UNITALENTSHOW|MAIN SHOW|SEASON 04|NUSU FAINALI |EPISODE 3
Вставка
- Опубліковано 11 кві 2023
- Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
TIKTOK: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04 - Розваги
Tuliorudia kucheki 2024
Tujuane Untouchable🔥🔥🔥🔥
Kiukweli show zote za untouchable ni heat song kwenye rap sasa cjui atakosaje 10 million
Kabla hii show haijapostiwa naamini mwanangu UNTOUCHABLE HAWEZI NIANGUSHA KAMWE👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼🙌🔥
✊
He's always my G yy ndio hinifanya nigingue unitalent
Woooooo ulisema na imekuw
for real kuna wengi wanataka kushinda mpka hapo walipofika ni washindi but baada ya kuangalia hii episode...try kuona ukweli untouchable is the best ....congrat bro
Wanalusha chanel gani kwani
Huyu untouchable ana kitu atafika mbali👏👏👏
oya aiseee Ibrahim ana saut ya kipekeee weka like kam unamkubali
Ni hatarii
@@preciousprecious7040 ndio mzee
Kipaji mtaji kila mtu ajue sahihi kufanya Kwan kila ndoto asubuhi wewe utakuwa ww congratulate
Surely Ibrahim Ura's sound jmnjmn guys i sing but huyu kaka anasauti😋😋😋
Qatar workers tulike hapa tunaofatilia unitalent
Untouchables anabalaaaa aisee
untouchable he is not to be touched always he provide hit Songs 🔥
Wiliam anajua bro utatoboa piga kazi ❤❤
Untouchable asipokuwa mshindi cjui mtatuambia nn
Untouchable Anastahili kushinda
Untouchable noma sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
untouchable ni mnymaa ila gaboo mnyama zaidi.....he has a unique rapping style
Untouchable ni khaligraph wa bongo
Untouchable is invisible..u can't touch someone you don't see
Untouchable ni 🔥 🔥 🔥 🔥
fan of willium Bundara 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daah ila @untouchable broo me nakupa bars buku kaka 💥💥💥
Unitarent show mwaka huu kuna vipaji sio pw ngoja tuone itakuaje 🤳🎧🎧🎤🎤🎹🎹
Ko
Huyu Mathias mbn ni Joh makini kabisa🔥🔥🔥🔥
Woiii untouchable ee bhn mekubali ur untouchable🫡❤️
Wahoooo🎉🎉🎉🎉 bonge la hip hap hiyo ni kweli manabii wamekuwa wengi 🎉🎉🎉
Untachable
the untachable ndo kafanya nimeijua unitalent.....the man gat talent.......
Jmn Unitalentiiiii......Ibrahim urasa fo mi🤗🥰🙌
Kipaji hakijifichi lazima kujua nani bora zaidi👍💪
SKS BEIBE UNTOUCHABLE
Untouchable 🔥🔥🔥🔥 ni nomaaaaaah
The best untouchable your killing me also ibra Urasa uwiiii I admire you
Untouchableee
Untouchable is on fire but all in all this season on behalf of my village ma ancestors I say wote wapo dope San #kaka mpishii officer #sharku #mr Ricky Ricky Mr watu waenjoy alfu waenjoy tena
Untouchable ana kitu atafika mbali sanaaa
William🔥🔥🔥❤
Untouchable 🔥🔥
Ain't seeing anyone touching #untouchable💥💥🔥
Ibra anajuwa aixee nice song
untouchable is something else he never disappoints🔥🔥🙌
untouchable real talent 🎉
Untouchable ni noma sana🦁🦁🦁🦁
Untouchable nakuaminiaaaaa
Mathias Gabo on 🔥🔥🔥
Buntala William na untachable ni wakali nawakuli mm
Kura yang kw untouchable na ibra urasa❤🎉🎉
Untouchable🔥🔥🔥
Untouchable
Uyo chriss brown wa tandale anaitishia usalama wa music wa bongo nomaa 😂😂
Untouchable never touched 🥰🔥🔥
Jamaa wakwanza bhna didiididij 💥😂😂😂😂
mwana kaingia na wimbo wa ROMA mbele ya WAKAZI, waliosoma CUBA watakua wananielewa! 😁
Jamani nimerudia kumuangalia untouchable
You kill it
Huyu gabo pigo zake Kama za G.Nako mwenyew kwanza had anafurah
UNTOUCHABLE💥💥🙌
Sks🦁
Untouchable 🔥🔥🔥
Untouchable 🙌
That boy #untouchable is the champion
uyu msenge ibra ni nyokooooooooooooooo🥰🥰
Mwamba anajua ❤❤❤
Huyo Ibrahim anabana sauti mpaka inakosa hata mvuto , anatafuna maneno
Untouchable 🔥🔥📌📌📌
Lakin mjaribu kuweka utofauti
Kati ya hio hop na RnB
Shida wanapendelea ila ukweli jamaa untonchable
SKS baby untouchable.
Untoucheble Kal Sanaa hiyo
Ibrahim 😘
Untouchable
I am hip hop fan lakini huyu sijui Urasa like my kenyans friends wangesema hii imeendaa😀
Aliye imba wake me up mh 🔥🔥🔥🔥ana kipaji sana jmn ...🙌🏾
the real_untouchable! 📍❤
Untouchable is real untouchable
Untouchable is the best
That boy #ibrahim Musa.. is on 🔥
🔥🔥drop the shiiiiiit
Sjui unaelewa maana ya goosebumps "ooouuwww " in leah's voice
Untouchableee 01
Huyu untouchable anakitu sana Muangalien kwa jicho la Kipekee atafika mbali.
Clouds tv mida gani toweni maelezo vzr
Oya wamepita wengi lkn uyo untouchable 😂🙌🙌🙌😎
Gody big up bro mungu yupo utafik MBL❤❤❤❤❤❤
UNTOUCHABLE baba Iyo Sio Final kaka please 😂 Unapiga Kuuwa Kaka..! Unapiga Kuumiza Q_mamae 😂😂😂🙌🤣🙌🤣🤣🙌🙌🙌
Untachable so amazing
Untouchable ndo umefany nijue hay mashindan 😂😂😂 god bles yo
Akuna wakumpinga dogo
UNTOUCHABLE NI MOTOO
Tuekeeni huo ujumbe wakazi anasema ... Ambao kasema gabo
Bundala umeweza sanaaaa
Kaka untouchable no 🔥🔥🔥
Anajua
Untpuchable 🔥
Untouchableeeeeeeeeeeeeeeeee
Mathias Gabo Ameua sana🔥🔥🔥
Untouchable mnyama huyu jama watu wanimanye❤
Haya mashindano cijayafatalia tangia mwanzo ila kwa hapa nilipoanzia huyu mwamba gabo kama anajua make ametembea na bet sana
William bundara anafaaa
My all time the untouchable to the top,he's already the winner 🏆 🥇 🏅 apewe
Unshikikable 😂🙌
😹😹 mamaeee
❤𝐥𝐨𝐯𝐞 𝐭𝐡𝐞 𝐬𝐡𝐨𝐰 🇧🇮🇨🇩
Untouchable the best yoooo🔥🔥🔥🔥
Untouchable NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥