Dakika 47 za moto hoja ya Mdee bungeni, mnyukano mkali watokea

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 тра 2024
  • Hoja ya Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee aliyetaka Bunge lijadili utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara kwa EPC+F imechangamsha mjadala wakati Bunge likiwa limeketi kama kamati kujadili mafungu ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024/25.
    Mjadala huo umejiri leo Mei 30, 2024 jioni huku Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson akimbananisha Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba afafanue utekelezaji wa EPC+F huku Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akichuana vikali na Waziri wa Uchukkuzi ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa wakishukiana kwenye mjadala huo.

КОМЕНТАРІ • 225

  • @manethmwiyanja7654
    @manethmwiyanja7654 14 днів тому +7

    Mwigulu Janja langu sana tiuwasiliane ukimaliza hoja ya mdee

  • @bibyansimplis3791
    @bibyansimplis3791 5 днів тому +1

    Dada umenifurahisha kumuunga Kokono halima ktk hoja hii, umefafaninua vizuri swali la Halima Mdee, aksante

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 28 днів тому +21

    Mwigulu wewe ni tatizo sana kwenye serikali hii

  • @abdulhakimjuma9112
    @abdulhakimjuma9112 29 днів тому +13

    Wasanii tu hawa wote wako kwenye maskani hawana bunge mijizi, milaghai tu

  • @josephlugala3182
    @josephlugala3182 28 днів тому +9

    Namchukia sana mwigulu ,,anatoa majibu kama nchi hiii ni ya babaake

    • @geey7893
      @geey7893 27 днів тому

      Ameshatununua huyu

  • @user-ec1pe9yy2h
    @user-ec1pe9yy2h 3 дні тому +1

    Mdee Good

  • @bibyansimplis3791
    @bibyansimplis3791 5 днів тому

    Mh. Kuntu uko vizuri . Hao wakandarasi hiyo ni hasara ni Yao.

  • @HassanMchomvu
    @HassanMchomvu 10 днів тому +2

    @tulia ackson anaakili sana

    • @FrancoMbilinyi
      @FrancoMbilinyi 9 днів тому

      Anajua kuchezesha shilingi sanaaa huyoo

  • @leoncesarwat8878
    @leoncesarwat8878 28 днів тому +4

    Mwiguru kajaa upepo safi ajae... Mzee wa Esther express tz

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 28 днів тому +2

    😂huyu Mbunge aliyeko karibu na Mwigulu anashangilia michango yote, Hana baya na upande wowote. Safi sana 😂😂

  • @costamalanda-rj4hg
    @costamalanda-rj4hg 23 дні тому +1

    Halima mdee,Ester bulaya na Ester matiko nawakubali sana

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 28 днів тому +5

    Sipika unatuchanya mbona unawai kukata ya harima hapo tunakuwa na wasiwasi watazamaji

  • @ChristopherMgoli
    @ChristopherMgoli 28 днів тому +8

    Wabunge siwaelewi mbona wanashangilia hovyo bila kujuwa wapo upande Gani 😢😢

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 28 днів тому +6

    Halima mdee uko vizuri Sana.

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 29 днів тому +7

    Hali a mwanangu nakupendaga. Kwa hoja. Tu. Uko vizuri Sana. Hao wabunge wa CCM wanalindana. Ni philipo mipango tu. Ndiye aliyekuwa bora Sana. Hawa vijana wapigaji tu. Ukimsikiliza maneno yake yanaonekana yamchongo halafu selikali inakumbatia mijizi. Wakati. Kunawasomi wengi wenye. Akili. Na wenye hofu ya mungu. Lkn bado selikali inakumbatia Hao. Hao. Wanachota kwa zam😭😭

    • @josephkmarwa7425
      @josephkmarwa7425 26 днів тому

      Je .umesahau..tozo..kwani..sio..mzingo...kwa..watumia..simu..wavijijni..x😭😭😭😭😭👣👣

    • @obednyagani506
      @obednyagani506 24 дні тому

      Trabo na trati

    • @songeza
      @songeza 8 днів тому

      Mdee safi sana pamoja na Tulia uko vzuri hoja hiyo wake Tena Wala isiptishwe short cut isiwepo wabunge wamebobea kimaswali inaleta mantiki. Pamechafuka pananukaa kama pananukaa vunja mkataba

  • @tresphorymvulla363
    @tresphorymvulla363 3 дні тому

    Nakuona mbunge wetu wa ukweli mama Jenista Mhagama.

  • @deusjoseph8554
    @deusjoseph8554 28 днів тому +5

    Halima mdee anatufungua macho,, ata ile mikataba ya bandari kama tungemsikilza tusingefka hko

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 9 днів тому

    alima nakupenda sana kama unge kua ujaolewa ningekuoa

  • @tresphorymvulla363
    @tresphorymvulla363 3 дні тому

    Spika nakukubali sana kwa kisimamia hoja ya fedha

  • @barasaslaa5114
    @barasaslaa5114 16 днів тому

    Safiiiii sana tulia na halima mko vizuri ana you deserve to be our leaders ❤

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 27 днів тому +2

    Wah mnatuchanganya wananchi pesa za serikali zipi na naza mh Rais ni zipi?

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 29 днів тому +6

    Kweli Tanzania hii watu wanapindisha kiswahili kilichonyoka ili wasionekane kama wamekula pesa

  • @WorldView24hrs
    @WorldView24hrs 28 днів тому +2

    Kazi nzuri sana speker tulia na Mbunge Halima Mdee

  • @IddiErias
    @IddiErias 7 годин тому

    mwegurubwew ni mpigaji 2 akuna chochote unachokifanya kwenye hy sekta

  • @SurprisedDrill-ky9fi
    @SurprisedDrill-ky9fi 26 днів тому +1

    Muheshimiwa halima mdee ikiwa chadema hawajakupokea unda chama chako zanzibar tupo wengivtunakupendaaaa

  • @bernardowoya6671
    @bernardowoya6671 28 днів тому +1

    Bunge linapaswa kuendeshwa kwa mfumo huo wa kuisimamia serikali na kuikosoa pale inapoenda kinyume na makubaliano!

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 8 днів тому

    Tulia nae yupo smart kweli

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana 17 днів тому

    Nampenda sana Mdee Akili sana nakunda sana Alima

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 27 днів тому +1

    HIVI HUKO BUNGENI MNAJUA KWAMBA HUYO MWIGULO HATUMUELEWI KABISA HUKU KITAA.

  • @IddiErias
    @IddiErias 7 годин тому

    Samia huyo mwiguru umemuea apo kwa kaz gani anayoifanya apo pg nyama chini mama

  • @user-fw4yr5bt8p
    @user-fw4yr5bt8p 8 днів тому

    Fafanua wew sas maana hamuelewii jinsi mwiguluu anavyojotetea lakn hamtak kuelewa duuh

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v 28 днів тому +1

    Tulia safisana

  • @zat6311
    @zat6311 27 днів тому

    Mjadala ni mzuri hoja kwa hoja, hongereni sana.
    Nimependa uimara wenu.

  • @bibyansimplis3791
    @bibyansimplis3791 5 днів тому

    Mawaziri wapigaji hao. Bakubaliano ni wakandarasi watafute hela maana yake wawe na pesa ndio wapate tender. Sasa inakuwaje mawaziri wanawatea makandarasi.

  • @bibyansimplis3791
    @bibyansimplis3791 5 днів тому

    Kwani hakuna efficient person kuliko huyo Mwigilu. Naona anajibu jibu tu. Maana anawrza akaamua kubudilishwa badilishwa na wakandarasi.

  • @user-fw4yr5bt8p
    @user-fw4yr5bt8p 8 днів тому

    Aloo hii kazii ni ngumu mwacheni mwiguluu wetu bana mbona hivooo.

  • @IddiErias
    @IddiErias 7 годин тому

    Alima apewe nafasi ya mwiguru ameshindwa kazi

  • @evelina9621
    @evelina9621 28 днів тому +1

    Sipka.uko.juu.waziri.kashindwa.wanamama.juu.huyo.waziri.hana.anachojua.msaidieni

  • @MurshidHaji
    @MurshidHaji 6 днів тому

    Yani matatizo yote haya nchini chanzo ni mwigulu nchemba ajiuzuru tu akae mwingine kwenye nafasi hii

  • @ChipkiziRashid
    @ChipkiziRashid 8 днів тому

    Mwegulu wew nimswahili Swahili sana kwenye serikali hii

  • @SimonRichard-lb3go
    @SimonRichard-lb3go 6 днів тому

    Hivi kwani mna kopa kwani hii nchi hakuna rasilima za kuijenga tanzani wenyewe

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 28 днів тому +2

    Wewe ndio sijakusrewa kabisa kwaiyo mashimo yaenderee magari yaanguke watu waenderee kufaa mtafaidi nn sasa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 27 днів тому +1

    Wamama mko juu endeleeni kuwabana hawa wababa wenye kuwazarau. Kiti cha mh spika kiheshimiwe.

  • @tobiasmsabila856
    @tobiasmsabila856 28 днів тому

    Hongora Wabunge Wetu Mnachangia Vizri lazima Hapo Ufafanuzi Utolewe.

  • @OscarMgina-td6jn
    @OscarMgina-td6jn 28 днів тому

    Mh. Spika unatenda haki ktk kulisimamia Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mungu akubariki.

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf 6 днів тому

    Hatumuelewi mwigulu

  • @IddiErias
    @IddiErias 7 годин тому

    Ashungwa nae ndy walewale

  • @IddiErias
    @IddiErias 7 годин тому

    Tataz madudu yote ya magufuli mama ameyarudisha hao ni mafisadi 2

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 23 дні тому

    MIMI nawapenda wote ILA UZALENDO KWA TAIFA KWANZA.HONGERA DR.TULIA KWA KUONGOZA VEMA BUNGE LETU

  • @IddiErias
    @IddiErias 7 годин тому

    Badala ya kujdili ugumu wa maisha mnatuchezea 2 akili

  • @Worldunite
    @Worldunite 28 днів тому +1

    Mwiglu Nchemba na Tulia Acson lzm wapambaneeee😅

  • @denisipimilo7450
    @denisipimilo7450 27 днів тому

    Mwigulu ana majina ya Zanzibar, uarabuni na Omani. Kwa hiyo kila jambo la waarabu lazima alitetee sana

  • @marckmasassi7466
    @marckmasassi7466 11 днів тому

    Tatizo kubwa Tanzania tumekumbatia INCHI za Magharibi na KUBWA ni kujinufaisha na asilinia Kumi ndio kinacho tugharimu.

  • @BLASTUSMAGONGO
    @BLASTUSMAGONGO 9 днів тому

    Wekeni mezani liaze upyaaaaa hilooo

  • @petertarimo5513
    @petertarimo5513 27 днів тому +1

    hakuna mtu mwingine wa kukaa kwenye hii wizara ya Fedha ?

    • @geey7893
      @geey7893 27 днів тому

      mama yenu hawezi kumtoa anajua kula naye

  • @RemmySinkala
    @RemmySinkala 11 днів тому

    Endeleen hivyo hivyo kutupiga maana wote mnajuana,na hukuna jipya hapo,watz ni maboya vipepeo,ikifika uchaguzi kijani tu

  • @marckmasassi7466
    @marckmasassi7466 11 днів тому

    Mbona Mwiguru Anachanganya Habari Wazi

  • @SurprisedDrill-ky9fi
    @SurprisedDrill-ky9fi 26 днів тому

    Asante mwenyekiti

  • @shabanabdalatupa
    @shabanabdalatupa 15 днів тому

    Kwa kweli Mdee si familia yangu ila namuelewaga sana tu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 28 днів тому

    Allahah ajaalie kheri yarabi na atuondolee kila fitna majungu amani itawale❤❤❤❤😂

  • @KapeiYaroo
    @KapeiYaroo 10 днів тому

    Alaigwanani

  • @etropialangai6415
    @etropialangai6415 6 днів тому

    Mama ungemtumbua huyu mzee bana

  • @ChristopherMgoli
    @ChristopherMgoli 28 днів тому +2

    Hongera Sana Spika wa Bunge unasimamia vyema Sana. Hongera Sana pia Halima Mdee

  • @PauloMakandula
    @PauloMakandula 28 днів тому

    Very nice mama

  • @RemmySinkala
    @RemmySinkala 11 днів тому

    Tatizo kijani TU,mchanganyiko ndyo afya

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v 28 днів тому +1

    Halafu mkataba walishasaini

  • @GOODNEWSTV-nf5qx
    @GOODNEWSTV-nf5qx 13 днів тому

    😢😢😢😢😢 ni Huzuni sana unapomwona mheshimiwa aliyepewa dhamana na wananchi na raisi wetu akampa dhamana kubwa lakini anakosa umakini kiasi hicho kwa hela za walipa kodi.

  • @NtongeEmanuel
    @NtongeEmanuel 25 днів тому

    Waziri wa fedha majibu yake hayaridhishi analipeleka pabaya taifaga,mama mwangalie sana Mwigulu anakuangusha,watanzania wameanza kuamka

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 28 днів тому +1

    Binge.la.kifala.utapeli.wizi.ujinga.2025.piga.chini.wote

  • @okoyonene2051
    @okoyonene2051 11 днів тому

    Hata yesu alifundisha 😂😂😂 mwigulu kiatu hakimtoshi

  • @VeronicaDaimon-sq9zq
    @VeronicaDaimon-sq9zq 28 днів тому

    Safi mheshimiwa

  • @geey7893
    @geey7893 27 днів тому +1

    Mwigulu ni jipu Lililooza

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 12 днів тому

    Uyo mdee mbunge wa chama gani?

  • @bibyansimplis3791
    @bibyansimplis3791 5 днів тому

    Sasa serikani an mkataba na mjenaji j/ makandarasi au na finencer..?
    NB: Hala za serikali ni za kupunguza makali ya kupanda riba?

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 24 дні тому

    Mwigulu anawaza Esther Luxury

  • @FrancoMbilinyi
    @FrancoMbilinyi 9 днів тому

    Na ukimaliza hoja hiyo nitakaaa paleee nikusubirii

  • @nicodemashaggite8429
    @nicodemashaggite8429 23 дні тому

    Unajua wabunge wanapiga makofi siyo kwa sababu wamelewa bali wanataka kumaliza ili waondoke na posho zao

  • @fifo262
    @fifo262 12 днів тому

    Wadada zaeni mapema maana mkiwa wabunge majukumu ni makubwa sana

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 24 дні тому

    Wabunge wengi mabwege Halima ana uwezo

  • @IddiErias
    @IddiErias 7 годин тому

    Huyo jamaa mnamngangania wa nn

  • @dannykajumba2000
    @dannykajumba2000 11 днів тому

    Waelimishwe maana ya iyo secta

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 11 днів тому

    Wazee ukweli mnaujuwa

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 21 день тому

    Mwiguru kiatu uricho vaa hakikutoshi na hakikufai .unaharufu ya ufisadi

  • @RamadhaniMzamilo
    @RamadhaniMzamilo 28 днів тому

    Kwahiyo barabara ya kiteto -nako imesha ingia mdudu😭😭😭

  • @fifo262
    @fifo262 12 днів тому

    Huyu tulia kweli maana kawatuliza wote , hilo jina ni baraka

  • @HassanOmary-cm1me
    @HassanOmary-cm1me 25 днів тому

    Nikweli Amna bungi chanzo chamatatizo yote waliosoma Wana wanyanyasa ambayo awajasoma Sasa walewatu Wana muabudu mungu Sasa laana ina maliza taifa

  • @lucasmveyange3339
    @lucasmveyange3339 9 днів тому

    Mwigulu mmm kweli

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 26 днів тому

    Hapa kazi2

  • @AsiaDismas
    @AsiaDismas 10 днів тому

    Umechapia mwigulu

  • @BLASTUSMAGONGO
    @BLASTUSMAGONGO 9 днів тому

    Futeni mpango ufutwe ili kuaza upwaaaa

  • @AlphonceMrewa
    @AlphonceMrewa 9 днів тому

    Hili limtu munguru halijui linachokifanya ni wizi tuu

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 27 днів тому

    Serikali inaenda kutafuta pesa ili impe nani? Hapo ndio tunachanganyikiwa wananchi. Pesa ya serikali na za Mh Rais.

  • @YohanaKisusi-wd5us
    @YohanaKisusi-wd5us 13 днів тому

    MH Samia chomoa huyu kashakuwa shida ukweli mwigulu nitatizo

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 24 дні тому

    Kila kitu katika nchi hii tabu serikali hii sijui tutafika lini

  • @tanzaniasana2649
    @tanzaniasana2649 25 днів тому

    Kwa mfano kwa kozi ya hotel management and forest

  • @DastanDominick
    @DastanDominick 20 днів тому

    EPC+F ifutwe.

  • @brysonbryson1735
    @brysonbryson1735 20 днів тому

    HALIMA UNAFA UNGEKUWA WAZIRI UNGEWANYOOSHA

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 27 днів тому

    Huyu Mwigulu PhD yake aliipataje au kafanyiwa kama wengine wengi kiasi cha kufanya taifa kuwa chaka la upuuzi.Hakuna aliyesema F ni msaada na si finance? Mara technicalities mara syndication mara yada-yada-yada. Kweli huyu ni doktari siyo daktari. Nashauri PhD ya Mwigulu ichunguzwe, nini andiko lake, nani chair wake, nani wajumbe wa kamati yake, uhusiano wao, muda aliotumia kuisomea, kuitetea, na kuipata. Kuna tatizo hapo.

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 28 днів тому

    Majibu mnayotoa si sahihi!

  • @denisipimilo7450
    @denisipimilo7450 27 днів тому

    Mbawala anaongoza kuhujumu uchumi wa Tanganyika. Anatumwa na samia kuibomoa tanganyika