'KESI YA AFANDE', MAHAKAMA YAAMUA HAIWEZI KUTOA AMRI YA KUMKAMATA, MADELEKA KWENDA MAHAKAMA KUU
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- #trending #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Dah Kama Mahakama Haina uwezo wa kuamuru mtuhumiwa kukamatwa basi hakuna mahala pa kukimbilia
Mungu akulinde wakili msomi
Duuuh, hii ni hatari wanainajisi sheria na kushusha hadhi ya mahakama
Simuuu
Sheria inasemaje?
😂😂😂😂muach mihemko
Makonda alisema kwamba Serikali hii haitoi HAKI akasema hivi ukiwa na malalamiko usiende mahakamani nenda kwa mtu wa CCM au Makonda akusidie, sasa (KISABO) au Madeleka angalia namna ya kwenda kwa MAKONDA labda utapata msaada. Labda kuna simu imepigwa kutoka ngazi za juu namkumbuka aliyesema mahakama uwa inapigiwa simu kutoka ngazi za JUU.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Usikate tamaa mh wakili.Watanzani zaidi ya mil 60, tuko nyuma yako. Bravo!.
Subhaanallah!!!...mpaka hatua hii naamini huyo mama anahusika na hii tuhuma kwa 90% kaka wasongeshe,usichoke naona kabisa wamechokoza manyigu,nakuaminia kaka
Nchi mbovu kabisa Hii , Hapa Afrika
Ila hii nchi nimeona mtu bola tutafute pesa tu kiukwer maana bila ela utateseka sana ivo tutafute pesa jamani
Sawa sawa
😂😂😂😂Taft hel
Nawaombea nyie mlio chukua taaluma hii ya sheria nakujitoa kwaajili ya taifa na watu wote ,Mungu awaepushe na kilamipango mibovu ya adui Ameen....!!!!!!!
Aamin rabbilg'aalamin
Kama una amini mahakama ipo chini ya huyo afande gonga like
Lostam alisema simu Moja tu hakimu anakubali
Sheria zetu kama kupiga ramli
Sasa watanzania ndio tuelewe hii nchi imeweka sheria mballiii wanaangalia huyu ni nani dahhh
Hawa ndio wanasheria tunao wataka wenye msimamo na wanaoijua sheria
Madeleka usikate tamaa.Unawamudu hao,,iwe jua iwe mvua huyo afande lazima afungwe.
😂😂😂😂Wew Kuma tu Taft hel
Changamoto kubwa sana
Huyu wakili Mbona anaongea Pumba 😂
Pumba ipi ??
Hapana. Wakili kanyoosha maelezo wewe ndio umekomet pumba
Madeleke anajua sana
Mno
Uyo kigondo yupo juu ya sheria
Taft hel
Hii ndio bongo bwana mwenye pesa cheo ananguvu kuriko serikali Yuko juu ya sheria ohoo
Akosee masikin sasa utasikia sheria inavotafsiriwa hiv unakwenda jera iwe fundisho Kwa mwingine kumbe kosalako sio lileumetenda ila kosalako ni kukosa nguvu pesa na cheo
Haki huwa haichagui mkubwa Wala mdogo.
Wasomi tuache kujichanganya let we be fare.
Big up Madeleka, keep it up .
Sheria ametengenezewa mlala hoi
Hakuja huyo kaenda kwa mganga kuzima case huyo
huyu akatulie inaonekana anashindana na watu wakubwa hawawezi
Mkubwa ni Mungu tu asiyeonekana,
Acha upuuzi ww,unadhani huyo kama mm na ww tusiojua haki zetu,tunaenda kama Nyumbu
Madeleka kila kesi yupo,piga hela mkuu
Tums namba kaka tuchange
Jmaaa kanyoookaa sana
Mungu azidi kumbariki na kumlinda
Siku kutawala ukibadilika Kwa hii katiba viongizi wata akimbia kwasababu Sheria zitawageukia
Bunge lilipitisha Sheria Zina wakaba wenyewe na bado
Ni kweliiii kabisa mahakama zetu mifumo yao ni mibovu mibovu mnooooo.hilo liko wazi.kwanza lugha zao ni chafuuuu na pili hawana maadili
Mungu ana waona hakuna haki hapa Mungu ata wachoma moto hao wote wanao nyima haki za watu
😂😂😂😂tutakupotezea nauong wak huo
Nilichogundua hap 😂😂nimamb yakisias
nishida sana ichi hii
Hii nchi ni ya watu maalum ndio muyaone
Madeleka usife moyo tupampanie haki itapatikana Mungu wa haki yupo acha wajichanganye Mungu hajawahi kuwaacha salama wazalimu madeleka wewe fanya kila hatua kwa haki utakuja ona Mungu atawashugulikia wote wanaofanya uzalimu juu ya kesi hiyo hatatokea mutu anaamka tuu anatuma watu wakafanye jambo baya hata kama madeleka usingewashitaki Mungu asingekaa kimya angewashugulikia kwa kiwango cha aibu kabisa
Chini ya uogozi huu wa CCM ni mbovu sana
CCM CCM HIVI HII NCHI MNATAKA TUIFIKISHE WP
Ndio maana nasemaga cku zote kuwa mahakama ni ya mungu tu na haki ipo kwa mungu peke yeke hizi zingine ni mbwembwe tu.
Viva madeleka viva
Huyo afande atajutakupanga lile shambulizi na kuzaliwa kazi anayo 😂
Naomba msichoke
Mtuhumiwa anapigiwa cm hapokei wakili wake pia hapokei duh! alafu unaambiwa nchi hii inaongozwa kwa misingi ya kisheria
Haya Wakukaya mgana Madeleka umeiona hiyo?
duu
Jamaica tukimbilie wapi sasa
kweli haki hakuna
nenda mbele wakili
mwabukuzi uko wapi jmn
Mungu bado yu hai,atateta nao
Kwanini hakimu aliesimamia kesi kwa mara ya kwanza alihamishwa tatizo lilianzia hapo kuna kitu hakipo sawa
Jamani watanzania ni watu wa ajabu sana, leo hii mnalalamika kama mahakama zimefikia hapa basi hakuna pa kukimbilia, halafu nyinyi wenyewe mnasema hakuna mbadala wa ccm, ccm ni chama pekee kinachojali maslahi ya wananchi, com mbele kwa mbele wapinzani mtaisoma namba, kwa hiyo Msilalamike, mnayataka wenyewe, wakisema tunataka maamuzi au uchunguzi ufanyike na vyombo cya kimataifa mnasema hii ni nchi huru inauwezo wa kufanya maamuzi kwa haki bila kumuonea mtu, tana wengine wanenda mbali zaidi na kutukana matusi nyie mnaotaka vyombo vya nje kwa ajil ya uchunguzi hamna jipya sisi tuna imani na vyombo vyetu vya ndani, tuna imani na serikali, kiko wapi sasa, mtajuta na bado
Huyu hakim keshapewa fungu kwanini akufokeewa
nilicho gundua mtu akikukosea malizana nae mtaani tu sabbat hakuna wa kumtetea masikini. we mvizie maliza tu
ukimkosa yeye ata kizazi Shake unamalizana nacho. inauma sana
Kiashiria tosha kuwa huyo mama anahusika 100% wanatafuta mbinu ya kumnusuru. Ni aibu kwa chombo kinachosimamia sheria
Watuachie tuchukue Sheria mikononi tu...
MADELEKA KUMA SANA 😂
TZ INANUKA IMEJAA NA MASHETANI WATUPU // WASHENZI SERIKALI. TUTACHUKUWA SHERIYA MIKONONI MWETU SASA. POTELEYA MBALI WACHA TUONE.
Imeisha hiyo madeleka pole baba We kapumzike tu hapa hakuna kitu kabisa
Hata hao waliohukumiwa wataachiwatu kwamwendo huo
mwabukuzi njoo msaidie kamanda
Haki haitopatikana kwa hilo la kukingiwa kifua
Kwanza huyo hakim ameaangalia pesa mbele hapo zimetoka kweli
Ndio mjuwe hata hao wanao tekwa na askali nikweli
Ila tukumbuke huyu fatuma ndio alitenda lile kosa la yule xy kwa hiyo wamembeba
Kwa hiyo kesi imeishia hapo
Madeleka take five to make ten👊
Magufuri pamoja na mambo mengine watu hakuyapenda, lakini angekuwepo huyu afande angeijua mbivu na mbichi
IVI NAOMBA KUULIZA SWALI; HII KESI YA BINT DOVYA MLALAMIKAJI AU ALIYEWASHITAKI WALE WALAWITI NI MADEREKA? AU NI JAMUHURI NDO ILIWAKAMATA? KAMA JAMUHURI NDO ILIYOWASHTAK NA KUWAHUKUMU NI SERKAL KWA NINI MADEREKA ANASEMA MAHAKAMA INA UPUNGUFU?
Madeleka mi sjakuelewa kina nyundo walionekana live wakitenda kosa
Colletatesha5265..Acha uvivu wa kufikir unasema kina nyundo walioneka live wanatenda ndio hao hao kina Nyundo wameonekana live wakisema wametumwa na afande hamka ww acha kulala.
Kanaasikali wangapi wakodani huyu asikali ananini maajabu hayajamani
Kwani kila maamuzi ni lazima ushinde ndugu wakili!
Lazima ashinde ndio kutokana na ujinga huu wa Fatuma Kigondo
Sasa utashinda au kushindwa vipi kama kesi haisikilizwi?
Kwan yeye nani
Nikisema wa ccm wengi so wasomi ni wajinga wajinga hawajui Shelia nafikili nitakuja sijawatuka kujiuzur nak ni eshima
Hakim msenge mla Rushwa! Bwege ana mpango kamwe hatokuwa Jaji mpaka nwisho wa Maisha yake!
Mrema alisema ichi hiiii
Sasa kama Mahakama imekuaje imekua hivyokama kijiwe cha wahuni yaani hakimu amekosa madili huyo kwa maelezo hayo
Fuuuuuuuu,fuuuuuuuu,
Wasio mjua mdaleka ndio wanao mwamini kwasisi tunae mjua kuwa ni mpigaji na mpenda umaarifu hatuna time nae,kisheria hapo hamna kesi
Km huja wahi kusingiziwa kesi au kufungua kesi ukitaka haki kaa kimya ww rusindo,,! Wengi tunajifunza vitu tulivyo jua.. tuliza nyashi upakwe mafuta
Kuna wasenge huwa mnaongea pumba halafu mm nahisi wewe ni shetan au mtoto wa shetani
Huyu kuna mtu anamsaidia sio bule kwa mwendo huo kuna shida sana kwenye mahakama zetu walalahoi na tusiokuwa na vyeo tutaonewa sana daah hii inchi kama hatuna katiba na usimamizi mtu anajiamulia kisa yeye kamanda wa police sawa waendelee kulindana tu
Huyu Wakili ni Msenge tu
Huyu hakim keshapewa fungu kwanini akufokee