Nakaa Canada, bwana yesu abaliki mtumishi wamungu katekela , samahani sijuwi kuwongeya kiswahili ninaelewa kido nawashukuru sana nyinyi wote namungu azidi kuwabaliki ❤
welcome to my country Kenya,God bless you so much
Ameen nafatilia.. kutoka 🇸🇦 lkn mm n 🇰🇪🇰🇪🇰🇪.. nashukuru mungu akulinde mutumishi
Namwombea huyu Mchungaji Mungu ailinde imani yake, asimame Bila udhaifu wowote hadi siku ya bwana Yesu. Amenibariki sana kwa mafunzo yake. Mungu aibariki promova TV na awazidishe. Mungu ailinde familia yake pia. Karibu kwetu Kenya.
Amen!!!!
Mungu wa mbinguni awabariki sana tunamuona Mungu kwa viwango vikubwa sana🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mungu akubariki sana mtumishi Wa Bwana. Tumefunguliwa kupitia wewe. Na Mungu alikuwa na makusudi ya kukutuma kuzimu kuona yaliyopo, ili tufungulie. Yesu ni chuma cha leli, na nizaidi
Umekuwa baraka sana kwangu mch kweli nimejua haki yangundani ya YESU
Ameen ubarikiwe mchungaji katekela kwa mafundisho
Mungu akubariki muchungaji Nancy kutoka. Kenya nimebarikiwa. Saaan
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu endelea kufichua uchafu na mbinu za giza
Amina watching from Taita 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu hakubariki mtumis wa Mungu am woching u form 🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇰🇪🇰🇪
Amen pastor
Zidi kuinuliwa mtumishi wa Mungu hakika nimengi twajifunza toka kwako
Barikiwa sana mchungaji amieli katekera, kwanini usifungie kanisa huku dar jaman, kakaangu wakigoma mwenzangu
Aminaa God bless u
Hallelujah hallelujah hallelujah namimi pia nimeshafungulia kupitita ushuhuda wako Pasta Mungu akubariki sana tena sana hakika naivi ningali naomba nifunguliwe Mungu atubariki nanyi
Amina na Amina ubarikiwe zaidi
kutoka malawi mungu akubaliki sana kwamafundisho yako pastar
Watching from Nairobi Kenya
Men of God pray for my ministry here in Kenya Nairobi
Amen huyu ni mtumishi Mungu ametuletea hakika.
welcome to Kenya
Mungu akutunze sanaa utufungue zaid
Karibu kwetu congo
Amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nawapata vizuri kutoka mombasa Kenya huyu mtumishi ananibariki sana
❤
Amen...Mtumishi wa Bwana...naomba umuombee ndugu yangu Donat amefungwa na vifungo vya upareshen wa mara kwa mara...naomba umuombee mtumishi wa Bwana apate ukombozi....
Hakika Mungu anakutumia tunazidi kubarikiwa
Mungu akutie nguvu,na akupiganie
Barikiwa sana baba
Mafundisho yako mchungaji yananifungua na kuniweka imara sana na kumuamini sana mungu na yesu kristo
God blessed you man of God your ablessing to whole world
Amen
Mchungaji nilikuw na swali imetokea tabia yawatu wanawaumbuw wachawi jina as lingine wanawaita kamchapee Luna siri ganii APA iliyojificha
Hallelujah Hallelujahs hallelujah ‼️ hongera Sana
Jambo mchungaji!
Mungu akulinde namipango yashetani juu yakuiona pepoo au mbingu
Glory be to God...
Ujumbe wa kiroho unafuja ngone za shetani. Mtumishi akulinde na akufunulie zaidi.
Mchungajiumebarikiwa sana sana kukoboa watu,hacha watu waongee wako na mashetani mengi sana
Anawakoboa kwenye Kinu au Ni Yesu anayekomboa watu??amkeni mwanadsmu hakomboi mtu mtamfanya muungu mtu sasa
Ushuhuda wako imenifanya nikajiona kwenye kiwango kingine
MUNGU wa MBINGUNI AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU ILA MAANA YA ICD SIJAELEWA VIZURI
Alelluyah 🇰🇪
Kule katikati nilianza kukwepa Shuhuda zako
Ni. Malango gani hayo?
🙏🙏🙏💪👍
No ya mpesa
Kidogo na mimi nikuulize kwa nini unafundisha saana mambo ya Huko ulikotoka??sasa leo majibu umeyatoa
Mtumishi hiyo style ya kunyoa kichwa chako haistahili kwako. Bwana akusimamishe zaidi ili tujifunze mengi yaliyo ya Mungu kupitia kwako
@@katundudaudi4444 Sababu alizozielezea hazikuwa na uzito mpaka akaamua kusema kuwa atanyoa vizuri bila panki, lakini saizi karudia, ajue kuwa yeye ni kioo
@@wemamanikana9791 Umefungwa ktk mwonekano WA mchungaji, umekwazika? Omba Kisha tafuta wasaa wasiliana naye
Hayo hayakuwa Maombi sahihi kamwe
huyo baba yako ndio alikuwa mtumishi wa kweli sio wa leo wanawaza bila peaa hahubiri au bila suti
Uishi milele baba
Mchungaji kuna tabia imeinuka kwa baadhi ya mikoe kuwaumbuwa wachaw wanao waumbua ni wakinanani ao au kunasiri gani imejificha jinalingine wanawaitaa kamchapee
Hapo umefanya vema,Watu wengi ovyo wanafuata mno yale yanayotendwa Na waliopo Duniani
Mafundisho yako yananipa ukomando wa kiroho
Mchungaji ninashida na namba yako ninauhitaji wa maombi
Amen Amen 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Amen
Mchungaji kuna tabia imeinuka kwa baadhi ya mikoe kuwaumbuwa wachaw wanao waumbua ni wakinanani ao au kunasiri gani imejificha jinalingine wanawaitaa kamchapee
Amen
Amen sana MTU WA MUNGU SANA NEEMA YA KRISTO IKULINDE SANA NA AKUINUA ZAIDI NA ZAIDI MTUMISHI WA MUNGU