MUME WA ISHAMASHAUZI AMCHANA MUME WA SHILOLE KUACHWA/ANATUAHIBISHA WANAUME/KULALA NDANI/VIBE TEN
Вставка
- Опубліковано 25 чер 2024
- NI UJINGA NI UPUMBAVU ROMMY KAZINGUA SANA HUWEZI KULALA MWANAMKE AMEENDA KUTAFUTA -Tumepiga story na mpenzi wa isha masdhauzi mabango kingdom ameonekana kuchukizwa na na kuongelea kuvunjika kwa penzi la #shilole na aliekua mpenzi wake #rommy3d mabango amesema anaona #shilole yuko sahihi kumuacha mwanaume ambae hatoi pesa fua
- Розваги
Anafanana na Sheikh Abdul
Sijui wanahusiana
Ucmalize maneno bro ngoja tukupe muda
Mhhh🙌🏼
Unaongea sana
Shida nyingne subir uachike tutajua
Ongea kwa nukta dunia ina mengi. Mpk hapo ushajiaibisha ni aibu😏😏
😂😂😂Vijana wa Bongo wa hovyo sana masikio kama popo
Ndugu yangu yasije yakakukuta mambo haya
😂😂😂😂Huyu mtoto kwanza hakuna ubishi ni darasa la saba huyu!
Yanamuda tunakupa mwaka to😮
Mwanaume acha kuongea sana
Uko sawa.
Achana nao hao penda mpendane mapezi kupeana furaha
Nnachojua wanaume hawaongei sana ati mpka unaonesha transaction 😂😂 yan unalazimisha tukuone unajamjali mwanamke wako punguza tambo bro tunaijua hii mapenz ya mwanzo yana mbwembwe ata Rommy na shishi walianza hivihivi na ndoa wakafunga lakin sai ameanikwa hatoi matumizi😅
Acha kuongea sana ww bado ayajakukuta awo viumbe ata ufanye nn mda wowote wanabadilika acha ujinga
Uyo mwanaum unaongea ivooo duuuh
Huyu nae mpuuzi tu
Tushakuchoka nawewe bwana lelewagwa uko chefu au ndo unautafuta umaarufu kwa nguvu komwe kama paa la nyumba 😏😏
Tena anyamaze yy apambane tu isha apate mtoto
Wanaona donge tumia paty yako