Kuna funzo hapa always so vzr kumzoe mtu mapema na kumpa nafasi ya kuwa karbu naww pasipo kumchunguza vzr kwamba n mtu wa aina gan but all in all pole sana kijana mwenzetu😢😢
Pole sana kakaangu Tariq kwa mapito yako, But ALLAH ana makusudi ya wewe kupona kama kuna mabaya ulifanya au ni husda za watu basi rudi utubu kwa Muumba wetu .
Inawezekana hilo lijamaa lilianza kumfuatilia huyu mshikaji muda mrefu mpaka likagundua anapoishi na likahamia hapohapo ili liweze kumpata jamaa kirahisi.
Siamini kama mwanaume ndo anaongelewa hvi ama kweli tupo mwishoni mwishoni mwa zama hizi,,mwisho wa kiumbe mwanadamu upo mbioni tusiporudi kwenye misingi
Story mwanzo ingine na sasa baada ya kurise vitu vya hizi taasisi tukabadilishiwa juu kwa juu kikubwa mche Allah kwasababu ukweli unaujua mwenyewe na hutausema wote .......
Hii ni shida tuchunge sana kuamiliana na madhalim. Hakika hii ni dhulma kubwa mno hyo jamaa anafaa kuuawa🤔 hawez mharb mwenzake ivi aki woiye nmeumia sana😢
Jamaa alikua shoga na bado aliona wivu kisa tariq alikua anapendwa na wanawake wenye hela💴💸💸 akaamua amtumie wahuni wamfanyie ukatili sema pole bro mi mwenyewe naishi kwenye hcho chumba apartment ulipokua unaishi shant apo
Acha uongo jmn, ww si ulisema hujui ni nani na kwann umemwagiwa tindikali... sasahv mbona story zinabadilika unaleta hbr za ushoga jmn!? tulosikia interview ya kwanza kbs na ndugu zako hospital hii story haikuwepo na uliulizwa ukasema ni uongo hujui mtu alokufanyia hvyo... Binadam jmn 🙌🏾 ili tu atrend 🤣
Hawa jamaa tunakutana nao sana hasa hasa humu mitandaoni,chamsingi likikuletea hizo pigo unaliskip unafanya mambo yako,ulipofeli wewe ukamcharazia kwa wanao ndo mana akakumaindi akakufanyia hvyo..ila hawa jamaa ni wapo wengi hadi sio poa
Pole Sana na MUNGU bado una nafasi na muda uliopewa na MUNGU shukuru na jipende zaidi ya awali💜💯
Kuna funzo hapa always so vzr kumzoe mtu mapema na kumpa nafasi ya kuwa karbu naww pasipo kumchunguza vzr kwamba n mtu wa aina gan but all in all pole sana kijana mwenzetu😢😢
Pole sana wajina wa mwanangu allah akuponye inshallah
Pole sana mzee baba , sema nini jamaa Ana voice ya utangazaji kama vipi mpeni kipindi apo atatisha sana apo.
Kabisa
Upo sahihi sana
Utangazaj ni umependeza san
Sana
Umesema kweli
MPENI JAMAA KAZI ANATANGAZA POA SANA 💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏☑️☑️☑️ APEWE KAZI YA UTANGAZAJI
Asome kwanza Journalism!
sauti yake nzuri naweza kumlinganisha na millard 🔥
Kweli kabisa saut yakekm ya miladayo
Pole sana tarick allah atakuaf ishallah but una bonge moja la vokal
Pole sana kaka utakuwa sawa me kelvin from bukoba
Maskin he is very handsome jaman Mungu ambariki hyu kaka na ampe aman ya moyo
Yupo single mbaya vp washa Bluetooth nikuunganishie
Pole sana kakaangu Tariq kwa mapito yako, But ALLAH ana makusudi ya wewe kupona kama kuna mabaya ulifanya au ni husda za watu basi rudi utubu kwa Muumba wetu .
Alifanya kitendo icho dhambi itamtafuna hadi anaingia kaburini
Maneno haya na ya Dkt Mwakyembe yana link siri yaushoga inasaportiwa na watu wa maghalibi kupitia NGOs....
Kweli
Ameanza kurudi kwenye uwalisia tena bado mzuri tu🙏🏽❤️
Poleee sana mshikaji nasauti nzuri san ya kutangaziaaa
Alaisallahu biahka mil hakim (hasbillahu waniimal _wakil)
sauti tu😘
Pole Sanaa ❤️
Nyie nnae sema uongo utafikiri mnayajua yaliotokea 😏 acheni mtu aseme ukweli kutoka moyoni mwake fungeni bakuli zenu.mnakeraaah na pia halinawakuteni...
Pole Sana Kaka utapona
am so sorry bruh.....worry out Mwenyezi Mungu atakuonekania2
Pole kkaa mmm Jamani binadamu twajisahau wamfanyia mwenzako unyama kanakwamba utokufa pole kakaa
Sauti yake kama ya Moj
Pole mate
Ndio maana Hawa jamaa ni kuwaua tuu hakuna namna maana wao wanahatarisha maisha ya watu kama hvo
Utakufa wewe na mabwege wenzako
Kah jamani alikuwa mzuri hatari plus hyo sauti uwii,,,watu wanaroho ngumu aisee
🤣
Inawezekana hilo lijamaa lilianza kumfuatilia huyu mshikaji muda mrefu mpaka likagundua anapoishi na likahamia hapohapo ili liweze kumpata jamaa kirahisi.
Siamini kama mwanaume ndo anaongelewa hvi ama kweli tupo mwishoni mwishoni mwa zama hizi,,mwisho wa kiumbe mwanadamu upo mbioni tusiporudi kwenye misingi
oooh Tariq Mungu ni mkubwa
Pole Sana mpendwa Kwa yaliyokukuta
Nyie jamani Dunia hii daah pole sana kaka
Nakuitaji
duh inauma sana jaman haya maisha sio pole kaka angu utapona
namuonea huruma aisee Tariq Allah akufanyie wepesi bur Sasa story zake zipo mbili tuelewe ipi
Pole sana tarik
pole kk utapona
Jamaa ni msomi na anajieleza vizuri
Daa anasaut nzur blaa km ya milard jmn
Nyumba za kupanga hizi ....
Jaman tusizoee watu ovyo watu wabaya
#AmStillLearning
Nimewah kuchanwa Na nyembe kwenye nyumba ya kupanga Na mpangaji mwenzangu
@@rachaelmbega9691 mhmm!!! Pole sana dear!!!
Daaah mzee pole Sana Ila ongea na clouds wakupe mchongo hao ni watu wa michongo
WHAT'S ITS iG he has a clean heart
Mungu wangu pole sana jamani
Mi nakupenda hivyohivyo ulivyo uko vizuri tu
Mkaka mzurii Tuu
Dah inahuzunisha kwel yaan
Mungu azidi kumsaidia apone
Na Amsamehe huyo aliemsababishia
Wanasaidia watoto wasiojiweza af wanawaingiza kwenye mambo yao
Huyu kaka apewe kipindi Cha utangazaji. Yani ana bonge la Sauti.
Kabisa anafaa kuwa mtangazaji
Sikiliza mada acha uhanisi
Uliambiwa utangqzaji ni sauti TU. Kuna wangapi wanasauti lakini sio watangazaji
Pol San brother
Voice yake yeye na mo j ni zao la Millard hayo mpeni pandee
Story mwanzo ingine na sasa baada ya kurise vitu vya hizi taasisi tukabadilishiwa juu kwa juu kikubwa mche Allah kwasababu ukweli unaujua mwenyewe na hutausema wote .......
Pole san talik,lkn napata hasira sana cjui kwann alafu na serikal imekaa kimya pumbavu
Huyo jamaa alie fanya ivi funga kwaajili yake sku 30 ala muachie mungu ukitoka hapo nenda same ndani ndani tafuta mganga 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 alafu muachie mungu
Duuu umetisha ndugu!!! Afunge alaf aende kwa mganga!!?
@@athumanikhamisi3377hahaha nimecheka sana
@@athumanikhamisi3377 😁😁😁
Hii ni shida tuchunge sana kuamiliana na madhalim. Hakika hii ni dhulma kubwa mno hyo jamaa anafaa kuuawa🤔 hawez mharb mwenzake ivi aki woiye nmeumia sana😢
Pole Sana Kaka mungu atakusimamia utapona.
Mungu ni mwema 🙏
Pole ndugu
Pole sana TaliQ ila mungu atamhadhibu tu tunamuomba mungu atoe hukumu yake kwa huyo shoga
Pole sana bro,naweza kupata namba Yako?! If you don't mind?!
Pole sana
Pole sana tarik mungu yupo utapona ttu.
NGO's hizo zina mambo ya kishoga sanaaaaa kumamae hasa huko mikoani.
Mungu mwema,umepona kwa uwezo wa mola
Pole sana kaka
Mchangieni jamani akafanyiwe plastic surgery. Atarudi Sawa.
Yes upo moyon ...nmewaza hivo hivo
Ni Jambo jema ata yutuber washiriki kuchngia
Naona ndo Hao wanao currently watoto kwenye ushoga. Wewe mkubwa anakumendea je Hao watoto wanaowasaidia? Si ndo atakuwa abawalawiti tuu.
Nina maana wacurute
Duh aisee kumbe sababu ni choko
Kiukweli DC anamhurumiya
umeona ee
jaman kaka tarq jamani natamani kusikia kauli kwamba unaona jamani
oi pole sana ila unafaa kua mtagazaji
Uzuri umemponza huyu kaka
Mwijaku sio kwa mtazamo uo jmn
😂😂
Jamaa kazaliwa Moshi,kakulia Moshi anaishi Moshi na hajaathiriwa na ile lafudhi
Pole all this is because of someone who he'd a crash on you?goshhh pole sana bro
Pole mjomba. ila usijali malipo dunian
MCHOMVU AFUKUZWE JAMAA APEWE KAZI 💪💪💪💪 ANAJUA HATARI
Dah😢
LGBTQ community support african youth financially to grow their community...Hizi NGOs zichunguzwe
sinalakusema Ila pole sana munguu atakulipiya,
Mimi sauti yako duuuuuh
Umalaya tuu
Subra tu fanya Subira mzee
Sauti kama mbarouk khan
Jamaa alikua shoga na bado aliona wivu kisa tariq alikua anapendwa na wanawake wenye hela💴💸💸 akaamua amtumie wahuni wamfanyie ukatili sema pole bro mi mwenyewe naishi kwenye hcho chumba apartment ulipokua unaishi shant apo
Mungu wangu tuepushee na mashoga
Ma gay yanalazimisha uhusiano na watu wakikataa yanataka kuwaua,pumbaaavu zenu kuku nyie
😂😂😂😂
Daa kwelliiii pole jombaa
Kuna jambo lingine hapo Siri za kiundani zaid ata huyu jamaa anazijua lkn hawezi kufunguka vizuri
Kuhisi ni dhambi na kumzania mtu ni dhambi ila kikubwa uzima hayo yote ni mapito
Jamaaa anafaa kuwa mtangazaji
👀
Tariq ndugu yang mbn mwanzo ulisema vingne imekuaje Tena kaka
Kuusema ukweli ni gharama alafu kuwataja wale watu ni ujasiri maana wanamtandao mkubwa ndugu
Moshing kunaongoza haya masiku kwa mashoga ktk mikoa ya mwanzo kupeleka watoto boarding moshi arusha ndio kulianzaga
Hello jameni hakunaga mke wamtu wala mumewamtuuu pote tupo
Nifikisheni hata 200 subscribers watu wangu ❤😢 love you guys ❤
Kosa lake kuwa HB jmn plus hiyo saut🤯
Acha uongo jmn, ww si ulisema hujui ni nani na kwann umemwagiwa tindikali...
sasahv mbona story zinabadilika unaleta hbr za ushoga jmn!? tulosikia interview ya kwanza kbs na ndugu zako hospital hii story haikuwepo na uliulizwa ukasema ni uongo hujui mtu alokufanyia hvyo...
Binadam jmn 🙌🏾 ili tu atrend 🤣
Kensi ilikuwa kwenye uchunguzi asingeweza kuongea lolote
Mashoga na mabahasha wafe tu hakuna namna,, sijui bunge linasubiri nini yani,
Anajua kutanganza
Eti anawasaidia watoto mbwa huyo ndo anayeharibu watt huyo
Hawa jamaa tunakutana nao sana hasa hasa humu mitandaoni,chamsingi likikuletea hizo pigo unaliskip unafanya mambo yako,ulipofeli wewe ukamcharazia kwa wanao ndo mana akakumaindi akakufanyia hvyo..ila hawa jamaa ni wapo wengi hadi sio poa
Huu ni uongo, why story ichange now?
How??
Sasa ukweli anajua yeye au ww?
Kwahiyo wewe ndo unaujua ukweli ?
Tueleze ukweli wewe
Tuambie ww xax ukwel
Machoko adimu moshi kweli bro? Mbona ndio mpk ndoa zipo huko twasikia.... 🙄
Naomba huyo mtu asifungwe akatwe tuu umee na atobolewe macho. Nimeongea kutoka vilindi vya moyo wangu
Vilindi vya moyo😂,ila tusilipe ubaya Kwa ubaya maandiko yanatufundisha tuwasamee bure MUNGU ni mwema
Kweli dear 😘 Ila YESU atuhurumie
Who Ever Did This 2 This Guy Will Suffer Fo The Rest Of His Life. Hes Very Evil Wicked..
jsjsja
muongo pimbi huyu …
Uongo mwingi
Kivipiiii
Tupe ukweli
Tupe wewe basi ukweli… kujifanya much know
Tuambie ukweli
We nae walewale tuu