Sns ni channel nzurisana.kweli mwanamke anasaidia sana Mimi kipindi nipo pekee yangu hela sijui hata zilikuwa zinaenda wapi unapata milioni lakini nikitoka out siku 2 tu Sina hata Mia. Sasa nimeoa miezi miwili akili imenikaa naweka akiba, KIWANJA kimenunulika, hiace ya kuingiza hela ya CHAKULA.
Watu wengi sana wanafikiri kua peke Yao ndio watafanikiwa sana kumbe ni kupoteza muda bure.Umoja ni kitu kizuri hata Mwenyezi Mungu anafanya kazi ktk utatu mtakatifu.Vijana msiogope kuoa.Usioe mwanamke sababu ya uziri wake.Oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu na anapenda mafanikio.
Great interview, huyo anaongea ukweli kabisa. Kitu kilichomsaisia kujenga uaminifu kwa wateja wake mwanzo ni kukubali kufikisha mzigo kwanza kwa mteja ndipo alipwe kitu ambacho wauzaji wengi wa online hawafanyi
Expose those clowns Sky, hao wa marketing networks na online businesses ambao sio waamifinifu uokoe kizazi cha wengi wasio kuwa na uelewa. It might help a lot bro. Shout out to Mapunda for sure he's deserves to prosper also big up to madam on his side, God bless their hustles with you too guys hapo mjengoni SNS. Love!
Kuheshimu waminifu imani bidii kazi usikate tamaaa ni kweli kabisa unachosema la kweli kabisa watu wafiri kupewa pesa bdio dili lakini dill la kweli mtu kupa njia kuambia kuhusu maendeleo ubarikiwe zaidi
Mm nshakutan na mtu mmoja hv nilipenda bidhaa yake akatak ntume pesa fasta yaan ulikuwa ucku lkn nkatuma cku ya pili akantumia mzigo wang lkn alituma mzigo nusu huo ulobak mpaka leo hii tunasumbuana2 kweny cmu had naogop kuorder bidhaa online
Kitu kilicho nifurahisha amemtaja jamaa nilie soma nae Shule moja Meta Secondary High school nimekaa nae bweni Room moja kwajina la utani tulimwita mseminary jina lake Jeovin
@@kathyrinesimbeye4449 kama unatumia Instagram ujue kuna account aina mbili. Kuna personal na business account. Kama account yako umeiset kama business account kila ukipost picha inakupa option ya kuipromote hiyo picha na hiyo promotion inalipiwa kwa kutumia bank card (credit au debit card) na kama ilivyokawaida kupata kadi lazima uwe na account benki. Hopefully umenielewa.
Huwezi kuhifadhi pesa bank alafu, ukawa unafanya saving, awa watu wanao fanyiwaga interview kuna vitu huwa hawasemi ,hawafunguki ukweli, kuna mmmoja umu juzi apa kaijiwa akasema alianza na laki tatu na ana biashara kubwa sana ,
ahahaha imenifurahisha history Yako nashangaa unasimulia history ambayo mlie toroka Naye alikua akitusimulia tulikaa bweni pamoja room Moja tukiwa nae META SECONDARY mbeya pale
ua-cam.com/video/X7ONvSSKZLs/v-deo.html 👆👆👆👆👆👆👆 Kama ni muoga usifungue hii video 😨Tazama Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😨
Nimejifunza kitu kikubwa Sana aisee! Hebu tuletee watu wengine kama hawa sio kuleta udaku wa mapenzi! Mapenzi tu! Big up brother!
Nimejifunza mambo meng sana iseee naomba niunganishe nae nijifunze zaid
Ukiwa na mwanamke supportive kama wa huyu Jamaa ndoa inakuwa tamu sana...
Interview nzuri , ninejifunza mengi hapa leo
Jamon shule yangu mungu atie nguvu
Nina mtaji nilikuwa nawaza ishu ya kuuza vyombo, i got something here. Thanks Bro
Sns ni channel nzurisana.kweli mwanamke anasaidia sana Mimi kipindi nipo pekee yangu hela sijui hata zilikuwa zinaenda wapi unapata milioni lakini nikitoka out siku 2 tu Sina hata Mia. Sasa nimeoa miezi miwili akili imenikaa naweka akiba, KIWANJA kimenunulika, hiace ya kuingiza hela ya CHAKULA.
Tusaidiane vjana na izo fursa
Plz🙏
Umepata mke mwema kuna wanawake majambazi wakiona hela wanachanganyikiwa??
@@cadhimberec1286 ww jamani
Hahahaaa
Watu wengi sana wanafikiri kua peke Yao ndio watafanikiwa sana kumbe ni kupoteza muda bure.Umoja ni kitu kizuri hata Mwenyezi Mungu anafanya kazi ktk utatu mtakatifu.Vijana msiogope kuoa.Usioe mwanamke sababu ya uziri wake.Oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu na anapenda mafanikio.
Mashaallah nimependa kaka kumsifia mwanamkewake wachache wenyekupata wakajuwa sapotizaweziwao upo vizur kaka
Nimeipenda hii interview, God bless you all 🙏🥂
When I started following this interview I thought that you deliver even overseas but not, we miss those products in Australia many thanks
Yaani nimejifunza kitu kikubwa sana.. Mungu akubariki hata mb zangu hazikwenda bure.. Bless bless bless much.
👌 mashaallah ♥️nimejifunza kitu hapa 🌟🌟
Sky umenifurahisha sana leo umetuletea kitu tunapenda
Brother muite na Sirjeff Dennis
Great interview, huyo anaongea ukweli kabisa. Kitu kilichomsaisia kujenga uaminifu kwa wateja wake mwanzo ni kukubali kufikisha mzigo kwanza kwa mteja ndipo alipwe kitu ambacho wauzaji wengi wa online hawafanyi
Hakika uaminiifu ndio mafanikio y mfany biashaara
Aaaa classmate big up sana Fr Jbmligo hapaa!
The best enterview ever seen
Hapo kwenye kusapot account ndio mtihani na ndio maana wengi tunajaribu biashara kwenye mitandao na tunashindwa kumbe kuna kusaport acoustic jamani...
Hongera sana kwa upambanaji
Mungu Azidi kukubariki
Thanks Sns nimejifunza kitu ❤🇹🇿🇨🇭
Thx a lot boss
Kwahiyo....mwaka na miezi mi4=16 months....50,000,000÷16=3,125,000/=.....bila ya kuwa na duka wala nn!!!Mungu tupe maarifa
Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?
Mashaa'Allah jaman mm mbona nimependa hlo somo
very educative interview,,,big up sky
Thank you 🙏 Kaka Sky tumejifunza.
Shukran sns
Yaan nimejifunza kitu kikubwa sana asante kaka sky kwa kutuletea watu kama hawa
Brother umetema nondo sana be blessed
Uyu brother ni level ingine
Asante sn kaka
Brother shukran Sana nimejifunza kitu kupitia wewe ongera Sana
Kaka awezekani Mimi myaka18 kwenye gem lakini Bado kutoboa nasijawai kuishi maisha yanasa
Asante nimefurahi sana
Expose those clowns Sky, hao wa marketing networks na online businesses ambao sio waamifinifu uokoe kizazi cha wengi wasio kuwa na uelewa. It might help a lot bro. Shout out to Mapunda for sure he's deserves to prosper also big up to madam on his side, God bless their hustles with you too guys hapo mjengoni SNS. Love!
Hongera kaka
Allah amjalie ndugu yetu
Huyu kaka kaongea point mno...kubadili marafiki
Good interview hapana najifunza kitu safi bro
Thanx🙏
Kuheshimu waminifu imani bidii kazi usikate tamaaa ni kweli kabisa unachosema la kweli kabisa watu wafiri kupewa pesa bdio dili lakini dill la kweli mtu kupa njia kuambia kuhusu maendeleo ubarikiwe zaidi
Umetisha bro,uko smart sana
Life is war Big up sana Kaka
MWAKANI NAMIMI NIITE
Mashaallah
Nataman sana niganye biashala na ww kaka lakini niko mkoani na mm naifanya nitawezaje kukupata
Nice interview 👌 bless on bless
Facts indeed big up
Mashaallah hakika iko vzr
Ma sha allah
Ubarikiwe kaka
Mashaallah nimeipenda sana🇹🇿🇴🇲
Nimependa sana historia yake
Nimependa
jamani tupo wengi sanaa tuliepambana.mm nipo Dodoma.namba yangu hiyo.0717130010.nipigieni.na mm nitakuja.nimjasiliamali pia
Mm nshakutan na mtu mmoja hv nilipenda bidhaa yake akatak ntume pesa fasta yaan ulikuwa ucku lkn nkatuma cku ya pili akantumia mzigo wang lkn alituma mzigo nusu huo ulobak mpaka leo hii tunasumbuana2 kweny cmu had naogop kuorder bidhaa online
Kweli kbs
Tuletee watu kama hawa wengi
kaka xhikamo samahani Sana kaka nakuomba namba ya simu
Wooow
Kitu kilicho nifurahisha amemtaja jamaa nilie soma nae Shule moja Meta Secondary High school nimekaa nae bweni Room moja kwajina la utani tulimwita mseminary jina lake Jeovin
Namba za duka plz, nahitaji kuagiza mzigo, nipo Dodoma.
Nimewahi Leo🥰🥰🥰
Sky bonge moja la mtangazaji
Wanawake mjifunze hapo na siyo kusema tuma na yakutolea
Shetani mbaya sana nimefika apo kwenye vyombo vya million tatu si sim ikazima bhana... Kweli kwenye njia ya mafanikio kuna changamoto nyingi
ha ha ha!
Mkaka mpole 😂😂😂 umesababisha nimecheka kijingasana hahahahaha
@@SimuliziNaSauti hahahah!! sio poa kaka sky nusu nizimie yani.
@@aminajuma1435 😂😂 ilibaki kidogo nilie et...
Hahahahaha
Sky embu nisaidie jina la duka la huyu mentor
Jamaa yuko poa sana
Mmh xijaelewa hapo kweny kusponsor account ya Instagram
I think he meant promoting, (kuitangaza page/biashara)
@@haskao77 unaitangazaje Sasa kupitia account ya bank???
@@kathyrinesimbeye4449 kama unatumia Instagram ujue kuna account aina mbili. Kuna personal na business account. Kama account yako umeiset kama business account kila ukipost picha inakupa option ya kuipromote hiyo picha na hiyo promotion inalipiwa kwa kutumia bank card (credit au debit card) na kama ilivyokawaida kupata kadi lazima uwe na account benki. Hopefully umenielewa.
@@haskao77mh kwakweri inatakiwa upate mafunzo hasaa
Naitaji namba yake nije nifate vyombo
Mnambilie nataka machine 2 za juis niko Igunga
Huwezi kuhifadhi pesa bank alafu, ukawa unafanya saving, awa watu wanao fanyiwaga interview kuna vitu huwa hawasemi ,hawafunguki ukweli, kuna mmmoja umu juzi apa kaijiwa akasema alianza na laki tatu na ana biashara kubwa sana ,
Naomba unifafanulie
Kidogo kidogo hujaza kibaba
Kwahy ni vyema kuhifadhi kawaida t Na sio kweny bank au una maana gan mkuu
Kaka nipe namba yako
Naomba namba bro
SAUT 🥂🥂
Wanawake mjifunzekituhapo siyo unakuwa Mwanaume akipata mzigo unaanza kupigamzinga nakujenga kwenu.hiyosiyopoa
Nimejifunza mengi hasa katika utafutaji
"NDIVYO ILIVYO...SHIDA UZALISHA FURSA"
ahahaha imenifurahisha history Yako nashangaa unasimulia history ambayo mlie toroka Naye alikua akitusimulia tulikaa bweni pamoja room Moja tukiwa nae META SECONDARY mbeya pale
Kama una namba ,za huyu jamaa nipe maan nafanya kitu kama hichi
Mwakani na Mimi niite jamanii
Tutajifunza mengi
Ina maana hukua na bank accounts
Apo nilijiuliza sanaa ila nikabaki najibu la labda account yake haikuwa na pesa labda hivyo.
Alitumia muda gani hadi kufungua duka
We jamaa unanikumbusha walimu wa biashara walahi tunazingua.
Commerce .bookiping ,enterprenuership ,haaaa hatari
ua-cam.com/video/X7ONvSSKZLs/v-deo.html
👆👆👆👆👆👆👆
Kama ni muoga usifungue hii video 😨Tazama Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😨
Muite na Jeff Bezos
Kaka napenda sana bishala ya vyombo niganye Nini na Mimi Niko mwanza?
Mashaallah