Part_1 USHUHUDA WA ALIYEKUTANA NA YESU NA SHETANI LIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025
  • #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 443

  • @dinairenge
    @dinairenge Рік тому +1

    Amen mungu tusameh baba

  • @roseMworkouts
    @roseMworkouts 2 роки тому +7

    Dahhh hiii shuhuda imenibariki na kunibariki mno,imenipa ujasiri Zaidi Zaidi na kujivunia kuchagua wokovu ,ehh Mungu nisaidie nizidi kukua kiroho ,nakuhitaji Wewe tu Mungu wangu ,dahhh Yesu jamanii mwamba sana aisee,barikiwa mtumishi, greetings from Sweden , nabarikiwa na shuhuda kama hizi na kutoacha kujipendekza Kwa Yesu wangu 🙏🙏

  • @godsonmanasse9027
    @godsonmanasse9027 3 роки тому +4

    Ubarikiwe Sana Mtumishi waMungu jacktan kwashuhuda zako nabarikiwa Sana pia shuhuda zako zanifanya kuwa karibu naMungu zaidi ubarikiwe Sana hizi shuhuda zako nimoja wapo yanjia yakumzalia Mungu matunda ubarikiwe Sana

  • @mozaadolphe6560
    @mozaadolphe6560 4 роки тому +3

    Aminaaa Walio jazwa na roho wa Mungu ndio watakao kuelewa unamaanisha nini baba acha Mungu mwenyewe akuinue zaidi na uyaone makubwa kuzidi hayo najua ungali mwanzo na utatumikishwa zaidi barikiwa baba .

  • @joycemshana4028
    @joycemshana4028 4 роки тому +5

    Nilikuwa namuuliza Mungu..akasema...anamrehemu yule ampendaye kumrehemu....hivyo ndiyvo alivyofanya kwa huyu kijana>>>Haleluyaa..Libarikiwe Jina la Bwana...

  • @ashashakila4782
    @ashashakila4782 4 роки тому +6

    Nimefurahi Sana nimejifunza Mambo Katha, mungu mikubwa, amen, kutoka Mombasa Kenya

  • @NEEMASWEDI
    @NEEMASWEDI Місяць тому

    Hongera sana baba na MUNGU akutumie kwa viwango vya juu sana.

  • @beatriceminoo4313
    @beatriceminoo4313 3 роки тому +3

    Wow I'm loving this testimony God bless you to bless us

  • @bettynino7354
    @bettynino7354 4 роки тому +15

    We believe you, what you are saying makes sense as we believers, love from Uganda, thanks for doing God’s work

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 4 роки тому +11

    I agree with him completely because I have gone thru same experience na nimeshuhudia sana pia. Be blessed man of GOD. Utapingwa bali wewe endelea.

  • @patricepaschalisaac9273
    @patricepaschalisaac9273 4 роки тому +15

    Amen Prophet
    Love this testimony!! Love from Canada

  • @giffttymlemwa4523
    @giffttymlemwa4523 10 місяців тому +2

    Amen....
    Mungu ni kweli shuhuda hizi zatujenga sana

  • @christhermghamba4506
    @christhermghamba4506 Рік тому +1

    Bwana Yesu Asifiwe! Huduma yako ni nzuri sana Mungu Akubariki Sana! Ombi iwapo utaweza itakuwa vyema tupate translation ya kingereza Asante

  • @RachelSolomon-bq9hc
    @RachelSolomon-bq9hc 7 місяців тому +1

    Mungu akubariki mwanangu nimeipenda hiyo natamani nikuone nimebarikiwa sana

  • @florencetatu5999
    @florencetatu5999 4 роки тому +38

    Wapendwa tujiachilie kwa Yesu haya Mambo siuongo Ukimuamini mungu utaona zaidi ya hayo. Mimi nimemuona

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 9 місяців тому

    Huu ujumbe ni wa baraka sana. Mungu apokee sifa na utukufu

  • @CRECENSIAPAYOVELA
    @CRECENSIAPAYOVELA Місяць тому

    Nmebarikiwa saana 💯💥💯💥

  • @kelvinichisongela9023
    @kelvinichisongela9023 4 роки тому +4

    Amina kubwaaa niko pande za gairo Tanzania mtumishi tuko pamoja sana

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 2 роки тому +1

    Bwana Yesu tusaidie,ushuhuda umenijenga,Mtumishi Mungu akubariki sana

  • @albertvenance2650
    @albertvenance2650 4 роки тому +5

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu alie hai

  • @NduguEzekiel
    @NduguEzekiel Рік тому +1

    Kuna funzo kubwa sana hapa, ni moja ya jumbe niliyopokea Leo kuhusu nguvu ya maombi lakini Bwana YESU amenileta hapa kunifundisha jinsi gani yalivyo na NGUVU 🙏🏾

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi5076 4 роки тому +3

    Ww usiyemjua mungu huwezi kuyajua hayo kwa kuwa neno la mungu linasema neno la msalaba kwanza wanaopotea ni upuuzi

  • @zekovpato3506
    @zekovpato3506 4 роки тому +3

    Waoooh thanks iam proud to be a christian

    • @shadrackwilfred2606
      @shadrackwilfred2606 2 роки тому

      Umedanganywa na huyu MTU sio nabii Wa Kristo. Uwe unajifunza Neno LA Kweli utaifahamu kweli na kweli itakuweka huru

  • @husnanetto4154
    @husnanetto4154 4 роки тому +1

    Asante nabii kwaushuhuda Mimi nilijua rusfa anamapembe mungu niokowe mimi

  • @brendaluvuno1263
    @brendaluvuno1263 4 роки тому +5

    I receive the same Grace in Jesus name

  • @barakachengula1258
    @barakachengula1258 4 роки тому +3

    Mungu akubarika zaidi na zaidi katika kumtumikia

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 роки тому +3

    Ee mungu tusaidie kuzjua njia zako nkmecheka Sana km siamn

  • @doreensamwely8740
    @doreensamwely8740 4 роки тому +3

    Haah mungu Ana wasomi bhana ,nimependa huyo Kaka anavyo shuudia

  • @joycechibindo534
    @joycechibindo534 Рік тому

    That's a wonderful and awesome encounter

  • @annechege2872
    @annechege2872 4 роки тому +8

    Almighty God protect this young prophet

    • @samwelwalter907
      @samwelwalter907 4 роки тому

      @Gladness Sidiu Kwani ukisema tuamini MUNGU anaweza mabo yote inamaanisha hakuna Waongo? Hapana Dada, kwakuwa neno lenyewe linasema kuwa msidanganyike. Kwamaana ukisikia chochote usiamini kwanza mpaka uhakikishe. Watu wa Beroya walichinguza kwenye maandiko mpaka wakaelewa kwenye Matendo ya Mitume 17:11

    • @samuelbaruti679
      @samuelbaruti679 3 роки тому

      YO FAKE PROPHET NOT 4 GOD !!!1

  • @GraceShungu-q9k
    @GraceShungu-q9k Місяць тому

    Ubarikiwe sana

  • @ritayalala3993
    @ritayalala3993 4 роки тому +4

    Mungu aku bariki kaka

  • @aishakombo3824
    @aishakombo3824 3 роки тому +2

    Mwenyezi Mungu ATUNUSURU NA shetani adui mkubwa wa binadamu
    Unafikirisha Sana. Binadamu wa kawaida eti upae angani Kama yesu then uwaone malaika yesu na lusifa.
    MUNGU akuongoze umjue zaidi.
    Ndoto wakati mwengine huwa Ni za kishetani

    • @hipolitimacha6130
      @hipolitimacha6130 7 місяців тому

      Atayesu alikufa ndio aka pata kibali cha kupaaa na kitoweka na kutokea watu baada ya kufa na kufufuka

  • @annechege2872
    @annechege2872 4 роки тому +14

    It is written that at end times young people will be seeing visions and old people will be having dreams

    • @noorlenetv
      @noorlenetv 2 роки тому

      It has nothing to do with age😀

  • @josephinemacha6087
    @josephinemacha6087 2 роки тому +3

    Glory to God,,,

  • @monicagabriel4388
    @monicagabriel4388 4 роки тому +1

    Nimebarikiwa sana mungu akuongoze katika kazi yake

  • @emmatryphone6921
    @emmatryphone6921 4 роки тому +5

    Awaiting PART 2. Bless

  • @BlandinaLukole
    @BlandinaLukole 4 місяці тому

    Mungu utusaidie mbona mimi roho yangu haiamini hata kidogo. Kama unadanganya muombe Mungu ama yupo malaika wa shetani ajifanyae malaika wa nuru. Mungu unihurumue kama nimekukosea

  • @mhandosuzy6790
    @mhandosuzy6790 4 роки тому +4

    Ameni Mungu akutiye nguvu

  • @SeifumpeliMpeli
    @SeifumpeliMpeli 5 місяців тому +1

    Muogope mungu siku zako zinahisabika ndio utalia na kusaga meno

  • @vickymacharia3790
    @vickymacharia3790 4 роки тому +1

    so greatfull shaloom

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 4 роки тому +3

    Good testimony

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 4 роки тому +6

    Glory be to God

  • @verabuchanimanza8227
    @verabuchanimanza8227 2 роки тому +2

    God is good all the time

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 4 роки тому +2

    Fantastic

  • @inviolathaathanas7989
    @inviolathaathanas7989 5 місяців тому +1

    Yaani ukipata Neema, Fanya kisikiliza ushuhuda wa Prof. Nathan Uzorma, upo pia humu kwenye hii channel. Alafu uje usikilize huu baadae utapata jibu moja kubwa sana. Mungu atusaidie.

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 4 роки тому +6

    Be blessed brother

    • @samwelwalter907
      @samwelwalter907 4 роки тому

      @Gladness Sidiu Kwani ukisema tuamini MUNGU anaweza mabo yote inamaanisha hakuna Waongo? Hapana Dada, kwakuwa neno lenyewe linasema kuwa msidanganyike. Kwamaana ukisikia chochote usiamini kwanza mpaka uhakikishe. Watu wa Beroya walichinguza kwenye maandiko mpaka wakaelewa kwenye Matendo ya Mitume 17:11

    • @rehemavictor6270
      @rehemavictor6270 4 роки тому

      jaman sikuza mwisho kutatokea ma nabii wauongo nawatakuja na miujizakama ya yesu usishangae

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 4 роки тому +12

    Wasio kukubali waache,tupo tunaopona,YESU akubariki

    • @allyawadh8492
      @allyawadh8492 4 роки тому +4

      Kupona hata wanaokwenda kwa waganga wanapona inamaana wewe uko tayari kumkufuru mungu kwasababu unapona? huyo dogo ni freemason muabudu shetani kwahiyo maisha yako umeyakabidhi kwa watu hao badala ya mungu itakusaidia nini kama kama angukupa dunia na vilivyomo hali yakuwa unamtumikia shetani acheni kudanganywa kama mambumbumbu kila siku mitume kila siku manabii wako wangapi?huyo sio kwenda mbinguni hata harufu ya mbingu hatoisikia,nabii gani anavaa cheni shingoni?unajua kunawakati wakristo mnaboa sana na mambo yenu mnakuwa kama watu msiotumia akili zenu vizuri.

    • @geofreylucas9469
      @geofreylucas9469 4 роки тому +1

      @@allyawadh8492 dakhhh! Kweli mze me ni mkristo lakini hapa hapna

    • @teddyrichard4589
      @teddyrichard4589 4 роки тому +1

      Ww unaesema Freemason ww pia Freemason akienda mnafatanaga na lenu moja msipende kuhukum mtu

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 роки тому

      Na hivi alivo bishoo hivo ushadata🙉🙉

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 роки тому

      @@allyawadh8492 Ally chuku peps ya bariiiiidi una akili Sana ww

  • @ijueimanikatoliki980
    @ijueimanikatoliki980 4 роки тому +7

    1Yohana 2:19
    Watu hao wametokea kati yetu lakini hawakuwa kweli wa kwetu na ndiyo maana walituacha; kama wangalikuwa wa kwetu, wangalibaki nasi. Lakini waliondoka, wakaenda zao, kusudi ionekane wazi kwamba hawakuwa kamwe wa kwetu.

  • @bndrbndr4223
    @bndrbndr4223 4 роки тому +1

    Ameen bro be blessed

  • @tajirikingking2619
    @tajirikingking2619 Рік тому

    I believe him however on tht part at 37:50 of saying tht demons die hapo nime kata. Demons are spirits & spirits dont die.Maybe he meant anytime Angel Micheal passed the demons got paralyzed.

  • @generoseshimirimana4463
    @generoseshimirimana4463 4 роки тому

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.tungeomba utowe ushuhuda wa yote uliyohoneshwa kwa ujumla.

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum8185 4 роки тому +4

    To God Almighty be the glory

  • @hamzamwilaphy2902
    @hamzamwilaphy2902 4 роки тому +4

    You are talking honestly. Jina la Yesu lini nguvu sana.

  • @mirabelle174
    @mirabelle174 5 місяців тому

    Prophet David Richard
    Angels of God ministries international

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 4 роки тому

    Woow,nami natamani..

  • @michaelmolato7008
    @michaelmolato7008 2 роки тому +3

    jaman kwakwel me kwaupande wangu tukazane
    kumuomba mungu! shetani yupo kazini kwakwel hao ni malaika wa giza hizi ni siku
    mwisho

    • @shadrackwilfred2606
      @shadrackwilfred2606 2 роки тому

      Huyo aliyetoa Ushuhuda ndio Malaika wa Giza huyo David Richard sio MTU mwingine, kwa matunda yake Utamtambua

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 4 роки тому

    Atakae mlaani????.... Atakae mbaliki.....???? Jibu unalo....... The Lord Bless you prophet of God

    • @samwelwalter907
      @samwelwalter907 4 роки тому

      Soma Biblia na Kitabu cha Enoch utakuta jina la Huyu malaika Tamiel ni mmoja wa waliotupwa kutoka mbinguni kwasababu ya dhambi. Huyu kijana anadanganya AU alidanganywa yeye.

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua159 4 роки тому +2

    Mungu akuongoze maishani roho mtakatifu akulinde ameni

  • @robsonsadiki
    @robsonsadiki 4 роки тому +6

    Mungu ametupa akili tuzitumie lakuni tusitegemee sana akili zetu bali tumtegemee Mungu aliyetupa akili, Hofu za wakristo waliyo wengi wameathiriwa na alama za nyakati ambazo zimeandwa katika biblia, Kwani wapo manabii wengi wa uongo na wengine watasema wametumwa na Mungu kumbe siyo, Lakini ushuhuda umebeba ujumbe mzuri wa kuongeza imani yako katika kumwamini Mungu

  • @JosephBigabwa-wo2bf
    @JosephBigabwa-wo2bf 9 місяців тому +1

    Huduma hii ina saidia mwili sa kristo sana

  • @elias.e.urassa
    @elias.e.urassa Рік тому +1

    Mwl. Hapa hapana.%

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 9 місяців тому

    KWENYE KIMBUKA MLITUMIA WAYA GANI KUPITISHA UMEME😅😅😅

  • @janegachiegachie6912
    @janegachiegachie6912 4 роки тому

    Napenda jinsi Mungu hufanya kazi zake 'abudiwe milele'

  • @zainabukabura9876
    @zainabukabura9876 4 роки тому +1

    asanta mtumishi wa mungu

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 3 роки тому +3

    Hosea 9:7 SRUVDC
    Siku za kupatilizwa zimekuja, siku za kulipa zimefika; Israeli atayajua hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo mtu mwenye roho ana wazimu; kwa sababu ya wingi wa uovu wako, na kwa sababu uadui umekuwa mkubwa.
    NIMEAMINI MTU MWENYE KUJIFANYA ANA ROHO NI MPUMBAVU

  • @siakim1440
    @siakim1440 4 роки тому +2

    🥳🥳🙏 glory to God. My father @prophetdavidrichard

  • @annechege2872
    @annechege2872 4 роки тому +1

    I believe whatever you are saying

    • @HASASON
      @HASASON 4 роки тому

      What do you mean whatever?

  • @royaltymolly3197
    @royaltymolly3197 4 роки тому +2

    Hallelluja,glory to Jesus christ.i want to know him more,oh Jesus i need you.manifest yourself to me.

  • @hawababuu4350
    @hawababuu4350 4 роки тому +2

    Mungu nifunze kunyamaza.. Niangalie na macho niskie na maskio tu.

    • @fatmadigo6686
      @fatmadigo6686 4 роки тому +1

      Wallah ndugu yangu Allah atunyamazishe kwa haya

    • @immanuelmwaipopo1605
      @immanuelmwaipopo1605 4 роки тому +1

      🤣🤣🤣hakika Mungu nami nifundishe kunyamaza maana mmh

    • @hawababuu4350
      @hawababuu4350 4 роки тому

      @@immanuelmwaipopo1605 kabisa

  • @tumumasha1568
    @tumumasha1568 2 роки тому +1

    Amen

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 4 роки тому +4

    Nimeamini kua ukiristo ni maigizo. Mnafurahisha haswa🤣🤣🤣

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 4 роки тому +2

    You are blessed

  • @imanijohn8147
    @imanijohn8147 4 роки тому +9

    I believe in prophet aisee aijalishi simjui huyu mtu lakini manabii wa kweli wapo kabisaa na Mungu anawatumia kilasiku kamanjia ya kuwasaidia watu sema atujui tu...

  • @nancychabaya4047
    @nancychabaya4047 4 роки тому +2

    Hallelujah

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 4 роки тому +2

    Nakuelewa sana

  • @enjoiburahim5908
    @enjoiburahim5908 3 роки тому +2

    Mngu ni mwema kwa kuwainua vijana wa yesu

  • @annechege2872
    @annechege2872 4 роки тому +1

    Amina

  • @conkfabrimendaking7093
    @conkfabrimendaking7093 2 роки тому +2

    Uyu jamaa nimuongo tena sana amejipenyeza kinafiki kwa siri kwenye promover tv ili atafute kiki ya kutengenezea you tube cheli ili akaongee uchafu

  • @jacquelinebyaombe9729
    @jacquelinebyaombe9729 4 роки тому +1

    Amen 🙏

  • @josephinewluis8871
    @josephinewluis8871 4 роки тому +24

    The End is already here! Be careful! For the false prophets are all everywhere, they will come to you as an angel of light, wolf clothed in sheep 🐑! we shall know them by their fruits! God is true He doesn't observe things the way human does but remember one thing ☝️! REMEMBER one thing ☝️ usiige Namna ya ulimwengu, kuvaa kwako kukampendeze Mungu, kuongea kwako, tambia zako etc kukampendeze Mungu. God is Holy and so we as His children we should be holy. WITHOUT HOLINESS NO MAN SHALL SEE GOD ☝️.

    • @margaretkemuntoogega4160
      @margaretkemuntoogega4160 4 роки тому

      You are the one

    • @cupcakesanddounuts6555
      @cupcakesanddounuts6555 4 роки тому

      Unamaanini? Kwani huu ushuuda si kweli?

    • @Ecclesiastical.
      @Ecclesiastical. 4 роки тому +2

      Kusema kweli nimefuatilia promova Tv . Nimeguzwa Sana na ushuhuda mbali mbali lakini hii. ????????

    • @josephinewluis8871
      @josephinewluis8871 4 роки тому +2

      @@Ecclesiastical. Me too brother though we're not judging!

    • @gladnesssidiu4922
      @gladnesssidiu4922 4 роки тому

      @@Ecclesiastical. haya mambo ni ya kweli
      Acheni kumwekea Mungu mipaka
      Mnataka shuhuda zenye mambo madogo
      Yesu anaweza na haya ni ya KWELI kabisa
      Kwan maono ni nini
      Wenye macho ya rohoni
      Huona mengi tofauti na mtu wa kawaida ko tumwombe Mungu tuwe tunaona so kuishiwa kutoamini

  • @Irenediana-g5b
    @Irenediana-g5b Рік тому

    Naomba no yako yasm mtumishi

  • @hidayangoda4724
    @hidayangoda4724 4 роки тому +3

    Mambo ya Mungu ni ya ajabu sana yalishawahi kunikuta na mimi

  • @vickiemerere4056
    @vickiemerere4056 3 роки тому +3

    Jaman anaeweza kunisaidia me nlijiona mara mbili kwenye ndoto yan namwona mtu ambaye ni mimi kabisa but alikuwa hanionyeshi ushirikiano me ndo nlikuwa bize kumchunguza hii ina maana gan?

  • @mawazobayndulwa1909
    @mawazobayndulwa1909 4 роки тому +1

    Nabii hao wanasema sema wasemetu ila sisi wa toto wa Mungu tunajifuza mengi na Mungu hakubariki

    • @rachelmlingwa8880
      @rachelmlingwa8880 4 роки тому

      Sasa mtumishi nauliza tu umevaa saa mbili au hicho kny mkono wa kushoto ni nini?

  • @anaiskafilleaineedejesus3642
    @anaiskafilleaineedejesus3642 4 роки тому +1

    Asnte sana kwa mungu

  • @RastaSuma
    @RastaSuma 5 місяців тому

    Acheni uongo hakuna mungu mtu huu ni utapeli na njaa nyingi. Wala manabii hawakumuabudu mtu bali mungu mmoja na sii 1+1+1=1 ahhaaa!

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 4 роки тому +2

    Nakuelewa saaaaaaaaaaaaana

  • @estherkoya8410
    @estherkoya8410 4 роки тому +1

    Jamani kuweni makini biblia inamuita shetani mwerevu, kumbukeni Musa aliagizwa kutupa fimbo chini ikawa nyoka, na wachawi wa farao pia wakatupa zao chini zikawa nyoka, sasa ushauri wangu ni msiziamini kila roho bali mzijaribu, neno la MUNGU likae ndani mwenu, msije mkapotea.

  • @ijueimanikatoliki980
    @ijueimanikatoliki980 4 роки тому +2

    Wakolosai 2:18
    18 Msikubali kuhukumiwa na mtu yeyote anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee na ambaye anasisitiza juu ya unyenyekevu wa uongo na ibada kwa malaika. Mtu wa namna hiyo amepumbazika kwa fikira danganyifu za kidunia

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 4 роки тому

    Sio mkali ila mama wa upendo.woooow.

  • @gilbertbada8385
    @gilbertbada8385 4 роки тому +10

    I feel you bro i can relate....kama huja pitia ni ngumu kuelewa. pray in truth. u will experience

    • @samwelwalter907
      @samwelwalter907 4 роки тому +1

      Huyu kaka anadanganya, nenda kasome Biblia vizuri na Uelewe maana ya AGANO NA MUNGU, Sio kitu cha kawaida. Na Agano la mwisho ndio ujio na Kifo cha YESU kwaajili ya Dhambi zetu, ili atakaenyenyekea mbele zake na kuzisema dhambi zake kwa YESU na kuomba kusamehewa ata pata uzima wa milele na kusamehewa dhambi zake zote.
      Msidanganyike hivi, kama mtu anawaambia yeye ni Nabii kirahisirahisi mshituke na kufuatilia maana ya Nabii wa MUNGU kwenye Biblia.

    • @shadrackwilfred2606
      @shadrackwilfred2606 2 роки тому

      Ni Nabii wa Uongo huyo David Richard wa Kiwango Cha Juu saana

  • @shadrackwilfred2606
    @shadrackwilfred2606 2 роки тому +2

    *Huyu ni Nabii wa Uongo Kwa matunda yake Ajulikana*

  • @barakabiaka2973
    @barakabiaka2973 4 роки тому

    Ninaweza kupata no za huyo jamaa mtumishi

  • @samuelmosiere6442
    @samuelmosiere6442 4 роки тому +3

    Michael the Archangel ni Yesu mwenyewe

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic5379 4 роки тому +8

    Woooow.. I believe him 100%

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 4 роки тому +3

    Anapoteza muda wangu tu

  • @annamwamgiga1242
    @annamwamgiga1242 4 роки тому +4

    Mungu in muweza

  • @fadhilamwasankemwa9155
    @fadhilamwasankemwa9155 4 роки тому +4

    Wasio wahi kuona maona hawaamini haya..haya ni mambo ya kiroho zaidi mtu asiyeongozwa na roho awez jua haya

  • @glorytoGod639
    @glorytoGod639 4 роки тому +5

    Mmmh huwa nafuatilia sana shuhuda hapa na zmenivusha mno ila hii Mzee naona shetani yupo anajaribu kujitutumua na yye atoe ushuhuda haha , mbingu ya pili Ni makazi ya mapepo mmmh

    • @Ecclesiastical.
      @Ecclesiastical. 4 роки тому +1

      Hata Mimi bro. Tumombee brother Jactan. Mission take isijeikatekwa nyara.

    • @ithedavid8525
      @ithedavid8525 4 роки тому

      Huyu atakua mrithi wa kanisa la mama yake. Anachezewa akili sio mungu hapo