Tariq Aeleza Alivyokutana na Mwanaume Aliemtaka Kabla ya Kumwagiwa Tindikali

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Tariq Kipemba akieleza kabla ya tukio la kumwagiwa tindikali namna alivyokuwa akiishi

КОМЕНТАРІ • 204

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 Рік тому +13

    Pole Sana na MUNGU bado una nafasi na muda uliopewa na MUNGU shukuru na jipende zaidi ya awali💜💯

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Рік тому +18

    Kuna funzo hapa always so vzr kumzoe mtu mapema na kumpa nafasi ya kuwa karbu naww pasipo kumchunguza vzr kwamba n mtu wa aina gan but all in all pole sana kijana mwenzetu😢😢

  • @hatiamfaume-qo6zd
    @hatiamfaume-qo6zd Рік тому +15

    Pole sana wajina wa mwanangu allah akuponye inshallah

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 Рік тому +157

    Pole sana mzee baba , sema nini jamaa Ana voice ya utangazaji kama vipi mpeni kipindi apo atatisha sana apo.

  • @westchugagang5323
    @westchugagang5323 Рік тому +23

    MPENI JAMAA KAZI ANATANGAZA POA SANA 💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏☑️☑️☑️ APEWE KAZI YA UTANGAZAJI

  • @ruthminja8605
    @ruthminja8605 Рік тому +43

    sauti yake nzuri naweza kumlinganisha na millard 🔥

  • @fatmayusuph6490
    @fatmayusuph6490 Рік тому +9

    Pole sana tarick allah atakuaf ishallah but una bonge moja la vokal

  • @KevinDeus-fw6bs
    @KevinDeus-fw6bs Рік тому +7

    Pole sana kaka utakuwa sawa me kelvin from bukoba

  • @paschaziaignas6984
    @paschaziaignas6984 Рік тому +6

    Maskin he is very handsome jaman Mungu ambariki hyu kaka na ampe aman ya moyo

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Рік тому

      Yupo single mbaya vp washa Bluetooth nikuunganishie

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 Рік тому +5

    Pole sana kakaangu Tariq kwa mapito yako, But ALLAH ana makusudi ya wewe kupona kama kuna mabaya ulifanya au ni husda za watu basi rudi utubu kwa Muumba wetu .

  • @elizabethmapunda
    @elizabethmapunda Рік тому +11

    Alifanya kitendo icho dhambi itamtafuna hadi anaingia kaburini

  • @davidnyaonge2035
    @davidnyaonge2035 Рік тому +14

    Maneno haya na ya Dkt Mwakyembe yana link siri yaushoga inasaportiwa na watu wa maghalibi kupitia NGOs....

  • @vumiwilly5625
    @vumiwilly5625 Рік тому +2

    Ameanza kurudi kwenye uwalisia tena bado mzuri tu🙏🏽❤️

  • @patricemichael6743
    @patricemichael6743 Рік тому

    Poleee sana mshikaji nasauti nzuri san ya kutangaziaaa

  • @faridajuma8872
    @faridajuma8872 Рік тому

    Alaisallahu biahka mil hakim (hasbillahu waniimal _wakil)

  • @raheliezekiel2913
    @raheliezekiel2913 Рік тому +7

    sauti tu😘

  • @ShamsaHamisi-rd8cc
    @ShamsaHamisi-rd8cc Рік тому +2

    Pole Sanaa ❤️

  • @seciliasebastian6014
    @seciliasebastian6014 Рік тому +6

    Nyie nnae sema uongo utafikiri mnayajua yaliotokea 😏 acheni mtu aseme ukweli kutoka moyoni mwake fungeni bakuli zenu.mnakeraaah na pia halinawakuteni...

  • @LuCyAloyce-ty9mu
    @LuCyAloyce-ty9mu Рік тому +2

    Pole Sana Kaka utapona

  • @briceking24
    @briceking24 Рік тому +2

    am so sorry bruh.....worry out Mwenyezi Mungu atakuonekania2

  • @fathmamwkto9250
    @fathmamwkto9250 Рік тому

    Pole kkaa mmm Jamani binadamu twajisahau wamfanyia mwenzako unyama kanakwamba utokufa pole kakaa

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 Рік тому +9

    Sauti yake kama ya Moj

  • @janethmgonja409
    @janethmgonja409 Рік тому +2

    Pole mate

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Рік тому +12

    Ndio maana Hawa jamaa ni kuwaua tuu hakuna namna maana wao wanahatarisha maisha ya watu kama hvo

  • @josephinemuselu-eq8ke
    @josephinemuselu-eq8ke Рік тому +5

    Kah jamani alikuwa mzuri hatari plus hyo sauti uwii,,,watu wanaroho ngumu aisee

  • @elibarikimaganga9571
    @elibarikimaganga9571 Рік тому +4

    Inawezekana hilo lijamaa lilianza kumfuatilia huyu mshikaji muda mrefu mpaka likagundua anapoishi na likahamia hapohapo ili liweze kumpata jamaa kirahisi.

    • @josephevaristi8923
      @josephevaristi8923 Рік тому +2

      Siamini kama mwanaume ndo anaongelewa hvi ama kweli tupo mwishoni mwishoni mwa zama hizi,,mwisho wa kiumbe mwanadamu upo mbioni tusiporudi kwenye misingi

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 Рік тому +2

    oooh Tariq Mungu ni mkubwa

  • @ZainabHamza2
    @ZainabHamza2 Рік тому

    Pole Sana mpendwa Kwa yaliyokukuta

  • @vickieeddie2230
    @vickieeddie2230 Рік тому +3

    Nyie jamani Dunia hii daah pole sana kaka

  • @engelasimwe938
    @engelasimwe938 Рік тому +1

    duh inauma sana jaman haya maisha sio pole kaka angu utapona

  • @abuomary8715
    @abuomary8715 Рік тому

    namuonea huruma aisee Tariq Allah akufanyie wepesi bur Sasa story zake zipo mbili tuelewe ipi

  • @amriyalibent5900
    @amriyalibent5900 Рік тому +2

    Pole sana tarik

  • @fikiriseleman3460
    @fikiriseleman3460 Рік тому +4

    Jamaa ni msomi na anajieleza vizuri

  • @luludenic4581
    @luludenic4581 Рік тому +2

    Daa anasaut nzur blaa km ya milard jmn

  • @annethalfredmarealle3633
    @annethalfredmarealle3633 Рік тому +13

    Nyumba za kupanga hizi ....
    Jaman tusizoee watu ovyo watu wabaya
    #AmStillLearning

    • @rachaelmbega9691
      @rachaelmbega9691 Рік тому +1

      Nimewah kuchanwa Na nyembe kwenye nyumba ya kupanga Na mpangaji mwenzangu

    • @floramichael3053
      @floramichael3053 Рік тому

      @@rachaelmbega9691 mhmm!!! Pole sana dear!!!

  • @mannyboytz
    @mannyboytz Рік тому

    Daaah mzee pole Sana Ila ongea na clouds wakupe mchongo hao ni watu wa michongo

  • @millionbill7587
    @millionbill7587 Рік тому

    WHAT'S ITS iG he has a clean heart

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Рік тому +3

    Mungu wangu pole sana jamani

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 Рік тому

    Mi nakupenda hivyohivyo ulivyo uko vizuri tu

  • @mainermgunga1952
    @mainermgunga1952 Рік тому

    Mkaka mzurii Tuu

  • @saraphinasahani5104
    @saraphinasahani5104 Рік тому +1

    Dah inahuzunisha kwel yaan
    Mungu azidi kumsaidia apone
    Na Amsamehe huyo aliemsababishia

  • @ammsuya9400
    @ammsuya9400 Рік тому +2

    Wanasaidia watoto wasiojiweza af wanawaingiza kwenye mambo yao

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267
    @tanzaniawomenyouthempowerm267 Рік тому +17

    Huyu kaka apewe kipindi Cha utangazaji. Yani ana bonge la Sauti.

    • @ummumansour
      @ummumansour Рік тому +1

      Kabisa anafaa kuwa mtangazaji

    • @sabanajunior3243
      @sabanajunior3243 Рік тому

      Sikiliza mada acha uhanisi

    • @neemasamweli5221
      @neemasamweli5221 Рік тому

      Uliambiwa utangqzaji ni sauti TU. Kuna wangapi wanasauti lakini sio watangazaji

  • @Aishajj-ob8yf
    @Aishajj-ob8yf Рік тому

    Pol San brother

  • @harvaboy
    @harvaboy Рік тому +4

    Voice yake yeye na mo j ni zao la Millard hayo mpeni pandee

  • @jabirysadick1677
    @jabirysadick1677 Рік тому +1

    Story mwanzo ingine na sasa baada ya kurise vitu vya hizi taasisi tukabadilishiwa juu kwa juu kikubwa mche Allah kwasababu ukweli unaujua mwenyewe na hutausema wote .......

  • @elineswai2933
    @elineswai2933 Рік тому

    Pole san talik,lkn napata hasira sana cjui kwann alafu na serikal imekaa kimya pumbavu

  • @calvinkimario6718
    @calvinkimario6718 Рік тому +2

    Huyo jamaa alie fanya ivi funga kwaajili yake sku 30 ala muachie mungu ukitoka hapo nenda same ndani ndani tafuta mganga 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 alafu muachie mungu

    • @athumanikhamisi3377
      @athumanikhamisi3377 Рік тому +1

      Duuu umetisha ndugu!!! Afunge alaf aende kwa mganga!!?

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Рік тому

      ​@@athumanikhamisi3377hahaha nimecheka sana

    • @hopeeve3558
      @hopeeve3558 Рік тому

      @@athumanikhamisi3377 😁😁😁

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 Рік тому +1

    Hii ni shida tuchunge sana kuamiliana na madhalim. Hakika hii ni dhulma kubwa mno hyo jamaa anafaa kuuawa🤔 hawez mharb mwenzake ivi aki woiye nmeumia sana😢

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Рік тому +1

    Pole Sana Kaka mungu atakusimamia utapona.

  • @beatricemosha4215
    @beatricemosha4215 Рік тому +5

    Mungu ni mwema 🙏

  • @samwelimwaim7136
    @samwelimwaim7136 Рік тому

    Pole ndugu

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Рік тому

    Pole sana TaliQ ila mungu atamhadhibu tu tunamuomba mungu atoe hukumu yake kwa huyo shoga

  • @GermanaThomas-tf8kw
    @GermanaThomas-tf8kw Рік тому

    Pole sana bro,naweza kupata namba Yako?! If you don't mind?!

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 Рік тому

    Pole sana

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu227 Рік тому

    Pole sana tarik mungu yupo utapona ttu.

  • @stn4873
    @stn4873 Рік тому +1

    NGO's hizo zina mambo ya kishoga sanaaaaa kumamae hasa huko mikoani.

  • @delverosedastan5730
    @delverosedastan5730 Рік тому

    Mungu mwema,umepona kwa uwezo wa mola

  • @tabithamathias8370
    @tabithamathias8370 Рік тому

    Pole sana kaka

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Рік тому +8

    Mchangieni jamani akafanyiwe plastic surgery. Atarudi Sawa.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Рік тому +2

    Naona ndo Hao wanao currently watoto kwenye ushoga. Wewe mkubwa anakumendea je Hao watoto wanaowasaidia? Si ndo atakuwa abawalawiti tuu.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Рік тому +1

    Duh aisee kumbe sababu ni choko

  • @achirafisaid4322
    @achirafisaid4322 Рік тому +3

    Kiukweli DC anamhurumiya

  • @josephineokama2200
    @josephineokama2200 Рік тому +2

    jaman kaka tarq jamani natamani kusikia kauli kwamba unaona jamani

  • @rashidramadhan
    @rashidramadhan Рік тому

    oi pole sana ila unafaa kua mtagazaji

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Рік тому +12

    Uzuri umemponza huyu kaka

  • @amyna2024
    @amyna2024 Рік тому +2

    Mwijaku sio kwa mtazamo uo jmn

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Рік тому

    Jamaa kazaliwa Moshi,kakulia Moshi anaishi Moshi na hajaathiriwa na ile lafudhi

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 Рік тому +2

    Pole all this is because of someone who he'd a crash on you?goshhh pole sana bro

  • @mwahijaali2074
    @mwahijaali2074 Рік тому

    Pole mjomba. ila usijali malipo dunian

  • @westchugagang5323
    @westchugagang5323 Рік тому +2

    MCHOMVU AFUKUZWE JAMAA APEWE KAZI 💪💪💪💪 ANAJUA HATARI

  • @yassirgiya6743
    @yassirgiya6743 Рік тому +1

    Dah😢

  • @ndrwdotts4347
    @ndrwdotts4347 Рік тому +1

    LGBTQ community support african youth financially to grow their community...Hizi NGOs zichunguzwe

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Рік тому +3

    Mimi sauti yako duuuuuh

  • @SulemanMakenzi-yk1fq
    @SulemanMakenzi-yk1fq Рік тому

    Subra tu fanya Subira mzee

  • @PROFESSOR_OF_THE_CENTURY
    @PROFESSOR_OF_THE_CENTURY Рік тому

    Sauti kama mbarouk khan

  • @emmaleonard3040
    @emmaleonard3040 Рік тому

    Jamaa alikua shoga na bado aliona wivu kisa tariq alikua anapendwa na wanawake wenye hela💴💸💸 akaamua amtumie wahuni wamfanyie ukatili sema pole bro mi mwenyewe naishi kwenye hcho chumba apartment ulipokua unaishi shant apo

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Рік тому

    Mungu wangu tuepushee na mashoga

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 Рік тому +5

    Ma gay yanalazimisha uhusiano na watu wakikataa yanataka kuwaua,pumbaaavu zenu kuku nyie

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Рік тому +2

    Kuna jambo lingine hapo Siri za kiundani zaid ata huyu jamaa anazijua lkn hawezi kufunguka vizuri

  • @mwajumayahaya7046
    @mwajumayahaya7046 Рік тому

    Kuhisi ni dhambi na kumzania mtu ni dhambi ila kikubwa uzima hayo yote ni mapito

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 Рік тому

    Jamaaa anafaa kuwa mtangazaji

  • @2PAC.77
    @2PAC.77 Рік тому

    👀

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto7210 Рік тому +2

    Tariq ndugu yang mbn mwanzo ulisema vingne imekuaje Tena kaka

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Рік тому

      Kuusema ukweli ni gharama alafu kuwataja wale watu ni ujasiri maana wanamtandao mkubwa ndugu

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Рік тому +2

    Moshing kunaongoza haya masiku kwa mashoga ktk mikoa ya mwanzo kupeleka watoto boarding moshi arusha ndio kulianzaga

  • @zena6203
    @zena6203 Рік тому

    Hello jameni hakunaga mke wamtu wala mumewamtuuu pote tupo

  • @Agneskiki1
    @Agneskiki1 Рік тому

    Nifikisheni hata 200 subscribers watu wangu ❤😢 love you guys ❤

  • @ruthkasumba7739
    @ruthkasumba7739 Рік тому

    Kosa lake kuwa HB jmn plus hiyo saut🤯

  • @sajidabakari9809
    @sajidabakari9809 Рік тому +1

    Acha uongo jmn, ww si ulisema hujui ni nani na kwann umemwagiwa tindikali...
    sasahv mbona story zinabadilika unaleta hbr za ushoga jmn!? tulosikia interview ya kwanza kbs na ndugu zako hospital hii story haikuwepo na uliulizwa ukasema ni uongo hujui mtu alokufanyia hvyo...
    Binadam jmn 🙌🏾 ili tu atrend 🤣

    • @pinogreentv4337
      @pinogreentv4337 Рік тому

      Kensi ilikuwa kwenye uchunguzi asingeweza kuongea lolote

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi Рік тому

    Mashoga na mabahasha wafe tu hakuna namna,, sijui bunge linasubiri nini yani,

  • @emma-9525
    @emma-9525 Рік тому

    Anajua kutanganza

  • @elineswai2933
    @elineswai2933 Рік тому

    Eti anawasaidia watoto mbwa huyo ndo anayeharibu watt huyo

  • @bakarpaul5046
    @bakarpaul5046 Рік тому

    Hawa jamaa tunakutana nao sana hasa hasa humu mitandaoni,chamsingi likikuletea hizo pigo unaliskip unafanya mambo yako,ulipofeli wewe ukamcharazia kwa wanao ndo mana akakumaindi akakufanyia hvyo..ila hawa jamaa ni wapo wengi hadi sio poa

  • @ebbyfuckinrama
    @ebbyfuckinrama Рік тому +7

    Huu ni uongo, why story ichange now?

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Рік тому

    Machoko adimu moshi kweli bro? Mbona ndio mpk ndoa zipo huko twasikia.... 🙄

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760

    Naomba huyo mtu asifungwe akatwe tuu umee na atobolewe macho. Nimeongea kutoka vilindi vya moyo wangu

    • @evahazole6320
      @evahazole6320 Рік тому +1

      Vilindi vya moyo😂,ila tusilipe ubaya Kwa ubaya maandiko yanatufundisha tuwasamee bure MUNGU ni mwema

    • @naomikatharinaandrewmnkai6760
      @naomikatharinaandrewmnkai6760 Рік тому

      Kweli dear 😘 Ila YESU atuhurumie

  • @carogachie5806
    @carogachie5806 Рік тому

    Who Ever Did This 2 This Guy Will Suffer Fo The Rest Of His Life. Hes Very Evil Wicked..

  • @ahmedamary758
    @ahmedamary758 Рік тому +1

    jsjsja

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Рік тому

    muongo pimbi huyu …

  • @aseliusbyabusha6299
    @aseliusbyabusha6299 Рік тому +4

    Uongo mwingi