Sababu za UKIMYA wa Wanaume kwenye Mahusiano | Uponyaji wa Familia | Pastor Deo Sukambi |
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Deo Sukambi.
Leo tutajifunza SABABU ZA UKIMYA WA WANAUME KWENYE MAHUSIANO
Unaweza kupata kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU WANAUME kwa link hii
www.getvalue.c...
Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ sukambideo
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.co...
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Huyu jamaa ukimfuatilia utamkubali tu yani anajua mwamba big up sana mdogo wangu Deo
Asante kaka ninejifunza vitu vingi sana kuhusu wanaumee nilikuwa nagombana karibu kila siku na mume wangu nimejirekebisha kupitia wewe nakufatilia kutoka sweden ❤
Asante sana Fatma..nafurahi kusikia kuwa umejirekebisha
🙏
Habari Yako Mr Deo nashukuru sana kwa good lesson 😇 kwaajili ya kuwatambua waumee zetu zaidi kwa upande wangu nilikuwa namuona kimya hataki kabisa nimuhoji nikawa simsikilizi kabisa namuhoji kila wakati ili aniambiee kinacho msibu but akawa anafokea na kuniambia kwa hupendi kunisikiliza ninacho kwambia but nikawa mpole na kusikiliza hata leo ninavyo kwambia nikikuta that situation kma ni kimya najua hyo mtu yupo ktk dunia ya kutatua changamoto zake au zetu 😅 kwa hyo namwambia naomba ukapumzike kabisa 😆 so nilipo sikiliza hii nimecheka sna 😅 na kujifunza zaidi shukran sna Mr Deo Mungu akubariki zaidi kwa unachokifanya aamin am from zanzibar.
Very good..ulijua kumuelewa mumeo..itawafaa sana
Barikiwa sana kaka nimejifunza vizngi sana kutoka kwako nipo omani na nimekuwa mpya kabisa kwenye maisha yangu nakuombeya mungu akupe umri mrefu kaka yangu
Asante sana ndugu
Dr. Uko vzr
Ni kweli tumejifunza sana alhamdulillaah ubarikiwe
Amen amen
Asante sana mutumichi wa mungu unanisaidia Mungu akupe maisha malefu uzidi kusaidiana
❤❤❤ kaka umenipa moyo sana make nilikuwa nachukia kweli kwa ukimya wake maana Dah! Huwa inakera sana. Ila saivi nimepata majibu.
Asante sana
Asante Sana kakaangu nimeelewa zaidi kuhusu mwanaume. Umwalim mzuri sana
Asante sana
Ubarikiwe sana kaka umekua ukinitibu sana na semina zako.
Exactly
Kitabu chako kimenisaidia jinsi ya kuishi na hawa viumbe ni kizuri mnooo
😊
Asante sana barikiwa
Asant San baba leo nimejifunza kitu nilikuw nalalamika san ila Leo nimejifunza kitu nashukuru sana na Mungu akubarik 🙏
Amen amen
Asant sana sur wallah kila siku nagomban nawenzi wangu kisa namuuliza kitu anakuja kuniambia et ulikuwa ukisem nin hapo naanza fikaa mbaya kwe ila leo nimejifunza kutok kwako asant sana🙏🙏🙏
Nimekuelewa Mtumishi, asante kwa mafundisho mazuri.
Hongera mtumishi Mungu akuinue zaid karibu biharamulo kwa pastor mahili
DAAH ASANTE PASTOR ILA KUNA WANAUME WANANUNA SANA 😄
Amen
Ahsante kw somo zr
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Mimi nafatiliya kila kipindi chako niko Kuwait warabuni
Amen..asante sana kutoka Kuwait..nimefurahi
Shukran sana. 🙏
Nakufutilia nikiwa mwanza ubarikiwe sana kwa somo zuri.
Shukran nimejifunzakitu ❤
Mimi ni KaMBALE vahugho Charles pa Congo DRC. N'a shukuru sana
Asante sana ndugu
😂😂😂... Asante Mr Deo nimejifunza kitu muhimu sana 🙏🙏
Amina na barikiwa sana, huu ni ukweli 🎉
Sidhani uko sahihi Deo kwenye haya. Kinachotakiwa ni mwanaume ajue psychology ya mwanamke na mwanamke ajue psychology ya mwanaume na kila mtu ajaribu kuji adjust kutokana na mapungufu ya mwenzake
Asante..wewe unaijua psychology ya wanaume?
Kwanini kila video yako inaanza na ukimya adi nafikiria simu yangu ndio iko na shida
Asante Pastor Deo,ndo hali ninayopitia sasa na mpenzi wangu,ghafla amekuwa kimya nilihisi anipendi tena kumbe makosa ni yangu,kuna mambo nimeyatenda sikufahamu kuwa yaweza mfanya kuwa kimya,ki ukweli ili somo limenitoa machozi na najiona ni mkosaji sana na pia nilikuwa namuomba Mungu anipe jibu la kwa nini yupo kimya sasa nimelipata.Pastor naumia sana nahitaji nianze upya,ni nini nikifanye kwa kipindi hiki yeye yupo kimya?
Nashukuru sana umenifundisha sana
Umenifurahisha sana jamani
Nimejifunza kitu kikubwa mno leo. Mungu akubariki Sana mtumishi ndoa zetu zikapone, maana tunaharibu wenyewe
Hakika nitaanza kujishkilia😅😂
Ubarikiwe
I like you doc 😊
Bless up ❤
Thanks
Asante kiongozi umenitoa mbali kwakweli
Amen.God Bless You abundantly Pastor Sir🙌🇹🇿
Amen amen
Kipindi kizuri sana. Hongera kaka Deo
Kipindi kizuri sana. Hongera kaka Deo
God bless you 🙏
Nashukuru umenifudisha tabia yakulshi na mume
Asante sana kwa hii🙏
yani leo umeniambia kitu kikubwa sana yan nilikua nakasirika nikidhani mume wng ana kua ana ninunia kumbe ndo mlivyo had nikawa namwambia acha tabia ya kununa nuna wanawake hua ndo tunanuna na sio nyie wanauma yani iyo tabia ilikua inanikeraaa sana yani sijui nisemeje saingine mtu unakua ata unajutia
Amina ubarikiwe sana kaka
na nilikua nikimuuliza kwanini unanuna nuna ovyo anakwambia sinuni nakua sijisikii tu kuongea eeh aiseh 🙌
Hanuni bana ndio tulivyo😆😆😆😆😆😆
Ubarikiwe kabisa nimejifunzamengi
Nashukuru sana aisee
Karibu
Shukran sana
Amen 🙏 God bless you
My brother that's true
Amina
Asante kaka
Kuna wanaume wanataka wangee wao kama wako nawanaume wengine musiseme wanamke tu. History ya kunikwaza vizuri ayiache
me wangu kutwa nzima kanuna me nachukia kweli
Uko sawa nimekuelewa kaka saaana
Love from oman🇴🇲❤️
Nikweli Mungu aturehemu 🙏
Amen 🙏
Mume wangu alikuwa mkinya sana Hadi mkigombana ana nyamaza nilikuwa nachukia kimya chake
Msamehe bure..ndivyo tulivyo
Nilimtumia message mia 😢mbaka sai haijaireplaiwa😅😅😅
🤣🤣🤣
Mvumilie
Asante sana kaka mimi niko kwenye mahusiano na kaka mmoja hivi yaan siku nzima inapita hakutafuti mpaka usiku saa nne ndo anakujulia hali mimi hii kitu inanikera sana mpaka nahisi labda ana mwanamke mwingine ila yeye anasema anakuwa bz sana mpaka muda wa kushika simu anakosa tuko mtaa mmoja lakini naweza kumaliza hata wiki 1au mbili hatujaonana je huyu ana upendo kweli au nimevamilia penzi la mtu
Mmmmh ubize gani huo 😊
@@hasfaastore929 ndo sielewi ila nikikaa nae nikama ananipenda
Shukran Sana tumejinza mengi
My man is so silent had namboeka ...............how can we be living together without communicating?
Talking is not communication
Fact ❤❤❤
Kabisa
Kama wameumbwa kufocuss na jambo moja ,,,, inakuwaje wanaona Bora kuwa na wake zaid ya mmoja..?
Hahahaa
1. Mke sio "jambo"
2. Wanaume wengi hawajui kama wana hiyo nature ya kushindwa kudili na mambo mengi
3. Wengi wanaooa wake wengi ni kwasababu wanatafuta mke ambaye anaweza kumsaidia kufocus..akivurugwa na huyu anaongeza mwingine akiamini anatatua tatizo kumbe inawezekana anaongeza
4. Tofautisha ASILI na UTASHI..utashi unawasukuma kuoa wake wengi, asili inagoma ndo maana wengi wanapata shida na wake wengi
@@DeoSukambi shukuruni Mungu azidi kutusimamia maan hizo focus kwake ndo hadi pawepo na uelewano eti,
Nimefatilia waalimu wengi upande wa mahusiano nimengundua wewe upo makini na unagusa vitu mhimu
Natazama hii video kutoka Kenya 🇰🇪 Stella
Mm nakusikiza nikiwa eldoret Mimi n amina
Duuu❤❤
Nakubaliana na ww Sanaa 😂😂
Asante
Huyo ni mine wangu ndio anatabia hizo hizo zote
Asante
Hiyo kuwa kimya yao ndio inawaletea kufaliki mapema na ugonjwa waroho kwanii wanaweka ndani ya miyoyo yawo . Wanamke kusema ndo kupona kwao kwani hana nguwu yakujipigania kingivu wanaume kuna ambae anakuwa kimya kumbe anapanga mabaya kwamwenzio
Ni kusena ya kuwa wanaume ni watu wangu kuongea Hiyo sasa ukiwa hivo mukeo atajuwa aje yaku unatafuta shuluhisho na hawezi ingia kwenye mawazo yenu. Mbona dunia inafika mbali na dunia inajaa wanaume?
Kwa hiyo wanaume wanakataa ili wasiombe msamaha..I referred to your example mwanamke aliye mfumania mume wake;mume akakataa. So sad
Yeah..ni rahisi wao kukataa kuliko kuomba msamaha..kukataa kuna preserve manhood, kuomba msamaha kunaua manhood especially kama amebanwa kwenye kona ya kuhojiwa na mkewe
Weee me wangu kutwa nzima kanuna2 ananikera kweli
Km mm
Mimi naitwa Rukia nipo Oman
Bwana we mnajitetea tu ,kila kitu ni utayar na kila kitu ni msingi kama mumewekeana misingi ya kuwasiliana kuna misingi kuongea na nani unawasiliana nae na nani unaongea nae kila kitu mnaweza mbona mkipata michepuko mnayaeleza yote tena Kwa utuo kwa kuyachambuo moja Hadi moja ,hapo sioni chochote zaid ya kutetea na kuzidisha kukuwa Kwa hio tabia ktk familia
Ukiona mwanaume anaongea kuhusu saikolojia ya wanaume hlf mwanamke ndio anapinga basi ujue huyu anayepinga ana tatizo kubwa..ni sawa na mwanamke aongee saikolojia ya wanawake hlf mimi mwanaume nipinge, itakuwa mimi nina shida..angepinga hizi hoja mwanaume nafikiri kungekuwa kuna tatizo lakini wanaume wanakubaliana na hiki ninachokisema ingetosha sana kukusaidia kujua kuwa unachojua na kuamini kuhusu wanaume sicho na ukajifunza
Unavyosema viumbe wengine wamechanganyika unamaanisha watu gani hao naomba ufafanuzi wako..
Na kuna wanaume wanaongea kama ndege
Na mwanaume ambaye ameondk kwakukwaluzan alaf haji nymbn kunitafuta anitafuti mpak nimtafute na anamgogolo wakazin kwao huyo han dharau kwel na online unamuona lakn hanitfat ukimulza kwann unitafti anajibu Kwan ww ukinitaft Kun nn nahuyo nivipi nimeache au naomb nijibiwe jamn
Aisee nimejikuta nacheka maana huyu ni mimi kabisa sikumoja mwanangu aliniambia nimemkuta baba anaongea saana kule kijiwen mi nikashangaa hee hiv anaongeaga maana hapa home mimi ndo muonfeaji jaman😂😂😂 Mungu anisaidie kumbe anaamuaga kunyamaza
Mmh nmejifunza pia yan mm pia huu mdomo wangu ndio unampa stress kaka wa watu yan nikianza kulalamika ni masaa manne mwanaume yupo kimya tu na mada ninavyozichanganya sasa😂😂😂
God bless you
Naitwa shamimu natokea napatikan Kenya
😂😂kumbe awa jamaa hawananga uwezo wa kufikiria mambo ma wili kwa mara moja, minacheka kweli, nawaelewa basi nitapunguza maneno.
Mim anakua kimya San
Deo jmn unaongea sana bila kwenda kwenye point pia mda mref unaongea
Ndio namna yangu ya kufundisha ndugu..pole sana kama inakuwia vigumu kunielewa
Kujakutana na wanawake ambao ni wakimya
KWELI KABISAA YANI HIZO TABIA ZOTEEEE NINANZO,I USED TO KEEP SILENT WAKATI MKE WANGU ANAONGEA..... WANAWAKE WENGI NI PROBLEM CRAETORS NA WANAUME WENGI NI PROBLEM SOLVERS
Safi
😂😂😂😂 kwahio tukiongea sana hawaelewi
😂😂😂😂😂
Hatar
Moçambique
Wooow
Asante kwa kutufatilia kutoka Mozambique
Kuna wanaume wanaongea mpaka basi nahawezi kua kimyaa atakutafuta wanawake wengi kuchati nao ilimradi apate kuongea nao tu inakuaje hii kaka😮😅
Hellow pastor nmekua nikijifunza vingi sana toka kwako naomba kuuliza
1. Je kitabu chako cha usichojua kuhusu mwanaume audio nakipataje na bei yake shingap
2. Je namna gani ukimya wa mwanaume unaweza leta madhara badala yakutatua changamoto akaamua yeye kujiondoa dunian kimya kimya ?
3. Ni namna gan unaweza mpenda mungu wakati jilan yako haumpend/ je namna gan unaweza kumwombea mema adui yako ilihali akiadhibiwa moyo wako unahisi maombi yako yamejibiwa yan unafurahia na ulikua unamuombea mabaya kama malipo?
Asante sana
1. Bei yake ni 15,000..wasiliana nasi kwa namba ya simu kwenye description
Maswali yako nitajibu kwenye kipindi leo..ila swali la tatu liweke vizuri sijaelewa
❤Z
Sasa ikiwa mwanamme amekosea na kosa lenyewe linahusiana na yale anayokwambia utafanyaje ili kufikisha ujumbe?
My mentor.........
Naam..asante kwa kunifatilia
Kuongea ndio maumbile yetu, na wanawake ndio maumbile yao. Sasa tufanyeje baba
Sa ndo anunenine hovyo???
Kama kweli ananua basi hayupo sawa ila isije ikawa unachanganya yeye kukaa kimya na kununa..wanawake wengi huwa hawawezi kutofautisha
😂sio mimi hapo...
Ni kweli Mchungaji Deo Mimi Niko ivyo na likologa Sana kwa kusema Sana,je Ni kila mwanamke Yuko ivyo? Mbona wanaume wakikimbia maneno ya wake zao uwa wanaenda kwa mchepuko na he mchepuko yeye Ana maneno maneno?
Asante kwa swali lako..nitalijibu leo kwenye kipindi
Tafadhali kuna kelele kwenye video zako. From Italy. Chris Mauki video sale ziko very clear bila kelele wala sound
Asante sana kwa mrejesho..nimeshawasiliana na watu wa technical wanalifanyia kazi..
We naye mmbea tu kwani lazima umtolee mfano wa Mauki? Siuseme tu atoe kelele basi ....
@@joycehaule9717umesema aisee
Hapo kwenye kujishkilia ss wakati amekosea 😂😂😂
Eti vikao avinaga ajenda wala havijulikanii vilianza aje na vitaisha saa ngapi😂😂😂😂
Ila apo kwenye uongo mmh niwaongo kweli😅😅😅
😪😪 me mpenz wangu ni ananuna nuna ovyo ad nakelekwa yan daah naumia sana
Kama kweli ananuna Huyo sasa atakuwa na tatizo la kisaikolojia..japo pia wakati mwingine wanawake hutafsiri ukimya wa wanaume kama kununa..ila wapo wanaume wanaonuna
@@DeoSukambi nimemfatilia sana now ndo nimejua kua amepitia maisha magumu ya kuteseka na pia ni yatima ila sasa ataki ata kuongea na mm sijui kwann amekaa kimya na ata ndugu zake naulizia wanasema ndo ivyo anapenda kujiweka peke ake nifanyaje
Kama amepitia maisha hayo na ni yatima its obviuos atakuwa na tatizo la anxiety disorder na mengineyo..muhimu muelewe kwanza usilazimishe kufanya kitu ambacho hayupo tayari kufanya
@@DeoSukambi sawa nimekuelewa nitamuacha tu sito msumbua now
Good..akiwa tayari kuzungumza utaanzia hapo kumuelewa zaidi..hajifanyishi ni tatizo alilonalo ndo linafanya awe hivyo
PASTOR UMEPIGA MWINGI SANA,YANI WIFE YANGU HUA ANAONGEA ASILIMIA 95% MIMI ANANIACHIA TANO 5% TUUUUUU HAHAHAHA SHIKAMOOO WANAWAKE
Asante sana ndugu
😅😅😅
HUO NI MTEGO HAHAHAHAAAAAAA
katafute pesa