Ameeee
Mungu wa mbinguni nisamehe nimekukosea mara kwa mara na ninastahili adhabu yako, Nisamehe Mungu wangu
Injili iende mbele kweli tunabarikiwa sana kwa chakula unavyotulisha wanao kupitia chanel hii
Jamani mwaka huo ndo nililetwa duniani asante YESU KRISTO
Amen
Amina injili inaishi bado ila babu umelala lalasalama pumzika salama tutaonana asubuhi inakuja
Ameeeen
kwel mungu atuongoze
Mungu nipe neema hiii
Injili isioghoshiwa ndio hiz na ni adimu kwa zama za leo.Jina la Yesu litukuzwe
Hiv mwakasege ndo alimpokea huyu au walikuwa wote wanapiga injili?..maana 1997 Nina miaka mi4 ..
Mwakasege ni mtoto kbs wa kiroho kwa huyu Mzee. Tena aliokoka kwenye mkutano wake!!!
Injili iende mbele
Injili halisi
MUNGU nipe mwisho mwema.. mtumishi moses kulola yupo paradiso . Wapendwa tupambane katika njia hii iliyo nyembamba ili tufike jimbo la paradiso MBINGUNI...AMEN
Kweli yupo paradiso tupambani Mungu nipe mwisho muzuri
@@LylianeBauma kumbe unamfahamu aisee vzr sana , ningependa nikufahamu kama hutojali.
Ameen
@@BillMesso yes Nina mufahamu niliyasikiliza mahubiri yake kitambo sana naitwa Liliane
@@LylianeBauma upo wapi liliane??