Naomba Utufundishe mbinu za kulinda mapenz ya wanandoa wanapokua mbali mbali Nipo nje ya nchi na Mume wangu yupo Tanzania kila siku ni kumuaza yeye tu kama hanisaliti yaani😔. Nimemuamini kwa asilimia zote ila hii roho ya kusalitiwa haichagui mwaminifu au kiruka njia.
Kiukaeli hili lakwangu lipo busy na kazi eti nimeshachoka mnalaa hata mwezi mzima bila sex aisee😢wanawake tunapitia some time unatamani uchukue reaction muda mwingi chuoni mpaka jumapili alishaaasi kusali niombeeni wanawake wenzangu😢najiuliza sana ukikuta mtu anachepuka tusimuite malaya pengine huwa kuna shida pahali
Naomba Utufundishe mbinu za kulinda mapenz ya wanandoa wanapokua mbali mbali
Nipo nje ya nchi na Mume wangu yupo Tanzania kila siku ni kumuaza yeye tu kama hanisaliti yaani😔.
Nimemuamini kwa asilimia zote ila hii roho ya kusalitiwa haichagui mwaminifu au kiruka njia.
Asante sana mwanangu kwa somo zuri la leo hata mimi mama yako nitajitaidi kumpa mapenzi yote baba yako❤❤❤❤
Asante sana Kaka Chris.
Mungu akibariki .
Ubarikiwe sana brother Chris Mauki
Mungu akuweke sana bro
Kwa upande wangu yupo mbali natamani anihudumie zaidi nisaidie ujuzi plz....
That’s true💯. Thanks doctor
Exactly 💯... Thanks papaa
Barikiwaaa
Nimekuelewa sana🎉
Unafafanua vzr sana kaka
Mmm ❤❤❤😂😂😂 uko sawa
Kiukaeli hili lakwangu lipo busy na kazi eti nimeshachoka mnalaa hata mwezi mzima bila sex aisee😢wanawake tunapitia some time unatamani uchukue reaction muda mwingi chuoni mpaka jumapili alishaaasi kusali niombeeni wanawake wenzangu😢najiuliza sana ukikuta mtu anachepuka tusimuite malaya pengine huwa kuna shida pahali
😂😂😂Nimekaa paleeeeee
Hapo kwenye mapenzi wange jua, wambie na kiwango kabisa angalau Mala 3 kwa siku ukishindwa Sana 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂khaaaa
😂😂😂😂
N dozi ya dawa😀😀😀
Upumbav mtupu❤
Tufundishe wewe
Mbwa wew😂
Leo umesema ukweli mana yake huwa muna wambia kuwa wawo tu ndiyo wanasitahili
😂😂😂x mtambuka,x maji kwenye rejeta, x mkopo wa vigezo vigumu baki,x kausha dam, x ya mawindo😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂wallai mauki amenimaliza na kicheko na hii sentenci
😂😂😂😂
😂😂😂kabisa
😂😂😂😂
Yani mmewangu aseme kingine maana kwa sex tuu ahaaaaaa. Ashindwe yeye
😂😂😂