Maestro huna hoja . Unavuruga tu. Cpa masoudi pamoja na usomi wake, katuonesha madhaifu yake, hakujipanga, kuanzia kuitisha mkutano bar, na yote aliyo ongea hayana mashiko. Inaonekana hata yeye hajui nini kinaendelea Simba sc. Maana yeye mwenyewe cpa masoudi ashawai kusema 20bilion imewekwa Simba sc bdae juzi anasema pesa haijawekwa! Kwakweli amezingua sana
Mo katoa fedha yake, haijalishi imetumika vipi, achaneni lawama na visingizio. Hakun cha ku "rescue situation" wala Mo kuongea na trustee. Mwekezaji anatoa fedha, wajanja wanazichapa halfu watu wanaleta visingizio..!
jamani tajiri anatoa pesa sana hila uwongozi wanapija pesa kwahiyo kinacho onekana kwasasa wanamtupia matatizo tajiri wetu hili walete mtu wao sisi tutabaki na tajiri wao sisi atuwataki Tena watuwachie timu yetu
Ishu siyo kusajiliwa na mo au wajumbe kumkataa.. ishu ni huo usajili umefata utaratibu wa club waliojiwekea au katika katiba yao-?. Mbna mnazunguka zunguka asee..
WANDANGANYENI WAJINGA PEKE YAO..... NANI ASIUEJUA KAMA YANGA INAMILIKIWA NA MTU MMOJA aliyeJuficha nyuma ya makapuni ya familia (TWENDENI PWANI TUKAULIZE, Baba wa inJinia yuko wapi!!😅😅😅 TANZANIA matapeli kila sehemu
Ukweli kabisa
LEO JEMEDARI MPAKA USEME,NA BADO HUJASEMA
Maestro huna hoja . Unavuruga tu. Cpa masoudi pamoja na usomi wake, katuonesha madhaifu yake, hakujipanga, kuanzia kuitisha mkutano bar, na yote aliyo ongea hayana mashiko. Inaonekana hata yeye hajui nini kinaendelea Simba sc. Maana yeye mwenyewe cpa masoudi ashawai kusema 20bilion imewekwa Simba sc bdae juzi anasema pesa haijawekwa! Kwakweli amezingua sana
Hivi hawa wameajiriwa hapa au wamejiajir hapa,maana sijui kama wanaelewa wanachokisema,yaan hoja zao hazifiki mwisho,
Zungumzeni TRANSFORMATION, HAWA NDIO WATU WA MO
Wanajadili HEAR SAY!
Mo katoa fedha yake, haijalishi imetumika vipi, achaneni lawama na visingizio. Hakun cha ku "rescue situation" wala Mo kuongea na trustee. Mwekezaji anatoa fedha, wajanja wanazichapa halfu watu wanaleta visingizio..!
Mo alifanya makusudi kuizuia Simba isiingie kwenye mikataba ya kibiashara Kama Yanga wanavyofanya ili Simba wazidi kumtegemea
jamani tajiri anatoa pesa sana hila uwongozi wanapija pesa kwahiyo kinacho onekana kwasasa wanamtupia matatizo tajiri wetu hili walete mtu wao sisi tutabaki na tajiri wao sisi atuwataki Tena watuwachie timu yetu
Yani hii radio wote nyie ni mazwazwa sasa hapo mnapiga stori au mmeturetea taarifa hovyo
KWELI KABISA HATUTAWEZA KUMKABIZI TIMU MOJA KWA MOJA
Mnaota huyo tajiri wenu anaangalia maslqhi zaidi kuliko maendeleo ya timu
Maestro acha kumuingilia mtu akiwa anaongea...una haribu
Hawa waandishi wengi no yanga na wanatumwa kuharibu
Toweni ushaur wafanyaje nyie mnachambue gaps za watu tu
Ishu siyo kusajiliwa na mo au wajumbe kumkataa.. ishu ni huo usajili umefata utaratibu wa club waliojiwekea au katika katiba yao-?. Mbna mnazunguka zunguka asee..
Washabiki wa simba sisi wanafiki tumekuwa kamati ya ufundi makocha Sisi
Mo alikabidhi hundi ya 21b,mbele ya waziri, kumbe ilikuwa uongo ? Simba wakienda mahakamani Mo Hana kitu. Ktk Simba, msanii tu.
Uelewe kuwa mchakato haujakamilika unaenda mahakamani kwa msingi upi?
S wepend simba yaani waondoke kabisa watuachie miaka iliyobaki duniani
WAMEKAA MIAKA 4 HAWAJAONGEA.WAMEAMBIWA WAONDKE.WAMEONA WANAKOSA NOTI.WAMEANZA KELELE
Kamani kuwaambia waondoke? Mo hawezi kuwatoa wajumbe ambao hakuwaweka
Pesa za muhindi zina masimango sana mamae😂😂😂😂
Mjitahid kuacha mmoja haonge huu ni upuhuz mnafanya mtazania mpo kwy genge la kushabikia term fulan
WANDANGANYENI WAJINGA PEKE YAO..... NANI ASIUEJUA KAMA YANGA INAMILIKIWA NA MTU MMOJA aliyeJuficha nyuma ya makapuni ya familia (TWENDENI PWANI TUKAULIZE, Baba wa inJinia yuko wapi!!😅😅😅 TANZANIA matapeli kila sehemu