Nlikua naskiliza interview na mke wangu, zile dakika 5 za mwanzo nikaanza kuskia mtu anasonya tu. Yaan eti dah mbahili sana huyu. Namwambia huyu mbishi ndio maisha yanayopendeza
Ni kweli kabisa .Barinabas umeweza unayosema ni yakweli.Mimi ni mama wa miaka 57.ninaunga mkono .Ml Moja ka matumizi ya nyumbani ni nyingi sana .unaweza it umia zaidi ya miezi mitano bila shida.
Nyie waandishi ndio mnachangia kuurudisha ukabila hata kichwa cha habar haikuwa na maana kuandika mchaga coz tz hatuna ukabila, sasa hiv ukabila unarud kwa kasi na madhara ya ukabila mnayajua oneni burundi, sudan, somalia n.k acheni ukabila umoja ni muhim kwa mtanzania, amani ni nguzo ya maisha acheni kupromot ukabila hakuna aliyebora juu ya mwenngine.
Bajeti nimeielewa vzr, watu tunaoishi au tuloisha maisha ya hali zote hapa tunaelewana Na pesa ukiwa unaitafuta wewe mwenyewe, kama bado uko nyumban huwezi elewa
Barnaba hafake life huwa anaenda straight kabsa huo ndo UHALISIA WA Maisha ya kawaida,kazungumza ukweli kabsa maana MILIONI Moja ni mtaji WA mangi mtaani
Barnaba anacho sema ni ukweli mtupu sio matani mpaka soko la mwana nyamara nisha mwona sio kama huyo sister anajishauwa na kujifanya boss wakati hana kitu tena amfikii barnaba kipesa huyo mama miyeyusho .anaonekana mwigiza maisha
😂😂😂😂, hautumii gesi, 60,000 , umeme,??! haujamlipa dada, sabuni, mafuta ya kula, Lita tano sasa ni karibia 40,000 na... laki mbili Kwa mwezi kweli?! Hauna mtoto anaekwenda shule kila siku umpe ela ya nauli na kula shule?! Kwa vitu vya sokoni Tu kweli laki mbili sawa, lakini si matumizi yote ya nyumbani
Heehehehehe hawa ndo wale wanaume wachoyo😂😂😂😂😂pole kwa mke wake Hakuna chapati 7 kwenye robo😂😂😂umeona..iyo ni kilo. wanaume wachoyo..wanaume wenye fitna na figisu,kwenda sokoni mwanaume ni sawa kabisa,lakini kwa style hii mmmh Huyu ndo mwanaume anakupimia hadi sukari 😂😂😂😂
Mdogo wangu umetisha 🎉🎉🎉🎉 na bei anazijua on point robo ngano Chapati 7 umenikosha B 👏👏👏👏👏
Wenzangu na mm kama barnaba gonga like apoo
NIMEMPENDA SANAA HUYU KAKA
MTAMCHEKA LKN ANANUFAIKA SANAAAA
Nlikua naskiliza interview na mke wangu, zile dakika 5 za mwanzo nikaanza kuskia mtu anasonya tu. Yaan eti dah mbahili sana huyu. Namwambia huyu mbishi ndio maisha yanayopendeza
😂😂
Nimeipenda hii safi👏👏
Ni kweli kabisa .Barinabas umeweza unayosema ni yakweli.Mimi ni mama wa miaka 57.ninaunga mkono .Ml Moja ka matumizi ya nyumbani ni nyingi sana .unaweza it umia zaidi ya miezi mitano bila shida.
IF MATURITY WAS A PERSON
Kila superstar angeishi maisha ya uhalisia kama Barnaba daa wasingeishi maisha fake na ya kujiumiza,,,,big up barnaba
Et kina vidox na huyo manz wanshangaa as if wao maisha Yao yako juu
Safi Sana Boy hutafirisika huendesh na pesa ishi maisha hayo hayo utajir unakuhusu
Big up kuna somo hapa.
REALISTIC
Mungu akubariki sna
Umetisha baba sikwabajeti yiyo
Nakupenda wewe nimkweli
Barnaba wewe ni noma 😂😂😂😂😂binadam hutakiwi KUJIFANYA unajua kutumia pesa Kwa kutaka sifa
Yupo so really hakuna kufekisha maisha.. nimezidi kupenda
Nakubali bro
Mfano mzuri wa kuiga❤
Kama msani mwengine angesema one week one million
Safi Sanaa Mangi uko sawa
Kwenye kukopesha nikamimi bora nikupe bure kuliko kukopesha🙌
Kweli kabisaaa
Aaaah jamaa genius sanaaaa
Big up sanaa Barnaba
Ila yuko sahihi matumizi ya nyumbani m1 nyingi sana hadi umeme na maji unalipa ya muda sana
😂😂😂😂 eti una ma effect naipendaiyo kaka
Kuna watu wangesema sado ya nyanya laki mbili vitu ambavyo si vya ukweli 😢😁
Izi nguo kaludia koz naona interview znapishana miezi afu nguo ni zile zile
Life is how you make it!
Really life sio licha ya uchaga tu mzee unazungumza ukweli
Huna muda wa kudanganya jamii ✍️✍️ akili nyingi
Nyie waandishi ndio mnachangia kuurudisha ukabila hata kichwa cha habar haikuwa na maana kuandika mchaga coz tz hatuna ukabila, sasa hiv ukabila unarud kwa kasi na madhara ya ukabila mnayajua oneni burundi, sudan, somalia n.k acheni ukabila umoja ni muhim kwa mtanzania, amani ni nguzo ya maisha acheni kupromot ukabila hakuna aliyebora juu ya mwenngine.
Yani uyu barnaba anachekesha sana
Bajeti nimeielewa vzr, watu tunaoishi au tuloisha maisha ya hali zote hapa tunaelewana Na pesa ukiwa unaitafuta wewe mwenyewe, kama bado uko nyumban huwezi elewa
anajua kweli hatarii😂😂😂😂
Barnaba hafake life huwa anaenda straight kabsa huo ndo UHALISIA WA Maisha ya kawaida,kazungumza ukweli kabsa maana MILIONI Moja ni mtaji WA mangi mtaani
Namkubali sana
Umenifurahisha Sana Kama "celebrity" badget unaijua😂😂😂
Hamna mume hapa
🔥🔥🔥
Saf San broo nimekuelewa.
Barnaba anacho sema ni ukweli mtupu sio matani mpaka soko la mwana nyamara nisha mwona sio kama huyo sister anajishauwa na kujifanya boss wakati hana kitu tena amfikii barnaba kipesa huyo mama miyeyusho .anaonekana mwigiza maisha
😂😂😂 katisha sana hapo kwenye unga robo chapati saba kweri kabisa jana tu nimepika na zimetoka saba chapati za maji
Hii ni kweli kabisa
Mimi ni mchaga. Mimi mwenyew naban mpak penati
❤❤❤❤❤
Unyama
Barnaba Yuko sahihi
Ndimu moja mia????😂😂😂😂😂uku Kenya 🇰🇪 tatu ni shilingi kumi😂😂😂
Kumi ya Kenya ni 2k ya tz😅
@@lexusnambasita3086oooooh 😂😂😂
@@fredrickmaitha4427uchumi wenu n ovyo sana
Siyo sifa wala mapenzi mpe hela mkeo acha ubahili
Mzee wa Kongoro- "Chapti, " Kinondoni, kwa Makala!
Ebhanaee huyu jamaa Ni genius kama Mimi
Safi chaliii bajeti muhimu, sio uchaga hat ni kujua maana ya maisha
HUJAWAHI NIANGUSHA MDOGO WANGU NAKUPA CHIMBO LA NYAMA MOMBASA MACHINJIONI
✊🏾✊🏾
Xwala la mecup naona frida kabak anatoa macho tu🤣🤣hana namna kimya, achen hayo makitu ndo mnakua bomba zaid mtu unaweka kope unakua kma mtt wa jini😃
Muongo huyu haiwezekani vitu vya miez 3 au mi2 nyanya gani itadumu miez hyo au kuku gani huyo
Sio kweli robo ya unga ya ngano chapati 7 hapana kilo moja ndio chapati 14
za mayai znatoka 7
Ya maji
Kweli za mayai ni 7 za kusukuma 4
Itakuw wanakula chapati za maji hao😁
Wasanii wengi Tz Wana fake Maisha ili kuonekana Wana pesa Kumbe awana
Ajakosea nikweli kbsa
😂😂😂😂, hautumii gesi, 60,000 , umeme,??! haujamlipa dada, sabuni, mafuta ya kula, Lita tano sasa ni karibia 40,000 na... laki mbili Kwa mwezi kweli?! Hauna mtoto anaekwenda shule kila siku umpe ela ya nauli na kula shule?! Kwa vitu vya sokoni Tu kweli laki mbili sawa, lakini si matumizi yote ya nyumbani
Kwan ges ni kila cku au hiyo shule ana lipa naur kila uki tulia uta muelewa zaid
Vtu unavyo zungumzia havitokei kila sku
Nikweli kabisa sisi ndio tunaishi hivyo mshahara wetu laki tatu kwa mwezi
Alooo...Pokea maua yako
Ww na mwambs
Hamna kitu wewee 😸😸😸
INTERVIEW ILISHAPITA,,
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uweeeeeh
Heehehehehe hawa ndo wale wanaume wachoyo😂😂😂😂😂pole kwa mke wake
Hakuna chapati 7 kwenye robo😂😂😂umeona..iyo ni kilo.
wanaume wachoyo..wanaume wenye fitna na figisu,kwenda sokoni mwanaume ni sawa kabisa,lakini kwa style hii mmmh
Huyu ndo mwanaume anakupimia hadi sukari 😂😂😂😂
Tunajbana il mbelen tuje kula mboga 7
😂😂😂😂😂😂
Mmoja tuu? ua-cam.com/video/OhoDrsxAQlg/v-deo.html