Natamani siku moja ukalie kiti cha uraisi hakika we ni mwamba wetu japo haupo mkoani kwetu kila nikiangalia crip zako moyo wangu unafalijika sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ninzuri nainapendeza sana ila kamaunahusika na skendo zozote zinazo endelea jua kunawakati utafika utawajibikatu kwakutamani vilivyo mbele kabla yawakatiwake
Yaaani huyu akija kuishika nchi walah watanzania tumuombe mungu uhai hii nchi itakuwa yaneema.anetembea na bodaboda kuongoza msafara wa maredrove huyu ndie rais jaman akimaliza mda tu mama samia hatuhitaji hatakupiga kura akabidhiwe kiti cha urais apitishwe bila kupingwa
Shida itakuwa kwa wavivu wapigaji madili waonevu wasio wajibika hao watapigwa spana bila kutia hata glisi na wanaomba usiku na mchana mwamba asipewe nafasi yakuwa rais mana wanajua nini kitaendelea huko mbele 😂😂😂😂😂
Huyu mwamba ni mjanja anacheza na akili za watanzania akajificha ili asikie watu watamsemaje Mtanzania anakiu ya kutatuliwa KERO zake yeye anafanya hivo ili awaaminishe nimwema watu wengi wanapotea kwa kukosa maarifa huyu jamaa alipigwa marufuku kuingia marekani maana mauaji amehusika nayo sana
Lengo lake 1.Kuongeza mapato katika Jiji la Arusha kwani gari zote hizo zitakwenda sheli kwa ajili ya kununua mafuta na hapo ndipo kodi kwa serikali itapatikana kupitia njia hiyo. 2.Ongezeko la watali kwa kipindi hiki, kwa baadhi ya watu kutoka mikoa mingine kwenda kuangalia tukio hilo na hapo pia kodi itapatikana kwa kuongezeka watu mahotelini na nk.
Natamani siku moja ukalie kiti cha uraisi hakika we ni mwamba wetu japo haupo mkoani kwetu kila nikiangalia crip zako moyo wangu unafalijika sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
DUH HUYU MWAMBA SIKU AKIWA RAIS NDO TUTANUELEWA VIZUR AKIR MING SANA❤❤❤
Hongera sana mkuu wa mkoa wangu natokea arusha Ds mwamba wa kaskazini piga kazi nimeipenda ito❤❤❤❤❤❤❤
Makondo nakukubali sana katika viongozi ninao wapa heshima na kuwapenda huyu ni namba moja
Mungu akubariki kwa u ubunifu na kipaji chako Mr makonda
Mi mwenyewe kusemanaukweli waga nakukubali sana makonda hakika wewe nimwamba atae kataa mwacheni naushamba wake
huyu mkuu WA mkoa ni mjanja Sana Mungu ampe maisha marefu
🎉🎉🎉MAKONDA HANA BAYA BINAFSI NAMKUBALI SANA HANA MBWEMBEE BODA BODA INATOSHA THANKSGIVING
Hongera sanaaa makonda
Hakika we ni Kiongozi. Mwenye ubunifu mikubwa sana. Kongole Mweheshimiwa Poul Makonda chapa kazi tu na Kazi iendelee
I wish to be in Arusha
Kama unamuona Kodaboy kwenye nafasi muhim baadae kwenye nchi hii weka like hapa
Kijana hongera sana mawazo mapana
Hongera sana mkuu ❤❤❤❤❤❤pokea maua yako
Huyu Makonda ni Rais wa hii nchi siku za usoni.
Makonda almasi ya kipekee sana Arusha siku akitoka haitakuja kama hii
7:46 umetisha ndg hahaaa umeiona coment kweli
Nimeipenda Mungu akulinde sana akupe afya njema Makonda
Huyu jamaa anakiri ya kipekee hakika kuongoza watu sio nguvu Mungu amsimamietu
Kiongozi anaelindwa na wahuni
Utabaki ivoivo na chuki zako.
Na viongozi wako waunga ushoga.
Makonda akili nying sana na Yuko site safi sana mkuu wa mkoa
Makonda Ana akili nyingi sana,Sema wanamzuia kutumika zaidi,MUNGU ATAMSAIDIA
Lengo lake ni kuingia Hela Kwa wageni waliokuja kwenye hii furusa
kweli kbs wajinga watazani ni festival pekee ila hela hapa zimeingia sana!
Makonda 🎉
Sikuwepo lakini nimecheka Sina mnavu hahahahaaaa
Makonda ni mashine tofauti kabisa yule anafaa popote
Tume enjoy sn
Kweli dunia hii ina watu
Wangekuwa 5 tuu Tz ingechangamka
Viongozi wengine kutwa na visuti maofisini anahama mkoa hadi mkoa watu hata hawamfahamu.
Uongozi ni kipawa siyo usomi kiĺa la heri mh Makonda
Makonda makonda
Saa ngapi ningecheka hivi?
Makonda shikamooo
Legend
Mamba mwamba
Uongozi ni karama na ubunifu anaokupa mungu makonda kapewa lema analazimisha uongozi.
@@michaelndilima6210 umenena vyema
Kiongozi anatengenezwa hapewi
@@warakawayohana2896 kama ndio hivyo basi huyu makonda anafaa,maana katengenezwa tokea uvccm
Mzee wa kupinga soon atakuja na hoja zake kwamba Msafara umechafua mazingira
Makonda tunaomba ugombee basi uraisi jamani tutakupa kula nyingi sana yaani natamani uwe rais
Natamani mama s amwachie kijiti cha uraisi
Bgp makonda tunakupebda uwe kiongozi wa watanzania wote sio Arusha to wapizani wanasubili itokee bahati mbaya wafe watu Ili waaze pa kusemea.
Makonda ni zaidi ya Mkuu wa mkoa 😅😅😅
Leo chuga kwel ilikuw festival
Mr land rover
Huyu ndio raic wa janjaro ara chuga namkubali kinyama
Sasa ni shindano la toyo au land Rover? Inafurahisha
Ninzuri nainapendeza sana ila kamaunahusika na skendo zozote zinazo endelea jua kunawakati utafika utawajibikatu kwakutamani vilivyo mbele kabla yawakatiwake
Nakukubali makonda nibalaaa kweli haya wanafiki karibuni kwenye dawati
Ufisadi ufisadi ufisadi ccm achane kutumia vibaya kod ,etu
Sijasikia lema Leo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaaani huyu akija kuishika nchi walah watanzania tumuombe mungu uhai hii nchi itakuwa yaneema.anetembea na bodaboda kuongoza msafara wa maredrove huyu ndie rais jaman akimaliza mda tu mama samia hatuhitaji hatakupiga kura akabidhiwe kiti cha urais apitishwe bila kupingwa
Mkoa Wa Kitalii Kwaivo Uwekezaji Utakua Mkubwa Wazungu Watakuja Wengi Vijana Watanufaika Kwasasa Wengi Watamuona
Mwakan tuje na v8 festival
Mungu aturehem jamani
Piga kazi makonda
Yaani wewe hata wanaokuongelea hakika umewatupa mbali una fikra zinazoishi
Yaani huoni faida yake hata kwa biashara za hoteli na vyakula,huoni sura ya utalii hapo???
Kwel mwamba ameiteka kijij
Sio bure kufanya jambo hili ana ndoto Kwa ajili ya hayo magari sio mtakujakukumbuka maana take nn
Vp mapato ya nchi yameingia
Mafundi wa land-rover watapata deel mpya za kazi(network)
Mwamba cku hizi kama kapoa hvi
The ROAD TRAFFIC ACT (Tanzania Mainland)
Section 39 (3) & (11)
Mtu aliyekoswa kazi kukifanya mwema kumbe boya tu
🎉few books syndrome
jaman huyu makonda ni mtu gan jaman amaa kweli mungu amempa karama za uwongoxi
Yaani faida yake huioni
Sifa mama ya ujinga
Yaani kama nawaona wale visokolokwinyo wanavyoumia na wanatamani mwamba afe 😂😅
Mamaaee zenu mtateseka sana ndio kwaaaanza mwamba anawasha taa
Shida itakuwa kwa wavivu wapigaji madili waonevu wasio wajibika hao watapigwa spana bila kutia hata glisi na wanaomba usiku na mchana mwamba asipewe nafasi yakuwa rais mana wanajua nini kitaendelea huko mbele 😂😂😂😂😂
Yuko wapi yule mtabiri fake? Ooh makonda hivi.. vile..eti Arusha hatoiweza ! Hatakaa ??...
Yuko mahali anarembua Kama zuwena wa diamond. Anaangalia kwa wivu.
Watabiri ninjaaaa ww
Mji umeisha changamka
Tunasubiri siku ya wanawake wa arusha na mashidano ya magari😅inandaliwa😂
Huyu mwamba ni mjanja anacheza na akili za watanzania akajificha ili asikie watu watamsemaje
Mtanzania anakiu ya kutatuliwa KERO zake yeye anafanya hivo ili awaaminishe nimwema watu wengi wanapotea kwa kukosa maarifa huyu jamaa alipigwa marufuku kuingia marekani maana mauaji amehusika nayo sana
tuambie mmoja ya aliyeeauwa hta mbowe muuwaji .kwani marekani mbinguni toka amekataliwa kuingia marekani kapungukiwa nn .
alaf kavaa full kombat chadema
Ninguo TU chadema hawana kiwanda
Kwa hiyo wewe ni nguo TU umeona?
itanichukua muda kuelewa faida ya iko kitu kwakwel
Na hutakaa uelewe daima, nyie ndio wale waaalim walifanya kazi ya Ziada kuwafundisha darasani
Mapato Kwa wagen wa nje na hotel zimeingiza wafanyabiashara wameuza na kutangaza utalii
Waulize watu wa arusha na wafanysbiashara wao wanajua hzo faida ss ww hta mia una unataka kujua ina faida gani
Jiongeze kidogo tu, ni utalii tosha ,wale wenye sheli magari kujaza mafuta ,hoteli zinajaa, vyakula,vinywaji,
Pia kushiriki hilo onesho ni pesa huwezi kuingia tu Bure bure so pesa imeingia
Mkuu wa mkoa Hajavaa herment yeye na dereva wake Tz yetu inamambo?
'herement' ndo nn Mwandiga?. Peleka kichwa Kama pumbu LA lema.
@@twalibulomy-cd4zd Umetoka akwa p ddy Mbwa wewe
Lisu ndo anapenda kw p didy. 2025 CCM watawatembezea pumbu chadema wote.
Hongera🎉❤
Ladba amesahau kwa sababu ya furaha ya sherehe ya Festival😂😂
Lego Lake nn jamaa
Lengo lake 1.Kuongeza mapato katika Jiji la Arusha kwani gari zote hizo zitakwenda sheli kwa ajili ya kununua mafuta na hapo ndipo kodi kwa serikali itapatikana kupitia njia hiyo. 2.Ongezeko la watali kwa kipindi hiki, kwa baadhi ya watu kutoka mikoa mingine kwenda kuangalia tukio hilo na hapo pia kodi itapatikana kwa kuongezeka watu mahotelini na nk.
Pia kushiriki hilo onesho ni pesa, huwezi kuingia tu Bure bure so pesa imeingia hapo.