Wakizurura kwani wewe unateseka nini! Nimeamini kuwa ukiwa na roho mbaya unaumizwa na vitu ambavyo hata havikuhusu wacha wafanye watakavyo wanatumia pesa zao wivuuuu tu
..hawakubali kuambiwa, lkn baadae utawaskia MAKOLO wanalalamika, Ooo Mliemda misri kufanya Nini, hizo pesa si mngesajili wachezaji wa maana...yaani Hawa MAKOLO hawaendelei , wanarudia yaleyale 🤣🤣🤣
Mashabiki wa yanga tulieni
Hatari Sana
9:46 Ahmed ally ameonesha chama anamuumiza sanaaa..
Apa Umecheza
Huyu jamaa Ana manemo mengi utafikiri muuza alkasusu kule goba....😂😂😂😂😂😂
𝐍𝐞𝐞𝐝𝐬 𝐦𝐲 𝐥𝐢𝐤𝐞 𝐚𝐦 𝐭𝐡𝐞 𝐟𝐢𝐫𝐬𝐭 😉
🔥🔥🔥
comrade imeanza ongereni
As we Speak with you Right now
Kipande nkatiwe huyu jamaa Mbna kma mchovyo ila bila D2 huelewi 😂😂😂
Best comedians
Juma ngondae kama alivyosema haji manara😂😂😂😂😂😂
Ila huyo mzee analishwa matango pori mikono juu tu wakila Chuma utasikia Mangungu Out 🤣🤣🤣
Masikini anajiropokea tu .huyu ndiyo wanamfanya chambo😅😅😅😅😅
Nnachompendea Ahmed akurupuki kujibu maswali ya waandishi tofauti na tule kichwa kikubwa mwili mdogo😂😂
Kama wako
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Na utamzaa mwenye kikubwa kweli kweli MUNGU fundi
Hakulupuki lakin anacho kiongea ndio hakielewek
Team inawachezaji mazee kama watumishi wa koroshoo😂😂😂
Wachezaji wazee Kama chama na mkude😂😂
😅😅😅😅
Uyo jamaa mwenye jez ya Simba Yuko na mzuka aisee
Kwa kuwafarijii tu washabiki wa Simba upo vizuri😅
Ila onana ni mali bado katuokoa San last season
Lama acha papala mbona unawah
😂
😂😂 jamani anazarau sana et wachezaji wazee kama wafanyakazi bodi ya korosho😢
Mayele aliwanyoosha Kwa sababu hiyo. Kwahiyo hapo tunategemea nguvu ya ziada Kwa wazee wale yajayo yatajulikana😂
Mnaenda kutembea kujifunza jinsi ya kuvumilia kipigo Cha mbwa mwitu shenzi nyie
Mzee wa kuwafariji
kamfariji nani wee huumwi
Sasa ulitaka akufariji wewe au?
Nendeni kzurula mkirudi kipigo Cha mabao mwaka huu ni 12
Wakizurura kwani wewe unateseka nini! Nimeamini kuwa ukiwa na roho mbaya unaumizwa na vitu ambavyo hata havikuhusu wacha wafanye watakavyo wanatumia pesa zao wivuuuu tu
..hawakubali kuambiwa, lkn baadae utawaskia MAKOLO wanalalamika, Ooo Mliemda misri kufanya Nini, hizo pesa si mngesajili wachezaji wa maana...yaani Hawa MAKOLO hawaendelei , wanarudia yaleyale 🤣🤣🤣