Bwana IPM kama wewe ni msomaji wa biblia(neno la Mungu)soma Waebrania 10:1-9,damu ya mafahali na mbuzi wala mnyama yeyote haziwezi kuondoa dhambi Wala kutusaidia chochote kile.damu ya Yesu Kristo imejitosheleza kwa kila kitu
I'm hajamuelewa Kristo bado, daa hatari sana. Mimi sio mchungaji ila tunapojifunza Agano la kale jifunze na Agano jipya ili ujue vizuri kusudi la Mungu, kutoa kafara kwa sasa ni upuuzi ni kumkana Kristo.
Tutafute pesa Kwa jasho sio Kwa kafara,Damu ya Yesu ni zaidi ya kafara,usitudanganye ipm hata waganga wanafanya hizo kafara,Mungu hachanganywi neno lake linatosha.Baba Mbarikiwe Mungu akubariki Kwa kufumbua vifingo wanavyofungwa wanadamu na mafundisho ya uongo,Sina shaka na Adamu haji Wala Victoria msomali lakini wengine wazee wa kafara acha hizo kulilia mafanikio ya mwilini,hazina Yako unaweka dunuoni chukueni tunguli msituharibie dini
Tokea Bwana wetu Yesu Kristo alipokufa msalabani na damu yake kumwagika ndio tulipata ukombozi,damu ya Yesu Kristo inanguvu kuliko damu nyengine yeyote mpaka sasa na ndio maana tunaitumia ili kutusafisha dhambi na mambo mengine ,mambo ya kutoa sadaka za kuchinja yapo kwa shetani na sio kwa Wakristo, Wakristo tunatumia damu ya Yesu Kristo.
Sasa mi najiuliza ivi uyu nimchungaji gani asiye jua biblia yaani uyu ipm ndompinga kristo kabisa kwa %100 Tuwemakini sana jaman watu wamungu maana wanajifunua sasa
@@FridayMwassa na waliokuwepo kabla ya yesu kuzaliwa kafara yao ilikua gani? Tumia akili, yesu anasema hivi 👉SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WANYUMBA YA EZRAEL 👈 sasa ikiwa kweli kafara basi sio kwa ajili yako, na hapo bado inaongelea kuuwa tena binadamu! Hujui kua huo ni uchawi na ujambazi kabla?
Ukristo umevamiwa na wahuni. Manabii wa Mathayo sura ya 24
Ipm bado kabisa .kweli atadanganya wauminï wake tu.
Yesu alitosha kuwa kafala kwetu
Bwana IPM kama wewe ni msomaji wa biblia(neno la Mungu)soma Waebrania 10:1-9,damu ya mafahali na mbuzi wala mnyama yeyote haziwezi kuondoa dhambi
Wala kutusaidia chochote kile.damu ya Yesu Kristo imejitosheleza kwa kila kitu
Kweli kabisa
I'm hajamuelewa Kristo bado, daa hatari sana.
Mimi sio mchungaji ila tunapojifunza Agano la kale jifunze na Agano jipya ili ujue vizuri kusudi la Mungu, kutoa kafara kwa sasa ni upuuzi ni kumkana Kristo.
Mbarikiwa Unagawa Dose😂
Mnyama hawezi kuondoa dhambi ni jina la YESU tuu mkiniomba neno lolote kwa jina langu nitafanya Yohana 14:14 OKOKA
Tutafute pesa Kwa jasho sio Kwa kafara,Damu ya Yesu ni zaidi ya kafara,usitudanganye ipm hata waganga wanafanya hizo kafara,Mungu hachanganywi neno lake linatosha.Baba Mbarikiwe Mungu akubariki Kwa kufumbua vifingo wanavyofungwa wanadamu na mafundisho ya uongo,Sina shaka na Adamu haji Wala Victoria msomali lakini wengine wazee wa kafara acha hizo kulilia mafanikio ya mwilini,hazina Yako unaweka dunuoni chukueni tunguli msituharibie dini
Ni Mungu yupi wakafara?
Eti Paulo alikutana na yesu akauliza tumekufata tutapata nini!! Uongo 😄🤣😂😆😄
Swali langu IPM ni mkristo? Nani alimuhubiria akaokoka? Je alibatizwa na nani kanisa gani? Nani baba yake wa kiroho?
Ipm kama yuko sawa ninyi niwavivu wa kuelewa neno
Soma biblia
Daa
Tokea Bwana wetu Yesu Kristo alipokufa msalabani na damu yake kumwagika ndio tulipata ukombozi,damu ya Yesu Kristo inanguvu kuliko damu nyengine yeyote mpaka sasa na ndio maana tunaitumia ili kutusafisha dhambi na mambo mengine ,mambo ya kutoa sadaka za kuchinja yapo kwa shetani na sio kwa Wakristo, Wakristo tunatumia damu ya Yesu Kristo.
Tupo kabisa baba tuko
Bora uyo ipm angekaa tu katika uislamu ni mgan'ga mkubwa huyu
Mngu akubaliki mtumishi ktk kilo m baliki
Sasa mi najiuliza ivi uyu nimchungaji gani asiye jua biblia yaani uyu ipm ndompinga kristo kabisa kwa %100 Tuwemakini sana jaman watu wamungu maana wanajifunua sasa
Ipm ni mchawi
Ipm yuko sawa.
Yuko sawa kivip Ndungu
Maswali yenu hayajibiki bila kutaja uislam?alafu mnasherekea pasaka mnasema ni mwili wa yesu, huo sio ushirikina ?
Yesu ndiyo kafara yetu,
@@FridayMwassa na waliokuwepo kabla ya yesu kuzaliwa kafara yao ilikua gani? Tumia akili, yesu anasema hivi 👉SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WANYUMBA YA EZRAEL 👈 sasa ikiwa kweli kafara basi sio kwa ajili yako, na hapo bado inaongelea kuuwa tena binadamu! Hujui kua huo ni uchawi na ujambazi kabla?
@@FridayMwassa sasa ikiwa unaamini hivyo huo ni ushirikina, yani u DEVOLWASHIPER wenyewe wa nyama na damu za binadamu
@@fatumamwalimu5765ndiyo ka mstari ulikokaririshwa na shehe wako maana ndiyo mnatembeaga nako kama hirizi
Ndio, ni ushirikina tu kama kufuga majini
Yani mnapinga kila kitu,ipm yuko sawa
Sawa ki vipi