Huyu bhana huwa namwita Paulo wa nyakati zetu,Paulo wa Tz na dunia kw ujumla maana aliyatoa maisha yke kw bwana,akasahau ht watoto kwaajl y Injili,natamani Mungu anipe utayari na uthubutu km wke!
Mika 7:7-8 (KJV) Lakini mimi, nitamtazamia Bwana; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. Usifurahi juu yangu, Ee adui yangu; niangukapo, nitasimama tena; nikaapo gizani, Bwana atakuwa nuru kwangu. ua-cam.com/video/aBzYKHfDYhw/v-deo.html
Huyu bhana huwa namwita Paulo wa nyakati zetu,Paulo wa Tz na dunia kw ujumla maana aliyatoa maisha yke kw bwana,akasahau ht watoto kwaajl y Injili,natamani Mungu anipe utayari na uthubutu km wke!
Amina napokea neno kwa jina la YESU Amen
Tunaendelea kujifunza baba etu Mungu akupe pumziko🙏🙏🙏
Mafundi ya hekima itokayo kwa Mwenyezi Mungu
Kiongozi Bora wa kanisa la Mungu
Uyu mzee bado anaish kwetu🙏🙏
Ameni
I miss you dad, hakika ninakukumbuka sana mbegu uliyoipanda inaendelea kuota duniani
Amina Baba yangu wa kiroho
SHUJAA WA IMANI YA YESU WA KWELI
Mhubiri wa neno la Mungu la kiroho. Sio kama wale waleo wanahubiri mafanikio ya dunia tu!
Napenda mafundisho yake yamejaa kuhusu siku za mwisho,,alili acha kanisa kwenye misingi imara
Sasa hivi wataka vyeo wameishaharibu
Kwa kweli najifunza mengi kwa baba yetu Mzee Kulola🙏🙏🙏
Amen🙏🙏
Tunapokea baba yetu wakiroho
Amen
Ndiyo tunaamini
Good bless you
Shukrani
Moses wito wako ilikuwa mkubwa sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Baba tunakukumbuka Sana Imani uliilinda,ila lait kama ungefufuka ungewashangaa wachungaji wenzako A.E.G.T wanakoipeleka.
Hakika kwangu ame nifudisha mengi
Kwamahubili yake yame nipaguvu
🔥🔥
Mika 7:7-8 (KJV) Lakini mimi, nitamtazamia Bwana; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.
Usifurahi juu yangu, Ee adui yangu; niangukapo, nitasimama tena; nikaapo gizani, Bwana atakuwa nuru kwangu.
ua-cam.com/video/aBzYKHfDYhw/v-deo.html