MSHINDI WA SHINDANO la ubunifu Sumbawanga akzungumza namna wanavyoweza kufua umeme wa upepo
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Interview ya mshindi wa shindalo la ubunifu sumbawanga Joseph ulaya na baba yake alizungumza namna wanavyoweza kufua umeme wa upepo
Safi sana, Nimeipenda hii
All about "Renewable Energy"
Hongera naomba mawasiliano yenu
Jaman so good .wekeni namba
Hongera vijana Kwa ubunifu
Jambo mzee kazi nzuri naomba namba zako nanii
Kumbe tuongee ujee unifungie na mimi
Hongereni sana kwa yote
Hujambo
Miwe mnwawatambulisha dunian hawa wabunifu ,ni aibu Tz wabunifu wengi hawalindwi maana ni hazina ya taifa na wanapaswa kuendelezwa , ila cha ajab unakuta wanaendelezwa wafanyakazi tu???