DAKIKA 3 ZA JOSEPH GUEDE (JOE MAGOLI) VS DODOMA JIJI/VITU VIMOOO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 29

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 8 місяців тому +1

    Huyu mwamba ni hatari sana.. Wananchi InshaAllah tujiandae kushangilia Mabao mengi kutoka kwa Joseph💚💛💚💛💚

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 8 місяців тому +2

    Allaah Akbar

  • @bensonmwakibinga
    @bensonmwakibinga 8 місяців тому +3

    Wa kwanza mm leo

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf 8 місяців тому +8

    Tunataka Yanga irudi kwenye kasi yake hatutaki mambo ya kibwabwa cc

  • @abdullahpongwa1537
    @abdullahpongwa1537 8 місяців тому +1

    Yupo vizuri ni suala muda tu

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 8 місяців тому +1

    Mungu amsaidie ili azidi kupamba moto mana upande wa pili wameanza maneno

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj 8 місяців тому +1

    Guede joseph yupo poa

  • @furahamoja6582
    @furahamoja6582 8 місяців тому +10

    Yanga tumepata mtu gede yupo vizuri Asante

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 8 місяців тому +1

    Yuko vizuri sana

  • @bensonmwakibinga
    @bensonmwakibinga 8 місяців тому +4

    🔥 fire 🔥

  • @annurjuma5743
    @annurjuma5743 8 місяців тому +1

    GUEDE MCHEZAJI SANAAAAA BALL CONTROL ALAF CONFIDENCE

  • @FedrickCaleb-ck2ks
    @FedrickCaleb-ck2ks 8 місяців тому

    YANGA noms sana

  • @helenwailly1558
    @helenwailly1558 8 місяців тому +3

    Tuwaombee wachezaji wetu wawe fit

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 8 місяців тому

    Fitness hipo chini wampambanie kwenye hili.Maana hana sprinting ya hata dakika 30 yaani anaemaema kisha anashindwa kufukuza adui ndivyo inavyonekana

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 8 місяців тому +2

    Yanga tunazingua sana

  • @ottutv6490
    @ottutv6490 8 місяців тому

    Nyie guede ni mzuli nyinyi watu watakuja walie

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 8 місяців тому

    Tumepoteza ubora wetu kabisa😮😮😮

  • @RumaRuma-y4f
    @RumaRuma-y4f 8 місяців тому +1

    Acheni mbwembwe

  • @KhamiarMshimba
    @KhamiarMshimba 8 місяців тому +1

    Hatumuoni😢

  • @SambweteMtepa
    @SambweteMtepa 8 місяців тому

    Yanga Haina Kasi Tena

  • @CodeWithCrescent
    @CodeWithCrescent 8 місяців тому

    HAMNA KAZI APO UYO GWEDE GWEDE NI ANAFANYA UFALA TU HUMO

  • @jailosibrahim88
    @jailosibrahim88 8 місяців тому

    Angalien shida nn kwa sasa haiwezekan yanga afunge gol moja kolo na ubovu ule gol nne

  • @REHEMACONERIOCOSTANCE
    @REHEMACONERIOCOSTANCE 8 місяців тому

    Kumsifia tu mbon hatuoni kitu

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 8 місяців тому

    Ila masteka wa wenzetu wamefunga wote

  • @KhamiarMshimba
    @KhamiarMshimba 8 місяців тому +1

    Hatumuoni😢