Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Hongereni Sana St. Thomas More Choir kwa Kazi nzuri ya Uinjilishaji, Hakika Mnaifanya KaziMungu Atukuzwe Milele Daima Ndani ya TMCS Chuo Kikuu Mzumbe.⛪✝
Hakika jina lake litukuzwe mbarikiwe sana wanathomas kwa Wimbo mzr,
Mambo ni moto Kongole Kwa vijana hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mpewe maua yenu
Hakika Bwana ni Mwema Tulitukuze Jina lake siku zote za maisha yetu❤❤❤Nimeupenda plus free organ yake Mungu aibariki Thomas More Daima
❤️❣️Yaaan Thomas More hamjawahi kupoa God bless you for the awesome song❤️❣️❤️🤍💕💞🌹
Hongeren sana Wana Thomas More Mungu awabariki Mungu abariki utume wenu❤❤❤ Lazima nijiunge nanyi
❤❤ Wimbo mzuri Sana Mungu azidi kuwapa nguvu Katika utume wenu
Mungu atukuzwe milele
Mungu awazidishie wema na fadhili zake ili kutimiza matakwa ya bwana
HAKIKA BWANA NI MWEMA SIKU ZOTE . MUNGU AZIDI KUINUA UTUME HUU WA UIMBAJI. HAKIKA TUNABARIKIWA SANA NA KAZI HIZI NZURI
Wow hakika kila mwenye sikio amesikia
😍 Amina kwa kazi nzuri 🌹🌹🌹
Litukuzeni jina la Bwana. Bravo
Aminaaa sanaaaa kwa wimbo mzuri mzidi kubarikiwaa
So amaizing❤
Hakika jina la mungu litukuzwe milele kwa kuwa ni kuu Wimbo mzuri sana na ujumbe wakutosha
Wooow, Wimbo wenye tafakari ya wema wa Bwana MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU ili kazi yake itukuzwe milelee😍😍😍
Kazi nzuri
Hongereni kwa kazi nzuri wapendwa ❤❤❤
#in God we trust
❤🎉
❤
🎉🎉❤
📌📌📌📌📌📌
❤ 🙏
Hongereniii saana family from another cap Kwa kazi nzurii Mungu awabariki 🤲
MUNGU NI MWEMA SANA
❤🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥
thanks
❤❤❤❤
Hongereni Sana St. Thomas More Choir kwa Kazi nzuri ya Uinjilishaji, Hakika Mnaifanya Kazi
Mungu Atukuzwe Milele Daima Ndani ya TMCS Chuo Kikuu Mzumbe.⛪✝
Hakika jina lake litukuzwe mbarikiwe sana wanathomas kwa Wimbo mzr,
Mambo ni moto Kongole Kwa vijana hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mpewe maua yenu
Hakika Bwana ni Mwema Tulitukuze Jina lake siku zote za maisha yetu❤❤❤
Nimeupenda plus free organ yake Mungu aibariki Thomas More Daima
❤️❣️Yaaan Thomas More hamjawahi kupoa God bless you for the awesome song❤️❣️❤️🤍💕💞🌹
Hongeren sana Wana Thomas More Mungu awabariki Mungu abariki utume wenu❤❤❤ Lazima nijiunge nanyi
❤❤ Wimbo mzuri Sana Mungu azidi kuwapa nguvu Katika utume wenu
Mungu atukuzwe milele
Mungu awazidishie wema na fadhili zake ili kutimiza matakwa ya bwana
HAKIKA BWANA NI MWEMA SIKU ZOTE . MUNGU AZIDI KUINUA UTUME HUU WA UIMBAJI. HAKIKA TUNABARIKIWA SANA NA KAZI HIZI NZURI
Wow hakika kila mwenye sikio amesikia
😍 Amina kwa kazi nzuri 🌹🌹🌹
Litukuzeni jina la Bwana. Bravo
Aminaaa sanaaaa kwa wimbo mzuri mzidi kubarikiwaa
So amaizing❤
Hakika jina la mungu litukuzwe milele kwa kuwa ni kuu
Wimbo mzuri sana na ujumbe wakutosha
Wooow, Wimbo wenye tafakari ya wema wa Bwana MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU ili kazi yake itukuzwe milelee😍😍😍
Kazi nzuri
Hongereni kwa kazi nzuri wapendwa ❤❤❤
#in God we trust
❤🎉
❤
🎉🎉❤
📌📌📌📌📌📌
❤ 🙏
Hongereniii saana family from another cap Kwa kazi nzurii Mungu awabariki 🤲
MUNGU NI MWEMA SANA
❤🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥
thanks
❤❤❤❤