Asante ally kamwe mungu akubariki SSI yangu kwa neema ya mungu tunabarikiwa wamefanya Kila namba kivuruga yanga wameshindwa ssa wamejileta adharani kusema ukweli tutawaroga tutawahonga marefanamambo mengi tunawahangalia SSI mungu anatusaidia
Hahahah wajinga wametafuta na kupata Leo hii Ali kamwe anawachafua nyie wachambuzi kabla hamjafanya jambo fikirieni yanga wanaviongozi mashuhuri weledi na wenye mzimamo poleni pia fahamuni akienda kule anaenda kusugua Benji kama kipindi kile Chama na Tk master
Yanga waliona mbali sana kumchukua Ally SHABANI Kamwe kua msemaji,
He is much much talented on speaking
Much life on Yanga broo🎉
Ally Kamwe nimekuelewa sana bro nami nimeliona hilo acha mwakalobo aendelee na mambo yake
Sahihi sana na ni zaidi ya kipindi Cha Mayele na naamini Mayele pia anaitamani Yanga Africa
Sawa kabisa ...wape hiyo
sana leo ndo nmegundua ally ana akil san young mko smart
Unaongea vizuri sana dogo, nakuelewa Ally Shaban Kamwe
Wape vidonge vyao 😅😅😅😅😅😅
Kweliiii kabxaaa
Asante ally kamwe mungu akubariki SSI yangu kwa neema ya mungu tunabarikiwa wamefanya Kila namba kivuruga yanga wameshindwa ssa wamejileta adharani kusema ukweli tutawaroga tutawahonga marefanamambo mengi tunawahangalia SSI mungu anatusaidia
Mzize kwakwenda ni timu za ulaya sio Africa tena itakuwa zalau kwetu nakwake
Ulaya kivipi kwa kipaj kipi
@@ilynpayne7491 kwani sanogo WA aseno ulimjua alikuwa na kipaji gani ambacho mzize Hana muda ungine ni Taifa wanalotoka sio kipaji tu
Kweli kabisa
leo umeongea msimamo wa timu nimependa
Sawa kabisa semaji wape za uso
😂😂
Mwamba kachafukwa😂wape makuvu,nyambafu hao🎉🎉🎉🎉
Jmn nani kamkwaza msemji wetu lkn ameongea kwahisia kali
Ally achana na hao wachambuzi maandazi🎉🎉🎉🎉
Ina onekana mwiba umechoma ndipo.
Dube sio mtu wa kumtegemea injury kila siku
Unabweka kama huna meno mdomoni, Acha inyeeshe, tutaona panapovuja, shenyang type, madeni fc.
Wanafiki kitoka madunduka km wanataka food way dad wamchukue mukwalaaa
Wambie hawo wasiyo elewa et😅
Eti ukija kupigwa 5 unasingizia watu 😂😂😂😂
Wakate vilimilimi vyao wachambuzi uchwara
Hawa niwa chambuzi wa matembele
❤❤❤❤❤❤❤❤
aweh ukweli mtupu
Mwenye swali la nyongeza?
TATIZO WATANZANIA BADO WANAWABABAIKIA WAARABU.
Makolo mnasemaje na sisi ndio Tanga,msemaji wetu umesema ukweli Tanga tuna ndoto kubwa kweli za kupambana na virabu kama ariahali baba
Wape dawa yao wapone huwo ugonjwa wao
😂😂😂😂😂
Hahahah wajinga wametafuta na kupata Leo hii Ali kamwe anawachafua nyie wachambuzi kabla hamjafanya jambo fikirieni yanga wanaviongozi mashuhuri weledi na wenye mzimamo poleni pia fahamuni akienda kule anaenda kusugua Benji kama kipindi kile Chama na Tk master
😂😂😂😂😂😂