UTACHEKA: BARNABA ALIVYOPANGILIA MATUMIZI YA SHILINGI MILIONI MOJA KWENYE FAMILIA YAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 80

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Рік тому +18

    Mdogo wangu umetisha 🎉🎉🎉🎉 na bei anazijua on point robo ngano Chapati 7 umenikosha B 👏👏👏👏👏

  • @PrinceNoah-rz1kw
    @PrinceNoah-rz1kw Рік тому +16

    Wenzangu na mm kama barnaba gonga like apoo

  • @happynessdavid7921
    @happynessdavid7921 Рік тому +7

    NIMEMPENDA SANAA HUYU KAKA
    MTAMCHEKA LKN ANANUFAIKA SANAAAA

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Рік тому +5

    Nlikua naskiliza interview na mke wangu, zile dakika 5 za mwanzo nikaanza kuskia mtu anasonya tu. Yaan eti dah mbahili sana huyu. Namwambia huyu mbishi ndio maisha yanayopendeza

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Рік тому +5

    Nimeipenda hii safi👏👏

  • @restitutaleshabari3451
    @restitutaleshabari3451 Рік тому +2

    Ni kweli kabisa .Barinabas umeweza unayosema ni yakweli.Mimi ni mama wa miaka 57.ninaunga mkono .Ml Moja ka matumizi ya nyumbani ni nyingi sana .unaweza it umia zaidi ya miezi mitano bila shida.

  • @happynessdavid7921
    @happynessdavid7921 Рік тому +16

    IF MATURITY WAS A PERSON

  • @naomihaika538
    @naomihaika538 Рік тому

    Kila superstar angeishi maisha ya uhalisia kama Barnaba daa wasingeishi maisha fake na ya kujiumiza,,,,big up barnaba

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Рік тому +5

    Et kina vidox na huyo manz wanshangaa as if wao maisha Yao yako juu

  • @hidayapaulo6752
    @hidayapaulo6752 Рік тому

    Safi Sana Boy hutafirisika huendesh na pesa ishi maisha hayo hayo utajir unakuhusu

  • @iddsaid3039
    @iddsaid3039 Рік тому +2

    Big up kuna somo hapa.
    REALISTIC

  • @merypetro5585
    @merypetro5585 Рік тому

    Mungu akubariki sna

  • @StelaMadata
    @StelaMadata Рік тому

    Umetisha baba sikwabajeti yiyo

  • @tamashaally8049
    @tamashaally8049 Рік тому +5

    Nakupenda wewe nimkweli

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Рік тому +6

    Barnaba wewe ni noma 😂😂😂😂😂binadam hutakiwi KUJIFANYA unajua kutumia pesa Kwa kutaka sifa

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi Рік тому

    Nakubali bro

  • @SwidatyOmary
    @SwidatyOmary Рік тому +2

    Mfano mzuri wa kuiga❤

  • @OmanOman-ry5gw
    @OmanOman-ry5gw Рік тому +3

    Kama msani mwengine angesema one week one million

  • @katalinamvanga1199
    @katalinamvanga1199 Рік тому +2

    Safi Sanaa Mangi uko sawa

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Рік тому +3

    Kwenye kukopesha nikamimi bora nikupe bure kuliko kukopesha🙌

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 Рік тому +2

    Kweli kabisaaa

  • @DreamBoy26-ol1xd
    @DreamBoy26-ol1xd Рік тому

    Aaaah jamaa genius sanaaaa

  • @Markhomestz
    @Markhomestz Рік тому +1

    Big up sanaa Barnaba

  • @geeva99
    @geeva99 Рік тому +1

    Ila yuko sahihi matumizi ya nyumbani m1 nyingi sana hadi umeme na maji unalipa ya muda sana

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470 Рік тому +2

    😂😂😂😂 eti una ma effect naipendaiyo kaka

  • @Nassobrown
    @Nassobrown Рік тому +1

    Kuna watu wangesema sado ya nyanya laki mbili vitu ambavyo si vya ukweli 😢😁

  • @yusuphkayuni8188
    @yusuphkayuni8188 Рік тому

    Izi nguo kaludia koz naona interview znapishana miezi afu nguo ni zile zile

  • @evodiuscazorla9503
    @evodiuscazorla9503 2 місяці тому

    Life is how you make it!

  • @Nassobrown
    @Nassobrown Рік тому +1

    Really life sio licha ya uchaga tu mzee unazungumza ukweli
    Huna muda wa kudanganya jamii ✍️✍️ akili nyingi

  • @missminnatz
    @missminnatz Рік тому +1

    Nyie waandishi ndio mnachangia kuurudisha ukabila hata kichwa cha habar haikuwa na maana kuandika mchaga coz tz hatuna ukabila, sasa hiv ukabila unarud kwa kasi na madhara ya ukabila mnayajua oneni burundi, sudan, somalia n.k acheni ukabila umoja ni muhim kwa mtanzania, amani ni nguzo ya maisha acheni kupromot ukabila hakuna aliyebora juu ya mwenngine.

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Рік тому +2

    Yani uyu barnaba anachekesha sana

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي Рік тому

    Bajeti nimeielewa vzr, watu tunaoishi au tuloisha maisha ya hali zote hapa tunaelewana Na pesa ukiwa unaitafuta wewe mwenyewe, kama bado uko nyumban huwezi elewa

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr Рік тому

    anajua kweli hatarii😂😂😂😂

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Рік тому +1

    Barnaba hafake life huwa anaenda straight kabsa huo ndo UHALISIA WA Maisha ya kawaida,kazungumza ukweli kabsa maana MILIONI Moja ni mtaji WA mangi mtaani

  • @ebakeichinge7081
    @ebakeichinge7081 Рік тому

    Namkubali sana

  • @abdallahkamilagwa9655
    @abdallahkamilagwa9655 Рік тому +1

    Umenifurahisha Sana Kama "celebrity" badget unaijua😂😂😂

  • @mpangampanga1609
    @mpangampanga1609 Рік тому

    Hamna mume hapa

  • @SubirahJamson-tu7vx
    @SubirahJamson-tu7vx Рік тому

    🔥🔥🔥

  • @naomchristopher
    @naomchristopher Рік тому

    Saf San broo nimekuelewa.

  • @edwinamos9734
    @edwinamos9734 Рік тому

    Barnaba anacho sema ni ukweli mtupu sio matani mpaka soko la mwana nyamara nisha mwona sio kama huyo sister anajishauwa na kujifanya boss wakati hana kitu tena amfikii barnaba kipesa huyo mama miyeyusho .anaonekana mwigiza maisha

  • @nuruyusuph5562
    @nuruyusuph5562 Рік тому

    😂😂😂 katisha sana hapo kwenye unga robo chapati saba kweri kabisa jana tu nimepika na zimetoka saba chapati za maji

  • @tasukutechnologies2573
    @tasukutechnologies2573 Рік тому

    Hii ni kweli kabisa

    • @julianaswai7846
      @julianaswai7846 Рік тому

      Mimi ni mchaga. Mimi mwenyew naban mpak penati

  • @aishaz1
    @aishaz1 Рік тому

    ❤❤❤❤❤

  • @ndogolofadhila6203
    @ndogolofadhila6203 Рік тому

    Unyama

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Рік тому

    Barnaba Yuko sahihi

  • @fredrickmaitha4427
    @fredrickmaitha4427 Рік тому +1

    Ndimu moja mia????😂😂😂😂😂uku Kenya 🇰🇪 tatu ni shilingi kumi😂😂😂

  • @Juakalii2025
    @Juakalii2025 Рік тому

    Siyo sifa wala mapenzi mpe hela mkeo acha ubahili

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Рік тому

    Mzee wa Kongoro- "Chapti, " Kinondoni, kwa Makala!

  • @GabrielManjura-bm9se
    @GabrielManjura-bm9se Рік тому

    Ebhanaee huyu jamaa Ni genius kama Mimi

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Рік тому +1

    Safi chaliii bajeti muhimu, sio uchaga hat ni kujua maana ya maisha

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 Рік тому +1

    HUJAWAHI NIANGUSHA MDOGO WANGU NAKUPA CHIMBO LA NYAMA MOMBASA MACHINJIONI

  • @IvanClassicke
    @IvanClassicke Рік тому +1

    ✊🏾✊🏾

  • @bonphacearon2428
    @bonphacearon2428 Рік тому

    Xwala la mecup naona frida kabak anatoa macho tu🤣🤣hana namna kimya, achen hayo makitu ndo mnakua bomba zaid mtu unaweka kope unakua kma mtt wa jini😃

  • @allytwalibuhusseni9339
    @allytwalibuhusseni9339 Рік тому

    Muongo huyu haiwezekani vitu vya miez 3 au mi2 nyanya gani itadumu miez hyo au kuku gani huyo

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Рік тому +1

    Sio kweli robo ya unga ya ngano chapati 7 hapana kilo moja ndio chapati 14

  • @frederickekyombo-pj3lc
    @frederickekyombo-pj3lc Рік тому

    Wasanii wengi Tz Wana fake Maisha ili kuonekana Wana pesa Kumbe awana

  • @mmn7480
    @mmn7480 Рік тому

    Ajakosea nikweli kbsa

  • @amenamen9752
    @amenamen9752 Рік тому +1

    😂😂😂😂, hautumii gesi, 60,000 , umeme,??! haujamlipa dada, sabuni, mafuta ya kula, Lita tano sasa ni karibia 40,000 na... laki mbili Kwa mwezi kweli?! Hauna mtoto anaekwenda shule kila siku umpe ela ya nauli na kula shule?! Kwa vitu vya sokoni Tu kweli laki mbili sawa, lakini si matumizi yote ya nyumbani

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 Рік тому

      Kwan ges ni kila cku au hiyo shule ana lipa naur kila uki tulia uta muelewa zaid

    • @westcijosh
      @westcijosh Рік тому

      Vtu unavyo zungumzia havitokei kila sku

  • @DM_15
    @DM_15 Рік тому

    Nikweli kabisa sisi ndio tunaishi hivyo mshahara wetu laki tatu kwa mwezi

  • @hyacintagugu7
    @hyacintagugu7 Рік тому +1

    Alooo...Pokea maua yako

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Рік тому

    Ww na mwambs

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Рік тому +1

    Hamna kitu wewee 😸😸😸

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Рік тому

    INTERVIEW ILISHAPITA,,

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uweeeeeh

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому

    Heehehehehe hawa ndo wale wanaume wachoyo😂😂😂😂😂pole kwa mke wake
    Hakuna chapati 7 kwenye robo😂😂😂umeona..iyo ni kilo.
    wanaume wachoyo..wanaume wenye fitna na figisu,kwenda sokoni mwanaume ni sawa kabisa,lakini kwa style hii mmmh
    Huyu ndo mwanaume anakupimia hadi sukari 😂😂😂😂

  • @amjudith
    @amjudith Рік тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @johnnytravo
    @johnnytravo Рік тому

    Mmoja tuu? ua-cam.com/video/OhoDrsxAQlg/v-deo.html