Akili zetu zimejaa mihemko na kukosa tafakari Kila Leo tunakurupukia mambo baadae tunakuja kujutia vifo kama hivi tunapoteza watanzania wenzetu asiokua na hatia inahizunisha sana Yaani polisi wakikamata watu wanaohamasisha hizi fujo iwashitaki kwa madhara yanayopatikana kwenye Hilo tukio washitakiwe wamesababisha kifo jamani
Poleni Sana ndugu zetu kwa matatizo makubwa yaliowakuta pia ninapenda kutoka ombi kwa polisi kuwa makini na silaha wanapokua kazini sidhani kama kupiga risasi hovyo ni kuzuia fujo na sidhani kama angepiga juu isingeleta madhara
Nani atafuata ndio unaweza kusema, Mm nishaona hii TZ hakuna amani bali ni tunaishi kwa kuogopa ifike wakati tuwe kitu kimoja tudai uhuru kutoka kwa MAKABURU WEUSI
Natoa rai kama mwananchi, serikali iwakate polisi wote fedha ya bima ya maisha ya watu wanaowauwa katika mazingira ambayo kifo kingeweza kuepukika, na kwa yule askari aliefanya kosa hilo basi ichunguzwe hatua aliochukua je ilikua ni muwafaka? Pia serikali iweke utaratibu wa kuwaruhusu askari kwenda mazoezi ya shabaha mara kwa mara, ili waweze kujenga mazoea na silaha na pia wajue madhara yake inapotokea silaha ikitumika kwa mtu hasa maeneo ya tumboni na kifuani. Wengi katika askari ni kama watoto tu katika silaha za moto, wengi hushika silaha miaka mingi bila kuzitumia na hivyo huwa na subira ndogo sana pale inapotokea taharuki ambayo inaweza kudhibitiwa kwa diplomasia ama nguvu ambayo haitasababisha kifo. Mungu ibariki Tanzania. Amin!
Imani ikiondoka kwa vyombo vya usalama haya ndiyo matokeo yake. Mungu atusamehe watanzania
Duuuh polisi mnashindwa kutuliza fujo Bila kutumia silaha za moto
Yaaan jmn juzi juzi tu wametoka kuua kijana wa watu Leo tena
Watu 800 unafanyaje
Watu 800 wana mawe ulitaka wawafanye nini?
@@lailatmalik7515 wangewapiga hao waliokuwepo hapo ndo walenge nyumba za watu,au na shabaa hawana
Akili zetu zimejaa mihemko na kukosa tafakari Kila Leo tunakurupukia mambo baadae tunakuja kujutia vifo kama hivi tunapoteza watanzania wenzetu asiokua na hatia inahizunisha sana Yaani polisi wakikamata watu wanaohamasisha hizi fujo iwashitaki kwa madhara yanayopatikana kwenye Hilo tukio washitakiwe wamesababisha kifo jamani
Poleni wapedwa inasikitisha sana kuona nguvu kazi ya familia na taifa imaondoka
Polis hamjitambui kabisa mpaka lisasi zamoto kengenyie fala nyie afai
Pole Sana mungu akupe subra
Nchi inaenda kubaa
Hicho ni kituo cha polisi kweli ? Au ni masela camp. Daaaaa
😁😁
😅😅😂kituo Cha polis nilijuwa kibanda umiza😂😂
Damu zinazomwagika bola hatia, zinadai damu nyingine. Tusipoomba sana damu itaendelea kumwagika.
Poleni Sana ndugu zetu kwa matatizo makubwa yaliowakuta pia ninapenda kutoka ombi kwa polisi kuwa makini na silaha wanapokua kazini sidhani kama kupiga risasi hovyo ni kuzuia fujo na sidhani kama angepiga juu isingeleta madhara
Mnamdhalilisha rais wetu sana tu hii ni nchi ya amani jamani
Innalillah waina ilayhi rajiun, pole sana mama
Pole sana mpendwa
Hilo jengo sijalielewa. Polini sana wazazi, ndugu, wanafunzi wenzake na walimu.
Nani atafuata ndio unaweza kusema,
Mm nishaona hii TZ hakuna amani bali ni tunaishi kwa kuogopa ifike wakati tuwe kitu kimoja tudai uhuru kutoka kwa MAKABURU WEUSI
Pole sana Mama
jeshi la polisi lifutwe waajiliwe wengine. wazamani hawana binu za kutuliza fujo. wao wanajua kuuwa tu.
Inauzunisha sana poli wenyewe ckuiz ni walevi walevi tu uckute alikuwa Bado pombe zipo kichwani
Mnauwa harafu mnakuja kuzika daaah naumia sana
Ee MUNGU wangu
mama
Polis wasikuizi hawajuwi sehem pakutumia bunduki inatakiwa muludiswe shuleni ilimukajifunze utalatibu
Raia wakiisha mtapigana wenyewe 😭
Mjomba ppot ulipo hakikisha unalala saa 12 jion saw# visit busokelo
Sio vitoto ni watoto
Dah! So sad
Shida hofu imezidi nchini ukitembea barabarani na mtoto wako watu wanajua unamteka . Utakaji umezidi nchini hivyo ni lazima watu wajilinde
Natoa rai kama mwananchi, serikali iwakate polisi wote fedha ya bima ya maisha ya watu wanaowauwa katika mazingira ambayo kifo kingeweza kuepukika, na kwa yule askari aliefanya kosa hilo basi ichunguzwe hatua aliochukua je ilikua ni muwafaka?
Pia serikali iweke utaratibu wa kuwaruhusu askari kwenda mazoezi ya shabaha mara kwa mara, ili waweze kujenga mazoea na silaha na pia wajue madhara yake inapotokea silaha ikitumika kwa mtu hasa maeneo ya tumboni na kifuani. Wengi katika askari ni kama watoto tu katika silaha za moto, wengi hushika silaha miaka mingi bila kuzitumia na hivyo huwa na subira ndogo sana pale inapotokea taharuki ambayo inaweza kudhibitiwa kwa diplomasia ama nguvu ambayo haitasababisha kifo.
Mungu ibariki Tanzania. Amin!
Poleni sana😭😭😭😭
Hawa polc vp mbona hawatumii akir kutulza gasia xx huyo mtoto anakosa gan ila mungu anawaona
Mbona nyumba ya vioo sioni na geti
Ivi polisi ndo wamekua ivi siku izi au hii kazi ya upolisi inahitaji kuajili wasomi zaidi iache haya ma form four
Kuna watu kama wanamchafua bimkubwa kiana
So sad
Hao walio sababisha vurugu wakamatwe wafungwe
Duuh inatisha sana