NANDY AFUNGUKA KUMZAWADIA BILLNASS RANGE LENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MIA MBILI
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
NANDY AFUNGUKA KUMZAWADIA BILLNASS RANGE LENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MIA MBILI
#Bonatv #Exclusive
#diamondplatinumz #harmonize #nandy #marioo #zuchu #alikiba #rayvanny
#yangasc #simbasc #ligikuunbc #mayele #alikamwe #ahmedyally #hashimuibwe #wasafitv #live #millardayo #ayotv #entertainment #soundcloud #spotify #podcast #vlog #music #newmusic #1ontrending
Ata akimlea si mmewake Acheni maneno🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️❤️❤️❤️❤️🍹
Congrats nendy penda mme wako asikwambie mtu much love from kenya...
Nandy anajua kupenda na kujali😍😍😍😘😘😘😘😘❤❤❤❤💯
Mashallah nandy anajua kupenda na kujali
Nandi na billnass nawapenda Sana mungu alinde ndoa yenu
Amin
Nandy hongera sana 🙏 inapendeza hata mama zetu waliwaoenda waume zai nawe kaza Buti ucijali visokorokwinyo kazi Yao. Happy birthday mume wa Nandy🍾🥂🎂 good couple ❤
Ilaaa katika ndoa za wasaniii billinass hababaishi naimanii ndoa Yao na Nandy itadumu milele na milele Ishaa allah
xema nandy mahaba anayawez mtoto huyu....❤💯 bilnass ukimuacha nandy nakuachia laaana!😃🖐
😂😂😂😂Mwehu weee laana hiyo kwioo
@@rukiaiddyyahaya9506 😂😂😂😂😂😂
Akimuacha namchukua mimi🤣🤣🤣
Nifikisheni hata 200 subscribers watu wangu 😢 nitashukuru sana 😢🙏
Love you guys 😘
Nand ogera zana❤️❤️❤️❤️❤️❤️
I love this couple❤
Tatizo Tanzania tumezoea kupewa yan kuchuna tu mwanaume kumbe na wao binadamu kam pesa ipo sio mbaya Mume wako unajiweka expensive nayeye siku yakuzaliwa lazima atarudisha kitu cha gharama kwako
Hongera sanaa hata yy kukupa nafadi ya kukuowa nizawad kutwaa kwako kuliko hyo reng injoy your life
Nand umekua now unajua kuvaa unajistir honger❤️
Amejistiri wap
Umekiona icho kigauni alicho kivaa kilivyo kifupi?
@@RoseNjoka_23 jamani ni fashion dah
Hapo ndo kajistir paja zote waz
@@lindambilinyi6253 jamani biashara sasa angevaa derra angeuzaa?
Iyoo nguo hujaiona mpaka chini tatuta picha inayomuonesha mpaka chini
Nawapenda sanaaaaa❤❤
Saafi Nandy
Pendaneni Nandy watu Wana maneno lkn msiyasikilizeee❤
I love you nandy respect your husband atakama unamzidi hela Bora mapenzi kuna waliona pesa na penzi halipo
Nandy umeweza sana ❤
Love lives here.. see how nenga is happy jamm.. not a fakeJoy.. ❤
Nimeipenda sana hii.
Akh napenda hiii couple
Wanambeza nandy maana baadhi ya wanawake wamezoea vitonga hivyo nandy kutoa zawadi wanaona maajabu wakati ni kawaida pia ni mme wake
❤❤❤❤
K. Kuna couple naipenda n hii
Hongera Sana
Bilinass ukimuacha nandy mungu akulaan 🎉
Nandy mungu aitunze familia yako
Umejibu vizuri mdogo wangu pochi ni kitu gani sifa tu
Nawapenda sana muzid kupendan Nandy mume uyoooo
Siwezi kusema ila ni zaidi ya elf 90 sasa umefanya nini?
Hongera nanderaa
Kweli dada nimume wako maneno yawatu acananao
Basii mboso punguza umbea ulikuwa unaharibu suprise
Waooooooo!!!
Nandy funga maskio juu hata upee nini itabaki tu kuwa yenyu .. Yani ni ya family
Wenye roho zakwanini najuwa mpo mnajipanga mje na maneno yenu yauongo.hamuwabadilishi ng'ooo
Nyie mnaishia kuchezewa tu na kuzalishwa hahahaa 😄 😄 😄 kupendwa raha san
mtangazaji yuko vizur
Gud life
Adi raha jamani.upendo kama huwo?bilnass ukipima kumuacha nandy ,au akagawa penzi lake kwamwingine.,kwakweli nitakuachia laana.anakupenda sana mkewako na wwe unampenda pia.msiachane mpaka kufa.Mungu uwasaidie
My couple
Nandy watu lazima watatafuta nini sababu ya kumpenda Mme wako
Khaa kwa hiyo asimpende?
@@edyteemba1918 cjamanisha ivyo nilichomanisha binadamu wabaya sana awemakini na mvumilivu pia changamoto ninyingi sana kwenye mapenzi
@@edinakyaruzi9226 oooh kweli
Mmmh jaman ilo miambili😢 na velar shingap em mtuache
Mi nikaogopa kusema pengine sijui. Maana mwenzetu kampa mumewe daladala tatu wee
@@hadijaabdallah8614 ilo gari ukiagiza japan au uk ni mill 110-130 coz vogue ndio 150
Ukitaka za michezo south africa mpaka mill 50 unapata
@@flackomasterbaddest4155 range rover sport 2014 model hakuna ilivyo chini ya tzsh 150m..na sport autobiography nayo ni zaidi ya tzsh 200m..ata za mchongo labda upate old model 2008
Velar nayo sio chini ya tzsh 300m
Wanadamu nao wahapendi maendeleo ya watu wivu tu ndo unawasumbua saaana nandy songa mbele tu acaha na wapinga kirstu
My lovely couples,just do you guys, they're just jealous
Pamojasana
Unaogopa Kuachwa ndo mana unafnya ivo
Ngawiraaaa😂😂😂😂
Nandy ilo shingo je?
We Nandi hakikisha ndugu zako wanajitosheleza,Hawalii njaa ndio unaamua kufanya hivyo.
Kwa mtazamo wako tu unaona Ile familia inanjaa
Hawezi kusema kiasi afu apoapo kasema😅
😂😂😂😂
Halafu yule mfupa kwa kapu anakutoa nishai eti unavaa bag fake hajui unanunua vitu vya maana
Laki nne au afutatuuuu?😂😂
Nani kaamin. Nenga ametimiza miaka 30 mh, je , nandy atakuwa na miaka ngap
31
Mmeanza,,...watz na miaka puuuu...
@@mwitaagness455 😂😂😂
mwenzio kazaliwa 1993 piga hesabu hapo
@@monnahamour9892 hata qngezaliwa 2003, its okay....but watz na miaka mmetia fora, khaaa...utakuta mtu anafuatilia miaka ya mtu as if wote tungezaliwa mwaka mmoja, jamaniiii....mtu yulo radh asiangalir maendeleo akadeal na miaka hata hiyo 93 unajuaje km ni ya kweli, so kila mtu hasimami siku zinaenda, na je umri mkubwa huku Tz nu dhambi??? Maana utasikia flan kazeeka, huwa nachekaaaa....huez kuta mzungu anajudge umri, tupunguzeni ujinga.
Kutaka kusifiwa tu baada uwape zawadi kubwa wazazi wako kwanza ,sifa zakijinga tu
Acha kilanga tafuta hela
Mume ni mzazi pia
Wivu tu
Wazazi wake si amewajengea nyumbaaa kibaba Allhamdullilah
Wacha roho mbaya
I love this couple❤❤❤
❤❤❤❤❤
Mapenzi kupendana jamani
❤❤❤