Utaisikia mijitu mijinga itaanza kumtusi mtumishi wa Mungu anaeongea ukweli hasa kakundi ka watu wachache wanaonufaika na mfumo huu wa kikoloni.Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.
Kinana ni msaliti tu, anajilikana tangu enzi za Nyerere. CCM wanamjua fika, na ndio wamemfuga na kufukia maovu yake. Atuambie kesi ya pembe za ndovu iliishia wapi?
Ahsante mtumishi wa Mungu. Yafaa watanzania wafikie uelewa wa uharisia unaooneshwa na watu kama hawa! Viongozi wa CCM wapo tu kulinda maslahi yao binafsi hawajiuliza ni kwa nini viongozi karibu wote wa kidini hawakubaliani na ccm inavyoendesha nchi hii. Kilio cha watanzania na maonyo ya viongozi hawa wa kidini muda si mrefu vitaiweka ccm pabaya.
Ubarikiwe sana mchungaji ninyi ndio mutaivusha inchi hii Kwa mawazo yenu ila Mimi naamini bila kuiweka ccm pembeni matatizo ni Yale Yale maana wamekataa kubadilisha hiyo katiba ya mwaka 1977 hawana lolote
Watumishi wa Mungu hii ndiyo kazi yenu Umesema vema baba Songa mbele Ila wachungaji wa 4G wachumia tumbo hawatathubitu kueleza ukweli kama wewe na Mbarikiwa huku wakijidhani wanafundisha ukweli tusiouona ila ukweli tunaouona hawasemi Hovyoo Songa mbele baba Mungu akupe hiyo haja ya moyo wako🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mchungaji Hakika CCM wengi wako hivyo siyo kinana tu wanapotosha ukweli wakilindana na kulinda maslahi yao kuliko kusimama na ukweli na wananchi wamesahau kuwa watanzania wa sasa siyo wa enzi za mwalimu Nyerere wamesahau kuwa lissu anayoiongea ndo hoja za watanzania wengi kwa ujumla wao lissu ni mwakilishi wetu
Mchungaji huyu anaweza kutoa Elimu kubwa Sana kuhusu nchi yetu, Pale tu ambapo ataachwa aitoe na Wapo wengi san, sio Wachungaji tu, hata Mashehekh wapo wa aina hii.
Maneno mazito Sana sana inauma Sana mungu akubariki mtumishi inchi hii wapo watu mungu watu kama huyo mzee kinana toka mwalimu yupo tu alisimamishwa na magufuri kaludi nikajuwa atakuwa na huruma na wanainchi wapi mungu tusaidie
Tunakushuru sana mtu wa Mungu, watanzania wengi wana uelewa mdogo sana juuu ya umuhimu wa kufanya mabadiliko ya kweli kwasababu wamekazwa ujinga mwingi na ccm kwa muda mrefu
YESU alipambana/ akafundisha umma dhidi ya maovu ya Pilato na serikali yake (makuhani). Mojawapo katika maovu aliyopigia kelele: rushwa, kukosa haki katika umma nk. Mchungaji naamini kilichomtokea wakifahamu. Serikali ya Pilato na mamluki (wachawa) wakamzoa na kumtundika msalabani! Sasa nawe na wanaharakati wenzenu mjiandae!
Kinana wasira na viongozi wengine mpaka akina nape ni watu wenye hofu kubwa kutokana na matendo waliyo wafanyiya watanganyika na katiba mpya itawatafuna kwakwe ccm inahofu kwazambi wanazowafanyiya watanganyika sasa wajiandae kwa kukatariwa kutuongoza tunajuwa kuwa ccm wanatawara kimabavu bila polisi ccm aipo sasa nyiye polisi muwe na hofu yamungu ndiyo maana mkistafuu mnakuwa ni watu washida hapa nchini mnatualibia taifa letu
Huyu Kinana angetueleza kuhusu ufisadi wake wa makotena. Anaongea uongo ili azidi kuendelea kuwatumikisha watanganyika. CCM karibu wote ni mafisadi. Kinana hata uwa simueli aliibuka kutoka . Kikwete na Kinana wote ni ndumila kuwili. Sasa ndiyo anazidi kuongea uongo. Yeye Kinana anadhani watanganyika ni wale wale wa 19....ajajua hawa anao gea nao 20... wajiahaibisha sana badala ya kuondoka siasa kwa heshima. Acha kuharibu Tanganyika nenda kule ulikokuwa nani amekutfuta tena kuleta ufisadi na uongo na wizi wa CCM.
Ubarikiwe Baba mchungaji kwa kusema ukweli. Hakika
Hakika watumishi wa Mungu mkisimama hivi ukombozi tunaupata mara moja. Mungu akubariki na akuinue
Mtumishi wa Mungu Mchungaji ubarikiwe Sana kusimama na kunena haki na ukweli ktk Mungu.
Mtumishi mungu akubaliki sana akuongezee ekima
Barikiwa sana
Utaisikia mijitu mijinga itaanza kumtusi mtumishi wa Mungu anaeongea ukweli hasa kakundi ka watu wachache wanaonufaika na mfumo huu wa kikoloni.Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.
HAKUNA MTU YEYOTE MWENYE MASIKIO ASHINDWE KUMWEELEWA HUYU MCHUNGAJI. HEKO BABA MCHUNGAJI MWENYE ENZI MUNGU AENDELEE KUKUPIGANIA 🙏🙏🙏
Wewe ni mfano wa kuigwa mtusaidie kupaza sauti watanganyika tumeshavamiwa na mkoloni CCM
Ongea mtumishi wa mungu,pongezi kwako,🎉🎉
Chadema ni chuo cha wana siasa wengi wameibuliwa chadema mwalim mkuu mbowe kazi yake kaifanya vizuri sana
Mchungaji Mungu akulinde na akubariki somo limeenda na limetufikia .
✌️ mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
Kumbe Tanzania kuna watu wanauelewa mkubwa sana ila wako nje ya CCm
Hata ndani ya CCM wapo watu wengi tu waelewa isipokuwa wanajitoa tu ufahamu kwa manufaa yao binafsi
Asante sana mchungaji Kwa kuwafumbua macho watanzania sema bila woga
Manshallah Mungu akujarie baba yangu kwa nasaha zako
Ubarikiwe mchungaji.wenye masikio wamesikiya.
Mchungaji uko wapi nakutafuta uko sahiii sana nakupongeza
Muongeaji mungu Akubariki
Ubarikiwe mtumishi.
Nafikiri una roho wa mungu ndani mwako
Mungu akubariki sanaa kwa kusemea watanzania ukweli
MUNGU akupe maisha marefu mtumishi wa MUNGU kwa kuwa muwazi
Haki huinua Taifa, bali dhambi niai aibu kwa watu wiwote.
Mtumishi wa Mungu naomba mpe onyo na mzee wasira ni mzee ambae analazimisha watu wamvunjie heshima sababu ni muongo tena wazi
Kinana ni msaliti tu, anajilikana tangu enzi za Nyerere. CCM wanamjua fika, na ndio wamemfuga na kufukia maovu yake. Atuambie kesi ya pembe za ndovu iliishia wapi?
Ahsante mtumishi wa Mungu. Yafaa watanzania wafikie uelewa wa uharisia unaooneshwa na watu kama hawa! Viongozi wa CCM wapo tu kulinda maslahi yao binafsi hawajiuliza ni kwa nini viongozi karibu wote wa kidini hawakubaliani na ccm inavyoendesha nchi hii. Kilio cha watanzania na maonyo ya viongozi hawa wa kidini muda si mrefu vitaiweka ccm pabaya.
Safari hii tumewabana kwenye kona hawatoboi tuendelee kupaza sauti watanganyika tumechoka
Ccm itambuwe tulozaliwa kutokana na siasa y chadema tuko wengi wasijichanganye kwakua wao hawamchi mungu,
Facts and Truth!
Hakika maneno haya ukitulia yanaingiza jambo kubwa aiklilini.Hongera sana kwa kufunguwa vichwa vyetu kisiasa.
Ubarikiwe sana mchungaji ninyi ndio mutaivusha inchi hii Kwa mawazo yenu ila Mimi naamini bila kuiweka ccm pembeni matatizo ni Yale Yale maana wamekataa kubadilisha hiyo katiba ya mwaka 1977 hawana lolote
Hakuna mwanasiasa wa hovyo kama kinana.na huyo mzee atazeeka vibaya sana
Mungu akusimamie mtumishi wa mungu
Hiii imeendaa, uko sahihih mtumishi, sema neno labda ccm itapokea wokovu maana ina lishingo gumu sana kama shetwaani
CCM ni wagumu kuelewa na huwa wanajitoa ufahamu wanapokuwa na jambo lao ovu.
Wanaelewa vizuri, km unavyosema wanajitoa fahamu
Wanaongozwa na miungu
Hongera baba angu mngu akuzidishiie tunakufatilia kutoka Zanzibar
Watumishi wa Mungu hii ndiyo kazi yenu
Umesema vema baba Songa mbele
Ila wachungaji wa 4G wachumia tumbo hawatathubitu kueleza ukweli kama wewe na Mbarikiwa huku wakijidhani wanafundisha ukweli tusiouona ila ukweli tunaouona hawasemi
Hovyoo
Songa mbele baba Mungu akupe hiyo haja ya moyo wako🙏🙏🙏
Waziri wa kudumu ktk Baraza la Mawaziri Tz ni pamoja na George Mkuchika.
Tumekuelewa baba uko vizuri
Haki ya Mungu wewe mtumishi leo umeukonga moyo wangu balaaa,hakika wewe una maono mnoooo.
Hongera sana mtumishi
uko sahihiiiii baba tufungue vichwa
Balikiwa sana mtumishi wa Mungu baliki
Ubarikiwe sana mchungaji Hakika CCM wengi wako hivyo siyo kinana tu wanapotosha ukweli wakilindana na kulinda maslahi yao kuliko kusimama na ukweli na wananchi wamesahau kuwa watanzania wa sasa siyo wa enzi za mwalimu Nyerere wamesahau kuwa lissu anayoiongea ndo hoja za watanzania wengi kwa ujumla wao lissu ni mwakilishi wetu
Mchungaji unasema kweli kabisa naomba uwambie na wachungaji wenzake watuambie ukweli ili tubadilike la sivyo tutakuwa masikini maisha yote
Angekuwepo huyo rais nchi hii ingekuwa mbalimuno kimaendeleo hasa materialdevelopments.
Amen 🙌🙌🙏🙏
CCM ,please come to reality;times have changed.
Nimemuelewa sana huyu anaitwa nan plzzzz nimependa alivyoeleza
Ccm inazidi kupoteza imani kwetu watanzania wanashindwa kujibu hoja za wapinzani.
Asante mtumishi wa Mungu kwa kututetea.
Kama Kuna mataifa yamesha amka na sisi tuta amka TU na haki itaonekana na mungu yupo na sisi ✌️✌️✌️
Hongera sana mchungaji
Si ajabu ukasikia kanisani kwake, kanisa lake limefungiwa. Mungu iondoe Tanzania na huu nfumo mbovu unaoongoza nchi yetu
kaa na ccm yako one day mutaeleweka tu mungu yupo
😂😂😂😂
Mchngaji wanakusikiliza
Hapo kwenye ukweli wa Watanzania umepuyanga. Walishindwa kuonesha ukweli nyakati za ukweli na uzalendo.
Wew ndo mchungaji unae mtumikia Mungu,
Mungu anakutumia bila uoga upo upande wa Mungu ubarikiwe miaka yoteee
Mchungaji huyu anaweza kutoa Elimu kubwa Sana kuhusu nchi yetu,
Pale tu ambapo ataachwa aitoe na Wapo wengi san, sio Wachungaji tu, hata Mashehekh wapo wa aina hii.
Maneno mazito Sana sana inauma Sana mungu akubariki mtumishi inchi hii wapo watu mungu watu kama huyo mzee kinana toka mwalimu yupo tu alisimamishwa na magufuri kaludi nikajuwa atakuwa na huruma na wanainchi wapi mungu tusaidie
Safi kabisa mchungaji
Baba mchungaji eliimu hiyo watanzania tunaihitaji .tunakuombea Mungu akupe ujasiri huo hadi mwisho.
Unaakili nyingi sana mchungaji wana ccm hawata uona ufalume wa mungu
Asante mchungaji.
Tunapenda wasema kweli kama nyinyi ,na wakiwemo wengi ,hakika nchi hii lazima maisha au nchi iwe na ubora wa Kila kitu
Tunakushuru sana mtu wa Mungu, watanzania wengi wana uelewa mdogo sana juuu ya umuhimu wa kufanya mabadiliko ya kweli kwasababu wamekazwa ujinga mwingi na ccm kwa muda mrefu
Nakuelewa kamanda
Tuvushe Mwamba hakika huo moto uwachomo kwa jina la yesu
Nimekusikia son, umenena safi tunahitaji watu wengi nguvu
Yaani kwa Jenister hujakosea kabisa
Ccm ni ujinga
Na CHADEMA ni upumbavu?
Umenena Mtumishi wa Mungu. Ni ukweli tupu. CHADEMA OIYEEEE!!!
Oyeeeeeeeeee,
YESU alipambana/ akafundisha umma dhidi ya maovu ya Pilato na serikali yake (makuhani). Mojawapo katika maovu aliyopigia kelele: rushwa, kukosa haki katika umma nk. Mchungaji naamini kilichomtokea wakifahamu. Serikali ya Pilato na mamluki (wachawa) wakamzoa na kumtundika msalabani! Sasa nawe na wanaharakati wenzenu mjiandae!
Well said
Hawa ndyo Watumishi wenye faida ktk Nchi na DUNIA kiujumla MUNGU akubariki
Kweli hii nchi wapewe watumishi wa mungu
Nchi hii watanzania hawajajielewa siku wakijielewa mambo yatakaa sawa,ngoja tunyoshwe tunyoke hadi tutakapo jielewa
Nikweri kabisa. Nchi hii imejaa namajizi arafu wanalindana 😊
Hakika umesama kweli la ccm imekuwa ya ajabu sana
Upo sahihi sana
Nakubaliana nawe kwa 100%
Aminaaa,
Kinana wasira na viongozi wengine mpaka akina nape ni watu wenye hofu kubwa kutokana na matendo waliyo wafanyiya watanganyika na katiba mpya itawatafuna kwakwe ccm inahofu kwazambi wanazowafanyiya watanganyika sasa wajiandae kwa kukatariwa kutuongoza tunajuwa kuwa ccm wanatawara kimabavu bila polisi ccm aipo sasa nyiye polisi muwe na hofu yamungu ndiyo maana mkistafuu mnakuwa ni watu washida hapa nchini mnatualibia taifa letu
Mtumishi unaimani, Mimi nilishasema ukimtazama MTU mmojammoja ndani ya uongozi WA CCM utaona shetani ndani yake
Mchungaji nakuelewa kwanini wengine hawaongei kama wewe kweli kwa kauli moja Tunahitaji KATIBA MPYA na muda ni huu
Wamejisahau sn ziongozi watu kusema kweli wanakela sn
Ukosefu wa sjira Kuwepo kwa Umasikini kumetengenezwa na CCM ili kujikusanyia Machawa kwa urahisi wakitumia RUSHWA
Mtumishi ✈️🙏✈️
Huyu Kinana angetueleza kuhusu ufisadi wake wa makotena. Anaongea uongo ili azidi kuendelea kuwatumikisha watanganyika. CCM karibu wote ni mafisadi. Kinana hata uwa simueli aliibuka kutoka . Kikwete na Kinana wote ni ndumila kuwili. Sasa ndiyo anazidi kuongea uongo. Yeye Kinana anadhani watanganyika ni wale wale wa 19....ajajua hawa anao gea nao 20... wajiahaibisha sana badala ya kuondoka siasa kwa heshima. Acha kuharibu Tanganyika nenda kule ulikokuwa nani amekutfuta tena kuleta ufisadi na uongo na wizi wa CCM.
Kiukweli watu walioataafu ata akili imestaafu mnawapa nafafsi kubwa ndani ya chama au serekali ndio wanajiona miungu watu.
Hao wangejua ni midaya kutubu ktk uzeewaohuo wajitakase wamekuwa mzigo kwa watanzania
NA HAKUNA CHA MAANA ANACHOKIFANYA KATIBA MKOA WAKE. RUVUMA IPOIPO TU.
Watu wakweli km wewe nchi niwachache sana upo sawa kbsaa
Umechoka kuhubiri injili unataka sasa siasa, wenzako anina mwamposa wanapiga hela
Huo ukweli wa watanzania umeupimaje na ni kwanini iliyowataja walikimbia chadema? Tafakari na utulie akili kama mtumishi wa Mungu!
Amen 🙏🙏🙏
Tena amechoka kabisa aachie ngazi mwenyewe wamemcoka kabisa humo ndani ya Ccm yao
Ongea Mtumishi wa Mungu Tupone
Kama CCM ni kinara wa rushwa na CHADEMA lazima inuke rushwa???
Unapokubali kuwa ndani ya CHADEMA kuna rushwa' je una ushahidi na hilo???
Nitoe Rai. Yangu kwamba watumishi wote. TANGANYIKA wakiwa na. Msimamo kama ya huyu mtumishi (MCHUNGAJI) Hakika hawa wakoloni weusi wataondoka mapema sana.
Alah akibar
Washukriwe wazazi wako kwa kukuzaa ukiwa timamu wengi wetu vipovu tunaona njia tuu ya kwenda chooni
Hivi mchungaji dini imrkushinda piga siasa ya injili utatupwa lupango