to continue your life and forget khajala .
Kajala is the coolest chick on tz
Kajala acha ujinga wewe harmonize ndo wandoto wako sa
Tufiche yanin❤❤❤
Haya maswali msanii WA Kenya hawezi kuyajibu,maana that's kinder private life....
Mimi apa likes zangu
Kajala nakupenda 😘
Brand ambassador hajui chochote hukusu product kajikita na personal issues. Sasa nini maana ya branding?????!!!
Mbona toyota gari zuri na maafu sana shida ipo wapi kajala nimekukubali
Much love mommy wanaume ndivyo walivyo ukiwa nae haoni kasoro yko bt mkiachana naanza matusi
I love kajala ❤❤❤
i love yuh kajala
Kajala unazeeka aisee daa kweli Dunia tunapita..😂😂
Ya Nini kubeshana 💔 inaomba kajala anamueshemu harmoniz ame jitaide sn Ku pambania maisha yake💪🙏🏾sn yani mwamuke hâta umupe Nini harizike mapenzi ni Nini 🤦mimi ni mcongo 🇨🇩💪
Sister bado anampenda KONDE
Penda Sana kajala❤️
Me Nawakubali wote❤❤️🔥🔥🔥
Nice hayo ndo yanayomfaa
did she also erase the tatoo .......your love was so awesome.............i liked it
Kajala anampenda konde mweeee😂😂
pole sana dadaangu kajal
SINA ELA KIIVYO LAKINI NATAMANI NIMNUNULIE HENES ALEWE ATUPE NEWS😂😂😂
Konde anampenda Sana kuwadis watu kajala ndugu yangu ungekaa kimya hamo anampenda Sana kick kaa kimya Kama Simba ulikosea Sana kurudiana nae
Exactly...na nipenda alivojibu maneno huyo mvuta bangi alisema hajaongeza kitu kingine , still ameficha mengi hajaropokwa mengi kaa yule mpuumbavu
Tafadhali Harmonize, wachana na maisha ya mwanamke Kajala, ulimkosea akuamuomba hata dunia nzima ikusaidie ili mrudiane, akakusamehe na baadaye ukamfanyia maajabu ya firauni!, Sio vizuri wewe kayajenge maisha yako upya! Lakini ujue kuna chenye kinaitwa "KARMA"!
Nawapenda bure.. napenda Kajal, napenda harmonize, napenda Paula
Umezeeka kajala mda haukusubiri
We love Tanzania news and music 🇹🇿 but the big problem we have is that we dont understand Swahili so iam asking if you can help us by putting english subtitles on some of your interviews so that the whole world will understand...
Kwahyo akitoka hapo atasema alikua kwenye press daaah mnachosha sana
Nampenda
Sanakajala
Vzr san yan kajala
Hayo madili yanakuja nikweli chanzo ni Konde kafanya arudi mjini bana 😂
Kweli umri au danganganyi
Sorry kajala they have asked you STUPID QUESTIONS.....
SORRY ABOUT THAT.
STAY STRONG GIRL..
Tunamsubiri harmonize alewe tujuwe ukweli🤣🤣🤣🤣
Mwanaume na akili zake hawezi kuwa na mwanamke aachane nae alafu aongee ujinga
Hmm mambo ya mastaaaa! Nasubiri kusikiya @kajala akilitamka jinaao kumzungumziya @mista champegne
🫡🫡🫡
I like it
Nampendasanakajala
Naoma upendo kati yao haija potea. Watu hukosana tena hurudiana. Mda bado upo majaliwa mtakuja rudiana 2024
Ww mbwaaa tu konde boy ❤ ww mbwqaa tuu
Kajala wa Mr Champagne kutoka Burundi🇧🇮
We dada wa hizo pads, ata siku moja kwenye biashara usiseme kidogokidogo, mmechukua msanii mkubwa kufanya nae kazi halafu mnakuja kuongea upuuzi, hujafundishwa marketig wewe?? Eti mzigo kidogokidogo, mnaua biashara zenu wenyewe shenz wahedddd
Mhh wanawake tutumie akili ukimiliki hera bora umtunze. aliyekuzaa kuliko kumuhonga mpita njia kajala utakufa vibaya mama
Mm zamani sikujui nilikujua ulipojiunga na chama la wavuta mioshi
Nakupenda sana kajal huyo mwana ume asikuchanganye endeley na maisha yako kwani yey ndo kaku leta hapa duniani❤❤❤
Wewe kajala huwa ujiheshimu ...uonikm umeshakuwa kupendana na vifaranga ndio maana vinakuzarau sanaa
The event is about pads and the interview is about her relationship with harmonize nkt😏😏😏😏😏😏
Ninachokiona mm nyie lazma mtarudiana tu kwa sababu hakuna ana3mkataa mwenyake
Kajala ana hasiraaa
Miaka ulio nayo sio kwaujinga huo unao fanya
Napenda kajala nakupenda sana love
N kwel. Bd anampend lkn kajichukulia sheria mkoni nimoj wap y kupunguian majukum
Gari kauza kusema anaona aibu, et natumia y a paula😂😂😂😂😂
Kajala ,Paula,. Jina lao ni kausha damu.
Kajala hasisikiye maneno yawatu maybe he didn't even said that
Umekonda bwana😮
Bado anampenda na sio yeye tu wote Bado wanapendana
Sawa ila ulisha potea Hamo ndie kakuza jina Tena baada yakuingia kwenye mahusiano na apula kapata jina kupitia Hamo shururan iwepo na mugamge yajayo
❤❤❤
Anahepa MASWALI mjinga sana kajala😆😆
Ningependa
Kuwaona
Kajalan
a
Hamo
Milele
Nacio
Kutengana
Imemshuka sula 😂😂😂😂anaona aibu kumtaja harmo
Ukiona mwanamke anatoa siri za X wake ana mapungufu.
Bado uko vizur Sana nakukubali Kajala