Kwa mtu ambae hujaelewa hapo ruben alipokunywa soda ina maana ake ni lazma kwanza mwenyej unywe maana mgeni unaweza sema wamekuwekea sumu ko ni kitu kizur kwa mwelewa i like it
Sisi tulifundishwa fungulia soda mbele ya mgeni then miminia glass mbili anza kunywa.masna kunawatu wakijichamba hawanawi then anaharisha huko anaanza kusema umemuwekea sumu
@ jamani hii ni huko mbeya enzi za kale sasa hivi fungua soda mbele ya mgeni kwani midogo kwenye class ya mgeni ni uchafu pia ✍🏾kuna matadhi ya mdomo meno jamani tumfundishe ruben wetu ustarabu pia 🫵🏽🤪
Nampenda ila amekosea mbona unamkirimu soda kisha unaficama kwakumiminiya kwenye glas ukasahau ku cameraman kiska ukonja bila kumuambiya huyo sio ustaarabu
Unataka ubaluzee kajuice 😂😂😂,, naona umeweka mpododo wako nashindwa kufungua 😂😂😂😂 we mbona unakua msahaulifu basi uliza tena 😂😂😂😂 au kayai kakuchemsha 😂😂😂 nyie nimecheka Leo ivi mna uhakika hakika ni mzima uyu kwaa aonje soda afu anachekelea camera 😂😂😂🤣🤣
Nampenda Hakika ila Sijapenda vitabia vyake kwenye hii interview, kwanza kamdomo kamezidi lakini pia kunywa soda kwenye glass kisha kaenda kumpa mgeni midenda yake.
Nyumbani kwake pasafiii mnooooooo,pamepangiliwaaa mnoooooo japo padogoooo
Mimi nampenda sana akika rubeni mungu amlinde sana😂😂
Apo kwakwe hakika ajapanga😅ila apendagi show off🎉
Mfatiliaji namba Moja wa showbiz ni Mimi. Nakipenda sana hiki kipindi
Kwa mtu ambae hujaelewa hapo ruben alipokunywa soda ina maana ake ni lazma kwanza mwenyej unywe maana mgeni unaweza sema wamekuwekea sumu ko ni kitu kizur kwa mwelewa i like it
Jamani mnaosoma hii comment hakika ruben hapo ni kwake ila hapendagi kujigamba hizi mambo ya media.tumemuona tofari kwa tofari
Eti anapenda mayai mpaka anatamani angekua anataga 😂😂😂
😂😂😂😂
Hii nyumba niyahakika hata hizo zapembeni nizake hajapanga kma anavyowazuga
Itakuwa kweli maana hakika hapendi kujikweza
@Evodia-nk9jr umeonaee
Nyumba ndogo lkn nzuri na pamepangiliwa vzr mnoo❤
Nampenda Sanaa huyu baba 😂😂
Kwa mtazamo wa kawaida hyo juice ilbak ya mtoto soda ndo ziliandaliwa so salehe jifunze kujiongeza kama umeshndwa kujipimia
We nae unaonekana mchoyo sn,..afu unamaisha magum na unakaa uswazi
😂😂😂😂😂@@She-m3p
@@She-m3p mm kwel nina maisha magum tena sanaaaaaa
Acgeni kupangia watu ibamaana salehe hana hela yakununua hivo vitu wenyeji ndo huwa wananjarimu
😂@@khadijayusuph9316
Huyu yuko real swaleh babu yangu apenda kula sana mpaka utiliwe sumu 😂😂😂😂😂ukiona hujapewa juwa umeenda kwa wachoyo kaa utuliye😂😂😂😂😂
Acha uchooyoo
Yaani huyu jamaa😂😂akiongea tu unacheka
Nimezaliwa kwa kawaida sio kwa operation 😅😅😂😂😂😂
Ila hakika hata haringi kama wengine mashallah
Mashallah hongera snaa umepata bhana nyumbani nzuli sna hongera snaa aise 🎉🎉🎉🎉
Salehe bora uache kula tu kwa watu fedheha kama hizi zikupite tu😂
Acha uchooyo roho mbaya nayo jau huwez kuishi na watu😂
@ nani aache uchoyo?
Shida ya kifua na umekunywa soda ya mgeni😂😂😂😂
🤣😂🤣😂🫣
Lazma aonje ili mgeni asije sema amewekewa sumu
Nisamehewe sana kuna muda namuona kama ana ushoga kwa mbaliuu
Hakika mungu kakupa ridhiki ya kimaisha ila kunakatatizo kidogo nakaona 😂
kuna kitu hakijakaa sawa hapa
😂😂😂 nimecheka sana bas ni mtot wangu mm🎉
😂😂Salehe utajua hujui,uwe profession niliwahi kukwambia!daah hii imeenda Ruben amefanya komedy yake 👌👌👌😂😂😂
Uchoyo tu
@RizoIbrahimovich-z4f aibu sana, sio uchoyo, labda nyie wamoja, kama una Akili timamu huezi ng'ang'ania mayai kama vile umekuja nayo🤣🤣🤣😝😝😝
Mnataka histroria yan kwan nimekufa😅😅😅
Hiii ya matha mwaipaja 😂😂😂kuhusu mtoto hakika unakuwaje mkaliii kama mtoto niwako
Hakika mstaarabu kumbe😂😂😂😂
Kumbe Kuna watu wanakumbuka sku ya kuzaliwa😅
Jamani kaonja kwa maana wasiseme wamemuekea kitu kibaya mbona police unaonja chakula
Ila hakika😂😂😂😂😂
Zote amezifua 😂😂 ni code flan hvi ya kisomi
Hasipende kula kila anapoenda kutembelea watu
Moja Kati ya comedian ninao wakubar
Hakika mpole sana MaashaAllah
😂😂😂😂😂kafanya kusudi kuonja ya Salehe🤣🤣🤣
🤣😂🤣🫣🤣😂
Ni lazma mwenyej uonje ili mgeni asije sema amewekewa sumu
Sisi tulifundishwa fungulia soda mbele ya mgeni then miminia glass mbili anza kunywa.masna kunawatu wakijichamba hawanawi then anaharisha huko anaanza kusema umemuwekea sumu
@ jamani hii ni huko mbeya enzi za kale sasa hivi fungua soda mbele ya mgeni kwani midogo kwenye class ya mgeni ni uchafu pia ✍🏾kuna matadhi ya mdomo meno jamani tumfundishe ruben wetu ustarabu pia 🫵🏽🤪
Kitanda kiko vizurijamani
Sarehe kakasilika ukweri kuhusu mayai hahahha😂😂😂
😂😂saleh nd akomag na yey hakika hakuw na mpango wakumpa ayo mayai kbs
😂😂😂😂nimependa haya maujiano😂😂saleh anapenda kula kwa nyumba za wa2😂😂😂atakuja kuharisha
😂😂😂napenda majibu ya Ruben
RUBEN ongera Kaka unajuwa kupokea mgeni ❤❤❤
Salehe amepata kukomolewa uroho so mzuri Kila kitu kutaka kula mwenyenyumba kamuonyesha shooo
Yan hakika..Et huyu Mtoto Wako😂😂😂Ngoja Nizime na Mayai Yenyewe..
uko vizur saan dogo sasa hav good journey
Kwenye ukuta wa choo kuna picha au ndo mke wa Hakika
Na alafu eti kazuga kunywa tena baada yakujiongeza kuwa mara ya kwanza nilionekana😅
Asante salehe kazi nzuri ila nimependa hiyo meza ya vyakula. Yaaani naenda kununua malbe nachongesha mninga juu naweka malbe hiyo
Ila Hakika,?😅😅😅😅
Nani kaona kafungua soda na mdomo😂😂
Ila hakika 😅😅😅kanywa soda ya mgeni
😅😅😅😅😅😅😅
Nilijua nimeona mimi tu kumbe na wewe umeona afu anasema anatatizo la kifua kumbe kashaonja 😂😂😂😂😂
Lazma anywe ili mgeni asije sema kawekewa sumu
Mtafutee na best nasso 😊
🤣🤣🤣🤣mayai kwishineyiii
Nimezaliwa kawaida sio kwa operation 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂ap mim sin mbavu 🤣
Ile juice iko wap😅😅
We mbona unakuwa msahaulifu😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂basi uliza tena maana nimechoka kujibu
Usafi nimekwelewa Ruben mwelekeze salehe
Ila hakika😂😂
Huyu anamdomo 😂😂😂😂😂
Salehe naona mukorogo umekupemda
Hakika Suzi Yuko wapiiiiii 😂😂😂😂😂
Mmmh tabia ya kuonja soda ya ngeni sijapenda
Hajakosea jamani kawaida sana, ila kama mgeni angefungua chupa mwenyewe hapo sawa😊
Swali la sanaa limemchosha hakika.. Hivi Salehe hujui mpododo kweli?
Scene za baharini😅
Sarehe mpenda kula leo umewezwa jamani na bola amekula mayai yake 😂😂😂😂
Ukiskia kuku kala mayai yake ndo hii😂
Eti au umepasua grasss😂😂😂😂😂
sema hakikaaa🤣🤣🤣🤣
Salekhe inakataaa. Ini sasa avha uji ba
Nampenda ila amekosea mbona unamkirimu soda kisha unaficama kwakumiminiya kwenye glas ukasahau ku cameraman kiska ukonja bila kumuambiya huyo sio ustaarabu
Nikwambie kitu nanii😂😂😂😂
eti .. tunakuwaga hapa😅
Mayai kamyima kisa kaambiwa mtoto siwake
Haha😂😂😂😂 kulikon kaonja sodaa duuuh 😂😂😂😂
Kunywa soda anadjuwa alichokifanya sikwahubaya
Watu ni washamba😂😂
Aisee nmependa hii comment sema watu hawaelew tu maana hapo mgeni asije sema kawekewa sumu au mmavitu ndio maana kaonja
Washamba sana🤣
Hakika ama salehe hatokuja ludia kuja kwako kamweeee
Ww saleh lin utapaonesha kwko😊
Unataka ubaluzee kajuice 😂😂😂,, naona umeweka mpododo wako nashindwa kufungua 😂😂😂😂 we mbona unakua msahaulifu basi uliza tena 😂😂😂😂 au kayai kakuchemsha 😂😂😂 nyie nimecheka Leo ivi mna uhakika hakika ni mzima uyu kwaa aonje soda afu anachekelea camera 😂😂😂🤣🤣
Alimwona mke wa hakika gong like
Nimezaliwa kawaida sio kwa operation
2005 unamaliza form four??😅😅hakika
Mimi huyu kaka nampenda
picha linaanza kafungua soda na meno😂😂😂😅
😂😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂nan kaona kama mim ndio nin kufungulia opena ya kienyeji😂😂😂
Nampenda Hakika ila Sijapenda vitabia vyake kwenye hii interview, kwanza kamdomo kamezidi lakini pia kunywa soda kwenye glass kisha kaenda kumpa mgeni midenda yake.
🙄🤣😂🤣😂🤣🫣🤣😂
Anajua anachokifanya ndo maana kaonja ila kama hujaelewa huwez elewa
Asije akaugua akasema amekunywa soda kwa hakika ikawa kesi, mpaka upelelezi uishe mmh😢@@RizoIbrahimovich-z4f
Hakika kiboko ya waroho😂😂😂😂 skuamin km kayala mwenyew mayai 😂😂
Kanywa soda ya mgen😅
Na mke anatoa wapi
Kazaliwa 2005 ndo ana miaka 25?.....
hakika mpuuzi 😅 kweli umefungua soda na meno hp huku unacheka na umemimina soda yamgeni ukaonja kdg😅😅 nimeonaa
2005 Ana miaka 25😂😂😂😂Muongo huyoo
upangilio mzuri sanaa wa nyumba❤ nimepapenda
Sijui nikubondee kayai 😂
Salehe acha tabia ya uroho kwa nyumba za wenyewe, ona unavyo dhalilika😜Ruben yuko vizuri leo ili ujifunze Next time utakua na adabu😂
Ruben ni comedian sasa apo pia anafanya komedi
@Gulshan-002 yes Ruben ametumia nafasi yake ipasavyo,Salehe katoa pass nzuri 😂😂🤣🤣,hii IMEENDAAAA!!!!! 🤣🤣🤣
Yan hakika unampa mgen soda unaonja jinga san hili ingekuw ni mim nisingekuywa
😳😳😳😳mmmmmmmh mbona sielewi mmmmmmmmh
AMEPANGILIA VITU VYAKE VIZURI HADI RAHA
Sasa 2005 anakuwaaje na miaka 25😂
anazaliwaje elf2005 alaf awe na miaka 25 jman
Sio mtoto wake bwan msitudanganye
Waandishi hapana 😂
Salehe kanuna kabisa kwasababu ya yai jamani 😩😩
😅😅😅
Sijapenda umepika mayayi kwajili ya salehe kisha umekula mwenyew na komwelako
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 hakika anatatizo la kisaikolojia alafu anajiita mwanasaikolojia😂