MKE AFICHUA UKATILI WA MUME WAKE, ALIVYO TISHIWA BASTOLA, NI TAJIRI LAKINI KATILI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 92

  • @edwintouches
    @edwintouches 12 годин тому +3

    She got that relaxed beutiful deeper voice!

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 3 дні тому +5

    Ndoa nyengine ni kama umfungwa kama kwenda jela nakuelewa mi sikuolewa na tajiri ila niliyopitia anajua Mungu 😢

  • @aminambughi9613
    @aminambughi9613 2 дні тому +6

    Binti utafika mbali sana kwasababu huna roho mbaya. Endelea kumtegemea Mungu peke yako, huyo siyo mume ni kisirani

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 3 дні тому +8

    Masha Allah you're beautiful ❤❤❤❤

  • @SabrinaBakari-p1f
    @SabrinaBakari-p1f 4 дні тому +7

    Jamani wanawake tunapitia mengi ila tunajifunza nakupenda sana mama dee

  • @RoseMboya-p6k
    @RoseMboya-p6k 3 дні тому +5

    Jamaa ana roho mbaya sana

  • @nasramohamedi4095
    @nasramohamedi4095 3 дні тому +1

    Part two please😅 nimependa kuckiliza hii story

  • @lissaMetta
    @lissaMetta 3 дні тому +1

    😂 shem wenu huyo , mbona ananikumbusha mbali

  • @ZeynabAlly-c2m
    @ZeynabAlly-c2m 3 дні тому +8

    Maneno yako ni mazuri na yanafundisha sana

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 дні тому +1

    Daaaa nimesoma shule ya msingi tabta mtambani shule ya sec mgoza tabta maana nilikuwa nakaa tabta MATUMBI ❤ 20005 mbka 2011 ,,sec 2012_2015 magoza

  • @nasrajimmy3402
    @nasrajimmy3402 3 дні тому +1

    Jamani mm nasumbuliwa sana na chunus mnapatikan wap 😢

  • @alienjohn2844
    @alienjohn2844 3 дні тому +3

    Part two jmn

  • @yustamshana-sx8dy
    @yustamshana-sx8dy 2 дні тому +1

    Zubeda❤

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 3 дні тому +6

    Yaani hilo janaume kama x hasband wangu shenzi zake alikua mbinafsi baba yule loh bora sasa nina maisha yangu yaani mtu anakuona upo kwenye maisha mazuri lakini husaidii ndugu

  • @HadijaSalum-kf6gy
    @HadijaSalum-kf6gy 2 дні тому +1

    Mama kamamaa m shabiki ake sana

  • @NahimanaAisatah
    @NahimanaAisatah 3 дні тому +4

    Nakupenda mama dee

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 дні тому +2

    Zubeda ❤Allah azid kukulinda baby

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 День тому +1

    Hatari huyu mume jamani msingia kichwa kichwa lakini alikupeleka shule unakaa mkamavu

  • @Isayahekima
    @Isayahekima 4 дні тому +1

    Nawakubali sana MBENGOTV namna mnavyomhoji Mtu hadi Raha🤝

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 День тому

    Mdada mzuri sana

  • @edwintouches
    @edwintouches 11 годин тому +1

    Bro was super TOXIC. Unaziba hadi choo? Hii ni maajabu!

  • @ndayushimiyerungarunga8712
    @ndayushimiyerungarunga8712 4 дні тому +1

    Eti uwe munene uaribike kama Mama yako🤣🤣🤣

  • @simaisalim108
    @simaisalim108 3 дні тому +2

    Dah kiatu chako kilikua cha zege hakivaliki

  • @KhadijaDija-ir2hq
    @KhadijaDija-ir2hq 3 дні тому +1

    Part 2 plz😢

  • @naomysamuel6799
    @naomysamuel6799 3 дні тому +5

    Mdada mzuri sana jaman❤

  • @aminambughi9613
    @aminambughi9613 2 дні тому +2

    Hii haikuwa ndoa ilikuwa ndoano

  • @StephenFungo-e4b
    @StephenFungo-e4b 3 дні тому

    My dear achilia hayo ambayo kwasasa huyaishi inakuwa kama huja move on... mshukuru Allah unaishi ndoto zako

    • @Deekambeautyclinic730
      @Deekambeautyclinic730 3 дні тому +5

      Naongea kama funzo mpenzi mana sikuachwa nilinunua talaka yangu mwenyewe na ambae hajamove on sidhani kama anaweza kuolewa na kuzaa Mimi nipo na ndoa yangu na nina amani kama zote nilipotoka sipatamani hata kupasikia

    • @navukalunavatanzi6227
      @navukalunavatanzi6227 3 дні тому +1

      Ka move on yeye anasimulia kama fundisho kwa wanawake wajifunze

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 дні тому +1

    Ni kweli usemayo mamangu furaha au huzuni ni pamoja Na watoto wako

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 3 дні тому

    mtangazaji mzuri anafanania kutangaza kam mina ally homgera sana mdogoangu utafika mbali

  • @evakessy3282
    @evakessy3282 3 дні тому +2

    Pole sana Dada... Ila nimegundua hauko sawa kiakili mamy😢jitahd usikae peke yako jichanganye na watu ambao unahisi Amani kuwa nao.. UNAHALI YA KUSAHAU SAHAU HAPO KWA HAPO

    • @Deekambeautyclinic730
      @Deekambeautyclinic730 3 дні тому +4

      Nimetoka kujifungua hivyo ni kawaida kwa mzazi mpya.

    • @Tommaxer
      @Tommaxer 3 дні тому +1

      Na nina msiba wa mtoto wangu bado mapema siwezi kuwa sawa dear.

    • @RaheemaMosa
      @RaheemaMosa 2 дні тому

      Pole sana​@@Deekambeautyclinic730

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 4 дні тому +3

    Pole sana dada

  • @makkawi4294
    @makkawi4294 2 дні тому

    Me nko na chunusi naomba number ya huyu dada anipee hayo mafuta please

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 19 годин тому

    Wanaume hawapendi watoto

  • @zoab2699
    @zoab2699 День тому

    Furaha si pesa. Furaha ni moyo ukiridhika

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 3 дні тому +2

    Fundisho hapa kwa mabint wadogo kabla ya kuolewa mumchunguze mwanaume na khasa akiwa age go. Na uchunguzi uwe kupitia mke mkubwa kupitia hata rafiki zake

    • @SAFIAFOMAR
      @SAFIAFOMAR 3 дні тому

      Sio mabinti wadogo tu hata sisi wakubwa tuchunguze wanaume kupitia mke, ndugu zake wakaribu, marafiki zake kabla kuingia kwenye ndoa

  • @RabiyahAbdullah-b1r
    @RabiyahAbdullah-b1r 3 дні тому

    😢😢😢😢

  • @vanjemanirkiza3684
    @vanjemanirkiza3684 3 дні тому

    😅😅😅😅

  • @Isayahekima
    @Isayahekima 4 дні тому +3

    Huyu Dada Yuko sahihi

  • @jideysamytz
    @jideysamytz 3 дні тому +3

    Nilishakuwa na mwanaume wa namna iyo mwisho wa siku yakanishinda nikaamua Bora nideal na maisha yangu mpaka Leo mtoto anamiaka mitano ajui ata mwanae anakula nini

  • @BintRasheed1999
    @BintRasheed1999 3 дні тому

    Hatar

  • @ndayushimiyerungarunga8712
    @ndayushimiyerungarunga8712 4 дні тому +2

    Uaribike uwe kama Mama yako

  • @rahmajama6864
    @rahmajama6864 3 дні тому +3

    Huyo mume ni narcissist

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 3 дні тому +2

    huyo bwana alikuwa kutoka kabila gani sababu wanawake wawe na tahadhari kubwa

    • @jacforti3091
      @jacforti3091 19 годин тому

      Huwez kumjugde mtu kwa kutumia ukabila

    • @mwanamutemi
      @mwanamutemi 19 годин тому

      @jacforti3091 at least NI kuwa na tahadhari Tu

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 3 дні тому +5

    huyo bwana atakua utajir wake kunanamna sio bure lazma anamashart pole kwa yote na hongera kwaushujaa

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 3 дні тому +2

      Mh...we wasema tajiri mbona mi niliolewa na mtu wa hali ya nchini na mashriti ni hayo hayo hataki utoke ata nje upunge upepo ata kufaya kibiashara kama kuuza maandazi ilikua hataki yani mwanaume hasidi ukimwabia basi leo tutoe watoto ata kwenda beach anakwambia hayo ni mambo ya kizungu hahahha yani ni mtihani 😢

    • @paulabelleghe451
      @paulabelleghe451 2 дні тому +2

      @aishabakari8040 huyo nibahili ,kwa story yahuyu unaona kabisa shirki ipo

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 3 дні тому +2

    Hi ni unyanyasaji pro max

  • @msowamhokole5028
    @msowamhokole5028 3 дні тому

    Maambwa bwana mmn

  • @AbisnaRashidi
    @AbisnaRashidi 3 дні тому +1

    Mbona nataka kuoalewa wa pili

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 4 дні тому +2

    Hiyo ndoshida yakupenda maisha raisi na kuwapenda ambao wameshafanikiwa bila kujua wamefanikiweje badala yakumpenda ambae mtaanzamaisha yakujipanga pamoja.

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 4 дні тому +5

      Looh wanaume utachuma nao vizur wakishafanikiwa tu wanatafute wakutumia nao

    • @joselinejoseph9632
      @joselinejoseph9632 3 дні тому

      ​@@zaytunhijja6771umeona eh yan ni bahat ya mtu hawa wanaume hawatabiriki

    • @adeladaudi2047
      @adeladaudi2047 2 дні тому +1

      Awe nacho, asiwe nacho wote Ni yale yale my dear😂

  • @AsmaAbdalah-v7e
    @AsmaAbdalah-v7e 2 дні тому

    Mimi nafikiri sitoolewa kabisa sababu sio dhambi kuliko kukaa kwenye ndoa ya utumwa na mateso

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 22 години тому +1

      Sio dhambi , lkn usizini...ukae na nyege mpk unakufa

    • @AsmaAbdalah-v7e
      @AsmaAbdalah-v7e 22 години тому

      ​@ismailmasoud6001 kufanya nafanya nikijisikia lakini kuolewa na mtu wa manyanyaso hapana hata hvyo huyo dada ni mvumilivu me siwezi😢

  • @jennet6484
    @jennet6484 3 дні тому

    Lakin jaman darasa la kwanza miaka mi3🤔🤔kuna shule inakubali hilo hata kama zenye pesa au mtoto awe na upeo vip hiyo ni uongo

    • @Tommaxer
      @Tommaxer 3 дні тому

      Ndio hivyo we endelea kubishana .

    • @jennet6484
      @jennet6484 3 дні тому

      @Tommaxer ww chawa kwendraaa zako usidhan kila mtu boya fala ww

    • @Tommaxer
      @Tommaxer 3 дні тому

      @@jennet6484 huyo mtoto mwaka huu ndio anatimiza miaka 8 akiwa ndani ya darasa la 4 sasa cha ajabu ni nini ?la kwanza miaka 5 unapenda kukuza mambo sana haya endelea kubishana .

    • @jennet6484
      @jennet6484 2 дні тому

      @@Tommaxer hii interview ni ya mwaka huu na kasema mwanae yupo la4 ana miaka7..sasa ww msemaji wa familia za watu ndio unasema hayo

    • @Deekambeautyclinic730
      @Deekambeautyclinic730 2 дні тому

      @@jennet6484mwaka huu ndio kwanza umeanza je kama anatimiza miaka8 mwezii wa3 je??tumia akili acha kukurupuka

  • @evancemsosa4379
    @evancemsosa4379 3 дні тому +5

    Binti mpambanaji ila hakupata mtu sahihi,

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 3 дні тому

    Namba 2 please

  • @MontyrDfyo
    @MontyrDfyo 4 дні тому

    Kwani huyu nani

  • @ConfusedClipperButterfly-rk1gz

    😂Pole

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 4 дні тому +1

    Izo stori za shetani acheni. Wanawake wengi ndiyo chanzo cha uovu ndani ya ndoa. Alafu Wanaume wakijibu ndiyo wanaonekana wabaya na awafai, wakati ninyi ni tatizo kubwa sana kwenye maisha ya ndoa. Ukizingatia wanawake wengi awajui wanacho taka kwenye maisha yao na wanatafuta makuu yasiyo yaweza katika maisha. Ninyi wanawake, Mbinguni aliko Mungu mkuu amtaiona kwa matendo yenu juu ya Wanaume waliyo waoa.

    • @MaselePatrick
      @MaselePatrick 3 дні тому +1

      So nyie wanaume mpo vizuri si ndio Acha ujinga wewe .

    • @NyangetaFaustine
      @NyangetaFaustine 3 дні тому +1

      Yaan kuandik kote gazeti ila sijui hata umeongea nini na unajiita ety uwezo wa Mungu...wew ni mjinga kama mjinga huyo X wa huyo dada ..... nonsense wahed 😏😏

    • @Abdujumbem3
      @Abdujumbem3 3 дні тому

      Mkiambiwa ukweli mnakuwa wakali shida WANAWAKE wengi hamjui m.mungu anataka nini.

    • @AsmaAbdalah-v7e
      @AsmaAbdalah-v7e 2 дні тому

      Ww ni mkundu

    • @Deekambeautyclinic730
      @Deekambeautyclinic730 2 дні тому +1

      Tatizo hawapendi kutolewa siri zao wanataka mabaya yao yafichwe ili wazidi kuonea watu

  • @MartinaKombe
    @MartinaKombe 19 годин тому +1

    Nisaidien dada anatumia jina gani Instagram

    • @Tommaxer
      @Tommaxer 6 годин тому

      Deekam beauty clinic