KABUDI ATUMIA UPROFESA WAKE BUNGENI HADI MBUNGE AKAOMBA DAKIKA ZAKE APEWE KABUDI AENDELEE KUCHANGIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 тра 2024
  • KABUDI ATUMIA UPROFESA WAKE BUNGENI HADI MBUNGE AKAOMBA DAKIKA ZAKE APEWE KABUDI AENDELEE KUCHANGIA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 44

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Місяць тому +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @qwirinishao1003
    @qwirinishao1003 Місяць тому +1

    Mzee sichoki kumsikiliza yupo smart sanaaa

  • @hamidkololeki5009
    @hamidkololeki5009 Місяць тому +2

    Hongera prof,Mwenyezi Mungu alisema hawawezi kuwa sawa wanaojua na wale waßiojua

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Місяць тому +2

    Hivi Prof. Kabudi na Prof. P.L.O. Lumumba wakikaa pamoja waandae kundi la majasiri wa Afrika tutakuwa wapi miaka 50 ijayo?

  • @bakariyusuph-uf7nc
    @bakariyusuph-uf7nc Місяць тому +6

    Hivi yule mwamba alitengeneza dawa ya ukimwi kapotelea wapi

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Місяць тому +2

    Tungekuwa na wabunge wote wenye elimu kama huyu mzee hii nchi ingekuwa mbali

  • @charlesmateso1408
    @charlesmateso1408 Місяць тому +1

    Hongera Sana Professor

  • @user-hw6of2ft3j
    @user-hw6of2ft3j Місяць тому

    You will legacy to our country professor be blessed

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Місяць тому +2

    Huyu Kabudi ni muhimu sana katika hili Taifa watu kama hawa ni tunu ya taifa inashangaza sana kwanini sio waziri

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Місяць тому +2

    Tatizo la nch yangu na bunge langu...memaliza kuongea..,..yameenda na upepo....yamebaki kwenye hansadi.....
    Hakuna utekelezaji wake.....hapa ndo naona umuhimu wa JPM alipo kuwepo..... Haya yasingeliachwa bila utekelezaji....
    Iwe heri kwa Tz

  • @selinalawala2270
    @selinalawala2270 Місяць тому

    Kweli huyu ni profesa, Mungu amtumie zaidi kwa faida ya nchi yetu na dunia pia.

  • @dismasalex5064
    @dismasalex5064 Місяць тому

    Hongera sana Prof.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Місяць тому

    Tunashukuru sana Mhe Kabudi kwa mchango mzuri lkn kutokana na kasi ya population tunatakiwa kuanza ku minimize muda wa mtoto kuwa shuleni badala ya kui extend muda wa mtoto kuwa shuleni, elimu ya msingi ikiwezekana isizidi darasa la sita mhe daktari spika.

  • @ImmanuelSeuta-zi2gh
    @ImmanuelSeuta-zi2gh Місяць тому +1

    Mkaguru mmoja tu mwenye elim kubwa tanzania

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Місяць тому

    MHE PROFFESOR Kabudi Tunakushukuru kw Mchango wako wa Kitaalamu iliosheheni ushauri,mwongozo,nk kupitia wizara ya Elimu katka mageuzi ya Elimu Watanzania tunayo HAZINA kubwa ya Waheshimiwa kama Proffesor Kabudi ambaye wapiga KURA waliiona Tunaomba Mungu atusaidie na kutuongoza ili Bunge lijalo tufanikiwe kupata Wabunge wa Kalba ya Mhe Proffesor Kabudi

  • @lugwaja
    @lugwaja Місяць тому

    Legend

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Місяць тому +2

    Huyu ana roho ya korosho ndio maana hendi juu anawachukia sana wa Zanzibar

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 Місяць тому

      Muhamed mambo ya kaburi anawachukia sana wazanzibar unayatoa wapi katika hotuba yake hii?!!!Inaonekana wewe darasani ulikuwa "ZERO" yaani sifuri kabisa Tena wa mwisho darasani Watu wote wamemwelewa Kabudi wewe umetoka kapa?Basi kama ni chuki ninyi wazanzibar ndio mnaomchukia ndo maana mkampokonya UWAZIRI wake wa Katiba na sheria. Ili nyota yake ififie lakini kila akipata nafasi hutoa "MATIN" Hadi makofi na vigeregere.

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 Місяць тому

      Wazanzibar kutaka twende zanzibar kwa ppt hiyo ni sawa ?

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Місяць тому +1

    Wewe ni msomi mzuri lakini swali langu kwa nn wasomi kama nyie msipewe nchi mkatupeleka mbele kimaendeleo.

    • @stanleymwaselela1849
      @stanleymwaselela1849 Місяць тому

      Hakuna profesa anayefaa kuwa rais wabongaji sana Hawa nchi zao Huwa zinawatunza kuwa washauli tu

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Місяць тому

    Kuna Dada mmoja yuko Posta pale Moshi ana watano wenye digress ambapo waliuza kila kitu hadi mashamba Watoto wasome lkn hadi leo jamani Watoto hawakupata kazi wapo nyumbani.

  • @amoswankara3863
    @amoswankara3863 Місяць тому

    mzee una mbwembwe nyingi

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Місяць тому

    Huyu Profesor asingetolewa jalalani angebaki kunoa watu vyuoni, awe mwana harakati tu kwasababu ana hazina kubwa iliyogharamiwa na wananchi kwa faida ya Taifa, wanasiasa uchwara wakamchukua kwa faida za kisiasa,elimu ikapigwa teke. Enyi wanasiasa nani kawaloga?!

  • @damianmachira7535
    @damianmachira7535 Місяць тому

    Awata muelewa kwa sababu awaelewi.
    Wanaelewa sauti lakini siyo matendo.
    Mmm kabudiii

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Місяць тому

    Mzee miaka 60 watanzania tunaandika kwa madaftari siyo computer na kuazia darasa la saba hadi kidato cha nne hawajui kingereza mzee watoto wenu wako nje shule mbora mnatudanganya tu na elimu hii haiko kiushindani

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 Місяць тому +1

    Hkl pure

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Місяць тому

    Wapiga makofi hawajui chochote wao kujadili tozo tu kwa wananchi

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 Місяць тому

    Huyo ni frofes ndo tulie bakiwa nae wengene weng ni wanafuzi wa huyo mzeeee mbaka uraya wanamjuwa hyo anatakiwa kurindwa ware wazi wa mikatab war machi yoye kwa huyo racin ss tupo nyuma yake. Tukimuombewa awe saram kwa jina ra jesuuu

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x Місяць тому

    Huyundio profesa siokamayule lipumba

  • @jifunzeforextrading
    @jifunzeforextrading Місяць тому

    Mbwembwe nying alaf hawa hawa na makorokocho yao, wanatuandikia mikataba ya hovyo!!! na sheria za hivyoo nchi hii mtu anakamatwa na bangi misokoto mitatu kifungo miaka thelathin alafa anaeiba mabilion hafungwi!!!

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Місяць тому

    Wamruhu yule aliye ngundua dawa ya ukimwi hataki kumruhusu atoe matibabu kwa wananchi

  • @peterlove4g869
    @peterlove4g869 Місяць тому

    Ndio ujue profesa ni nini achana na maprofesa wakujibandikiza

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Місяць тому

    Sasa si watu wsdharau dawa za asili wanasema no za kienyeji hasahasa wasomi ndio huwaambii kitu kuhusu mitishama utaambiwa mshamba mshirikina, sasa kama kipindi cha korona walipoambiwa kujifukiza wakadai mapafu yanajaa maji wakati hiyo no tiba tangu enzi na enzi

  • @alfredbenno3251
    @alfredbenno3251 Місяць тому

    Jalimu... Profesa... Asante saana😂

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Місяць тому

    Na hilo mhe spika pia ni kwa kuzingatia kiuhalisia kabisa ajira kuwa ngumu kiasi kwamba kuna familia zina Watoto wanne saba nk wana digress na hawana kazi hadi wamestaafu bila kazi bila kurudisha hata chembe ya jinsi walivyoisababishia familia umasikini mhe daktari spika.

  • @Hit_songs214
    @Hit_songs214 Місяць тому

    Mitaala ya nchi yetu haitabiriki asee kila mara mabadiliko

    • @joscamwoshezi2986
      @joscamwoshezi2986 Місяць тому

      Mabadiliko ni muhimu kila inapoonekana ni inahitajika

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x Місяць тому

    Kama tunakumbukumbu raisi aliekufa kipindi cha corona vituvingi vilikuasawa hatahawa mashoga watibiwe wasukuma wa masai wanajuadawa kabisa af tutunge sheriakali

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Місяць тому

    Shida sio madarasa professor...Tija tunafundisha nini ? Panzi na Tilapia au? huku wenzetu wanatengeza Meli, Ndege, Nyambizi, Space ships wachina kila mtu anatengeza bidhaa..

  • @DamasKihungu
    @DamasKihungu Місяць тому

    Wabunge wa mufindi mwamuona mchango wa kabudi