TAHARUKI! MABAUNSA WAVAMIA NYUMBA DAR KUTAKA KUBOMOA WAPANGAJI WAKIWA NDANI - WANG'OA NYAYA za UMEME

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • TAHARUKI! MABAUNSA WAVAMIA NYUMBA DAR KUTAKA KUBOMOA WAPANGAJI WAKIWA NDANI - WANG'OA NYAYA za UMEME
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 56

  • @AwadhMatrula
    @AwadhMatrula 5 днів тому +3

    mwandishi hongera sana bbc yabongo ni ww intervieu imenda shule

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 5 днів тому +1

    Uko sawa kaka kichwa Kiko vizuri sana inamana kituo kimenunuliwa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 6 днів тому +4

    Pole dada. Allah akupe akusimamie akupe hakiyako yaraby. 🤲

  • @Shekhahamed-v2f
    @Shekhahamed-v2f 6 днів тому +2

    Munguyupo nawee dada

  • @happinessshilie4019
    @happinessshilie4019 5 днів тому +1

    Mwenyezi MUNGU akutetee

  • @FuadKassim-d6w
    @FuadKassim-d6w 2 дні тому +1

    Wenyeviti hawa ndio waliopita bila kupigwa
    Ndio hasara ya kupita kwa wizi wa kura

  • @RajabuMsumari-dh5jb
    @RajabuMsumari-dh5jb 3 дні тому

    Haki ipo kwa Allah tu.Duniani mwenye nguvu ndio mwenye kupewa haki.Nimedhulumiwa haliyakuwa kila ushahidi upo

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 6 днів тому +2

    Kwa hiyo mantik ya kuweka sehemu za kusaini ni nini?? Dah huyu ni mwenye kigoda sio mwenyekiti

  • @noorlheyaljabri602
    @noorlheyaljabri602 5 днів тому +2

    ninvhilweli ndomaana hata trampo zarauuwongozi wanchizetu uwongozimbovu polic hawasimamiy hakizawatu mraditajiri anapesaza kukodimabausa basimasikinihanahaki

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 6 днів тому +3

    Ss watu wa magomeni mtaa wa sunna tunamiaka kumina mbili atujalipwa mpakaleo tumevunjiwatu majumbayetu kisingixio mafuliko. Serikali Mungundiye atajua lakuwalipa wanatuxurumu sana wananchi. Ss wanyonge makipo kwa Allah

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 6 днів тому +2

    Watatufanya tuishi na mabomu ya machozi ndani 😢😢

  • @MfiriNasawe
    @MfiriNasawe 5 днів тому +1

    Mbona wanazarau wajumbe wakati ndiko sheria inakoanzia?mjumbe akihoj karatasi anaambiwa tu tushapita ngazi zote zajuu, mbona walianza kesi wanapita kwamjumbe lakini wakijakuvunja wanamruka mjumbe na wenyeviti wa serikali?hii serikar ikomeshwe maana wanasababisha watu kuumizana lakini mjumbe na mwenyekiti anauwezo wakuwatuliza wahusika na kuepusha ugomvi kuwa mkubwa zaidi

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 6 днів тому +2

    Mjumbe wa aina gani hata kuongea kwake hakuna confidence kabisa!!!

  • @ADELADamus
    @ADELADamus 6 днів тому +3

    Iyonyumba itakuwa kunakiongozi waserikali anaitaka

  • @Fatmamachelenga
    @Fatmamachelenga 4 дні тому

    Mzee bd anavaa cheni jaman

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 6 днів тому +2

    Huyu baba anavyojibu? Mbona km anahusika kwenye ubomoaji

  • @lilianfrancis6605
    @lilianfrancis6605 6 днів тому +2

    Hapana jamani M/kiti anakwepa Majukumu yake,ni nani wa kujua Usalama wa Wananchi wake kwa hiyo Nyumba inavunjwa kiholela ktk Eneo lake naye yuko kimya wala hajali na hataki kujua, anashughulikia mambo madogomadogo na hayo makubwa Mtaani kwako afanye nani? Mbona wa chini yako mjumbe kazuia,MUNGU Atusaidie kwa kweli

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 6 днів тому +3

    Na nyie watu punguzeni upore watu kama awa sikuizi wamekuwa wengi inatakiwa sikumoja uchukue panga umukate mukono kabisa

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 6 днів тому +2

    polisi wa msimbazi vipi ndugu zetu? Makamanda mpo? Hebu lindeni raia kwa viapo mlivyokula. Mnakubalije mabaunsa kuwa na nguvu kuliko nyie? Hebu jitakafarini enyi polisi. Bado tuna imani sana na jeshi la polisi

  • @AllyMadenge-u6o
    @AllyMadenge-u6o 4 дні тому

    Tatizo la Nyumba za urithi mnazungukana wenyewe kwa wenyewe yaani mwingine anauza Nyumba wengine hawana taarifa

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 6 днів тому +4

    Hawa serikali za mitaa, hasa wenyeviti ndo huharibu Amani ya mitaa,kwa kuendekeza kupata vijisenti uganga njaa, sasa hapo haelewi hata kazi na jukumu lake kwa kuwalinda watu wake, yeye ndo anawaangamiza

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 6 днів тому +2

      Washenzi mimi pia walivuruga sana amani kati yangu na jirani yangu badala ya kupatanisha😢

    • @gililwise
      @gililwise 6 днів тому +2

      Hawana elimu dv 0

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 6 днів тому +2

      @@nantaembanusurupia5674 pole sana, ila ukiwa ogopa tu kosa! Muhimu ujue haki zako za msingi na kukataa kuonewa, hapo watakuheshimu

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 6 днів тому

      @@nantaembanusurupia5674hao wenyeviti madiwani na makatibu sie wamekalia kimabavu ardhi mwaka wa 8 sasa

  • @khalifaabdallah2628
    @khalifaabdallah2628 6 днів тому +1

    Chukueni mapanga munamuanza mwenyekiti muna kata kichwa chake na mwisho munawamalizia hao halafu kimya

  • @salwasalum6758
    @salwasalum6758 6 днів тому +1

    Alafu utakuta mijitu inakaa.kabisa inachukia mpinzani inatukana mnafeli wapi watanzania tutaonewa mpka tunaingia makabirini....tunafeli wpi Wtz???kwa nn tusiwe wamoja tuoneshe mabaliko ili iwe funzo na wakizingua tna tunamtoa tna mpka mambo yakawe sawa..hamuoni leo shirika moja la umeme linavyotutesa ?je yangelikuwa mashirika mawili ya umeme.mmazani tungeteseka namna hii

  • @mohamedabdallah6480
    @mohamedabdallah6480 15 годин тому

    Hii ni aibu kwa serikari, na wanamchafua raisi kama Kawa mpole sana,kumbe ni ujinga wa watendaje wake tu

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 День тому

    RIP

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 6 днів тому

    Mngewapigia kelele za wezi hao wapuuzi

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on 6 днів тому +1

    Hii ndo selikali yetu wapo kimaslahi yao mwenye pesa ndo mwenye haki

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 6 днів тому +5

    Tz unyanyasaji umekuwa mwingi sana 😢

  • @noorlheyaljabri602
    @noorlheyaljabri602 5 днів тому

    wanawezakusaba bishamauwaji polic wameishapewa rushwa etipolisiwasimamizi warayya

  • @getajo1153
    @getajo1153 5 днів тому

    Haki pekee aliyonayo mwanadamu katika Ulimwengu wetu ni KUFA mengine yote yapo mikononi ya wengine, sasa bahati hao wenye mamlaka wawe wafuata haki, bila hivyo ndo haya yanatokea....

    • @MfiriNasawe
      @MfiriNasawe 5 днів тому +1

      Wale tu machozi ya wenyehaki lakini mwisho watatapika na kufa tu

    • @MfiriNasawe
      @MfiriNasawe 5 днів тому +1

      Viongozi na mliopewa mamlaka ache kujifanya nyinyi na familia zenu ndommepewa matumbo kama nyangumi hivyo msipowaliza wenyehaki hamshibi!?

  • @ADELADamus
    @ADELADamus 6 днів тому +2

    Iyoo ndo tanzania

  • @zafarmohamed9413
    @zafarmohamed9413 День тому

    mjumbe vp anasema yy msaidizi wa kusimamia uvunjaji alafu anasema uvunjaji huu haramu. Hapa kuna namna sio bure.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 6 днів тому

    HIII NI TANZANIA AU WYPIIII HASWA
    VIONGOZI WAKO Wapiiii? Kwaniniiii HASWAAAA NI unyamaaaa buiuuii

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 6 днів тому

    We mjumbe hakuna uakilishivwanamna hiyo utafungwa

  • @FuadKassim-d6w
    @FuadKassim-d6w 2 дні тому

    Mama mrudishe jerry slaa

  • @noorlheyaljabri602
    @noorlheyaljabri602 5 днів тому

    hiynchiyetu sasaimekuwa yakidikteta

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 6 днів тому

    Acheniii UNYAMA HUO NI ZAMBII KUBWA. MNA NINI NYIE Wetuuuu???

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 6 днів тому +2

    Tunamtaka mwenyekiti yukowapi? Tapeli wewe

  • @GisselapendoInvestment
    @GisselapendoInvestment 6 днів тому

    Sauti ya mjumbe na anacho kiongea kinaendana

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 6 днів тому

    Tatizo ni amrita ya maha kama?

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 6 днів тому

    Ndio maana mm hata nione mtu ana gari zuri mabiashara wala sitamani maana mengi majizi mashurumati mala rushwa makubwa mambwa mwitu

  • @Husnasalim-f2g
    @Husnasalim-f2g 6 днів тому

    😢😢😢 duuuh 2005 jamn😢😢

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 6 днів тому

      Wewe unasema mwanasheria sie hakimu mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo alihusika kugawa mali zilizo tayari wenye mirathi iliyofunguliwa katika mahakama anayosimamia akampatia shangazi yetu , ila serikali ya kijiji ilisimamia haki ya warithi