NANDY AFUNGUKA KUMZAWADIA BILLNASS RANGE LENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MIA MBILI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    NANDY AFUNGUKA KUMZAWADIA BILLNASS RANGE LENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MIA MBILI
    #Bonatv #Exclusive
    #diamondplatinumz #harmonize #nandy #marioo #zuchu #alikiba #rayvanny
    #yangasc #simbasc #ligikuunbc #mayele #alikamwe #ahmedyally #hashimuibwe #wasafitv #live #millardayo #ayotv #entertainment #soundcloud #spotify #podcast #vlog #music #newmusic #1ontrending

КОМЕНТАРІ • 99

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Рік тому +19

    Ata akimlea si mmewake Acheni maneno🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️❤️❤️❤️❤️🍹

  • @hanamuson891
    @hanamuson891 Рік тому +6

    Congrats nendy penda mme wako asikwambie mtu much love from kenya...

  • @salamadaima7661
    @salamadaima7661 Рік тому +6

    Nandy anajua kupenda na kujali😍😍😍😘😘😘😘😘❤❤❤❤💯

  • @cutypisy1803
    @cutypisy1803 Рік тому +2

    Mashallah nandy anajua kupenda na kujali

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Рік тому +12

    Nandi na billnass nawapenda Sana mungu alinde ndoa yenu

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Рік тому +7

    Nandy hongera sana 🙏 inapendeza hata mama zetu waliwaoenda waume zai nawe kaza Buti ucijali visokorokwinyo kazi Yao. Happy birthday mume wa Nandy🍾🥂🎂 good couple ❤

  • @congratulationmayunga3833
    @congratulationmayunga3833 Рік тому +2

    Ilaaa katika ndoa za wasaniii billinass hababaishi naimanii ndoa Yao na Nandy itadumu milele na milele Ishaa allah

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 Рік тому +13

    xema nandy mahaba anayawez mtoto huyu....❤💯 bilnass ukimuacha nandy nakuachia laaana!😃🖐

  • @Agneskiki1
    @Agneskiki1 Рік тому +24

    Nifikisheni hata 200 subscribers watu wangu 😢 nitashukuru sana 😢🙏
    Love you guys 😘

  • @mary-cm5je
    @mary-cm5je Рік тому +7

    Nand ogera zana❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 Рік тому +8

    I love this couple❤

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Рік тому +5

    Tatizo Tanzania tumezoea kupewa yan kuchuna tu mwanaume kumbe na wao binadamu kam pesa ipo sio mbaya Mume wako unajiweka expensive nayeye siku yakuzaliwa lazima atarudisha kitu cha gharama kwako

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Рік тому

    Hongera sanaa hata yy kukupa nafadi ya kukuowa nizawad kutwaa kwako kuliko hyo reng injoy your life

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Рік тому +7

    Nand umekua now unajua kuvaa unajistir honger❤️

    • @RoseNjoka_23
      @RoseNjoka_23 Рік тому

      Amejistiri wap
      Umekiona icho kigauni alicho kivaa kilivyo kifupi?

    • @edyteemba1918
      @edyteemba1918 Рік тому +1

      @@RoseNjoka_23 jamani ni fashion dah

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 Рік тому +1

      Hapo ndo kajistir paja zote waz

    • @edyteemba1918
      @edyteemba1918 Рік тому

      @@lindambilinyi6253 jamani biashara sasa angevaa derra angeuzaa?

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Рік тому

      Iyoo nguo hujaiona mpaka chini tatuta picha inayomuonesha mpaka chini

  • @hellenbenny8913
    @hellenbenny8913 Рік тому +2

    Nawapenda sanaaaaa❤❤

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Рік тому +4

    Saafi Nandy

  • @sacg9783
    @sacg9783 Рік тому +4

    Pendaneni Nandy watu Wana maneno lkn msiyasikilizeee❤

  • @pamelaakinyi4769
    @pamelaakinyi4769 Рік тому

    I love you nandy respect your husband atakama unamzidi hela Bora mapenzi kuna waliona pesa na penzi halipo

  • @irenemacha5661
    @irenemacha5661 Рік тому +4

    Nandy umeweza sana ❤

  • @mynambwambo2072
    @mynambwambo2072 Рік тому +2

    Love lives here.. see how nenga is happy jamm.. not a fakeJoy.. ❤

  • @MwanaidKimario-tc6zp
    @MwanaidKimario-tc6zp Рік тому +1

    Nimeipenda sana hii.

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Рік тому +3

    Akh napenda hiii couple

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 Рік тому +3

    Wanambeza nandy maana baadhi ya wanawake wamezoea vitonga hivyo nandy kutoa zawadi wanaona maajabu wakati ni kawaida pia ni mme wake

  • @Minjum-j5m
    @Minjum-j5m Рік тому

    ❤❤❤❤

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee3157 Рік тому +1

    K. Kuna couple naipenda n hii

  • @salamanyange1751
    @salamanyange1751 Рік тому

    Hongera Sana

  • @jescadario8718
    @jescadario8718 Рік тому

    Bilinass ukimuacha nandy mungu akulaan 🎉

  • @shammytv1719
    @shammytv1719 Рік тому +1

    Nandy mungu aitunze familia yako

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 Рік тому +3

    Umejibu vizuri mdogo wangu pochi ni kitu gani sifa tu

    • @sikukuuomar
      @sikukuuomar Рік тому

      Nawapenda sana muzid kupendan Nandy mume uyoooo

  • @Graceyust
    @Graceyust Рік тому +1

    Siwezi kusema ila ni zaidi ya elf 90 sasa umefanya nini?

  • @sarahmwakilasa7425
    @sarahmwakilasa7425 Рік тому

    Hongera nanderaa

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Рік тому +4

    Kweli dada nimume wako maneno yawatu acananao

  • @rithashayo4774
    @rithashayo4774 Рік тому +1

    Basii mboso punguza umbea ulikuwa unaharibu suprise

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Рік тому +2

    Waooooooo!!!

  • @shirondungu4412
    @shirondungu4412 Рік тому +4

    Nandy funga maskio juu hata upee nini itabaki tu kuwa yenyu .. Yani ni ya family

  • @furahamanju
    @furahamanju Рік тому +1

    Wenye roho zakwanini najuwa mpo mnajipanga mje na maneno yenu yauongo.hamuwabadilishi ng'ooo

  • @LatifaWilliam-ng8hr
    @LatifaWilliam-ng8hr Рік тому

    Nyie mnaishia kuchezewa tu na kuzalishwa hahahaa 😄 😄 😄 kupendwa raha san

  • @JofuJoel-wy7sc
    @JofuJoel-wy7sc Рік тому +3

    mtangazaji yuko vizur

  • @MusaChesco-be7ss
    @MusaChesco-be7ss Рік тому

    Gud life

  • @furahamanju
    @furahamanju Рік тому +1

    Adi raha jamani.upendo kama huwo?bilnass ukipima kumuacha nandy ,au akagawa penzi lake kwamwingine.,kwakweli nitakuachia laana.anakupenda sana mkewako na wwe unampenda pia.msiachane mpaka kufa.Mungu uwasaidie

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 Рік тому

    My couple

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Рік тому +10

    Nandy watu lazima watatafuta nini sababu ya kumpenda Mme wako

    • @edyteemba1918
      @edyteemba1918 Рік тому +1

      Khaa kwa hiyo asimpende?

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Рік тому +6

      @@edyteemba1918 cjamanisha ivyo nilichomanisha binadamu wabaya sana awemakini na mvumilivu pia changamoto ninyingi sana kwenye mapenzi

    • @edyteemba1918
      @edyteemba1918 Рік тому +2

      @@edinakyaruzi9226 oooh kweli

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Рік тому +5

    Mmmh jaman ilo miambili😢 na velar shingap em mtuache

    • @hadijaabdallah8614
      @hadijaabdallah8614 Рік тому

      Mi nikaogopa kusema pengine sijui. Maana mwenzetu kampa mumewe daladala tatu wee

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 Рік тому

      @@hadijaabdallah8614 ilo gari ukiagiza japan au uk ni mill 110-130 coz vogue ndio 150
      Ukitaka za michezo south africa mpaka mill 50 unapata

    • @ensonventures1256
      @ensonventures1256 Рік тому

      ​@@flackomasterbaddest4155 range rover sport 2014 model hakuna ilivyo chini ya tzsh 150m..na sport autobiography nayo ni zaidi ya tzsh 200m..ata za mchongo labda upate old model 2008

    • @ensonventures1256
      @ensonventures1256 Рік тому

      Velar nayo sio chini ya tzsh 300m

  • @rehemasteven5962
    @rehemasteven5962 Рік тому

    Wanadamu nao wahapendi maendeleo ya watu wivu tu ndo unawasumbua saaana nandy songa mbele tu acaha na wapinga kirstu

  • @amonia96
    @amonia96 Рік тому

    My lovely couples,just do you guys, they're just jealous

  • @ANDREWKAZUNGU-gt7lb
    @ANDREWKAZUNGU-gt7lb Рік тому +1

    Pamojasana

  • @grolyjepha5771
    @grolyjepha5771 Рік тому

    Unaogopa Kuachwa ndo mana unafnya ivo

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Рік тому

    Ngawiraaaa😂😂😂😂

  • @mariedelarie873
    @mariedelarie873 Рік тому +1

    Nandy ilo shingo je?

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 Рік тому +1

    We Nandi hakikisha ndugu zako wanajitosheleza,Hawalii njaa ndio unaamua kufanya hivyo.

  • @veronicajulius6741
    @veronicajulius6741 Рік тому

    Hawezi kusema kiasi afu apoapo kasema😅

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Рік тому

    Halafu yule mfupa kwa kapu anakutoa nishai eti unavaa bag fake hajui unanunua vitu vya maana

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 Рік тому

    Laki nne au afutatuuuu?😂😂

  • @fatumamkingie3867
    @fatumamkingie3867 Рік тому

    Nani kaamin. Nenga ametimiza miaka 30 mh, je , nandy atakuwa na miaka ngap

    • @neemasawe7016
      @neemasawe7016 Рік тому +1

      31

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Рік тому +1

      Mmeanza,,...watz na miaka puuuu...

    • @BINTIwaKITANGA
      @BINTIwaKITANGA Рік тому +1

      ​@@mwitaagness455 😂😂😂

    • @monnahamour9892
      @monnahamour9892 Рік тому

      mwenzio kazaliwa 1993 piga hesabu hapo

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Рік тому +2

      @@monnahamour9892 hata qngezaliwa 2003, its okay....but watz na miaka mmetia fora, khaaa...utakuta mtu anafuatilia miaka ya mtu as if wote tungezaliwa mwaka mmoja, jamaniiii....mtu yulo radh asiangalir maendeleo akadeal na miaka hata hiyo 93 unajuaje km ni ya kweli, so kila mtu hasimami siku zinaenda, na je umri mkubwa huku Tz nu dhambi??? Maana utasikia flan kazeeka, huwa nachekaaaa....huez kuta mzungu anajudge umri, tupunguzeni ujinga.

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 Рік тому

    Kutaka kusifiwa tu baada uwape zawadi kubwa wazazi wako kwanza ,sifa zakijinga tu

  • @adventinalaurent3999
    @adventinalaurent3999 Рік тому +5

    I love this couple❤❤❤

  • @rackelstylist
    @rackelstylist Рік тому +3

    ❤❤❤❤❤

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Рік тому +1

    ❤❤❤