RAIS WA BURUNDI AMESEMA KAGAME TUMUONDOE HARAKA ANAIHARIBU CONGO ATAKUJA BURUNDI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

КОМЕНТАРІ • 364

  • @AmranSeif-e4f
    @AmranSeif-e4f 6 днів тому +32

    Raisi wetu kiboko tunamkabali japo kuna watu wanampinga turamukunda cane 🇧🇮

  • @marietheresenyandwi8671
    @marietheresenyandwi8671 5 днів тому +3

    Raisi wetu wa Burundi 🇧🇮 mwenyezi mungu akulinde na ailinde burundi yetu na warundi wote kwa ujumla big up our president Evariste Ndayishimiye❤❤❤🎉

    • @mainabenson5173
      @mainabenson5173 5 днів тому

      Tembea Kenya

    • @JohnDeus-v3e
      @JohnDeus-v3e 5 днів тому

      Akili gani na nchi umaskini unawasumbua. Tumia akili kufikiria basi. Unawezaje kuringanisha Rwanda na Burundi. Acha upumbavu wewe

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 6 днів тому +23

    Asante sana Raisi wetu Baba yetu ndayishimiye kagame amekua mwiba wamaendeleo ya afrika na kuleta vita congo sisi warundi tuko nyuma yako kagame tutampiga

    • @isaacpatron7428
      @isaacpatron7428 6 днів тому +1

      Funga kinywa pumbafu

    • @enockngendakumana5181
      @enockngendakumana5181 6 днів тому +1

      Kagame pamoja na mseveni walisha ingiza watu wao 12:17 nchini kongo burundi hata Tanzania wanataka hizo nchi zote zitawaliwe na watusi wahima tanzania yenyewe hatowasumbua maana watanzania wengi hawajui kua kuna adui

    • @deohabi
      @deohabi 6 днів тому

      ​@@enockngendakumana5181Toka kure waca kudanganya watu pumbafu

    • @deohabi
      @deohabi 6 днів тому

      Toka we shenzi, wkt aritangaza ya kwamba anataka wa vijana awape ngufu za kutoa Kagame madarakani akiwa Kinshasa ,nani arimuambia aseme hao yote? Si ni yeye aritanguria kushamburia Rwanda na mdomo wake? Aturuye Sasa asubiri Sasa kitakacho fuata

    • @bizomenyimanaelias5455
      @bizomenyimanaelias5455 6 днів тому

      n​@@isaacpatron7428funga wew matako yamamako

  • @imanimulumbilwa6056
    @imanimulumbilwa6056 6 днів тому +10

    Huyu Raisi wa Burundi,ana akili pia na macho ya kuona mbali ❤❤

  • @FrankeIgiraneza
    @FrankeIgiraneza 6 днів тому +16

    Komera cane mweshimiwa❤🎉

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 6 днів тому

      Burundi imemshinda kuingoza nchii imekufa watu wameathirika na njaa na mafuta hakuna ya Rwanda na congo inamusu nini afate ya kwake 😂😂😂

  • @batromeombogo297
    @batromeombogo297 5 днів тому +3

    i love Burundi from Tanzania

  • @LameckOtuomameshack
    @LameckOtuomameshack 6 днів тому +9

    Namuunga mkono sana RAIS WA BURUNDI Kagame apinduliwe haraka sana.

    • @RemejioEmanuel
      @RemejioEmanuel 6 днів тому

      Kama wanashindwa kuondoa kikosi anachokifadhili yeye, wataweza yeye mwenyewe na jeshi lake Kigali?

    • @SylvesterKameo
      @SylvesterKameo 5 днів тому

      Dawa ni mataifa yote majira kutuma majeshi kuivamia Rwanda kutokea kila upande, Rwanda haitakuwa na uwezo wa kuisadia M23.

  • @nelsonmwavipa9761
    @nelsonmwavipa9761 6 днів тому +5

    Hapo ndugu yangu mwakilembe umechambua vizuri sana kiukweli pale Kongo kuna kitu nyuma ya pazia na hilo ndilo linawatesa viongozi wetu wa kiafrika kila siku.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 6 днів тому +28

    Wakimbizi wa Rwanda wasikimbilie tena Tanzania 😢😢

    • @gasanaemmanuel6518
      @gasanaemmanuel6518 6 днів тому +1

      Kwa sababu gani ndugu?

    • @MegaMie77
      @MegaMie77 6 днів тому

      Wasema wewe kama nani?

    • @lacroquetalacroqueta6813
      @lacroquetalacroqueta6813 6 днів тому

      Waafrika wote ni ndugu regardless of any differences, wacha hio maneno ya wakoloni kuleta chuki

    • @KamanaMangolwa-xe8de
      @KamanaMangolwa-xe8de 6 днів тому +2

      Kabisa wanyarwanda ni wabaya sana wakongo waliwakaribisha vizuri tu leo lina kikwazo sio watu kabisa ukiwaona wapole ila moyoni mwao ni wakatili sana

    • @mogrosso3500
      @mogrosso3500 6 днів тому

      @KamanaMangolwa-xe8dekweli kabisa ❤

  • @Kassimwekesa-g3d
    @Kassimwekesa-g3d 3 дні тому

    Unatanga vyema kabisa love❤ Burundi🇧🇮🇧🇮

  • @AmriSabiti
    @AmriSabiti 5 днів тому +1

    Asante sana ndugu zetu wa Burundi wanao simama na sisi 🇧🇮🤝🇨🇩🤝🇿🇦❤️🇹🇿

  • @barikimushi97
    @barikimushi97 6 днів тому +3

    Mwalimu isaya wewe ni mtu ambae unatupa Elimu sana tuna zidi kunwomba Mungu akupe maisha marefu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 5 днів тому +1

    Safi sana kagame mnafiki na muongo

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 6 днів тому +1

    Yuko sahihi raisi Evarste.

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 6 днів тому +1

    Uko sahihi sana Benson

  • @Martinohola
    @Martinohola 6 днів тому +1

    Hio ni kweli kabisaa kagame asimamishwe.

  • @mwasunyaglau536
    @mwasunyaglau536 6 днів тому +3

    Kagame hana shida raisi wa congo ndei makamasi

  • @FredyKuziwa
    @FredyKuziwa 6 днів тому +1

    Rwanda ishambuliwe tu kagame akamatwe haraka sana

  • @Malcolmxtv
    @Malcolmxtv 5 днів тому +2

    Au kagame ni kibaraka Cha wazungu anazua vita ndo waibie congo #tupitiane( Malcolm x tv

  • @HaragakizaDieudonne
    @HaragakizaDieudonne 5 днів тому +1

    Nasisi watu wa burundi tunawapenda saaaana kuwafwatiriya saaaana

  • @NehemiaZakeo
    @NehemiaZakeo 6 днів тому +11

    yani inatakiwa iwe hivyo ili kulejesha amani halaka sana ndani ya nchi ya kongo

    • @Yassin-z6o
      @Yassin-z6o 6 днів тому +2

      Ni lini congo iliwahi kuwa na amani?? Wakongo wanauwana wenyewe tu. Nachokiona kuna jambo ufaransa inaitafutia Rwanda. Shisekedi ndio tatizo

  • @josephgutu81
    @josephgutu81 6 днів тому +2

    Alizi ya Kongo inatakiwa itawaliwe kijeshi ndipo itakaa sawa

  • @KisagasiLuyangi
    @KisagasiLuyangi 6 днів тому +1

    Ndayishimiye Yuko sahihi nakuamini

  • @andulaislam3567
    @andulaislam3567 5 днів тому

    Huyu ndie mchambuzi wa ukweli Kabisaa.
    Shukrani sana ndugu
    Isaya Benson

  • @JacobernestMlula
    @JacobernestMlula 6 днів тому +2

    Kabisa aondoke

  • @PascalChimatu
    @PascalChimatu 6 днів тому +1

    Ndaisjimie yupo sahihi kagame kuonda haraka atasababisha vita iyenee ukanda wa afrika mashariki

  • @GastonKakungi
    @GastonKakungi 6 днів тому +5

    Ndani ya humu humu Africa watu wanatumika vibaya

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 6 днів тому +1

    Mtangazaju uko sawa❤❤❤❤❤

  • @muliamadi859
    @muliamadi859 6 днів тому +2

    Kaka mien uwa na kufatilia sana,vita vya congo na rwanda usiangalie kwa jicho la inje angalia kwa jicho la ndani utaelewa vizuri,vita ivi ni vita ya wautu na watusi .watusi wanapenda watawale Tanzanian congo, Rwanda ,Kenya, burundi .ata nyie watanzania kueni makini sana

  • @JosephBilombelejosbimtungwa
    @JosephBilombelejosbimtungwa 6 днів тому +3

    RWANDA HAWANAGA KAULI KWA BURUNDI

    • @emmanuelchiza6984
      @emmanuelchiza6984 5 днів тому

      Kwanini unasema Rwanda hanaga kauli kwa Burundi wakati tunajua Rwanda ina dharau sana nchii jirani!!!?

  • @angeliquemwamini4791
    @angeliquemwamini4791 3 дні тому

    Ndio nyuma ya kagame wapo wazungu. Ss kwa ujinga wa kagame aondoleweeeeee kbs haraka

  • @deusmauka8270
    @deusmauka8270 4 дні тому

    100% aondolewe haraka.

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 6 днів тому +1

    Akitoka Congo anaingia Burundi. Ila kumpindua, haiwezekani. Gen. Kagame kajipanga sana

  • @AugustinFreddy
    @AugustinFreddy 6 днів тому +3

    Wazungu wanatumia kagame warwanda kuuwa congo😢inchi zingine zilikataa kutumiwa nawazungu kuuwa congo KAGAME RWANDA yeye akakubali.

  • @josephwaigama-sb8hz
    @josephwaigama-sb8hz 6 днів тому +5

    Kagame ni tatizo kwa amani ya drc

  • @musafiriassuman3911
    @musafiriassuman3911 6 днів тому +2

    Watanzania kuweni makini sana na tatizo la congo sisi wa congo tunajuwa wa tanzania ni watu ambao wamajuwa sana siasa, tatizo ambalo linatokea congo sasa ivi hapo kuna watu wameshauwawa basi kuweni watutsi wakimalizana na congo wataingia tanzania maana burundi wameshajuwa siasa ya watutsi,

  • @innocentfrancisco6877
    @innocentfrancisco6877 6 днів тому +1

    Hallo papa NeVa everiste Mkazane kujiunga Mkono na Tshisekedi atafadhali Mumtoshe Kagame mwizi wa zahabu atoke kwenye kiti! Kagame aduyi ya Kongo Mfanya mauwaji

  • @erictech25
    @erictech25 4 дні тому

    Rais wa wananchi P. Nkurunziza RIP ,, asifananishwe

  • @ThamiKhundula
    @ThamiKhundula 6 днів тому +1

    Burundi 🇧🇮 ❤peace ✌ and love ❤

  • @jeanbaptistembonigaba8064
    @jeanbaptistembonigaba8064 4 дні тому

    Oh ! Ana huzuni sana! Raisi ambaye yuko karibu akilia kweli ! ? Ni hatari kabisa!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 6 днів тому +10

    Waafrika hatuna akili😢

  • @jeannekwizera9562
    @jeannekwizera9562 6 днів тому +1

    Kagame akamatwe haraka amani ionekane

  • @adamlikati3364
    @adamlikati3364 6 днів тому +3

    Kagame aliwahi kuuliza hao UN wako miaka mingapi na kwanini Wahasi hawaishi

    • @katemachanda7035
      @katemachanda7035 6 днів тому

      Halafu watu wanafurahia...
      Hawajui kama jina la Kagame linatumika tu kufitisha na kuchochea migogoro. Shida ni haohao UN na mashirika makubwa ya Ulaya na Marekani. Hata hizo habari zinazotolewa na Ubelgiji na Ujerumani zote ni za uongo, wao wanachotaka nikuona tunazidi kutofautiana machafuko yaendelee miaka nenda Rudi ili waendelee kuiba Mali ya Congo.
      UDANGANYIFU WA KIWANGO CHA JUU UNAENDELEA.

  • @anicetnahayo2483
    @anicetnahayo2483 4 дні тому

    Nakuunga mkono kuyoka Bujumbura 🇧🇮.

  • @Kanezakekekenthia
    @Kanezakekekenthia 6 днів тому +2

    Aondolewe bwana

  • @YohanaFighter-b1k
    @YohanaFighter-b1k 4 дні тому

    Tamaa mbaya

  • @mungasulwamwaipokela5867
    @mungasulwamwaipokela5867 5 днів тому

    Uko sahihi kabisa@Isaya Benson

  • @amoseirumva3932
    @amoseirumva3932 6 днів тому +1

    Maana yake hata watutsi walioko Burundi Tanzania Kagame ataingia kuwapa itawara hapo kuko jambo kubwa mbaya😢😢

  • @MgayapAthumani
    @MgayapAthumani 6 днів тому +1

    Hapo umesema ukweli lazima aondolewe madarakani maana anatishia usalama wa Africa mashariki mtu gani atosheki wafrika wapenda amani tuna simama na congo rais wao tisheked

  • @alhajimohamed1909
    @alhajimohamed1909 6 днів тому +2

    Mwambaaa karibu mkoa mara wilaya ya bunda uko vzuri kwenye habari

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np 6 днів тому +4

    Watu wenye mapua kama misumali Wana shida sana.

    • @NshimiyeJ.pierre
      @NshimiyeJ.pierre 6 днів тому

      Sasa wenye mapuwa kama kiboko njo wananini kiwelewele wewe

  • @GakubaNyirimihigo-sc7ym
    @GakubaNyirimihigo-sc7ym 4 дні тому

    Nyerere sitamusahau kamwe hata mimi si mtanzania ni mtu wa haki alisaidia sana wanduguzetu watusi ili wawauwe

  • @GastonKakungi
    @GastonKakungi 6 днів тому +2

    C anaweza hamia Tanzania 🥺🥺🥺🥺

  • @Younomane
    @Younomane 6 днів тому +2

    Iyo inaitwa usiniurize kwanini😂😂🇿🇦🤝🇧🇮

  • @hubahimfurayusufu1042
    @hubahimfurayusufu1042 6 днів тому +1

    Kwa nini Kagame ndo aponduliwe unapoona anaestahiki kupinduliwa kati ya kagame na Ndayishimiye ni nani??? Japokuwa kuna wa Tanzania wadogo wanaozungumza ya Congo kama anapozungumza macth ya mpila wa miguu la kwanza Nyinyi Tanzaniya mumetuma jeshi na Burundi ambapo hamkufaulu sasa unazungumza kama uliyopewa hela ili ufanye Campaign, ila sisi hatuzungumze mtajaaza nyinyi wenyewe, ivi tunaenda uvira alafu tunamaliziya Burundi

  • @agasobanuye5364
    @agasobanuye5364 6 днів тому +1

    Hotuba Yake iko kwa kifaransa sio kirundi ila maneno aleongea ni hayo hayo umetafusri kwa lugha ya kiswahili

  • @Umuhetsi
    @Umuhetsi 6 днів тому +1

    Sawa nduguyangu ❤

  • @byoseasolokoci7257
    @byoseasolokoci7257 6 днів тому

    Bwana akubariki sana mweshimiwa rais wa Burundi 🇧🇮, Evarist .

  • @MohamedNgaula-zn7rp
    @MohamedNgaula-zn7rp 4 дні тому

    MWALIM HUYU RAIS WA BURUNDI NDO AMEJIBU SWALI LANGU LA SHOTI YA UMEME WA GARI,JIBU NI KUKATA WAYA WA MOTO.SASA KUMUONDOA KAGAME SULUHISHO LA AMANI CONGO.AMELEWA MADARAKA

  • @VyizigiroDeo-lu1gv
    @VyizigiroDeo-lu1gv 6 днів тому +1

    Kweri kagame adolewe❤❤❤❤ nimwiba kwa afilica nzima

  • @joctanmtambi895
    @joctanmtambi895 6 днів тому +2

    Sawa usemayo lakini jua pia watutsi wana ajenda yao tena kutawala eneo zima la maziwa makuu

    • @AkiliMichel
      @AkiliMichel 6 днів тому +1

      Ukweli. Watu wengi awa elewe

  • @KalalaErick-n7d
    @KalalaErick-n7d 6 днів тому +11

    Congo Burundi tanzania, SouthAfrica, Malawi, waungane wamuangushe kagame

    • @IMRANITV1
      @IMRANITV1 6 днів тому +1

      Hawamuwezi😂😂😂 wanadundwa kama Ngoma dahhhh noma kweli

    • @shukurumsebaloli
      @shukurumsebaloli 6 днів тому

      @@IMRANITV1 kushambulia inchi nyingine sio kituraisi kuna sheria zina tumika wanaweza kumushambulia kisha umoja wamataifa uka washambulia wao kagame ametengeneza kiziwi ambacho anakiita m23

    • @kavakurejeanBaptist-nk7jz
      @kavakurejeanBaptist-nk7jz 6 днів тому

      Waungane kwa nchi ndogo kama Rwanda uoga😂😂😂

    • @AlexBoniphaceKamomole
      @AlexBoniphaceKamomole 6 днів тому +1

      KAGAME ni tatizo kubwa siyo kwa DRC pekee bali kwa nchi zote zinazomzunguka ikiwemo na Tanzania.

    • @kavakurejeanBaptist-nk7jz
      @kavakurejeanBaptist-nk7jz 6 днів тому

      @AlexBoniphaceKamomole kagame alifanya nini Tanzania munataka vita mutaiwona

  • @HajiMwanz-to3vg
    @HajiMwanz-to3vg 6 днів тому

    Asante ndugu mtagazaj kwatarifa mzur

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 6 днів тому

    Mwamba nakukubali sana uchambuziwako sarut❤❤

  • @tchombakarimdjuma3845
    @tchombakarimdjuma3845 6 днів тому +1

    🇧🇮 peace and love

  • @zipczionkanada6
    @zipczionkanada6 6 днів тому +1

    Congo viongozi nao Hawaoni mbele kwanza wange ishi kwakujitegemea

  • @uwimbabaziesperance8478
    @uwimbabaziesperance8478 6 днів тому +1

    Towa habari zenu za ujinga,huwo ni wivu tuu,KAGAME anaendeleza nchi ya Rwanda wanaona wivuu,mtakoma.

    • @ndorimanaelesie4512
      @ndorimanaelesie4512 6 днів тому

      @uwimbabaziesperance8478 we mujinga empire ni wivu gani nyiye wauwaji wa baya sana inchi zote zimeisha Wajua muko wauwaji pia wa halifu siku mooja mutakoma 😢😢😢😢

  • @EmmanuelNembe
    @EmmanuelNembe 6 днів тому

    Abari Yako Bwana Benson naitaji bamba Yako

  • @GakubaNyirimihigo-sc7ym
    @GakubaNyirimihigo-sc7ym 4 дні тому

    Na kikwete sitamusahau kamwe aliwaua akawafunga akawanyanganya ngombe zao na akiwakimbiza ndani ya inchi kwao nyerere ni mzazi Mungu asikose kumpatia uzima wa milele

  • @angeliquemwamini4791
    @angeliquemwamini4791 3 дні тому

    Burundi be blesse

  • @PAULZACHARIA-l8u
    @PAULZACHARIA-l8u 5 днів тому

    Mungu Akulinde Rais Paul Kagame na Ufanikiwe kwenye mipango Yako mizuri kwa Africa

  • @markoviskyhernandez9706
    @markoviskyhernandez9706 6 днів тому +1

    Rais watu hapa Rwanda ni Kibaraka mfanyakazi wa wazungu.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 6 днів тому

    Safi mwalimu 💚💚💚

  • @MatendoByamungu
    @MatendoByamungu 5 днів тому

    Mr ndayishimiye Ni rais mwenye kuji tambua haraka kuliko huyu Rais hisekedi

  • @Mpawenayofabien
    @Mpawenayofabien 5 днів тому +1

    Wakongo wanajifanya wachawi xana mbn wanaxhindwa na kagame anaesumbuwa nchi yao kongo

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 5 днів тому

      Kagame ni mamaluki ndo yanampa Power Hana mpango wowote Yupo chini ya Nchi zenye nguvu na Maarifa ndo maana Ana kamdomo kamdomo

  • @ErickMatendo
    @ErickMatendo 6 днів тому

    Asante sana mwalimu

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 5 днів тому

    Kagame ikumbukwe hata miaka iliyopita alitaka kuipindua serkali ya Nkulunzinza akitumia mamluki wake ambao aliwapandikiza Burundi. Kagame ni mtu mbaya sana.

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 6 днів тому

    Ni kwel mwalim

  • @RutafurulwaSilbert
    @RutafurulwaSilbert 5 днів тому

    Rais wa burundi hana akili sawa baada ya kufanya maendeleo anawawa mambo yasiyo ya muhm

  • @JoblessMillionaireMakolo-jb7xo
    @JoblessMillionaireMakolo-jb7xo 6 днів тому

    Kagame anazingua.

  • @deogratiasbav
    @deogratiasbav 6 днів тому +1

    Hotuba iko kwenye kifaransa😂 sio kirundi

  • @uleditpmrisho7034
    @uleditpmrisho7034 6 днів тому

    Mtu mweusi ni mjinga Sana ahana shukurani. Una weza leya mtu kumbe una leya ma mmbwa kesho Yana weza kuku kamata kama kitowewo. Ume sema ukweli Sana .ndivyo ilivyo ❤

  • @justuswanyamawekesa5427
    @justuswanyamawekesa5427 6 днів тому

    Good analysis brother, it's scramble for natural resources in Congo that has left Congolese people helpless and poor.
    Congo would be the richest and most developed nation in Africa if it had a strong and firm leader who loves his country and it's people

  • @JosephBasedeke-iv3rf
    @JosephBasedeke-iv3rf 6 днів тому +1

    Uishi isaya Mungu abariki raisi Félix n'a ndashimie tumupige kagame n'a tutsi empire

    • @MamaGatsinzi-up2xd
      @MamaGatsinzi-up2xd 6 днів тому

      Hamuwezi kufanya cocote kwawa Tutsi empire

    • @TibihikaGerad
      @TibihikaGerad 5 днів тому

      Uyo mwenyewe Ferix wako kwa alicho sema awe makin

    • @TibihikaGerad
      @TibihikaGerad 5 днів тому

      Naomba kukuuliza unapajua Rwanda kabla sijakuelekeza hii inch Ni ya Aina gan?

  • @philiplugalia3724
    @philiplugalia3724 5 днів тому

    Kagame na ruto Na museveni Hawa watu yafaa watimuliwe ni sumbua sana

  • @claireuwimana9973
    @claireuwimana9973 5 днів тому

    Mtangazaji unasema kweli shida Kongo ni Tangu zamani

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 6 днів тому +1

    Rwanda itengwe

  • @MgayapAthumani
    @MgayapAthumani 6 днів тому +1

    Kwanza ningekua na nguvu ningefunga mpaka na Taifa la Rwanda maana ni taifa limepitwa na wakati maana viongozi wenzie wanawaza kutokomeza umasikini na ukimwi na maleria na TB yeye anawaza ugomvi ugomvi na mbona mataifa majirani yamejua mchezo anaocheza ila siku zote ukianza kwa ubaya na utamaliza kwa ubaya zaidi

  • @MuhaliHamadi
    @MuhaliHamadi 6 днів тому

    Uingereza inamfadhili kagame

  • @BritonNdishi-g6o
    @BritonNdishi-g6o 6 днів тому

    Ubalikiwe unasema kweli Bensonu

  • @Ba63828
    @Ba63828 6 днів тому

    Hotuba ya Nyerere inalaumiwa sana sababu hio mipaka mingine tofauti na mipaka ya Kongo.

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 6 днів тому +1

    From 🇧🇮 kagame iko na wa zungu ili madili ya congo 😂wapate

  • @SV19NYSY
    @SV19NYSY 6 днів тому +1

    Kagame nitatizo

  • @ibrahimmbilizi1726
    @ibrahimmbilizi1726 6 днів тому

    Muombe mungu awasadiye sana ukwanjwa wawatu usiwafikiye watu wakiona mutu wapuwa ndefu wanazini ndiye mutu muhimu kuwa kiongozi

  • @Safinamunyugwa
    @Safinamunyugwa 6 днів тому +1

    Maneno Yako niyaujinga unamupenda kagame mimi Niko goma tuliona wazi kagame yéyé katuma masheshi yake kongo

  • @MirajIdrissa
    @MirajIdrissa 5 днів тому

    Safi bro

  • @angeliquemwamini4791
    @angeliquemwamini4791 3 дні тому

    Ndaishimi wewe ni president mzuri sbb uko namsimamo mzuri.

  • @gfinetv5508
    @gfinetv5508 6 днів тому

    Hakusema my luga yetu, alitumia kifaransa

  • @EliyaMWAIJUMBA-i1n
    @EliyaMWAIJUMBA-i1n 8 годин тому

    Kagame ni muuwaji wa siku nyingi kaupata uongozi kwa kuuwa na bado anauwa

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 5 днів тому

    Pk salute