Aliyekuwa MUME wa DIVAH AMEPATA MTOTO?/MTAZAME MKE Wake ALIVYO MREMBO Hapa/HAITAKI BONGO FLAVA?/KIBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

КОМЕНТАРІ • 247

  • @KamisaRamdan
    @KamisaRamdan 2 дні тому +1

    Shida nimoja walishazoea kuona wale mapepe sana mdongo wangu muombe Allah akupe wepesi wa ndoa yako❤❤❤❤🎉 hongera Sana wewe ndoo 1,2,3,kamba zote 🎉🎉🎉🎉

  • @Salhamohamedimwampagatwa
    @Salhamohamedimwampagatwa 7 днів тому +23

    Uyo mwanamke anaoneka nikibuli sana tena sana ila ukimuangalia kwahalaka halaka bila kutuliza akili unaweza ukasema nimpole sana ila siyo mpole uyu myo mwanamke nikibuli tena sana zaidi yasana yani

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 6 днів тому

      Unamjua??

    • @AyishaEidi
      @AyishaEidi 6 днів тому +1

      Anakibur cha kutosha

    • @Muna-en4yq
      @Muna-en4yq 6 днів тому

      Analewa sifa tu

    • @Tupena-ov7xq
      @Tupena-ov7xq 6 днів тому +2

      Daa binadamu wa ajabu hata kumjua humjui, ulimi wako una sumu

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 6 днів тому

      Ati ni " kibuli" "halaka halaka" ? Lugha gani hii kama mtoto mdogo wa chekechea.? Watanzania vipi jamani mnajitoa hadharani kuonesha ujinga? Kiingereza shida, Kiswahili shida tuwaeleweje sasa 😢😢

  • @zabubamudy126
    @zabubamudy126 6 днів тому +9

    Inaalilah wainaillah rajiun 😢

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 7 днів тому +7

    Huyu mke maringo mpaka yanaudhi!!!

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 6 днів тому +10

    Hii nimeifunguwa kwa heshima ya Rick media ila hii familia mm siikubali kabisa

    • @salimakuyela7813
      @salimakuyela7813 6 днів тому +2

      Yaani huyu Binti nyoko kabisa😏😏😏

    • @Mikeys-m9w
      @Mikeys-m9w 6 днів тому

      ​@salimakuyela7813 😅😅😅 Anankera 😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 днів тому +9

    Waislamu mmeiga wapi hizi habar zakishetani

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267
    @tanzaniawomenyouthempowerm267 7 днів тому +24

    Pozi kama anapandisha.majin

  • @FahadiDuran
    @FahadiDuran 6 днів тому +4

    Mmmh kwa jeuri kanaonekana hakajambo kiukweli

  • @AsahSalah
    @AsahSalah 6 днів тому +14

    Shekhe ubwabwa tu juyo mwanke yupo uchi kbs shekhe atakua yeye

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 днів тому +8

    Wazee njaaa zitawaponza kuwaozesha watoto kila mwanamme mhh

  • @faithjmusau6730
    @faithjmusau6730 8 годин тому

    Napenda vile Zuhura ananyamaza.Vilevile,Abdul ananyamaza katika maswala tofauti.Yaani Zuhura hataki umbea uenee kuhusu ndoa yao

  • @swalharajab8365
    @swalharajab8365 6 днів тому +13

    Ety ma dr 108😂😂😂 halafu hili jina la shekhe mlitoe ....ikiwa mke wake amemwachia kavaa hivo mbele za camera

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 7 днів тому +9

    Ninachokiona kiburi kama cha Mrs bugatti 😂😂😂😂 Tarehe nane mtoto huyo tushajuwa😂😂😂

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 7 днів тому +15

    Kwan hadi mjifanye hamna taarifa 😂😂😂

  • @zaitunisagwa2082
    @zaitunisagwa2082 6 днів тому +9

    Huyu anapigwa, tena vizuri tu. Hii kutingisha kichwa ni uoga wa kuongea.

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 6 днів тому +13

    Huyu msichana anakaa km mfanyi kazi wa sheikh. Maskini ankemtafuta sezi yake. Huyu sheikh malaya sezi yake ni diva akimpiga alete wasafi😂😂

    • @gamarahmed3258
      @gamarahmed3258 15 годин тому

      😂😂😂😂Yani ww unaonaga mbali

  • @ShemsaKiobya-x8h
    @ShemsaKiobya-x8h 6 днів тому +4

    Diva ndio kiboko yake huyu bwana

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl 6 днів тому +4

    Mmh huyo mwanamke anakiburi hatari afadhali diva dishi na ana moyo

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 7 днів тому +7

    Kaamua sh. Aoe mtoto mdogo atomuogopa na atakubali upuuzi huu wa mume. Ndo maana hakuwezana na Diva, maana diva hakuwezana na hii tabia alokua nayo. Lakini mtoto huyu atabigwa matukio mpaka awe anasema. Ndo ushekhe huu? 😮 kazi kunyanyasa wanawake tu.

    • @Sam_me01
      @Sam_me01 6 днів тому +2

      Matukio tayari anapigwa kila siku ni vile mbele ya camera hayaongelewagi. Huyo binti ndo alifikisha miaka 16 mwaka jana siku ya birthday yake ndio siku huyo shehe alimtangaza kama mkewe na kudanganya kuwa ana miaka 22 sjui kumbe miaka 16

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 днів тому +2

    Huyu kaka anasifa sana dahh

  • @godblesskusekwa6468
    @godblesskusekwa6468 4 дні тому +2

    M nimewapenda wameendana mungu anijalie mume mobora na mm😢

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 3 дні тому

      Inshallah utapata zaidi ya abdulrazak inshallah utapata habbty wangu 🤲💞

  • @ShemsaKiobya-x8h
    @ShemsaKiobya-x8h 6 днів тому +3

    Mmh yupo uchi jaamani,

  • @FatmaAbdullah-gv4te
    @FatmaAbdullah-gv4te 2 дні тому

    Shekhe wa michongo unataka kusomewa mtafute ujukanyaje 😂😂😂😂😂 Shekhe abdulllllllllllll

  • @officialdaynesskavishe4143
    @officialdaynesskavishe4143 23 години тому

    Mmmh.nyumbani kwa watu unaingia na mlango unafungua akiii.

  • @christinenere4696
    @christinenere4696 7 днів тому +7

    Anakatazwa usiseme chochote asije akatoa siri huyu bwana ni mshenzi sana anamuonea sana huyu binti

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 7 днів тому +12

    Ninachokiona kiburi kama cha Mrs bugatti 😂😂😂😂

  • @Baddie-p3b
    @Baddie-p3b 7 днів тому +5

    Diva bado anakusumbua sana akilini mwako ! Move on unajidhalilisha mzee

  • @happynesssamwel4249
    @happynesssamwel4249 6 днів тому +3

    Ata siyo mjeur sema2 anaonekana anamuogopa sana mumewe

  • @willz1017
    @willz1017 7 днів тому +8

    Huyu dada ni muoga😢?! Mpole?!😢😮 kiburi au vipi jaman😮😢😢

  • @SharifaSide
    @SharifaSide 6 днів тому +3

    Kapewa onyo zito usiongee chochote wenye D mbili tumeelewa

  • @VeloVelo-n6u
    @VeloVelo-n6u 6 днів тому +3

    Ana mtoto uyo mwingin

  • @Agath45
    @Agath45 6 днів тому +2

    Anaonekana hana furaha kabisa

  • @furahalita-zk2yi
    @furahalita-zk2yi 7 днів тому +13

    Ila sarafina is a very good interviewer 🎉🎉🎉❤ shout-out to you sarafina❤❤❤@sarafina

  • @SabihaibrahimRajabu
    @SabihaibrahimRajabu 7 днів тому +4

    Huyu dada anaogopa amepewa mikwala asisubutu kuongea ole wake ila ana mambo mengiiiii anawaza na kuumia ila hawezi kusema ameambiwa akae kimyaa

  • @mwanaidikhamis5430
    @mwanaidikhamis5430 5 днів тому +1

    Mke wa shekhe mbona yupo uchi ivo mbele ya media!!!!!

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz 7 днів тому +4

    Ila ukiwa muongo uwe na kumbukumbu huyu bwana on previous interview alisema amempa mkewe mil 70 afanye biashara ya nguo Leo kaisahau ,NYIE

  • @gloryemmanuel165
    @gloryemmanuel165 6 днів тому +3

    Kwan dada huyo bubu mbona kichwa ndo kinajbu sana

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 7 днів тому +5

    Mbona ananyoonsha mikono ametoka kijijini maskini

  • @AshuraMohammed-p2q
    @AshuraMohammed-p2q 6 днів тому +2

    Mm mke wa shehe ananikera anavyoutikia na kichwa

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 днів тому +4

    Ukiwa naheshima nastara hasa muislam ukisikia hodi tu unajitanda mtandio hata kama upo ndani mwako acheni ushenzi

    • @zabubamudy126
      @zabubamudy126 6 днів тому

      @@sofitanzanian955 alipangwa huyu.Huu ni msiba

  • @AshuraMohammed-p2q
    @AshuraMohammed-p2q 6 днів тому +3

    Huyu mke wa sehe cjui shekh mbona Kila kitu anaitikia na kichwa,mbona haeleweki

  • @khadijaabdulaziz8297
    @khadijaabdulaziz8297 6 днів тому +2

    Aka mche Allah mke yuko uchi umemuweka kwenye midia Subhana Allah tumuogope Allah mtowe haraka plz

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 3 дні тому

    ❤❤❤❤❤

  • @rehemajuma4915
    @rehemajuma4915 6 днів тому +4

    Mke wa Sheikh kavaa kimini mmmhhh????

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 6 днів тому

      Uyo mke wa shemeji sio shee😊😊😊

  • @zuhuraegale3306
    @zuhuraegale3306 6 днів тому +5

    Eti shee mke uchi athubillah minashetwani rajim sheikh gani mnatukanisha najina la sheikh

  • @Shaniatwain06
    @Shaniatwain06 7 днів тому +5

    Intervew inaboa hd kero kusikiliza hebu nihadithieni mwisho kasema nn nimeishia kwenye kiss za jua kali😂

  • @HadijaOman
    @HadijaOman 6 днів тому +3

    Yani ww Abdul hayo ndiyo uliyo yaahidi kwa baba yako wakati uliyo kuwa unamzika mke hana hata stara kweli na ww ni mtu wa kiislam yani hii Dunia mmmh mtihani

  • @LoyceLoyceMwainyekule
    @LoyceLoyceMwainyekule 2 дні тому

    Kwahiyo hayo ni madeko au mbona haongei

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji91 6 днів тому +2

    Yaani jeuri. Sana

  • @maryamChumas
    @maryamChumas 6 днів тому +2

    Ila jaman dada anavyojibu jibu nyie macho juuu tu dah nakucheka tu mmmm mmm nn sasa 😂😂😂😂😂😂

  • @rachelndaki5642
    @rachelndaki5642 6 днів тому +4

    Kwan huyo bint kama kapewa onyo zito kuhus kusema chochot yani kapoooza mpak anaboa sn af mwisilam gani huyo kaavaa uchi tena mbele ya cammela sema devs uswahili mwing sana huyo mbna mkabanwa tu 😅😅

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 7 днів тому +1

    Anaonyesha mjeuri saana!

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 7 днів тому +10

    Huyu bible mpaka apigwe matukio ndio atachangamka

  • @JAZILAMOHAMEDI
    @JAZILAMOHAMEDI 5 днів тому +1

    Kiburi sana

  • @jojoshama2494
    @jojoshama2494 7 днів тому +2

    Anasumbuliwa na wivu wa diva bado😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @SabihaibrahimRajabu
    @SabihaibrahimRajabu 7 днів тому +2

    Mumegundua nini kwa huyu mwanamkee

  • @godblesskusekwa6468
    @godblesskusekwa6468 4 дні тому +1

    Alafu sio kibur sio muongeaj na ana aibu afu sio mtu social media jmn msimsemee ana kiburi ni uoga na aibu

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 3 дні тому

    Abdulrazak tafadhali 🙏😭usioe Kwa tamaa za kimwili tu utajuta tulia hapo Kwa zuhura

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 3 дні тому

      Raha ya ndoa nikutulia na mke mmoja👩‍❤️‍💋‍👨

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 6 днів тому

    Mashallah

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 7 днів тому +5

    mmmmh mbona wifi kama anapandisha maruanii

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg 5 днів тому

    Ww dada omba tu mungu uwea niww tu bat usijimakinia kwa mwanaumia mungu ajalia uwea ww tu

  • @MariamShaban-n6o
    @MariamShaban-n6o 7 днів тому +5

    Chefu sura yenyewe sasa 😂

  • @suhaylaabdullah4261
    @suhaylaabdullah4261 6 днів тому +1

    Huyo amejifunguwa hiyo trh 8 mtoto anatoka arubaini sherehe ya mtoto

  • @NechLove
    @NechLove 6 днів тому +1

    Mbona mke kama ameshikwa na degedege

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 6 днів тому

    Huyu Mtangazaji safi sana. Anajua kuuliza maswali na anafanya kipindi kinoge. Anatalanta kwenye hii. Mie nampendaga mno

  • @castermsweswe5781
    @castermsweswe5781 6 днів тому +1

    Mpunguze vingereza aaa visivyo na maaana

  • @Naju645
    @Naju645 7 днів тому +2

    Mke washekhe nguo😢

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 6 днів тому

    Hujapewa karibu umesha ikaaa

  • @MariamOmary-c7b
    @MariamOmary-c7b 6 днів тому +1

    Mmh kama anaugua akili ndo nn kuweka hivyo kichwa

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267
    @tanzaniawomenyouthempowerm267 7 днів тому +3

    Anaboa

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 6 днів тому +1

    Huyo c shekhe kabisaa. Acheni kutumia majina msokuwa na hadhi nayo.

  • @gracekahunda
    @gracekahunda 6 днів тому +1

    Hayo macho vile unavyoyafanya binti unajiharibu

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 5 днів тому +1

    Yani sheikh tapeli kwenye maongezi yake kama namuona Diva anakucheki kwa mbaaali kwasababu yeye ndiye aliekufundisha namna ya ku fake😂😂😂😂 maisha haya bwana raha tupu

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 6 днів тому

    Masha Allah may Allah protect them they're best couple may Allah bless them and she's beautiful very good girl ❤❤❤❤

    • @zabubamudy126
      @zabubamudy126 6 днів тому

      @@user-to6up4hg2w Mtu yuko uchi unasema MashaaAllah are u ok

  • @kaderbakshamin2345
    @kaderbakshamin2345 5 днів тому

    Sheikh kweli mke ndo mavazi unayoyaruhusu hivi subhaanah allah au ni jina tu?

  • @bibiejuma5094
    @bibiejuma5094 7 днів тому +22

    Shehe gan mkeo yupo uchi apo

    • @Tupena-ov7xq
      @Tupena-ov7xq 6 днів тому

      Mbona amevaa nguo uchi wewe unaujua

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 6 днів тому

      Shemeji sio shee😊

    • @moddysunshine6618
      @moddysunshine6618 6 днів тому +1

      Hakuna Sheikh hapo huyu anasafiria nyota ya Baba Yake (Allah Amrehemu Sheikh Mti Mkavu)

    • @MwanapiliCharo-s2n
      @MwanapiliCharo-s2n 6 днів тому

      Mmmmmh eti Sheikh. Bibi yake yuko uchi

    • @MwanaHussein-s2n
      @MwanaHussein-s2n 6 днів тому

      Akuna shee apo 😂😂ni shehena

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 днів тому +1

    Mtangazaji unashobo kujifanya unahoji kwafosi

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 6 днів тому +1

    Huyu mke anaonekana ana uchungu sana hana raha hata ila hana lakufanya kwa kweli yaani huko kifungoni ana jinsi bado mdogo mpe miaka tatu uniambia kazi hipo

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 6 днів тому +4

    Mbona kama mtu na mkewe wanafanana au ndo mahaba yamezidi mpaka wanafanana😂😂😂

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 6 днів тому +3

    Jamani tuweni wakweli katika haya maisha fake life imetutawala mnooo apo kwenye media watu wanafanya show off na kuongea vitu vingii na sifa kibao lakini ukienda kwenye real life kuna mengi makubwa. Nimependa mtangazaji alipomuliza kuhusu kazi zake za kidini japo kalipotezea kinamna hilo swali ila jibu liko hiviii kwasasa dini hakuna kwa huyu jamaa tayari kasha zama kwenye bongo movie ishu za dini sahauni kabisaaa

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 6 днів тому +1

      Hyu si mtu wa dini ni mganga njaaa wale

  • @Somoo220
    @Somoo220 5 днів тому +1

    Mnaosena huyu mwanamke ana kiburi hapana hana kiburi huyu dada ukimuangalia vizuri utajua kuwa moyo wake unavuja damu kuna vitu vigumu anapitia kwenye ndoa yake so analazimisha awe na furaha lakini hawezi kwa maumivu anayopitia

    • @SamiraMakame-h6e
      @SamiraMakame-h6e 5 днів тому

      Kweli,pia hana uhuru wa Kila kitu humu ndani.😊

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 3 дні тому

    hivi watu wanarahisisha sana swala la mahusiano ya kimwili ee, yaani mwanamke anaemkubali huyu mganga lazima kuna tatizo mahali

  • @christinenere4696
    @christinenere4696 7 днів тому +1

    Matukio ndo alisha pigwa kweli kweli mpaka huruma

  • @cadoritosocco
    @cadoritosocco 6 днів тому

    Shekh anaitwa Davis

  • @zainabufeka87
    @zainabufeka87 6 днів тому +2

    Kina maringo😅😅😅😅😅

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 5 днів тому

    Dah kwa yan huyu dad anakera kichwa nd kinajibu

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 6 днів тому +1

    Mke macho juu kama ana dege dege maringo yanazidi dose ya matukio ndio yatayashusha macho na kuingiza ulimi ndani .kavaa kama hahaba eti mke wa shekhe

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 2 дні тому

    SARAPHINA NAKUPENDA ❤❤

  • @ChikuRashid-yg3jp
    @ChikuRashid-yg3jp 5 днів тому

    Ila kuna siri hapo

  • @NeemaNjera-ho6ln
    @NeemaNjera-ho6ln 3 дні тому

    Zezeta

  • @Kisambwite
    @Kisambwite 5 днів тому

    Hizi Dini aiseee yani watu wameona mikono wanasema yupo uchi kwa hy mmedindisha kw ajili ya mikono au visimi vinawacheza maana kama nywele kaficha na ukiaaangalia hater wengi hapa wanawake wenzake.

  • @JeniferNgata
    @JeniferNgata 6 днів тому

    Yaani huyo ndo make kwanza hana mambo mengi

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 7 днів тому +10

    Huyu dada inataka moyo wa bati Ana bore sana

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 7 днів тому +2

      Kweli anaboa malingo adi inaonekana kero mapoz ya ovyo na urefu wke km mkojo

    • @estherpaul3864
      @estherpaul3864 7 днів тому

      😂😂😂 ​@@ElizabethWamcha

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 6 днів тому

      ​@@ElizabethWamcha😂😂😂😂😂 dhambi

    • @nunuuali5316
      @nunuuali5316 6 днів тому +1

      Sio tu ku bore anaonekana hajielewi kabisa,subiri huyo mume wake mpenda sifa amuanzie vitimbwi ndo atajuwa hajuwi

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 6 днів тому

      😂😂😂 Jaman my Wang ​@@ElizabethWamcha

  • @SalmaSalum-w8e
    @SalmaSalum-w8e 4 дні тому

    Huyo. Shekh. Gani. Mke. Yuko. Uchi

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 6 днів тому

    Kakaa mikono kamaanataka kutiwa pingu😂 anainyooshatu.

  • @JacklineMakule-id8hn
    @JacklineMakule-id8hn День тому

    Jmn huy dd yy n kutikisa kichwa siazungumze jmn khaaaaa mnanichosha bhn hata km mapouz sio ivo

  • @ellenkamanzi3505
    @ellenkamanzi3505 6 днів тому

    Mnataka akodolee camera ajishauwe kwan uyo nigume gume😀 wanawake wakiwa wadogo wanahaibu

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw 7 днів тому +1

    Tarehe 8, kutakuwa na
    hakika ya mtoto Alva. Ni mtoto wa kiume. Watachinja mbuzi wa 2🤭🤭🤭🤭🤭🤭

  • @aminahussein9482
    @aminahussein9482 4 дні тому

    Mwanamke yupo wazi hivo kisha mwamwita sheikh ...awache udayudhi hampendi mke wk kafata kitu tu huyo

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 6 днів тому +1

    Huyo ni shekhe jina tu lakujipa mwenyewe, sio sifa y kusoma