‘MCHOMA NYAMA’ APINDUA IKULU NA JESHI LA WAHUNI, ANAUA ANACHOMA MOTO WATU, MBAKAJI HAITI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 122

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 10 місяців тому +6

    Bora habari hii naweza kusikiliza kuliko habari za mashoga ..... Mm mwenyewe naweza kuwa Barbaque plus.

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 10 місяців тому +2

    Asante sana kwa makala inyo elimisha nn maana ya uongozi ulio bora

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 11 місяців тому +7

    Nchi Kama iyo atamimi ningeweza kuitawala Mana imeanza kupigana vita nawa huni 1986 nchi aijawai tengamaa😢😢😢 Serekali ya Hait aiko vizul

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 11 місяців тому +7

    Duuh isee hii isikie tu kwakweli 😢😢😢😢mi vita naogopa jmn 😭 😭 😭 😭

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 11 місяців тому +1

    I Congratulate You Millard Ago✔✔.

  • @chrissameri465
    @chrissameri465 10 місяців тому

    Well narrated, thanks

  • @salehmussa9371
    @salehmussa9371 11 місяців тому +21

    Ufaransa na USA ndio maadui wakubwa wa Haiti,
    Naomba toa historia ya Ufaransa kuhusu Uhuru wa Haiti na uingiliaji wa USA katika kujikomboa kwa Visiwa vya Haiti.
    Shida hiziozote asiliyake ni Ufaransa na USA.

  • @babajay3445
    @babajay3445 10 місяців тому +11

    I love Tanzania naipenda nchi yangu Toka nimezaliwa mpaka Leo nikisikia mlipuko basi ni WA baiskeli

  • @masoudymichael
    @masoudymichael 11 місяців тому +10

    Kifungulia wafungwa hata Mimi nadhani ni good idear😂

  • @FayaShaibu
    @FayaShaibu 11 місяців тому +2

    Thanks for your report

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 10 місяців тому +1

    Mh jamaa anatisha kwa huo msimamo wake.Lakini raia wasiokuwa na hatia ndiyo wanauliwa bila huruma.
    Poleni sana wana Haiti.

  • @homeboy2307
    @homeboy2307 10 місяців тому +3

    Hili ni funzo kwa viongozi wasichukulie powa

  • @wamalabe0397
    @wamalabe0397 11 місяців тому

    Napenda vile unasimulia 💯💯💯💙💙#Ke

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 10 місяців тому +2

    Marekani,ufrasa,ugermane ndo mitandao yao.

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 11 місяців тому +4

    Malipo ni hapa hapa duniani ukifanya vizuri utalipwa mazuri na ukifanya mabaya utalipwa vibaya

  • @DouglasMassop
    @DouglasMassop 10 місяців тому +2

    Komando komando komando wambie sisi ndo vipesi komando

  • @tibakabanda6583
    @tibakabanda6583 11 місяців тому +3

    Inatamkwa barbeque siyo babaque. Sema BABE siyo BABA

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 10 місяців тому +2

    Ruto ni Kiherehere Sanaa 😂😂😂😂😂😂

    • @kitwanathabiti
      @kitwanathabiti 10 місяців тому

      Hela nono

    • @ArafaAmirAmir-ci7ld
      @ArafaAmirAmir-ci7ld 10 місяців тому

      ​@@kitwanathabiti😂😂😂

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 10 місяців тому

      Hana hela anataka kujenga ikulu mpya ile ya zamani ina ufa.

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864 10 місяців тому

    Huyo mkuu wa polisi anajisikiaje huko alipo😔😔😔

  • @Alkaburu
    @Alkaburu 10 місяців тому

    Kuna mataifa yapo nyuma ya jambo hili, mambo yakienda Sawa watamgeukia na kumpandisha mahakamani kwenye haki za binaadamu hata amini macho yake.

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 10 місяців тому

    noma sana

  • @GoodluckAmos
    @GoodluckAmos 10 місяців тому

    Pasko mwakyomaaaaa❤❤❤ unasimulia kama watu dira ya dunia born ile saa saba.... Dah histolia tam ila ina huzuni ndani yake. Najiuliza huyo BabaQue kwa nini anaua raia sasa kama lengo ni kuwakomboa watu kutoka ktk matatizo??? Angetumia akili na uwezo wake kuwalinda na kuwakomboa watu wasio kuwa na hatia kuhakikisha wanakuwa salama.

  • @nasrinairi9556
    @nasrinairi9556 11 місяців тому

    Aisee 🤔

  • @ce-08
    @ce-08 10 місяців тому +2

    Bado kuna nchi moja hvi cku inakuja.

    • @neziajoseph9726
      @neziajoseph9726 10 місяців тому

      ushindwe katika jina la Yesu kristo

    • @ce-08
      @ce-08 10 місяців тому

      @@neziajoseph9726 hyo nchi wewe unaijua au ndyo unalopoka tu

    • @GloriaAmuri-q1q
      @GloriaAmuri-q1q 10 місяців тому

      Inchi gani iyo tena

    • @dork8749
      @dork8749 10 місяців тому

      Usiseme hivi Mungu asaidie

  • @gtzrreception5532
    @gtzrreception5532 10 місяців тому

    Sasa utajiuliza izo silaha anazipata wait kama kuna watu wanampa

  • @AMBINHED
    @AMBINHED 10 місяців тому +4

    Habari za maana kuhusu wakulima na sukari tunafanyaje. Tunawasaidia vipi wakulima? Nendeni kwa wakulima waulizeni changa moto ZAO . Mnatulitea habari hazina hata faida sana sana zinachochea wahuni. Usikie tu Vita kwa wenzio usiombe yakufukie. Habari kama hizi muwe mnazipotezea.

    • @YusufLubangula-yn6tq
      @YusufLubangula-yn6tq 10 місяців тому +3

      Nikweli kabisa👍 Ilitakiwa waende Kwa MASANJA Mkandamizaji Wamuhoji kuhusu kilimo Cha Mpunga ili tupate Elimu ya Kilimo Pia wamuombe MASANJA wafungue Darasa la kilimo kenye AYO media😆🤔Hizi Habari Za Donieni, Shoko shugi, Komandoo kipensi Marboro Hazitufikishi Popote🙈🥴

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 11 місяців тому +2

    Dunia mtihani watu wakipigania haki yao wanaitwa wahuni na USA na Ulaya wanaovamia nchi zingine mnawaitaje?

  • @izack9191
    @izack9191 10 місяців тому

    Habari za bbc na cnn ndo hatutaki fanya utafiti kwanza ndo utuhabarishe bro,jamaa anapigania uhuru wao

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 10 місяців тому

    sio mchoma nyama...ni nyama choma!

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 10 місяців тому

    😅😅😅hii ni maajabuuùuuuuu hiiu niatar

  • @yusuphmark3257
    @yusuphmark3257 11 місяців тому

    Wakati mwingine millard ukiwa unatoa taarifa kama hizi jitahidi mwanzo wa video yako uweke tahadhari kuwa video hii imebeba au inaonyesha picha ambazo si nzuri ili mtu ajiandae kisaikolojia 😊🙏🏻

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 11 місяців тому +9

    Haya mambo sikiaga tu kwajirani

    • @ZurehaMiraji
      @ZurehaMiraji 9 місяців тому

      Kweli kabisa ni zaidi ya hatari

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 10 місяців тому

    Hafai kuwa kiongozi

  • @MursalLusinde
    @MursalLusinde 11 місяців тому

    Ndugu zetu wa kenya 🇰🇪 walitaka kujichanganya kupeleka askari wao et wakalinde Amani Haiti 🇭🇹 ruto akakubali bila shida na mpka wasaini kua wapo tyri. Huyo Biden Kwann kma Ana huruma sna asipeleke jeshi lake😢

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 11 місяців тому +10

    Izi Habari Jitaidi Kuachana Nazo Azina Tija Kwa Mwana Habari Anaejitambua Kuitangaza Kwakua Ni Habari Za Kishenzi

    • @issaalfani1030
      @issaalfani1030 11 місяців тому +4

      Ukisikia habari za kujuza jamii unapinga ili watu waendelee kuwa gizani au lengo lako nini

    • @faustinedeogratias4337
      @faustinedeogratias4337 11 місяців тому +1

      Acha tuishi nazo sisi washenz, ukishindwa kuziepuka basi nawe u mshenzi

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 10 місяців тому

      ​@@faustinedeogratias4337 Ww siyo m as henzi tu bali ww ni msenge na shoga

    • @faustinedeogratias4337
      @faustinedeogratias4337 10 місяців тому

      @@miltonjohn9779 wapigwa nyuma kutukana ndo hua siraha yao kwakua washaathiliwa kissikolojia na mitulinga

    • @Liamtribalchief
      @Liamtribalchief 10 місяців тому

      😂😂😂😂 viande

  • @Mrmohadi.OFFICIAL
    @Mrmohadi.OFFICIAL 10 місяців тому

    Aje tz

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 10 місяців тому

    Nchi ni ya wananchi siyo ya watu wachache wanaojiita walamba blueband

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 10 місяців тому

    Huyu nikibaraka wawafaranza ma marekani

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 11 місяців тому +5

    Kumfundisha mtu silaha halafu unamuacha n hatari zaid

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 11 місяців тому +2

    Hii media Tunavyo iamini Nakuipenda! Sasa wanatuletea story za Rambo Van dame na Boro yank Sijui wana tuandaa na nini?👺au wana tabiri nini!?🥺🥴 Story Anaijua alie iandaa🙆🙈 Listen & Take Ure time🤔

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 11 місяців тому +2

    Sasa Tatizo Africa Watu Wanakua Kama Vichaa Kwasababu Wewe Umeshika Siraa Lakini Cha Ajabu Unaenda Kuwauwa Watu Wenye Maisha Magumu Ambao Wanalia Maisha Magumu Wewe Unashika Siraa Na Kuwauwa Alafu Unatangaza Eti Unataka Kuleta Amani Kwenye Taifa Wewe Nisawa Na Kichaa Asiejua Kama Yeye Ni Kichaa Unaenda Kupambana Na Watu Wenye Kutaka Ukombozi Wewe Ufai

  • @RUTAMANTZ
    @RUTAMANTZ 11 місяців тому

    Wahuni siyo watu wa zurii man

  • @masoudymichael
    @masoudymichael 11 місяців тому +4

    Sitaki kucoment😂

  • @redmondbaby1710
    @redmondbaby1710 10 місяців тому +2

    Aje Zanzibar tushaichoka hiii ccm hp

  • @Mrmohadi.OFFICIAL
    @Mrmohadi.OFFICIAL 10 місяців тому

    Hawa ndo wauni sio wa apa bongo wala sembe wanajiona wa huni

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 10 місяців тому

    Kuna cha kujifunza hapa kwenye hii video. Steve Biko aliwahi kusema "The most potent weapon in the hands of the oppressor is the mind of the oppressed" na ndo haya sasa yanayo tokea Haiti.

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 11 місяців тому +7

    Serikali nyingi za wausi ni bovu sana.tunapenda rushwa na ufisadi kuliko ulinzi na amani.

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 10 місяців тому

    Hizo silaha anapt wap km hana wafadhili wa magharibi n marekani

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 11 місяців тому +1

    👊✌️🙏.

  • @Daudi92Kapuya
    @Daudi92Kapuya 10 місяців тому

    Duuh htree

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 11 місяців тому

    Millard Ngoja Nikudokeze Kidogo Baba Q Yupo Nyuma Ya Baadhii Wanasiasa Maana Nchii Ya Haiti Ina Mipasuko Ya Kisiasa Cha Chama Tawala Na chama Pinzani Hawa Makundi Yapo chni Ya Wanasiasa Wenye Misimamo Mikali

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 11 місяців тому

    Wanamdekeza tuu hajakutana namaninja walimuweza itra awe yeye takataka 😏😏😏

  • @emmanuelmasele4990
    @emmanuelmasele4990 11 місяців тому +2

    hatari

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 11 місяців тому +1

    Nch ya laana hyo

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 10 місяців тому

    Iposiku nayeye atakufa tenakwa mateso makali umbwahuyo jimii

  • @Ambwene
    @Ambwene 11 місяців тому +2

    Huyu Jimmy inabidi aje hapa kwetu tanzania 🇹🇿 awashughulikie wahuni

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 10 місяців тому

    Maskini raia 😢

  • @Daudi92Kapuya
    @Daudi92Kapuya 10 місяців тому

    😭😭

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 10 місяців тому

    Ereza niwainchi gani

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 10 місяців тому

    Sehemu yenye mafuta na madini mashetani wameingiza mkono ..

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 11 місяців тому +1

    hzi ndo habar Sasa,,, sio mnatuletea habari sijui Dem kaachwa na mhuni wake hahahhahha

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 11 місяців тому +11

    Hawa Ndio Wahuni Sio Waokota Chupa Wa Kwetu

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 10 місяців тому

    Duuu

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp 11 місяців тому +1

    Haya yote n matatizo ya marecan kufadhir wahun ili auze siraha nakuiba Mari za Africa afadhar mahakama ya Kenya ilivostukia mtego huo nakuzuia jeshi lake wangeingia kwenye tamaa ya izo B alizotangaza marecan wangeliwa kichwa

  • @musajackson3289
    @musajackson3289 11 місяців тому +2

    Na yeye si atakufa tuu

  • @jihalethegreat8807
    @jihalethegreat8807 11 місяців тому

    Huyu ndiyo mwanaume achana na hawa wanaume watu wa chochote kitu😅

  • @kingbyaro6016
    @kingbyaro6016 10 місяців тому

    Kumbe sio Tanzania 🇹🇿 🤮pombe mbaya nikafikili zanzania

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 11 місяців тому

    Kwani nchi haina makomandoo na wajeda ina polisi tu???

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 10 місяців тому

    Hii taarifa mwandishi amecopy maelezo sehemu 4:30

    • @saidsalum9587
      @saidsalum9587 10 місяців тому

      Namanisha hakuna alicho add ni copy na peste

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 11 місяців тому +1

    Sasa haiti ilipata uhuru miaka 200 iliyopita

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 11 місяців тому +1

    Lakin hapa kuna siri kubwa sana ngoja tuone kuna habari nzito inakuja kumhusu

  • @jonaycemoshi7261
    @jonaycemoshi7261 11 місяців тому

    Wahuni hawakuingia ikulu😂

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 11 місяців тому

    Propaganda za kumchafua BBQ ,Wambie wasikilizaji wako Haiti ni taasisi ya watu wachache .Wanao baki 90% ni masikini .

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 11 місяців тому +4

    We nae umetumwa kutu aminisha jimmy ni mmbaya shida iliopo wakubwa ndio wanaokula minofu na maisha ya wananchi kua magumu na ajira hakuna safari Bado sana huyu mi namuona kama kamanda baazi ya viongozi wa nchi za kiafrica waenderee kujitafakari

  • @davidwhite7834
    @davidwhite7834 11 місяців тому

    😅😅😅😅 tz lini

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 11 місяців тому +2

    Hatari

  • @jonaycemoshi7261
    @jonaycemoshi7261 11 місяців тому

    Leave those cheap news!

  • @abdulishaban7795
    @abdulishaban7795 10 місяців тому

    Nimekuelewa saaana mwamba mpaka mwenye akili ya tatu ndo atakuelewa

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 10 місяців тому +1

    Mwamba

  • @Princewaweru
    @Princewaweru 11 місяців тому +3

    Siyo wahuni hao ndo wananchi

  • @tumainmkinga
    @tumainmkinga 11 місяців тому

    wamebaki wachache sana hawa

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 11 місяців тому

    Aende SOVIET abaki salama

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu2214 11 місяців тому +1

    Siyo kweli umeongea uongo hao wanapigania kuikomboa nchi yao dhidi ya ukolon wa magaribi. Wafrik sijuw tuko vp watu wanajikomboa nch yao et wanaitwa wahuni aisee

  • @ramadhanurassa2410
    @ramadhanurassa2410 11 місяців тому

    Mtu mweusi wakati anatetea haki za nchi yake wanamuita muhuni au gaidi

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 11 місяців тому

    Nguvu anapewa na nani kuna watu wachache wanangiza pesa

  • @Finesthustles
    @Finesthustles 11 місяців тому +1

    Subscribe

  • @nasrinairi9556
    @nasrinairi9556 11 місяців тому

    Aisee 🤔

  • @tibakabanda6583
    @tibakabanda6583 11 місяців тому +8

    Inatamkwa barbeque siyo babaque. Sema BABE siyo BABA