Kweli kabisa kwa sababu hakuna kazi huku chini. Serikali imejenga mashule lakini watoto hawana walimu. Hapa mjini tunaambiwa tukachangie walimu ili waweze kuongenza vinginevyo watoto wanacheza tu bila kufundisha.
Maneno anayosema ni kweli inatakiwa mwenye akili ndio utaelewa hamnazo na mwandawazimu kuelewa kazi nchi yako especially Sisi wagonjwa wa kuelewa utindio wa akili hafanyi kazi lakini Mie naomba Kwa mungu tuwe maskini wa kutupwa kama Malawi, na Kongo kila sehemu ya manufaa kuuzwe tubaki Sisi kama Sisi nchi yetu lakini wananchi tusiwe na kitu ndio watu watajua nchi ikoje viongozi wako wapi?
Enyi watanzania mshukuru mungu unaenda shambani kulima unavuna unapata ugali waulizeni majirani zetu kongo somalia, burundi tunatakiwa tumshukuru mungu siku zote tusikubali kushawishiwa ujinga. Ukuona hivyo hata huyo kiongozi naye ni chawa ma mama. Tuweni makini sisi watu wa chini mungu atusaidie watanzania. Hata marekani walikuwa matajiri baada ya miongo sembuse sisi. Mtoto hakui haraka kama unavyodhani huuu ni ushawishi kwani siasa ni mchezo mchafu. Waandamane wao na familia zao kwanza baada ya mwezi nasisi tutaandamana tuwaone watoto wao, wake zao, ndugu zao. Baada ya hapo tutaandamana
Hata namna chadema mnavyoendsha chaguz zenu bado hakuna usawa hvyo toa kwnz kibanzi jichon mwako ndpo utoe Cha mwenzko umekuwa mwenyekiti wa chama mda mrf nawe watakiwa kuwapisha wenzko hyo ndio demokrasia
Mbona CCM,wakina Fulani tu ndo wao tu wanakula ,na hata wewe hujawi kukumbukwa.angalia familia ya Mzee Fulani wa CCM,yeye,mtoto,mama ndo wanaokula tu,Kwa nini hujawahi kuwaambia na wewe uwe waziri,mama Yako awe mbunge,
Hao ndio walimsapoti samia leo hawa ndio wanamsaliti tena wapendwa tuombe mungu atulinde watanzania hawa wote wanakutana jioni wanakula pamoja watanzania tusikubali kushawishiwa kumwaga damu waulizeni watoto wao wanasoma wapi kama wao pia sio hao hao?
Naona machawa ya mm kilemba mnatepeta kwa jinsi anavyo wakanyaga kwa taarifa yenu mbowe hatoki uenyekiti mbowe mitano tena ya uenyekiti chadema wala chadema msilogwe mkawasikiliza manyang'au na machawa wa chama cha majambazi
Vyama viwili vya upinzani au vya siasa ---- chadema ni Chama cha upinzani,wakati ccm ni Chama tawala -- kosa hilo umekuwa ukilirudia Mara kwa Mara " rekebisha "
Katiba kweli ibadilishwe kila Raisi aliyefanya makosa na kuhaki serikali washtakiwe wote ndio wanagombania katiba isibadilishwe kutokana maovu wanayofanya ni mengi mbaya dhuluma wanayajua hayo
Walimsema marehemu wakamchukia leo hao ndio walimsapoti mama je leo wanataka nini? Tusikubali kushawishiwa kumwaga damu wao wanatuchochea alafu wao wanaenda angani wanatushangaaa tutakapo uwana. Hiii yote na uchu wa madaraka usikibali kushawishika wapendwa jifunzeni kwa walibya leo hawana hata pa kulala yote hayo ni uchu wa madaraka. Tujiangalie tuache kushawishiwa ujinga.
Peeeepozz pawa.. hapo sawa. Mheshimiwa mbowe karibu mwanza tutakuunga mkono. Mwamba wa Chadema yupo hapa
Mbowe anawaza vizuri
Hivi wew mpiga picha huyu mbowe katukana wapi? acheni uchawa.
Uyu ndo mwenyekiti bwanaa
Mwenyekti
Mbowe unayasema hayo ili uweze kupata dolla. Tafuta agenda ya kuwaunganisha wTz sio hayo unayotueleza.
Hata Mungu mlimushinda kuunganika leo ndo unataka mbowe aunganishe wtzania??
Kweli kabisa kwa sababu hakuna kazi huku chini. Serikali imejenga mashule lakini watoto hawana walimu. Hapa mjini tunaambiwa tukachangie walimu ili waweze kuongenza vinginevyo watoto wanacheza tu bila kufundisha.
nawa penda sana chadema mungu fanya miujiza yako kipe mada laka chadema ccm wa na tuonea sana mungu pokea dua zetu
Wenye akili wanakuelewa sana kamanda endelea kutoa elimu ya uraia
Wakenya raia aslimia 90 hawana Aridh imechukuliwa na Wacha he na magavana
Safi kabisa akili hiyo
Maneno anayosema ni kweli inatakiwa mwenye akili ndio utaelewa hamnazo na mwandawazimu kuelewa kazi nchi yako especially Sisi wagonjwa wa kuelewa utindio wa akili hafanyi kazi lakini Mie naomba Kwa mungu tuwe maskini wa kutupwa kama Malawi, na Kongo kila sehemu ya manufaa kuuzwe tubaki Sisi kama Sisi nchi yetu lakini wananchi tusiwe na kitu ndio watu watajua nchi ikoje viongozi wako wapi?
Uko sahihi kabisa
Enyi watanzania mshukuru mungu unaenda shambani kulima unavuna unapata ugali waulizeni majirani zetu kongo somalia, burundi tunatakiwa tumshukuru mungu siku zote tusikubali kushawishiwa ujinga. Ukuona hivyo hata huyo kiongozi naye ni chawa ma mama. Tuweni makini sisi watu wa chini mungu atusaidie watanzania. Hata marekani walikuwa matajiri baada ya miongo sembuse sisi. Mtoto hakui haraka kama unavyodhani huuu ni ushawishi kwani siasa ni mchezo mchafu. Waandamane wao na familia zao kwanza baada ya mwezi nasisi tutaandamana tuwaone watoto wao, wake zao, ndugu zao. Baada ya hapo tutaandamana
Huna akiri
Hufikirii wewe
Kweli kabisa mh Mbowe ndo maana viongozi wa kuteuliwa wananguvu kuliko waliochaguliwa na wananchi
Ingependeza sana,lakini katiba
Ni kweli kabisa Mh, Mbowe serikali imekuwa dalali mkubwa sana wanazuya Makapuni kuja kununua mazao yetu
Hata namna chadema mnavyoendsha chaguz zenu bado hakuna usawa hvyo toa kwnz kibanzi jichon mwako ndpo utoe Cha mwenzko umekuwa mwenyekiti wa chama mda mrf nawe watakiwa kuwapisha wenzko hyo ndio demokrasia
Mzeee wa Saccos
We mbona utoki kwenye uenyekiti
Mbona CCM,wakina Fulani tu ndo wao tu wanakula ,na hata wewe hujawi kukumbukwa.angalia familia ya Mzee Fulani wa CCM,yeye,mtoto,mama ndo wanaokula tu,Kwa nini hujawahi kuwaambia na wewe uwe waziri,mama Yako awe mbunge,
❤💪✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👌👌✌️✌️✌️
Hao ndio walimsapoti samia leo hawa ndio wanamsaliti tena wapendwa tuombe mungu atulinde watanzania hawa wote wanakutana jioni wanakula pamoja watanzania tusikubali kushawishiwa kumwaga damu waulizeni watoto wao wanasoma wapi kama wao pia sio hao hao?
Hapo kuna kumwaga damu wap Acha uchochezi
Natamani kujua elimu yako coz naona vision yako ni ndogo sana
Kweli kabisa mwamba
vijana amkeni jamaniiii. Nchi na kizazi chake kijacho inaaangamiaaa
Kweli kabisa
Anza na wewe lini cheo chako kitagombania na wengine DJ Mbowe"
Sisi wenye chama ndiyo tumemchagua tumeona anatufaa
Umpiga mshono
Sijui Kama yupo sahihi au anatafuta dona
Umeona mwaba mungu awape ulinzi aende navnyinyi polite tupo nyuma yenu tunawapendabsana msikate tamaa
Mh mmh huyu wakumuogopa kama ukoma maana huyu anataka kuchafua taifa
Achaa ujinga kahaba wewe kuchafuwaa nnchi unajuwà ninii wewe tulia uzae
Akili huna www pole sanan
Huo. Mpangomzuri lakini kamaunagawa nchi vipandevipande .......",
Baba tupo pamoja sana
Hapo kila mkoa utakua na uchumi wake
Ukosawa
Naona machawa ya mm kilemba mnatepeta kwa jinsi anavyo wakanyaga kwa taarifa yenu mbowe hatoki uenyekiti mbowe mitano tena ya uenyekiti chadema wala chadema msilogwe mkawasikiliza manyang'au na machawa wa chama cha majambazi
Ningetamani vijana waweze kukusikilizz na kuondoa uchawa.
Ata wewe jiulize mbona ataki kuachia kiti kama mstarabu
SAFI SANA KAMANDA MBOWE TUPO PAMOJA.
Katiba mpya ndio kilakitu
Sawa mheshimiwa Mbowe, tulitegemea viongozi watakua waadilfu kama mwalimu Julius K Nyerere, kumbe tumepata Curuta curuta !!
Tundu lissu hupo wapi?
Umeongea ukweli tunataka magavana
Mnataka shari? Toka kwanza wewe kwenye uenyekiti wa milele ndipo na ccm uwaambie watoke.
Unataka akammiliki mama ako?
huna jipya wa huni tuu nyinyi
Bora wahuni kuliko ccm
Tena vihuni afu mboe una kasauti kazuri ukiigiza kama gashi
Vyama viwili vya upinzani au vya siasa ---- chadema ni Chama cha upinzani,wakati ccm ni Chama tawala -- kosa hilo umekuwa ukilirudia Mara kwa Mara " rekebisha "
Hunampango
Kwahiyo CCM hakuna wanacho fanya ila kujaza matumbo yao tu.
Yes nn wanafanya
Mbona wewe utakikuachia uwenyekiti ili wengine wachaguliwe acha porojo mabadiliko yaazie kwako kwanza
Vijana waajiriwe
subiri serikali yako ya ukoo uje ufanye hivyo
Ukiwa mjinga na elimu ya std 7 au form 4 f au d;.huwezi kumwelewa Mbowe
Critical thinkers hawaropoki na kubwabwaja UKimsikiliza kwa fikra za ndani yupo sahihi
Magavana peleka boma ng'ombe huko ,,,waachie vijana wapambane utakuja kudondoka stejini umri imeenda huo
Naomba mungu aendelee kuwa mwenyekit mpaka 2o3o
Alishamla mama ako? Bas ni baba ako
Katiba kweli ibadilishwe kila Raisi aliyefanya makosa na kuhaki serikali washtakiwe wote ndio wanagombania katiba isibadilishwe kutokana maovu wanayofanya ni mengi mbaya dhuluma wanayajua hayo
Wasiishie tu kushitakiwa,bali watahifishwe mali walizojilimbikizia bila kuzitolea jasho.
Hiyu muhuni tu
Mhuni ww mwenyewe muone
User muhuni ni wewe, na humuelew🎉i mbowe
muhim watanzania fanyeni kazi huyu keshashiba siku nyingi anatafuta kick! wewe umepoteza muda unaacha kazi unalala njaa ukitegemea siasa utaumia!
HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIV HIV SAS KIKUWAP LEO😢😢😢
Siasa ni njaa ukiwekewa ugari unasahau
Hongera sana Mwenyekiti
Walimsema marehemu wakamchukia leo hao ndio walimsapoti mama je leo wanataka nini? Tusikubali kushawishiwa kumwaga damu wao wanatuchochea alafu wao wanaenda angani wanatushangaaa tutakapo uwana. Hiii yote na uchu wa madaraka usikibali kushawishika wapendwa jifunzeni kwa walibya leo hawana hata pa kulala yote hayo ni uchu wa madaraka. Tujiangalie tuache kushawishiwa ujinga.