MAFUTA 5 YA KUONDOA MICHIRIZI MWILINI/how to remove stretch marks @Thisisdayanar
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- je unatafuta mafuta mazuri ya kuondoa michrizi mwilini
video hii itaenda kukuonesha mafuta mazuri ya kuondoa michirizi na mda gani wa kupaka, umuhimu wa kupaka mafuta ya kuondoa michirizi.haya mafuta ni kwa aina zote za ngozi bila kuichubua na pia haijalishi ni mwanaume au mwanamke.
#sensitiveskin #skincare #michirizi
Disclaimer
Video zote kwenye hii channel zipo kwa ajili ya kutoa ufahamu kwa watu.na sio kuingilia dawa unazopewa na daktari.hivyo kama unasumbuliwa na Matatizo ya ngozi au kiafya ni vyema kumuona daktari
bonyeza link hii kuangalia video ya kulainisha miguu na kuondoa magaga
• JINSI YA KULAINISHA MI...
Jinsi ya kutunza nywele kavu na zilizokatika
• JINSI YA KUTUNZA NYWEL...
Mafuta mazuri kwa ngozi zenye mafuta mengi
• MAFUTA MAZURI KWA NGOZ...
Jinsi ya kufanya face steaming
• UMUHIMU/JINSI YA KUFAN...
ijue aine ya ngozi yako ili kutibu chunusi haraka..bonyeza link
• FAHAMU AINA YA NGOZI Y...
#chunusi #dawayachunusi #beutyandlifestyle
#swahilination
#swahilianimation
swahilikatuni,katunizakiswahili2021,madoa,acneskin,oilyskin ,mafutayachunusi,ngoziyamafuta,jinsi ya kutibu chunusi sugu,Tanzania youtuber,
,ondoamadoa ,urembo ,ngozi ,ngozilaini ,carrymastory ,chunusinamadoa ,makeup ,acne ,nyweleasili ,afya ,mafutayanywele ,katunikiswahili ,katuni ,wasafi ,wemasepetu ,urembo ,punguza kitambi,afya,asili,ireneuwoya ,bongofleva,tanzaniayoutuber ,nyweleasili ,bongo1media ,millardayo ,tanzaniacomedy ,eatv ,style,diamondplatnamz,wasafi media,mashamsham ,bongofleva,madoa ,mapenzi ,tanzania travel,zanzibar tanzania,tanzaniamovies ,kiswahili ,bongomovies swahilicomedy,dizzimonline
Misina mimba 😂ila nimetumia mafuta hayo yakaniletea mishirizi mapajani niatr
Ahsante kipenzi ubarkiwe
Amina..ubarikiwe pia
Habari dada naomba kuliza me nimweupe na ngozi yangu nilain nikipaka mfuta mazito naungua chini ya macho yaani yanakua meusi unaweza kuniambia yapi yananfaa
Mimi nina swali palmers coco butter unaweza ukatumia ukiwa unajipaka mafuta ya carolight ikiwa imechangwanywa na movate??
Yan me nime jifungua had cjitaman michiliz kwenye tumbo daah 😭 Asante
Pole sana..Tumia hayo mafuta.Karibu
Nashkuru me nimetumia bio oil saiv niko vzr
Mimi naomba uniambie tu body lotion for sensitive skin mimi kila nilichanganya serum kwenye lotion inaniletea michirizi na white dots kwenye miguu
Tumia American dream cocoa butter
Ukiacha weka serum utapona
@@iddahravity9369 yaani unamaanisha asiweke serum au
Mm nimuhanga kama huyo jamani
Jiepushe kutumia mafuta yenye hydroquinon yanaleta michiriz kabla ya kununua loshen soma ingredient zake
Unaweza kutumia mwili mzima au kwenye michiriz tu please naomba unijib 🙏
Yaani mimi nilinunua hiyo losheni ambayo insitwa stretch marks na nikaambiwa nichanganye na bio oil but axijapungua hata kidogo ajabu n kwamba iko kwenye miguu hata siwezi kuvaa nguo fupi daah😥😥
Jarb kuangalia mafuta au loshen unayotumia labd inaweza ikawa inaleta michrz kwy unaweza kutumia dawa af bado loshen yako inaendelea kuleta huwez kupona
Habri yako dada unapatikana wapi nahitaji sh gapi
Natumia kwanza oil au nachanganya
Hayo mafuta ya michiriz shingp
Munapatikana wapi
Kama nimejifungua nayo yanaondoa
Shingap hayoo mafta mmi ninamichiliz ila sjazaa
Nausea dwa yamichilizi
Mimi nina michirzi ya loshen mapajani
Shi ngpi
Hayo mafuta ya michirizi shingap
Bei gani
Maan me nina michiziri ya mimba
Naomba namba ako
Nayaptaj
Bei gan naomba no zko bc
Shingp
ᵀᵃʲᵃ ⁿᵃ ᵇᵉⁱ