naamini siku yaja nami nitahubiri injili ya amani injili ya kweli injili isiyo ya kuchakachuliwa injili isiyo na upendeleo injili ya kweli yenye lengo madhubuti ya watu kufika mbinguni nakupenda Sana Bishop Moses Kulala naamini Tutaja onana mbinguni Kwa Bwana wetu Yesu Kristo Mungu nijaalie niishi maisha matakatifu yenye kukupendeza wewe Ni ihubiri kweli yako Ameen
Sina la kuongeza hapo ila napaswa tu kulekebisha maisha yangu mana nimechomwa sana ndan ya moyo wangu.ee mungu nisaidie kumalza salama kabla aijaja ile mbaya
Sanaaa sanaa haya mahubiri ndo yanatakiwa yahubiriwe sasa 😢lakin sikuzi n kuhubiriwa umerogwa umerogwa, njoo upate muujiza wako, hakuna cha kukataza dhambi wala kuambiwa mwisho wa dunia 😢😢😢😢oh God 🙌
Kamanda aliekuwa na dhamira safi ktk kuipigania injili ya Yesu kristo. BWANA YESU AUKUMBUKE UTUMISHI WAKO NA AKULIPE KWA HAKI, PAMOJA NA MAPUNGUFU YA KIBINADAMU AMBAYO INAWEZAKANA ULIKUA NAYO LAKINI VITA ULIYOPIGANA INAISHI HATA SASA, BWANA YESU AKULIPE TU.
Kiukweli Mtu wa Mungu waukwel hafi kamwe Dk askofu Kulola yupo hapa na anahubili kwani kupitiya mafunzo yake anaendeleza injili abalikiwe sana milele yote waitwao Watumishi niwengi lakini lakini wanao hubili neno la okovu wacace sana
Ubarikiwe Mtumishi kutuletea Mahubiri ya baba yetu wa Kiroho kwa makanisa ya Tanzania, ombi langu, ni kukuomba jaribu kuweka angalau hotuba iwe ndefu kidogo.Maana sio wote wanao zlikiliza wapo TZ. ili wanunue DVD. Barikiwa sana!
+Alice Thoya Thoya kweli kabisa hujakosea mimi kama nimebadilika kutoka katika dhambi ni sababu ya kumfuata prophet Hebron kweny you tube afu natamani nikamuone live.... Mungu azidi kum'bariki na kumvika nguvu mpyia ... amiina!
+Debora Adam 😃😃😃 wote ni wenye nguvu za injili ya kweli wote mimi nawakubali maana wameniokoa kwa kweli na nnatamani siku moja nikatoe ushuhuda kanisani kwa baba Hebron....
Wapendwa tumuombe Mungu atuinulie wahubiri kama hawa, wanaofundisha kweli ya Mungu, wenye kutufundisha kweli kuhusu maisha ya baadaye ( maisha ya milele). Hero wafu wafao katika BWANA
Mwanadamu anaweza kufa lakini neno LA Mungu halifi. Li hai tena ni upanga. Ahsante Yesu kwa kifo chako uliachilia neema ya mamlaka ndani yetu. Heshima na utukukufu zirudi kwako Mungu uliyehai.
MUNGU nisaidie nikutii kama mtumishi huyu niongoze, sala zote nitakazo zileta mbele zako siziwe na kiburi Bali zikawe zakutoka ndani ya kilindi cha moyo wangu AMEN.
injili isiyo kuwa na mawaa yesu tusaidie kukujua zaidi baba yesu aendelee kukupumzisha na kukupa furaha ya milele Asante kwa neno linalo jenga mioyo yetu mpaka sasa
Baba yangu wa kiroho. Nilipoona as a teenager (14) years old because of hearing The Word from this great Man of God. He spoke the absolute truth. He didn't compromise the word.
Ama kweli huyu Baba Dr Moses Mahubiri yake yalikuwa hayajachakachulia tofauti sana na akina Gwajima, Mzee wa upako, Kakobe, Lwakatare, Baba God n.k.ndo muhimu sana kuhubiri injili ya kwaya
mara ya kwaza kuhudumu kwenye mkutano wa Mzee tulienda kwenye maombi ya wiki Moja mlimani dah sitaisahau ata SIKU ya mazishi yake nilikuwepo uwanjani kirumba nakumbuka ulipigwa wimbo na mchungaji abihudi mishori nililia sana
Yves Nzunguri I would like to invite you at Silali Tz there is a branch of Pentecost's shilo and you will enjoy a real &truth gospal word,just consult the site you will hear alot of it.
Mungu wasaidiye watumishi wako kuhubiri injiri ya kweri kama Baba yetu uyu, wengi wamebakia kuhubri mahubiri ya mafanikio ya pesa tu hakuna mahubiri ya kusababisha watu watubu uovu wao.
naamini siku yaja nami nitahubiri injili ya amani injili ya kweli injili isiyo ya kuchakachuliwa injili isiyo na upendeleo injili ya kweli yenye lengo madhubuti ya watu kufika mbinguni nakupenda Sana Bishop Moses Kulala naamini Tutaja onana mbinguni Kwa Bwana wetu Yesu Kristo
Mungu nijaalie niishi maisha matakatifu yenye kukupendeza wewe Ni ihubiri kweli yako
Ameen
BERNARD MSANGA Amen
BERNARD MSANGA jaman wokovu nilazma naftari kabeja
BERNARD MSANGA Natamani kuwa nahuduma kama hii mungu nisaidie
Injili isiyo ghoshiwa
+Naftal Jacob neno Mungu laandikwa kwa Herufi kubwa
TUPATE WAPI WACHUNGAJI SERIOS HIVII... lakini bwana yesu atatenda tenaa
mbona yupo japhet!!! kwani humjui mtoto wake wa kiroho prophet hebron??
huyu wa arusha! bado sana na kulola hawapend manabii na mitume alikua anawapinga sana angalia hata katunzi na daniel kulola vile wako
Mungu akusaidie atuinulie watumishi wasio jikweza Kama huyu mtumishi wake alivyo kuwa
Japhet Kyando 'Karne hii hakuna mchungaji kama huyu ndugu'Na kama wapo bac me siwajui
Aliye wa Mungu humsikiliza Mungu.. Nimebarikiwa na neno hili na hakuna atakaye inuka mwenyewe injili serious kama BMK
You will remain to be father to many Tanzanians.
kwa kwel kaka makau
Huyu mzee huwa ananibariki sana mpaka naona hahibu tushirikishane neno
nakumbuka mbali ilikuwa 2002 nikiwa form two Dodoma mchungaji alikuwa anahubiri maeneo ya maili mbili amen
Adelina stephano, Haya ndio mahubiri yanayotakiwa kuhubiriwa sio unakuta mchungaji anahubiri mambo ya mwilini tu.
Hallelujah. Hi ndio injili ya kweli,habari njema kwa wore,waaminio na wasioamini.Kuujenga Ufalme wa Mungu
Injili ikemeayo uovu.....ooooh I want to praise Jesus! Just him for This man, Halleluya!
hakika huyu alikuwa mtumishi wa Mungu 25/01/2019
Anae sikiliza maubili haya mwaka huu 2018 gonga like tujuwanee
Michael Evarist mungu mwema sana
@@bigessokamonjo6988 akika nimwema siku zotee
amen
Nimeielewa hiyo
Me nasikiliza leo Mwaka2023 October 14
Hakika nimekutana na neno la Mungu ,injili ya kweli,Bwana Yesu tusaidie,mtumishi M Kulola alitufundisha sana uwanja wa Unga Limited Arusha
hakika mungu alimtumia kulola kwaviwango vikubwa nikumbuke namm bwana
Jamani jamani nulikuepo umenikumbusha mbali
mungu tusaidie
Loserian Laizer
Sina la kuongeza hapo ila napaswa tu kulekebisha maisha yangu mana nimechomwa sana ndan ya moyo wangu.ee mungu nisaidie kumalza salama kabla aijaja ile mbaya
Yesu Kristo Nna kupenda. kweliiii Yesu nimuweza. alimtumia Askofu kwa viwango vikubwa sana.
Hata kwangu Yesu nitumie upendavyo
daaaah aminaa
Ameen
YESU NI BWANA NA MWAOKOZI WA MAISHA YANGU 🙏 2024 NOW BADO MAHURI YA MTUMISHI YAKO MOTO
Sanaaa sanaa haya mahubiri ndo yanatakiwa yahubiriwe sasa 😢lakin sikuzi n kuhubiriwa umerogwa umerogwa, njoo upate muujiza wako, hakuna cha kukataza dhambi wala kuambiwa mwisho wa dunia 😢😢😢😢oh God 🙌
Kamanda aliekuwa na dhamira safi ktk kuipigania injili ya Yesu kristo. BWANA YESU AUKUMBUKE UTUMISHI WAKO NA AKULIPE KWA HAKI, PAMOJA NA MAPUNGUFU YA KIBINADAMU AMBAYO INAWEZAKANA ULIKUA NAYO LAKINI VITA ULIYOPIGANA INAISHI HATA SASA, BWANA YESU AKULIPE TU.
Huyu alikuwa NABII wa kweli hawa wengine wanaigiza huyu ni mfano wa kuigwa ndugu zangu
kwa kweli nibajifunza mengi hakika huyu alikuwa mtumishi wa Mungu
Ameen Ameen
Tunakukumbuka babu yetu kwa kazi nzito ulioifanya
Mungu akubariki baba yetu mpendwa tunakukumbuka sana hajainuka mtumishi kama wewe tanzania hii Mungu akuripe taji yako huko uliko
Neno la Bwana laishi Milele..... asante baba kutuonyesha njia.....
sifa na utukufu kwa Mwenyezi Mungu kwa maisha ya mzee huyu , Amen.
mungu. akulinde
huko mbinguni akuvishe. taji. milele
Amen
Utukufu kwa Bwana kwa kujitoa kumtumikianMungu aliye hai kwa ajilinya watanzania
Injili hii ya ya matendo na siku za mwisho wa dunia iendelee kwa watumishi waliompokea zamu kutoka kwa huyu mzee.
Mungu akutunze.
tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu anakaa ndani yake
Mungu anafanya kazi kila siku
Amen.Mungu nisaidie nitembee katika njia ya utakatifu,ili niwe na sifa ya kuiona ile njia kuu aliyoitaja nabii isaya(Isay 35;8)
tutabaki kusikiza maubiri yako nabarikiwa nikiwa Nairobi Kenya.I receive blessings in Jesus name. God is mighty.
Nakutizama UA-cam babu yangu 2019
Umetupa njia baba kazi kwetu kuilinda ... kuitetea na kuishindania imani hadi mwisho..... nakaza mwendo...Mungu nisaidie nifike salama........
nema juu ya neema
I love Jesus, rest in peace Dr kulola!
sifa kwa mungu
❤❤❤❤
Amen.Nakupenda sana.pumzika kwa amani mbinguni.taji yako iko
Alikua nabii wa ukweli huyu....can't stop watching his teachings
Mungu tujalie, tumalize salama dunia isutudanganye, Mungu akubariki baba askofu Dr Moses Kulola
Amen na barikiwaa sana na mafundisho yako baba yetu kulola mungu atuongoze ktk njiaa zetu👏❤❤
Asante kwa mafundisho mazuri . Mungu akutiye nguvu Baba muchungaji.
Injiri ya sasa si kama ya uyu mtumish! Naona kama imejikip ktk michango sana!
Nimebarikiwa Mungu atufanyie mwisho mwema atusamehe dhambi zetu Amina
Kiukweli Mtu wa Mungu waukwel hafi kamwe Dk askofu Kulola yupo hapa na anahubili kwani kupitiya mafunzo yake anaendeleza injili abalikiwe sana milele yote waitwao Watumishi niwengi lakini lakini wanao hubili neno la okovu wacace sana
Ubarikiwe Mtumishi kutuletea Mahubiri ya baba yetu wa Kiroho kwa makanisa ya Tanzania, ombi langu, ni kukuomba jaribu kuweka angalau hotuba iwe ndefu kidogo.Maana sio wote wanao zlikiliza wapo TZ. ili wanunue DVD. Barikiwa sana!
2083539888 i!993d387c066f02c6
I have
Amen
Halleluya! Jaman nampenda sana huyu Baba, yaan kweli Mungu alikuwa anamtumia wala hapana mfano wake katika wakati huu! I need more naombeni kuzipata!
mpira inglandi
Amen kama baba yetu Hebron
hebroni hamfikii huyu baba wee hata kidgo angekuepe hadi saiv duu
+Alice Thoya Thoya kweli kabisa hujakosea mimi kama nimebadilika kutoka katika dhambi ni sababu ya kumfuata prophet Hebron kweny you tube afu natamani nikamuone live.... Mungu azidi kum'bariki na kumvika nguvu mpyia ... amiina!
+Debora Adam 😃😃😃 wote ni wenye nguvu za injili ya kweli wote mimi nawakubali maana wameniokoa kwa kweli na nnatamani siku moja nikatoe ushuhuda kanisani kwa baba Hebron....
I really likes Dr. & Bishop Moses Kulola's Priches
Wapendwa tumuombe Mungu atuinulie wahubiri kama hawa, wanaofundisha kweli ya Mungu, wenye kutufundisha kweli kuhusu maisha ya baadaye ( maisha ya milele). Hero wafu wafao katika BWANA
Jamani mungu akulaze mahali sahii akika ulikuwa real real pastor
Asante baba kwa mahubiri yako ya kweli na kumutukuzaa mwanao wa kiroho mtume na nabii Hebron ambayee yupo ss ,Arusha-mushono.
ameee kwa mafudisho mazuri asate kwa naibii Hebron akiwa arusha
nakumbuka sengerema kwa wawa migombani by yohana samwel kisusi
eagt musipo musipo mfuata na kumuenzi huyu mzee mtapata taabu sana
Utukufu kwa BWANA, MUNGU AKUBARIKI mtumishi
Mungu nisaidie kuacha dhambi na kuishi maisha matakatifu mapenzi yako yatimie maishani mwangu Ee mungu nirehemu
Mwanadamu anaweza kufa lakini neno LA Mungu halifi. Li hai tena ni upanga. Ahsante Yesu kwa kifo chako uliachilia neema ya mamlaka ndani yetu. Heshima na utukukufu zirudi kwako Mungu uliyehai.
Nakumiss sana baba.watumishi mliomheshimisha Mungu dunia nzima inamheshim Mungu
Nashukuru Kwa mafundisho yenye nguvu Za Mungu wa Kweli Amen! RPC
safi baba sio kama vijana wako akina jilala shinyanga kazi kutamani wanawake tu si kweli oberd jilala
Yupo sehem gan uyo
Neema ya bwana yesu iende pamoja nasi aturehemu cc wakosaji
sisi kwetu ni ku chukuru mungu kwa mtumishi wake Dr Moses Kolola ambayo alikuwa shuka wa injli kwa karne hiyi rest in peace
Utukufu
ameen
What a beautiful inspiring this man of God is awesome
God I'm thirsty for this grace,grace for Holiness.
Wow, was so amazing gospel 🔥
Amen baba Mungu akup maisha ya furaha uko mbinguni
MUNGU nisaidie nikutii kama mtumishi huyu niongoze, sala zote nitakazo zileta mbele zako siziwe na kiburi Bali zikawe zakutoka ndani ya kilindi cha moyo wangu AMEN.
Asante Yesu kW mtumishi wako haleluyaaaa
injili isiyo kuwa na mawaa yesu tusaidie kukujua zaidi baba yesu aendelee kukupumzisha na kukupa furaha ya milele Asante kwa neno linalo jenga mioyo yetu mpaka sasa
Baba yangu wa kiroho. Nilipoona as a teenager (14) years old because of hearing The Word from this great Man of God. He spoke the absolute truth. He didn't compromise the word.
Nilikupenda sana baba nilibahatika sana kuhudhuria mikutano uliyohubiri, real love you my dad r.i.p
ashukuriwe Mungu kwaaji ya mtumishi wake
Emmy Kyando Amen Amen
Hakika mtumishi huyu alitumiwa na Mungu
mbegu uliyoipanda yazidi kumea, askofu aliyemjua Mungu ipasavyo, Tz tunajivunia
Hallelujah to the lamb of God!!
Pumzika kwa amani moses
wapi
Dibam tz hallelujah
Amina mtumishi
Mtumishi wa Mungu aliye hai hata Sasa ni hai..
Eeeh YESU KRISTO nitie nguvu nimalize mwendo salama....
Ubalikiwe mtumish wa Mungu, hakika unafungua miyoyo yetu balikiwe sana
Natamani niweshujaa kama mtumishiwa mungu moses kilola ee mungu nisaidi nifike mbinguni. kama alivyofika babu yangu kulola.
Kuna mahubiri ya Moses akiwa Tabora na kigoma alisoma neno heri wenye moyo safi, nani anayo????
Pumzika kwa amani Baba, bado nakutazama 2021
Ama kweli huyu Baba Dr Moses Mahubiri yake yalikuwa hayajachakachulia tofauti sana na akina Gwajima, Mzee wa upako, Kakobe, Lwakatare, Baba God n.k.ndo muhimu sana kuhubiri injili ya kwaya
Amina rip askofu
Haleluya Haleluya Haleluya
Mtumishi wa mungu tuta kuona mbinguni
Umefanya yote kwa wakati wako
Huyu mzee MUNGU alimtumia kwa viwango vikubwa sana, Ee YESU nisaidie na mimi BABA
Hiyo Injili kuisikia ni Mara chache sana
yooooooooo,tutakukumbuka askofu wetuuu klora
Amena ubarikiwe najina la yesu kristu liimi diwe
Da aiseeee mungu tusaidie tu
Tunakukumbuka baba yetu tumeimiss injilì ya namba hii.
Hawa ndoo walikuwa wachungaji wa kweli
ASANTE SANA
MUNGU TUHURUMIE
SIYE SISI WATOTO WAKO
TUSAMEHE SANA E MUNGU ....
AMEN
wakati wa siku zangu za kuishi duniani nitazifuata nyayo zako mzee Kulola ili niwe mtumishi mwema
Amen!!Huwezi kwenda Mbinguni kwa kusaliwa kwenye kaburi.
Naomba mwenye kufahamu Kati ya Moses kulola na Moses Magembe Ni ndugu?
Kaka I need more.
Anasema aendaye kwa Kristo awe na sura ya Kristo.Je una sura ya Kristo ndani?Amen!!!
Bwana Yesu kristo apewe sifa
Mungu atusaidie vijana tuenende katika unyoodu na kifkia viwango vya imani katika kumtegemea mungu
Amen amen mille na milele tutashangilia
Fredian Niyo
Mungu zidi kuinua watu muhimu kama hawa ili injili izidi kusonga mbele
Yudes Tilumanywa upo mtumishi
mara ya kwaza kuhudumu kwenye mkutano wa Mzee tulienda kwenye maombi ya wiki Moja mlimani dah sitaisahau ata SIKU ya mazishi yake nilikuwepo uwanjani kirumba nakumbuka ulipigwa wimbo na mchungaji abihudi mishori nililia sana
Najua upo kwa baba Mzee wangu.tutakukumbuka daima
Jamani kweli ukiskiliza mahubiri haya ndipo napoamini aliye was Mungu anajulikana kwa matendo tu
roho ya baba kulola ipate kibali Machoni pa Mungu Baba
Huyu yuko mbinguni
Bwana Yesu aSifiwe
He the real man of God what a powerful words
Baba wambinguni nisayidiye niweze kuubili kama uwu mzee wetu amen
Yves Nzunguri I would like to invite you at Silali Tz there is a branch of Pentecost's shilo and you will enjoy a real &truth gospal word,just consult the site you will hear alot of it.
Mungu wasaidiye watumishi wako kuhubiri injiri ya kweri kama Baba yetu uyu, wengi wamebakia kuhubri mahubiri ya mafanikio ya pesa tu hakuna mahubiri ya kusababisha watu watubu uovu wao.
Mungu huwaita Watu kwa Nyakati
Hii injili watumishi wengi leo hii wanaikwepa.dah yani Mungu uturehemu.
Mungu ni mwema.
hakika mungu alitoa mti wenye matunda adimu sana,
Amen
Mungu akulase pema peponi
Tumupate wapi uyu??❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Amina
mahubiri ya mchungaji moses kulola yana bariki sana u barikiwe
Huyu Mtu ni neno La Mungu kweli
rest in peace baba askofu
Injiri original