Sababu za UKIMYA wa Wanaume kwenye Mahusiano | Uponyaji wa Familia | Pastor Deo Sukambi |

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Deo Sukambi.
    Leo tutajifunza SABABU ZA UKIMYA WA WANAUME KWENYE MAHUSIANO
    Unaweza kupata kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU WANAUME kwa link hii
    www.getvalue.c...
    Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / sukambideo
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    www.youtube.co...
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

КОМЕНТАРІ • 161

  • @sijartv9554
    @sijartv9554 10 місяців тому +6

    Huyu jamaa ukimfuatilia utamkubali tu yani anajua mwamba big up sana mdogo wangu Deo

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Рік тому +19

    Asante kaka ninejifunza vitu vingi sana kuhusu wanaumee nilikuwa nagombana karibu kila siku na mume wangu nimejirekebisha kupitia wewe nakufatilia kutoka sweden ❤

  • @nauriyasalim2045
    @nauriyasalim2045 10 місяців тому +4

    Habari Yako Mr Deo nashukuru sana kwa good lesson 😇 kwaajili ya kuwatambua waumee zetu zaidi kwa upande wangu nilikuwa namuona kimya hataki kabisa nimuhoji nikawa simsikilizi kabisa namuhoji kila wakati ili aniambiee kinacho msibu but akawa anafokea na kuniambia kwa hupendi kunisikiliza ninacho kwambia but nikawa mpole na kusikiliza hata leo ninavyo kwambia nikikuta that situation kma ni kimya najua hyo mtu yupo ktk dunia ya kutatua changamoto zake au zetu 😅 kwa hyo namwambia naomba ukapumzike kabisa 😆 so nilipo sikiliza hii nimecheka sna 😅 na kujifunza zaidi shukran sna Mr Deo Mungu akubariki zaidi kwa unachokifanya aamin am from zanzibar.

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  10 місяців тому +1

      Very good..ulijua kumuelewa mumeo..itawafaa sana

  • @SsAl-bp8wc
    @SsAl-bp8wc 10 місяців тому +4

    Barikiwa sana kaka nimejifunza vizngi sana kutoka kwako nipo omani na nimekuwa mpya kabisa kwenye maisha yangu nakuombeya mungu akupe umri mrefu kaka yangu

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  10 місяців тому +1

      Asante sana ndugu

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw 2 місяці тому +1

    Dr. Uko vzr

  • @KhadijaSultan-q8y
    @KhadijaSultan-q8y 10 місяців тому +3

    Ni kweli tumejifunza sana alhamdulillaah ubarikiwe

  • @nimpayeibrahim
    @nimpayeibrahim 6 місяців тому

    Asante sana mutumichi wa mungu unanisaidia Mungu akupe maisha malefu uzidi kusaidiana

  • @mussangangala836
    @mussangangala836 9 місяців тому +1

    ❤❤❤ kaka umenipa moyo sana make nilikuwa nachukia kweli kwa ukimya wake maana Dah! Huwa inakera sana. Ila saivi nimepata majibu.

  • @JoyceLucas-zk7nv
    @JoyceLucas-zk7nv 6 місяців тому +1

    Asante Sana kakaangu nimeelewa zaidi kuhusu mwanaume. Umwalim mzuri sana

  • @Adamumwambiji
    @Adamumwambiji 11 місяців тому +2

    Ubarikiwe sana kaka umekua ukinitibu sana na semina zako.

  • @jenifaamosi8649
    @jenifaamosi8649 10 місяців тому +2

    Exactly
    Kitabu chako kimenisaidia jinsi ya kuishi na hawa viumbe ni kizuri mnooo
    😊

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  10 місяців тому

      Asante sana barikiwa

  • @monicaanthony683
    @monicaanthony683 9 місяців тому +1

    Asant San baba leo nimejifunza kitu nilikuw nalalamika san ila Leo nimejifunza kitu nashukuru sana na Mungu akubarik 🙏

  • @متعبالصيعري-ك2ي
    @متعبالصيعري-ك2ي 9 місяців тому

    Asant sana sur wallah kila siku nagomban nawenzi wangu kisa namuuliza kitu anakuja kuniambia et ulikuwa ukisem nin hapo naanza fikaa mbaya kwe ila leo nimejifunza kutok kwako asant sana🙏🙏🙏

  • @MensiaGabriely
    @MensiaGabriely 9 місяців тому

    Nimekuelewa Mtumishi, asante kwa mafundisho mazuri.

  • @AlexAlphonce-m8b
    @AlexAlphonce-m8b 9 місяців тому

    Hongera mtumishi Mungu akuinue zaid karibu biharamulo kwa pastor mahili

  • @janethmlay7602
    @janethmlay7602 7 місяців тому +2

    DAAH ASANTE PASTOR ILA KUNA WANAUME WANANUNA SANA 😄

  • @SubiraSanga
    @SubiraSanga 6 місяців тому +1

    Ahsante kw somo zr

  • @EsperanceNsabimana
    @EsperanceNsabimana 7 місяців тому +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
    Mimi nafatiliya kila kipindi chako niko Kuwait warabuni

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 місяців тому

      Amen..asante sana kutoka Kuwait..nimefurahi

  • @sein.208
    @sein.208 4 місяці тому

    Shukran sana. 🙏

  • @erastohongerasanasamamagor7939
    @erastohongerasanasamamagor7939 7 місяців тому

    Nakufutilia nikiwa mwanza ubarikiwe sana kwa somo zuri.

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 10 місяців тому +1

    Shukran nimejifunzakitu ❤

  • @GermaineKaronde
    @GermaineKaronde 7 місяців тому +1

    Mimi ni KaMBALE vahugho Charles pa Congo DRC. N'a shukuru sana

  • @gloryswai3119
    @gloryswai3119 8 місяців тому

    😂😂😂... Asante Mr Deo nimejifunza kitu muhimu sana 🙏🙏

  • @JanethMajembe
    @JanethMajembe 11 місяців тому +1

    Amina na barikiwa sana, huu ni ukweli 🎉

  • @Fatma-n2u1k
    @Fatma-n2u1k Рік тому +3

    Sidhani uko sahihi Deo kwenye haya. Kinachotakiwa ni mwanaume ajue psychology ya mwanamke na mwanamke ajue psychology ya mwanaume na kila mtu ajaribu kuji adjust kutokana na mapungufu ya mwenzake

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Рік тому

      Asante..wewe unaijua psychology ya wanaume?

  • @eddymaphy
    @eddymaphy 7 місяців тому +4

    Kwanini kila video yako inaanza na ukimya adi nafikiria simu yangu ndio iko na shida

  • @reginajoel3785
    @reginajoel3785 4 місяці тому

    Asante Pastor Deo,ndo hali ninayopitia sasa na mpenzi wangu,ghafla amekuwa kimya nilihisi anipendi tena kumbe makosa ni yangu,kuna mambo nimeyatenda sikufahamu kuwa yaweza mfanya kuwa kimya,ki ukweli ili somo limenitoa machozi na najiona ni mkosaji sana na pia nilikuwa namuomba Mungu anipe jibu la kwa nini yupo kimya sasa nimelipata.Pastor naumia sana nahitaji nianze upya,ni nini nikifanye kwa kipindi hiki yeye yupo kimya?

  • @EliminathaErasmi
    @EliminathaErasmi 11 місяців тому +1

    Nashukuru sana umenifundisha sana

  • @janethnjau
    @janethnjau 11 місяців тому +3

    Umenifurahisha sana jamani

  • @evelynwilbert3431
    @evelynwilbert3431 8 місяців тому

    Nimejifunza kitu kikubwa mno leo. Mungu akubariki Sana mtumishi ndoa zetu zikapone, maana tunaharibu wenyewe

  • @RahmaEmedi
    @RahmaEmedi 7 місяців тому +1

    Ubarikiwe

  • @DBrownstain
    @DBrownstain 9 місяців тому +2

    I like you doc 😊
    Bless up ❤

  • @angelchuwa3668
    @angelchuwa3668 9 місяців тому

    Asante kiongozi umenitoa mbali kwakweli

  • @Dmsiris5
    @Dmsiris5 Рік тому +2

    Amen.God Bless You abundantly Pastor Sir🙌🇹🇿

  • @HawaMatona
    @HawaMatona 6 місяців тому

    God bless you 🙏

  • @SkolaMichael-s4x
    @SkolaMichael-s4x 9 місяців тому

    Nashukuru umenifudisha tabia yakulshi na mume

  • @reginarichard3349
    @reginarichard3349 8 місяців тому

    Asante sana kwa hii🙏

  • @elizabethdamas-zp9xl
    @elizabethdamas-zp9xl Рік тому +8

    yani leo umeniambia kitu kikubwa sana yan nilikua nakasirika nikidhani mume wng ana kua ana ninunia kumbe ndo mlivyo had nikawa namwambia acha tabia ya kununa nuna wanawake hua ndo tunanuna na sio nyie wanauma yani iyo tabia ilikua inanikeraaa sana yani sijui nisemeje saingine mtu unakua ata unajutia

  • @مينينميميويويوي
    @مينينميميويويوي 8 місяців тому

    Amina ubarikiwe sana kaka

  • @elizabethdamas-zp9xl
    @elizabethdamas-zp9xl Рік тому +5

    na nilikua nikimuuliza kwanini unanuna nuna ovyo anakwambia sinuni nakua sijisikii tu kuongea eeh aiseh 🙌

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Рік тому +1

      Hanuni bana ndio tulivyo😆😆😆😆😆😆

    • @jojosada174
      @jojosada174 11 місяців тому +1

      Ubarikiwe kabisa nimejifunzamengi

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 10 місяців тому +1

    Nashukuru sana aisee

  • @Muna-h8b
    @Muna-h8b 9 місяців тому

    Shukran sana

  • @TrizahBhoke
    @TrizahBhoke 11 місяців тому +1

    Amen 🙏 God bless you

  • @TatuMzindakaya
    @TatuMzindakaya 11 місяців тому +1

    My brother that's true

  • @SkolaMichael-s4x
    @SkolaMichael-s4x 9 місяців тому

    Amina

  • @JanethStanley
    @JanethStanley 10 місяців тому +1

    Asante kaka

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 9 місяців тому

    Kuna wanaume wanataka wangee wao kama wako nawanaume wengine musiseme wanamke tu. History ya kunikwaza vizuri ayiache

  • @jacklineRashid-k5w
    @jacklineRashid-k5w 10 місяців тому +3

    me wangu kutwa nzima kanuna me nachukia kweli

  • @JonasaniBulegea
    @JonasaniBulegea 8 місяців тому

    Uko sawa nimekuelewa kaka saaana

  • @mouzahal-alawi6474
    @mouzahal-alawi6474 10 місяців тому +2

    Love from oman🇴🇲❤️

  • @bonifacebeatrice3981
    @bonifacebeatrice3981 11 місяців тому +2

    Nikweli Mungu aturehemu 🙏

  • @janetkwatalami
    @janetkwatalami 9 місяців тому

    Amen 🙏

  • @ChristineRobert-i6k
    @ChristineRobert-i6k 7 місяців тому +1

    Mume wangu alikuwa mkinya sana Hadi mkigombana ana nyamaza nilikuwa nachukia kimya chake

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 місяців тому

      Msamehe bure..ndivyo tulivyo

  • @rosechemaiyo4900
    @rosechemaiyo4900 10 місяців тому +4

    Nilimtumia message mia 😢mbaka sai haijaireplaiwa😅😅😅

  • @TheodothaTati
    @TheodothaTati 9 місяців тому

    Asante sana kaka mimi niko kwenye mahusiano na kaka mmoja hivi yaan siku nzima inapita hakutafuti mpaka usiku saa nne ndo anakujulia hali mimi hii kitu inanikera sana mpaka nahisi labda ana mwanamke mwingine ila yeye anasema anakuwa bz sana mpaka muda wa kushika simu anakosa tuko mtaa mmoja lakini naweza kumaliza hata wiki 1au mbili hatujaonana je huyu ana upendo kweli au nimevamilia penzi la mtu

    • @hasfaastore929
      @hasfaastore929 8 місяців тому

      Mmmmh ubize gani huo 😊

    • @TheodothaTati
      @TheodothaTati 8 місяців тому

      @@hasfaastore929 ndo sielewi ila nikikaa nae nikama ananipenda

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 8 місяців тому

    Shukran Sana tumejinza mengi

  • @EddyEddie-q8y
    @EddyEddie-q8y Місяць тому +1

    My man is so silent had namboeka ...............how can we be living together without communicating?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Місяць тому

      Talking is not communication

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Рік тому +1

    Fact ❤❤❤

  • @agnessshole
    @agnessshole 9 місяців тому +4

    Kama wameumbwa kufocuss na jambo moja ,,,, inakuwaje wanaona Bora kuwa na wake zaid ya mmoja..?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  9 місяців тому +2

      Hahahaa
      1. Mke sio "jambo"
      2. Wanaume wengi hawajui kama wana hiyo nature ya kushindwa kudili na mambo mengi
      3. Wengi wanaooa wake wengi ni kwasababu wanatafuta mke ambaye anaweza kumsaidia kufocus..akivurugwa na huyu anaongeza mwingine akiamini anatatua tatizo kumbe inawezekana anaongeza
      4. Tofautisha ASILI na UTASHI..utashi unawasukuma kuoa wake wengi, asili inagoma ndo maana wengi wanapata shida na wake wengi

    • @agnessshole
      @agnessshole 9 місяців тому

      @@DeoSukambi shukuruni Mungu azidi kutusimamia maan hizo focus kwake ndo hadi pawepo na uelewano eti,

    • @ZawadiTrainingCollege
      @ZawadiTrainingCollege 4 місяці тому

      Nimefatilia waalimu wengi upande wa mahusiano nimengundua wewe upo makini na unagusa vitu mhimu

  • @StellaWanjala-l7e
    @StellaWanjala-l7e 10 місяців тому

    Natazama hii video kutoka Kenya 🇰🇪 Stella

  • @MarylineAmina
    @MarylineAmina 10 місяців тому +1

    Mm nakusikiza nikiwa eldoret Mimi n amina

  • @GraceMkumbo-s8z
    @GraceMkumbo-s8z 8 місяців тому

    Duuu❤❤

  • @OmanOkk-y5i
    @OmanOkk-y5i 10 місяців тому +2

    Nakubaliana na ww Sanaa 😂😂

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 8 місяців тому +1

    Huyo ni mine wangu ndio anatabia hizo hizo zote

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Рік тому

    Asante

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 9 місяців тому

    Hiyo kuwa kimya yao ndio inawaletea kufaliki mapema na ugonjwa waroho kwanii wanaweka ndani ya miyoyo yawo . Wanamke kusema ndo kupona kwao kwani hana nguwu yakujipigania kingivu wanaume kuna ambae anakuwa kimya kumbe anapanga mabaya kwamwenzio

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 9 місяців тому

    Ni kusena ya kuwa wanaume ni watu wangu kuongea Hiyo sasa ukiwa hivo mukeo atajuwa aje yaku unatafuta shuluhisho na hawezi ingia kwenye mawazo yenu. Mbona dunia inafika mbali na dunia inajaa wanaume?

  • @zurisana8068
    @zurisana8068 7 місяців тому +1

    Kwa hiyo wanaume wanakataa ili wasiombe msamaha..I referred to your example mwanamke aliye mfumania mume wake;mume akakataa. So sad

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  7 місяців тому +1

      Yeah..ni rahisi wao kukataa kuliko kuomba msamaha..kukataa kuna preserve manhood, kuomba msamaha kunaua manhood especially kama amebanwa kwenye kona ya kuhojiwa na mkewe

  • @jacklineRashid-k5w
    @jacklineRashid-k5w 10 місяців тому

    Weee me wangu kutwa nzima kanuna2 ananikera kweli

  • @RukiaMdide
    @RukiaMdide 4 місяці тому

    Mimi naitwa Rukia nipo Oman

  • @FatmaOmar-r1t
    @FatmaOmar-r1t 10 місяців тому +1

    Bwana we mnajitetea tu ,kila kitu ni utayar na kila kitu ni msingi kama mumewekeana misingi ya kuwasiliana kuna misingi kuongea na nani unawasiliana nae na nani unaongea nae kila kitu mnaweza mbona mkipata michepuko mnayaeleza yote tena Kwa utuo kwa kuyachambuo moja Hadi moja ,hapo sioni chochote zaid ya kutetea na kuzidisha kukuwa Kwa hio tabia ktk familia

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  10 місяців тому +2

      Ukiona mwanaume anaongea kuhusu saikolojia ya wanaume hlf mwanamke ndio anapinga basi ujue huyu anayepinga ana tatizo kubwa..ni sawa na mwanamke aongee saikolojia ya wanawake hlf mimi mwanaume nipinge, itakuwa mimi nina shida..angepinga hizi hoja mwanaume nafikiri kungekuwa kuna tatizo lakini wanaume wanakubaliana na hiki ninachokisema ingetosha sana kukusaidia kujua kuwa unachojua na kuamini kuhusu wanaume sicho na ukajifunza

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 11 місяців тому

    Unavyosema viumbe wengine wamechanganyika unamaanisha watu gani hao naomba ufafanuzi wako..

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 9 місяців тому +1

    Na kuna wanaume wanaongea kama ndege

  • @doricedaniel-g6s
    @doricedaniel-g6s Рік тому +5

    Na mwanaume ambaye ameondk kwakukwaluzan alaf haji nymbn kunitafuta anitafuti mpak nimtafute na anamgogolo wakazin kwao huyo han dharau kwel na online unamuona lakn hanitfat ukimulza kwann unitafti anajibu Kwan ww ukinitaft Kun nn nahuyo nivipi nimeache au naomb nijibiwe jamn

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 8 місяців тому

    Aisee nimejikuta nacheka maana huyu ni mimi kabisa sikumoja mwanangu aliniambia nimemkuta baba anaongea saana kule kijiwen mi nikashangaa hee hiv anaongeaga maana hapa home mimi ndo muonfeaji jaman😂😂😂 Mungu anisaidie kumbe anaamuaga kunyamaza

    • @MaryamHaruna-f3r
      @MaryamHaruna-f3r 7 місяців тому

      Mmh nmejifunza pia yan mm pia huu mdomo wangu ndio unampa stress kaka wa watu yan nikianza kulalamika ni masaa manne mwanaume yupo kimya tu na mada ninavyozichanganya sasa😂😂😂

  • @satomatondo-wr9ss
    @satomatondo-wr9ss 9 місяців тому

    God bless you

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw 2 місяці тому

    Naitwa shamimu natokea napatikan Kenya

  • @joycehefsiba2750
    @joycehefsiba2750 8 місяців тому

    😂😂kumbe awa jamaa hawananga uwezo wa kufikiria mambo ma wili kwa mara moja, minacheka kweli, nawaelewa basi nitapunguza maneno.

  • @RachelBazili
    @RachelBazili 9 днів тому

    Mim anakua kimya San

  • @mwanaidhozzer1575
    @mwanaidhozzer1575 10 місяців тому +1

    Deo jmn unaongea sana bila kwenda kwenye point pia mda mref unaongea

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  10 місяців тому +1

      Ndio namna yangu ya kufundisha ndugu..pole sana kama inakuwia vigumu kunielewa

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 9 місяців тому

    Kujakutana na wanawake ambao ni wakimya

  • @songweforecast9685
    @songweforecast9685 10 місяців тому +2

    KWELI KABISAA YANI HIZO TABIA ZOTEEEE NINANZO,I USED TO KEEP SILENT WAKATI MKE WANGU ANAONGEA..... WANAWAKE WENGI NI PROBLEM CRAETORS NA WANAUME WENGI NI PROBLEM SOLVERS

  • @lampardmaini2241
    @lampardmaini2241 10 місяців тому +1

    😂😂😂😂 kwahio tukiongea sana hawaelewi

  • @jasper849
    @jasper849 Рік тому +1

    Moçambique

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Рік тому +1

      Wooow
      Asante kwa kutufatilia kutoka Mozambique

  • @AishaSaoud-m4i
    @AishaSaoud-m4i 8 місяців тому

    Kuna wanaume wanaongea mpaka basi nahawezi kua kimyaa atakutafuta wanawake wengi kuchati nao ilimradi apate kuongea nao tu inakuaje hii kaka😮😅

  • @brightyona9815
    @brightyona9815 Рік тому

    Hellow pastor nmekua nikijifunza vingi sana toka kwako naomba kuuliza
    1. Je kitabu chako cha usichojua kuhusu mwanaume audio nakipataje na bei yake shingap
    2. Je namna gani ukimya wa mwanaume unaweza leta madhara badala yakutatua changamoto akaamua yeye kujiondoa dunian kimya kimya ?
    3. Ni namna gan unaweza mpenda mungu wakati jilan yako haumpend/ je namna gan unaweza kumwombea mema adui yako ilihali akiadhibiwa moyo wako unahisi maombi yako yamejibiwa yan unafurahia na ulikua unamuombea mabaya kama malipo?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Рік тому

      Asante sana
      1. Bei yake ni 15,000..wasiliana nasi kwa namba ya simu kwenye description
      Maswali yako nitajibu kwenye kipindi leo..ila swali la tatu liweke vizuri sijaelewa

    • @happnesskitumbo5713
      @happnesskitumbo5713 Рік тому

      ❤Z

  • @AminaMtatuu
    @AminaMtatuu Рік тому +1

    Sasa ikiwa mwanamme amekosea na kosa lenyewe linahusiana na yale anayokwambia utafanyaje ili kufikisha ujumbe?

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 Рік тому

    My mentor.........

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 9 місяців тому

    Kuongea ndio maumbile yetu, na wanawake ndio maumbile yao. Sasa tufanyeje baba

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 10 місяців тому +1

    Sa ndo anunenine hovyo???

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  10 місяців тому

      Kama kweli ananua basi hayupo sawa ila isije ikawa unachanganya yeye kukaa kimya na kununa..wanawake wengi huwa hawawezi kutofautisha

  • @visionaryyouthorganization
    @visionaryyouthorganization 8 місяців тому

    😂sio mimi hapo...

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Рік тому

    Ni kweli Mchungaji Deo Mimi Niko ivyo na likologa Sana kwa kusema Sana,je Ni kila mwanamke Yuko ivyo? Mbona wanaume wakikimbia maneno ya wake zao uwa wanaenda kwa mchepuko na he mchepuko yeye Ana maneno maneno?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Рік тому

      Asante kwa swali lako..nitalijibu leo kwenye kipindi

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Рік тому

    Tafadhali kuna kelele kwenye video zako. From Italy. Chris Mauki video sale ziko very clear bila kelele wala sound

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Рік тому +1

      Asante sana kwa mrejesho..nimeshawasiliana na watu wa technical wanalifanyia kazi..

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 10 місяців тому +2

      We naye mmbea tu kwani lazima umtolee mfano wa Mauki? Siuseme tu atoe kelele basi ....

    • @ireneewensley7802
      @ireneewensley7802 9 місяців тому

      ​@@joycehaule9717umesema aisee

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 8 місяців тому

    Hapo kwenye kujishkilia ss wakati amekosea 😂😂😂

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 7 місяців тому

    Eti vikao avinaga ajenda wala havijulikanii vilianza aje na vitaisha saa ngapi😂😂😂😂

  • @hasfaastore929
    @hasfaastore929 8 місяців тому

    Ila apo kwenye uongo mmh niwaongo kweli😅😅😅

  • @JescerProsper-hg1bf
    @JescerProsper-hg1bf 10 місяців тому +2

    😪😪 me mpenz wangu ni ananuna nuna ovyo ad nakelekwa yan daah naumia sana

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  10 місяців тому +1

      Kama kweli ananuna Huyo sasa atakuwa na tatizo la kisaikolojia..japo pia wakati mwingine wanawake hutafsiri ukimya wa wanaume kama kununa..ila wapo wanaume wanaonuna

    • @JescerProsper-hg1bf
      @JescerProsper-hg1bf 10 місяців тому +1

      @@DeoSukambi nimemfatilia sana now ndo nimejua kua amepitia maisha magumu ya kuteseka na pia ni yatima ila sasa ataki ata kuongea na mm sijui kwann amekaa kimya na ata ndugu zake naulizia wanasema ndo ivyo anapenda kujiweka peke ake nifanyaje

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  10 місяців тому +1

      Kama amepitia maisha hayo na ni yatima its obviuos atakuwa na tatizo la anxiety disorder na mengineyo..muhimu muelewe kwanza usilazimishe kufanya kitu ambacho hayupo tayari kufanya

    • @JescerProsper-hg1bf
      @JescerProsper-hg1bf 10 місяців тому +1

      @@DeoSukambi sawa nimekuelewa nitamuacha tu sito msumbua now

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  10 місяців тому

      Good..akiwa tayari kuzungumza utaanzia hapo kumuelewa zaidi..hajifanyishi ni tatizo alilonalo ndo linafanya awe hivyo

  • @songweforecast9685
    @songweforecast9685 10 місяців тому +4

    PASTOR UMEPIGA MWINGI SANA,YANI WIFE YANGU HUA ANAONGEA ASILIMIA 95% MIMI ANANIACHIA TANO 5% TUUUUUU HAHAHAHA SHIKAMOOO WANAWAKE

  • @songweforecast9685
    @songweforecast9685 10 місяців тому +2

    HUO NI MTEGO HAHAHAHAAAAAAA

  • @hanamakamba373
    @hanamakamba373 10 місяців тому +1

    katafute pesa