KAZI NGUMU NILIZABULIWA KIBAO KAZINI | SIKU YA KWANZA TUNAKUTANA NILIMLAZA CHINI SIKUA NA PAKULALA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 сер 2024
  • Norbert ameeleza safari ya maisha yake kutoka Bongo kuingia Marekani kimasomo
    Ambapo yeye ni mwanasheria lakini aliingia marekani kusomea Muziki ili kuendeleza talanta yake ya muziki
    Lakini alipofika mambo yalienda ndivyo sivyo ikabidi ajiunge na kazi za kuosha vyombo, kuendesha na kufanya kazi za care ambapo alikutana na changamoto ya kazi ya kupigwa kazini.
    Sasa anafanya kazi ya Muziki kama ilivyokua ndoto yake, na ameoa African American.
    Thank you Norbert for allowing this to be online
    www.oda.international

КОМЕНТАРІ • 75

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  3 місяці тому +4

    Instagram: min_norbert_joseph

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 місяці тому +7

    Kaka anajitambua sana atafika mbali. Nimependa vile ana moyo wa kushukuru kwa kila aliyemshika mkono kwa nukta moja. Big up young man.
    Na muomba Mungu aniongezee moyo wa shukrani

  • @zabibukasele4305
    @zabibukasele4305 3 місяці тому +5

    Kaka ana Hofu ya Mungu NA mchapa kazi kitambo. Hachagua kazi. Anajitambua atafik mbali Sana. Bi Mkubwa wake ameleaaa kwa vitendo. Big up mama Norbert

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061 3 місяці тому +18

    Kijana ana heshima na anajielewa na anakumbuka kutoa shukran sana, safi sana. Mazungumzo mazuri. Una bahati kupata fursa ya kufanyiwa interview bila kulipia fee huo ubalozi

  • @AdamBabalao
    @AdamBabalao 3 місяці тому +8

    Uyoo ametisha ndugu yetu wewe nimwana alakati salut dada yao

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 3 місяці тому +7

    Community college ni sawa na Chuo kinachotoa Diploma mfano CBE Chuo cha Biashara, au DSA ni vyuo vinavyotoa Diploma inayokuwezesha kuingia University kupata Degree, ukimaliza Community College miaka miwili unatunukiwa Associate Degree (sawa na Diploma)
    Wengine wanaenda Community college sababu ufaulu wao hautoshi kuingia University unaanzia Community kusafisha ufaulu ili ukubalike University, ila tofauti ukikubaliwa kuingia University ukiwa umemaliza community college University wanahesabu masomo yako na wanakuanzisha Mwaka wa Tatu wa University na utasoma na kumaliza degree yako

  • @anociatafungameza
    @anociatafungameza 2 місяці тому +1

    Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Asante kaka kwa kulijua hilo, kweli mtoto mlee katika njia impasayo nae hataiacha hata atakapokiwa Mzee. Big up kwa wazazi wako pia. Wamekilea ktk njia za kumjia Mungu.

  • @marthapeter8246
    @marthapeter8246 3 місяці тому +11

    Kweli mnakula vizuri mwanangu😂😂

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 3 місяці тому +6

    Mambo shena , hongera kwa kazi yako zuri, huyu kaka na roho nyeupe Sana ndo maana anafakiwa, hongera Sana mdogo wangu ,Mungu abariki ndoa yetu mbarikiwe mtoto was kikie na. Wakiume

  • @jescanicodemus
    @jescanicodemus 3 місяці тому +6

    Ana heshima mno sanaa aseee

  • @johnriwa2854
    @johnriwa2854 3 місяці тому +8

    The most fascinating story ana chekesha ubarikiwe bro 👏

  • @komboko4143
    @komboko4143 3 місяці тому +2

    Hilo uamifu ni swala la kwanza katika maisha ya binaadam big up
    Bro umeongea point muhim sana.

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 3 місяці тому +9

    Nimemuelewa vizuri na nimecheka sana wifi siku ya kwanza kulazwa chini😂na asiyetaka kukusamehe apambane mwenyewe

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 місяці тому +5

    Kijana mdogo lakini kasema maneno makubwa yanayo eleweka. Siyo maneno ya kiwazimu. Mzungu Mzungu.

  • @selemanmniko1158
    @selemanmniko1158 3 місяці тому +5

    Big nakupa hongera make wewe ni mwanzi sana sana mungu akupe kibali ndoa yako ifike miaka 60 . SELEMAN CHARLES MNIKO nipo mwanza tanzania

  • @FredyIsseme
    @FredyIsseme 2 місяці тому +2

    Namjua alikua anatuimbia pale kariaaako morning gro

  • @anetkileo2461
    @anetkileo2461 3 місяці тому +8

    Kipapai Yani hii ni kweli kabisaaaa

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 3 місяці тому +2

    Norbat Asante sana, nakuomba kitu kimoja, mimi pia niko USA angalia chakula kula kiasi, usipate pressure, sukari, na cholesterol, tunakupenda sana sana.

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 місяці тому

      Wewe naye muache mwezio ale mpaka apasuke😂

    • @jescanicodemus
      @jescanicodemus 3 місяці тому

      @@aishaarusha894😂😂😂😂😂 eti jmn ananichekesha uyo eti nipo marekani sijui nin na nn 😂😂

  • @ashaidei5680
    @ashaidei5680 3 місяці тому +3

    Norbert Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ktk njia zako zote.🙏🙏🙏🙏

  • @giboncebarnabas9667
    @giboncebarnabas9667 3 місяці тому +6

    Safi sana Shena, leo nimecheki all of the interviews na zote ziko poaaaa sana. Kudos!

  • @gladnessshola2718
    @gladnessshola2718 Місяць тому

    Nimemuelewa sana huyu baba ana nondo sana🎉

  • @judithetaeta2594
    @judithetaeta2594 3 місяці тому +2

    Hongera mshikaji wangu ongera umechakalika Sana MUNGU akubariki Zaidi

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 3 місяці тому +5

    We get you 100%

  • @shamzone388
    @shamzone388 3 місяці тому +2

    Shena umetuletea kijana mkweli na anajitambua sana
    Mapenzi na maelewano ndio muhimu

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 3 місяці тому +2

    Aah kumbe hy ndo maana ya mtoto kuzaliwa amefunga mkono,I get you bro

  • @theresiamilanzi5907
    @theresiamilanzi5907 3 місяці тому +1

    Kweli kabisa❤ nimependa sana kaka yangu achosema

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 3 місяці тому

    Hiiii dunia hiii aisee hapana...watu wanapiga kimbola balaaaa...cheki mwamba kafika zake state lakini maraia bado wanamfuatilia godamn it🙌🙌

  • @mazruyonlinetv2423
    @mazruyonlinetv2423 3 місяці тому +6

    Story nzuri sn kiukweli.

  • @gladnessshola2718
    @gladnessshola2718 Місяць тому

    Huyu kaka ana nidhamu sana 🎉

  • @mohrecaps
    @mohrecaps 3 місяці тому +4

    Shena leo umenifurahisha sana umeleta mwanaume hongera dada

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 місяці тому +1

      Mbona wanaume wanakuja sana kaka
      Hujaona video za wanaume ?

    • @mohrecaps
      @mohrecaps 3 місяці тому +1

      Sikuona dada ila nitajitahidi niangalie video zote shukran sana dada kwa watu unaotuletea wanatupa sana moyo kufika abroad

  • @PiusBitakweite
    @PiusBitakweite 3 місяці тому

    Sister ongera kwa kazi nzuri uyu kijana ana moyo mweupe naomba namna ya kupata msaada kasema amewai kuendesha maroli ndo fani yangu na pasport ninayo.

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 3 місяці тому +3

    Nimependa story, anaongea vizuri❤❤❤❤

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 3 місяці тому +1

    Nice interview da shena na kaka Nobert 💐🥰🌹♥️

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 3 місяці тому +2

    sikujua watanzania tunajulikana kwa wizi😢😢😢😢

  • @komboko4143
    @komboko4143 3 місяці тому

    Dahh hiyo ya mwisho nimeipenda sana kama hutaki kumisamehee pambana nalo😂😂😂
    Jamaa anakiona sana mm nilishamsamee na kumuomba samahan ila jamaa hataki ila ujumbe apambane nalo❤😂😂😂

  • @PtransJulius
    @PtransJulius Місяць тому

    apo sawa nawapata kutoka south Africa.

  • @esterMahenge
    @esterMahenge 2 місяці тому +1

    😂😂😂😂apo kwenye kula

  • @mazruyonlinetv2423
    @mazruyonlinetv2423 3 місяці тому +2

    Hio kazi ya jumatatu hadi jumamosi hapa UK tunaita care sleep in.

  • @irenewile
    @irenewile 3 місяці тому +1

    Shule amesoma mdogo wangu

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 3 місяці тому +2

    Correct kabisa.

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 3 місяці тому +3

    Anza kujiombea binafsi

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 3 місяці тому +1

    Waoo umekatika kidogo

  • @leonidammbone2405
    @leonidammbone2405 3 місяці тому

    Wah Leo mtambo mmbaya kweli ana hung sana

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 місяці тому +1

    Young Brother… vipi lile begi lako lililo potea uliliona Tena??? 😅

  • @user-ky2ru7hl9j
    @user-ky2ru7hl9j 3 місяці тому +1

    Sàuti inakwama sana.

  • @ESTHERKamala-qp7gi
    @ESTHERKamala-qp7gi 3 місяці тому +1

    Naona anakatika katika

  • @ZuwenaSinde-hj9qg
    @ZuwenaSinde-hj9qg 3 місяці тому +1

    Kama hutaki kunisamehe 😅😅 pambana nayo

  • @ashumohd2192
    @ashumohd2192 3 місяці тому

    28:01 kuendelea🤣🤣

  • @veronicankenja9061
    @veronicankenja9061 3 місяці тому

    Dada Shena .Network ni tatizo,

  • @benardmsafiri4648
    @benardmsafiri4648 3 місяці тому +1

    Big Up 👊🏽

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 3 місяці тому +1

    Kaka mcheshi😅😅😅

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 3 місяці тому

    Hutaki kunisamehe pambana mwenyewe 😅😅😅

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 місяці тому

    Mtanzania atakuibiya 😂😂😂😂😂

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 3 місяці тому +3

    Shena umefurahi kwa story,nimefurahi kukuona na furaha

  • @neemasalema1546
    @neemasalema1546 3 місяці тому

    Sauti inakatakata sijui ni mtandao

  • @user-ky2ru7hl9j
    @user-ky2ru7hl9j 3 місяці тому

    Hatusikii

  • @JacoGityamwi
    @JacoGityamwi 3 місяці тому +1

    😂😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 місяці тому

    MBONA PETE HATUIONI JAMAANI ?

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 місяці тому

      Hivi Pete ni lazima ?

    • @immaculateakilimali7220
      @immaculateakilimali7220 3 місяці тому

      Wabongo bwana,sasa we unamuulizia Pete ya nini?tatizo tunakariri sana maisha,mwenzio kaishatengeneza maisha yake,kafunga ndoa yake,kasajili document zake,na anatambulika na serikali ya marekani ni mwanandoa halali,we unauliza pete hahahaha.

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 3 місяці тому

    Sauti ndogo

  • @upendomshani3932
    @upendomshani3932 3 місяці тому

    Afu kuna ngongonda atabak kudai ODA haina mafundisho 😏😏