UKIWA UNAISHI HIVI NA MKEO BASI WEWE UNAZINI NANE | WAZINIFU WA AINA 4 NDANI YA NDOA |SHEIKH SLEIMAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • #AdilTV

КОМЕНТАРІ • 128

  • @wardajuma-y8d
    @wardajuma-y8d 2 години тому

    Haya ndio matupu katika Jamii.Allah atusameh atuongoze ktk njia iliyonyooka.amin

  • @ESHAMWAKIVUMBA
    @ESHAMWAKIVUMBA 10 годин тому

    Shukuran shekh wetu mungu akulipe. Ninaswali naomba tuongee inbox

  • @barkanassir2528
    @barkanassir2528 5 днів тому +3

    Subhana Allah. Allah awaepushie yapo sio uwongo kweli kabisa

  • @HasanKijuu
    @HasanKijuu 5 днів тому +4

    Shukran kwa kutufudisha allah akujalie afya jema undele kutufundisha na mengine

  • @ZamdaSuleiman-w5p
    @ZamdaSuleiman-w5p 5 днів тому +2

    Allah Tujalie kheri waja wake ila kibaya Zaidi ni ukosefu wa elmu na kuto kuamini

  • @fadhilaomary6104
    @fadhilaomary6104 День тому

    Shukran sana shekhe tumepata uelewa kama tupoo ndani ya ndoa au zinaa

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 3 дні тому

    Umesema kweli Shekh mme akikuacha hataki uolewe wanatutesa sana Ahasante kwa elimu yako imetufikia

  • @allymohammed7708
    @allymohammed7708 6 днів тому +3

    Shukran jazzillah Kwa ukumbusho Al'akhy.

  • @saifsukusu6737
    @saifsukusu6737 4 дні тому +1

    Subhana Allah imefika mpaka ivo kwa masheh

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 4 дні тому

    Sheikh Allaah akulipe kheri kwa mawaidha mazuri

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 5 днів тому +1

    Subhana Allah 😭 laa illah haillah Yarrab atatufanyia wepes kwa sote

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 5 днів тому +1

    Allah atufanyie wepesi

  • @AminaRashidi-n1l
    @AminaRashidi-n1l 17 годин тому

    Shuklani sanaaa

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 6 днів тому +2

    Allah atuongoze Yarrab

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 5 днів тому +1

    Shukran San kwa elimu 😢

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 5 днів тому +1

    Jazzakallahu kheri

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 5 днів тому +1

    Subhana Allah 😭 Al -Malik Quddus YAA Rabb...duuh kumbe ni hivo....ukiachishwa.. baadae anaekuachisha akakuowa kumbe pia ni zinaa.. subhana Allah 😭..habaki mtu... duuu mtihan huu

  • @MyMobile-ee6iv
    @MyMobile-ee6iv 2 дні тому

    Subuhana lwah shekh Kuna mzinif namba tano, anakukopa mahali kila siku nalipa kesho nalipa kesho inafikia munaachna anao kwengine, na mahali kwako anasahau kabisa, au munaish HD anafarik mmoja wao je uu si uzinif pia

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 День тому

      Hilo linakua deni, na haikua uzinifu. Kakopa mahari hajilipa mpaka kafa, ama mumeachana hapo kunakua na deni, tena inatakiwa udai warathi wake, na kama hukulipwa haingii peponi. Suala la kuo owa owa hilo lipo juu yake.

    • @saidmbaraksaidtwahir3412
      @saidmbaraksaidtwahir3412 День тому

      Mahari kutolipwa haiwi zinaa, kwani mahari ni faradhi kwa mujibu wa Quran. Kutolipa mahari ni kuaswi amri ya mola.

  • @MaarufuMtimbuka
    @MaarufuMtimbuka 2 дні тому

    Inshaallah

  • @HamimMbango
    @HamimMbango 3 дні тому

    Nibora zaidi walimu mwende sawa musituchanganye wanafunzi mutaifanya dini kuwa ngumu sanaaaa

  • @giftally3125
    @giftally3125 22 години тому

    Sheikh jee talaka ya kutundikiwa unakaa eda? Na ukikaa eda ukamaliza akuoe tena kwa mahari mengine?

  • @GcFd-s8t
    @GcFd-s8t 6 днів тому +1

    Mtihan Kwa kweli dah

  • @abuuafiyfah2957
    @abuuafiyfah2957 4 дні тому +1

    REKEBISHENI LUGHA . MTU HAZINI NA MKEWE. KUZINI UNAFANYA NA ASIYEKUWA MKE HALALI. UKIONA UNAZINI UJUWE HUYO SI MKEO. MTU HAZINI NA MKEWE.

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 5 днів тому

    اللهم انصرنا

  • @eshamohamed3349
    @eshamohamed3349 5 днів тому

    Kweli kabisa

  • @khalidmwinyi1981
    @khalidmwinyi1981 6 днів тому +1

    😢

  • @HalimaaSalehe
    @HalimaaSalehe 4 дні тому

    Shekhe mm nauliza ikwa mwanamke ameolewa na ujauzito na akaendelea kuzaa baada ya hiyo ndoa je bila kujua kama ndoa ya staili hii haifai na daadae baba akawaozesha bint yake na bila ya kujua kama na kama hayupo sahihi na bint akazaa ndani ya hiy ndoa yake je bint huyo atakuwa katika upande gani wa kiislam tafadhali naomba kujibiwa kwa swali hili

    • @babchudu
      @babchudu 2 дні тому

      hamna ndoa inayopita mwanamke akiwa na ndoa

  • @BimHamdi
    @BimHamdi 5 днів тому

    Wapo wengi mno pia wanaume hukutakia wamekuacha halafu ukasikia sikumaanisha mtihani mkubwa

  • @SbOm-b7k
    @SbOm-b7k 6 днів тому +11

    Hatari🤔🤔🤔🤔 Hadi naogopa::: sababu mume wangu aliniacha 2 akanirudia ,,sasa Mimi nikaenda nyumbani kutulia MDA wawik,, kumbe huyu bwana anawambia watu Mimi kaniacha wakati alikua amenirejea tayari,, 😢😢😢 ila nikimwambia kwahali hii talaka zimeishaa sababu ulikua emenirejea lkn unarudi nyuma kumsema KUA Mimi umeshaachana na Mimi,, lkn mbishi Nipo nae Hadi Leo,, sasa nifanyejee sheikh 🥲 maana nishaogopa nisijione kama nimo ktk ndoa kumbe nimo ktk hiyo zinaa🤔

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 6 днів тому

      Ndio zinaa yenyewe hio

    • @SbOm-b7k
      @SbOm-b7k 6 днів тому +1

      @khatibabass3106 Astaghfrullah,, Nashukur asante

    • @AdilTvOnline
      @AdilTvOnline  6 днів тому +1

      Asalam Alaikum mpigiye simu sheikh huyu 0773155859 muelezee kesi yako

    • @KhamisMohammed-y9l
      @KhamisMohammed-y9l 6 днів тому +5

      Waislamu wanamchezea allah sana kwenye maswala ya ndoa

    • @ZuwenaOday
      @ZuwenaOday 6 днів тому

      Yuko wapi huyu shekhe​@@AdilTvOnline

  • @nahyaomar5365
    @nahyaomar5365 4 дні тому

    Me niulize talaka ya kutundikiwa inajuuzu?

    • @SheheSule
      @SheheSule 4 дні тому

      inajuzu

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 День тому

      Ukiwa si msikivu kwenye ndoa lazima utatundikiwa tu.
      .....Ukitoka ndio takaka yako.
      .....Ukizini ndio talaka yako.
      ....Ukicheza upatu ndio talaka yako

    • @saidmbaraksaidtwahir3412
      @saidmbaraksaidtwahir3412 День тому

      ​@@Sheba4651 zinaa tayari huvunja ndoa....mwana ndoa anae zidi haddi yake kupigwa mawe hadi kufa....hata ukaikwepa haddi, ndoa haipo....

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 4 дні тому

    Sheikh je mchina amewekwa mimba na mwanaume mwengine kisha kaolewa na mimba na mwanaume mwengine hii ndoa imeswihi au laa maan

    • @ZuhuraBakari-q9w
      @ZuhuraBakari-q9w 4 дні тому

      Mm ninavo jua mtu ukiwa namimba mpaka ajifungue ipite 40 ndio analuusiwa kuolewa

    • @SheheSule
      @SheheSule 4 дні тому

      haiswihi ndoa

    • @newbwejuu4302
      @newbwejuu4302 4 дні тому

      Mimba ya kwenye ndoa sio ya zinaa

    • @babchudu
      @babchudu 2 дні тому

      haifai kuolewa mwanamke akiwa na mimba. so hyo ndoa haijaswihi

  • @HamimMbango
    @HamimMbango 3 дні тому

    Ustadhi apo umenia changanya kidogo kwani mwaliwangu alishawi kunambia mkemwemyemimba unaweza kumuowa ila mtoto akizaliwa siyo mwanao , nawe wasema make mwenyemimba harusiwi kuolewa , apo nikubali lipi ?

    • @RadhiaAlipha
      @RadhiaAlipha 3 дні тому +1

      Je wewe unakubali mwanao asiwe wakwako? Maan anayo yasema huyu yupo sahihi haifai kumuoa mwanamke mwenye mimba mpaka aikijifungua ndoa inafaa

    • @UluMbwana
      @UluMbwana День тому

      Kwamm nijuwavyo mtu akiwa na mimba hairuhusiwi kumuowa mpk azae

  • @nahyaomar5365
    @nahyaomar5365 4 дні тому +1

    Akikwambia ukitok ndo talka yko ukatok jee umeachika?

    • @ZuhuraBakari-q9w
      @ZuhuraBakari-q9w 4 дні тому

      Ndio umeachika talaka moja teali

    • @nahyaomar5365
      @nahyaomar5365 4 дні тому

      Hukumu yke ni ipi?

    • @SheheSule
      @SheheSule 4 дні тому

      ukitoka talaka tayari

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 День тому

      Ukatoka vipi, kutoka kwenye ndoa ukazini, ama kutoka nyumbani?
      Ukitoka nyumbani, hapo inakua umetundikiwa talaka, na ukitoka talaka tayari, hukumu yake mpaka urudiwe.

  • @halimaadan3412
    @halimaadan3412 4 дні тому

    mim nina 12yer tangu tuachane ila talaka kagoma kunipa nikitaka kuolewa n lazima anipe au naoleka mim

    • @idrisa598
      @idrisa598 4 дні тому +1

      Amesha kuacha huyo ukipata mchumba olewa tu kuliko kudhin

    • @ZuhuraBakari-q9w
      @ZuhuraBakari-q9w 4 дні тому +1

      Nenda kwamashehe upate ujuzi zaidi

    • @SheheSule
      @SheheSule 4 дні тому

      unaweza kuolewa tu

    • @newbwejuu4302
      @newbwejuu4302 4 дні тому

      Talaka sio karatasi ni matamshi

    • @Fetty-i1v
      @Fetty-i1v 4 дні тому

      Amesema tangu tuachane, ndio umesema hajakupa talaka, ila je kwani alikutamkia kukuacha?

  • @ZainabuOmary-ys8oq
    @ZainabuOmary-ys8oq 5 днів тому

    Shekh kama mme amekuoa halafu mii ni mke pili ili amridhishe mkeo anamwambia nimemwacha sipo nae hiyo imekaaje shekh

    • @SheheSule
      @SheheSule 4 дні тому

      talaka imetoka hapo

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 День тому +1

      Talaka mume amtakie mke ama aandike tu, na si kusikia tu. Kwa vitimbi vya wanawake kama ingekua inaswihi takala ya kusikia mke wa kwanza anatangaza tu mke mwenzangu kaachwa, au mke mpya anatangaza mke mkubwa kaachwa, ndio iwe takala tayari?
      Mume mwenyewe akiri kumtamkia anayemuacha.

  • @SaidAbdalla-m8t
    @SaidAbdalla-m8t 3 дні тому

    Je kama ana mkewe na hataki mkewe ajue wala hana uadikifu hiyo je ni ndoa

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 2 дні тому

      Kuowa kwa siri ni Sawa haja Pata dhambi, tuu nikupe ww toka mlango

    • @aminamalilo6605
      @aminamalilo6605 2 дні тому

      Kwahiyo akienda kulala kwa hiyo mke mdg atakuwa anaaga vp jamani kweli haya ndo anayoyasema sheikh

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 День тому

      ​@@aminamalilo6605Mdomo una meno 40 sijui 60 mtu ashindwe kuaga, Kwanza mwanaume sisi huwa hatuagi, tunatoa taarifa tu, nasafiri kikazi, mzigo umefika, naenda Dubai kibiashara, maneno yote hayo ni kusema tu 😂😂😂
      Hata miaka 3 inakatika, na dhambi hupati, maana pengine huyo wa kwanza kichaa

  • @MwanamisiNassir
    @MwanamisiNassir 2 дні тому

    Nakwamfano uko na mume akushughulikii kwa chochote ukimwambia mambo ya kazi hataki sasa yabidi ww ndio nkila kitu na amekuoa kabisa hii nayo yashauriwa vp

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 День тому

      Ndio hata elfu kumi kwa mwezi hakupi? Kama anakupa ndio anakuhudumia huyo, halafu wanawake wa sasa unataka uwe kwenye ndoa, na alfajiri unatoka na kurudi jioni unaenda kutafuta hela, sasa hapo wanaume wasio wachamungu ndio utajihudimia, si mchamungu kwa sababu kakucha utoke alfajiri kutafuta kazi.

    • @MwanamisiNassir
      @MwanamisiNassir День тому

      @Sheba4651 yeye kakaangu hata shilingi kumi wallah mbele ya Allah hatoi

    • @MwanamisiNassir
      @MwanamisiNassir День тому

      Alikua na kazi mwanzo alikua akihudumia vzuri tu lkn kazi iliposimama sai ankua hataki tena kaxi yoyote mpka ilifikia mahali watoto wakawa wamesimama hawasomi nkaamua vile maisha yamekua magumu acha vile mm n mwanamke kusafiri hua n bure wanaume n mpka walipe nkaamua acha nisafiri ndio ili nimsafirishe tusaidiane akakubali nliposafiri tu kutumana pesa aanze process za safari yuaniambia hataki kusafiri na basi ndio ilikua hivyo mpka sai mwaka n wa tatu huu hataki kazi wala hashughuliki na chochote

  • @MaarufuMtimbuka
    @MaarufuMtimbuka 2 дні тому

    Inshaallah