WELLU SENGO AJIBU SKENDO YA KUMUACHA STEVE NYERERE NA KUTEMBEA NA JB, UKWELI NI HUU..
Вставка
- Опубліковано 7 кві 2022
- WELLU SENGO AJIBU SKENDO YA KUMUACHA STEVE NYERERE NA KUTEMBEA NA JB, UKWELI NI HUU..
Global TV imepiga stori na muigizaji, Wellu Sengo, ambaye pia ni mzazi mwenza na Steve Nyerere, ambapo amefunguka mambo mbalimbali kuhusu kazi zake na sanaa, na maisha yake binafsi likiwemo suala la kuhusishwa kutoka kimapenzi na muigizaji Jacob Steven maarufu kama JB.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Розваги
My favorite actress ❤
Nampenda sengo jmn
Huyu dada mzuri kweli
Alivo kuwa Matilda ndio alikuwa 😘😘😘😘lkn Sai kabadilika sn.
basi angekuwa anamwelekeza mwenzie kwamba puaaa puaa sio kingereza😥😥😥😥😥
Mwanamke poz !
Wellu mzur nafatilia tamthilia zake kwajili yake nawapenda wote
🔥🔥
Thubutuuuuu Jua kal ni levo nyngne
Steve Nyerere na wewe wapi na wapi? Mbona kama ulichemka
Leo ndio anamuuona Steve Nyerere hafai mwanamke akipata ujiko na pesa ndio inakuwa jamaa hafai€££¥₩!@#*%$
Huyu dada ndi mzuri hivi
Mzuri welu mdada wakinyamba
Huyu sio mnyiramba, ni mtu wa morogoro
@@teresiamsigala5925 itakuwa Kuna mzazi mmoja mnyiramba hilo jina la Wellu ni la singida.
@@annasolomon9855 kweli bhn
Mama ake mnyiramba baba mtu wa morogoro
@@rehemajackson29 hapo sawa
Wewe unasema awaendani unakosea sana mpaka kaenda kwa stivu kuna kilichomkosha msizarau mtu Siri ya mtungi aijuae kata
Mapenzi NI hisia na sio muonekano
yanini ?yanini ...?yanini mie nmeachia .
Kichwa cha habari Tofauti na story
Kabisa
Watu wanasifia saana Huyu mimi sioni uzuri wake ni wakawaida saana tu uku kumsifia saana ndo Kuna mfanya hawe kichwa Maji
Acha wivu
Mhhh
Mzuri mdada wa kinyiramba well sengo
Kwa ninj hamueki tena Utube mwanamuziki
Hivi huyu dada alivyo mzuri aliwezaje kuwa na huyu jamaa hawaendani kabisa
Hawaendan kivp ww ndio wale mnaoangalia kuendana mnabaki kuburuzwa tu
@@jumasoli7818 kabisa ukimpta akupendae akakuheshimu haina maana kuangalia vile alivyo kikubwa heshima inatosha
@@jumasoli7818 ukweli Wellu sio type ya Steve nyerenyere
hawaendani ndo nini kikubwa upendo na heshima
@@annasolomon9855 type ya nani? acheni dharau
Vido ushakuwa mchonganishi km Lokole
Mwanamke poz !