Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Huyu mwamba ni hatari sana.. Wananchi InshaAllah tujiandae kushangilia Mabao mengi kutoka kwa Joseph💚💛💚💛💚
Allaah Akbar
Wa kwanza mm leo
Tunataka Yanga irudi kwenye kasi yake hatutaki mambo ya kibwabwa cc
Yupo vizuri ni suala muda tu
Mungu amsaidie ili azidi kupamba moto mana upande wa pili wameanza maneno
Guede joseph yupo poa
Yanga tumepata mtu gede yupo vizuri Asante
🤣
Hakika tumepata
Yuko vizuri sana
🔥 fire 🔥
GUEDE MCHEZAJI SANAAAAA BALL CONTROL ALAF CONFIDENCE
YANGA noms sana
Tuwaombee wachezaji wetu wawe fit
Fitness hipo chini wampambanie kwenye hili.Maana hana sprinting ya hata dakika 30 yaani anaemaema kisha anashindwa kufukuza adui ndivyo inavyonekana
Yanga tunazingua sana
Nyie guede ni mzuli nyinyi watu watakuja walie
Tumepoteza ubora wetu kabisa😮😮😮
Acheni mbwembwe
Hatumuoni😢
Yanga Haina Kasi Tena
HAMNA KAZI APO UYO GWEDE GWEDE NI ANAFANYA UFALA TU HUMO
Angalien shida nn kwa sasa haiwezekan yanga afunge gol moja kolo na ubovu ule gol nne
Kumsifia tu mbon hatuoni kitu
Ila masteka wa wenzetu wamefunga wote
Yupi na yupi
@@AjiaMohamed-rt5pb Baleke na Phiri
Huyu mwamba ni hatari sana.. Wananchi InshaAllah tujiandae kushangilia Mabao mengi kutoka kwa Joseph💚💛💚💛💚
Allaah Akbar
Wa kwanza mm leo
Tunataka Yanga irudi kwenye kasi yake hatutaki mambo ya kibwabwa cc
Yupo vizuri ni suala muda tu
Mungu amsaidie ili azidi kupamba moto mana upande wa pili wameanza maneno
Guede joseph yupo poa
Yanga tumepata mtu gede yupo vizuri Asante
🤣
Hakika tumepata
Yuko vizuri sana
🔥 fire 🔥
GUEDE MCHEZAJI SANAAAAA BALL CONTROL ALAF CONFIDENCE
YANGA noms sana
Tuwaombee wachezaji wetu wawe fit
Fitness hipo chini wampambanie kwenye hili.Maana hana sprinting ya hata dakika 30 yaani anaemaema kisha anashindwa kufukuza adui ndivyo inavyonekana
Yanga tunazingua sana
Nyie guede ni mzuli nyinyi watu watakuja walie
Tumepoteza ubora wetu kabisa😮😮😮
Acheni mbwembwe
Hatumuoni😢
Yanga Haina Kasi Tena
HAMNA KAZI APO UYO GWEDE GWEDE NI ANAFANYA UFALA TU HUMO
Angalien shida nn kwa sasa haiwezekan yanga afunge gol moja kolo na ubovu ule gol nne
Kumsifia tu mbon hatuoni kitu
Ila masteka wa wenzetu wamefunga wote
Yupi na yupi
@@AjiaMohamed-rt5pb Baleke na Phiri
Hatumuoni😢