Wasichana ishini kulingana na uwezo wenu au uwezo wa wazazi/walezi wenu, kweli kama huwezi kujitegemea baki kwenu. Aunt Sadaka asante kwa point muhimu sana, hivi vyombo vya habari Tanzania kama mpo serious na kumnyanyua mtoto wa kike Aunt Sadaka anatakiwa kuwa na kipindi somewhere kila wiki. Nyanyueni mabinti kwa saikolojia ukiongezea na imani, tutafanikiwa. VILEVILE WADADA TUTAFUTE PESA, TUFANYE KAZI NA BIASHARA KWA BIDII ZOTE HATA UKIWA MWANAFUNZI BUSINESS NDOGONDOGO ZINAWEZEKANA.HATA UPATE 20,000 KWA WIKI NI YAKWAKO.TUSAKE SANA PESA TUWEZE KUJITEGEMEA BAADA YA HAPO NDIO TUJE MEZANI NA BOYFRIENDS KUJADILI MAPENZI YA KWELI NA FUTURE. Ujumbe: GIRL CHILD, SECURE YOUR BAG, MONEY STOPS A LOT OF NONSENSE. Kwa tafsiri ya haraka: MTOTO WA KIKE, JIZATITI MFUKONI, PESA INAONDOA UPUUZI MWINGI.
Vipindi kama hivi vinatakiwa viwepo sana kusaidia kuelimisha jamiii Hongera sana Millard na team yako hapo hata makampuni yapo tayali kudhamini kuweka mzigo pesa good content audience watu wengi wanafuatilia kipindi kizuri sana
Had saiz nina miaka 32 sijawahi kumuomba mwanaume pesa na ndy mana napambana sana sana mama nimekuelewa sana yan nina haib mm yan kwanza ile wazaz kumuona huyu mtu kaz nashuru mungu nimepambana had saiz nipo kwenye mikono yangu wazaz wangu sijawahi kuwatia haib za ajabu
Millard hongera kwa kujua vitu vizur vyakuwafikishia watu wako wa nguvu, alafu mbona siku hizi huvai kofia jaman zinakupendeza sana siku mojamoja tupia kofia
Mungu ibariki Tanzania kwa vizazi na vizazi vyao sababu Mimi ni Mu congomani Ila na faidika ki maisha psychologia ku pitiya vipindi vya mitandao vya wa 🇹🇿 Tz na na amini ni wengi wana faidika Kama Mimi ,Mungu aibariki media za tanzania na wafanya kazi wema 🙏Mungu abariki mama yetu Aunty sadaka ❤
Nakumbuka kuna mkaka nilpenda sana alinipenda sana ila aliniomba kinyume na maumbir nilimuacha siku yasiku aliniambia mm nolikutania sijawai muamini na nilimuacha akaja niambia ww unajua kisa unapambana una shida ndogo ndogo ndy mana jeur nimjib mm sio jeur ila siwez kufanya vitu ambavyo vitaniasili kisa nitaonekana jeur au kisa kipato changu kiniganye hiv nilipiga chin 😭
Ni ndefu, sema millard ayo siku hizi anazikata kata na kuzipost. Nadhani kaona views ndo zinakuwa nyingi na watu kumfuatilia zaidi kutaka kujua mwendelezo.
Mama umejua ,,uko vizuri na mungu akubariki .Tunaona kwenye jamii zetu wapo mabinti wenzetu hadi wanajiingiza kwenye vifungo vya ndoa ilhali hampendi huyo mwanaume sababu kuu ni kuomba pesa na kupewa pesa ,,mwisho wa siku hata hiyo ndoa haiwez kudumu pale pesa ikikosekana so sad😢
Millard mbona kama umetuacha njiani, come back with aunt Sadaka please! Sijawahi choka kumsikiliza Aunt Sadaka and even Millard, so you two are my favorite, please tuletee kipande kingine cha madini. Our girls need to learn from Aunt Sadaka
Dahh Kuna maisha tunaishi lakini naamini ni Kwa sababu ivyo nachoamini mimi ni nguvu za mungu zinaitajika tunaposhikana mikono Ili kufikia malengo. Maisha ni tofauti sana ivyo mungu atusaidie
Aunt Sadaka, bila kumlaumu kwanza bint tuwalaumu wazazi kwanza, wazazi wakiskia to uko dar na unaishi kwako na hajui kazi unayofanya ndo kwanza anaitisha pesa kila mwezi tena anaweza mwambia vp hujapata chochote huko uturushie
Umeongea kwel madam juz tu kuna dada kauliw na mwanaume wake kwa kukosa kujua thaman yake mwanaume ana mdangany anamtumia lkn alikua ana nia nae njema alipo kuja kujitambua akakataa kuenda nae next time aka mvizia kwao aka muua ni tatizo kweli 😢
ni ngumu anachoongea huyu Mama Kwa hii dunia et kwetu Hakuna pesa za kunisomesha itokee mwanaume ananipenda na ananisaidia nampenda pia nikatae msaada wake mtapiga Kelele Sana
Mama anaongelea Maadili . Afu kuna kitu kinaitwa UMASIKINI . Kabla ya kuondoa UMASIKINI hakuna mapenzi , wa Maadili , kujielewa Wala chochote. Mama hajaijua shida uyu .
Wanawake ni wa kupigwa kila saa kila muda kila saa kila wakati kila wiki kila mwezi kila mwaka... Wanawake ni washenzi kabisa.. Tutawapiga mpaka Yesu arudi
@@BabaBalingasi-hp6gd siko nayo,naomba kuuliza mbona unanyamaza akiwa anakusema anasema mbona unanyamaza ko naongea na bubu? Ukiongea na pia ni kosa sa ufanye aje????? Nijibu
@@millardayoTZA kipindi ni kizuri sana. Kama vipi aongezewe mda jamani. We like to hear more about mahusiano. And kwa ushauri tu, kama itapendeza unaweza collect maswali kwa wasikilizaji au hata wadau wa kipindi ile kuwe na mengi ya ku discuss. Thanks. 🎉
Sio Kwa Dunia ya sasa Untie Sadaka.... Now days watu wanakutana kwenye daladala halafu hawajui wanakokwenda wanaenda kufanya nini, so wakikubaliana tu kwenye daladala wanashuka popote wanamalizana
Mie naomba kujua umri sahihi wa Kua na Boy friend lakini pia hamjui hawa mabinti wanakutana na nini hasa hawa wa vyuo vya kati huko duniani hakuna maisha marahisi hasa kwa nyakati tulizonazo ikiwepo na Tanzania , wazazi wengi wanapambana lakini nilichogundua hawa wanafunzi wengi wanaingia katika shida kwababu wanakua wameaga kwao wanakuja kusoma na wakifeli wazazi wengi Hawawatiii moyo wa kuwaendeleza kwa kuwalipia ada ili wafikie wanachokitarajia hivyo wanafunzi wengi hawawaambii wazazi ukweli kua wamefeli hivyo wanaanza jitafutia kwasababu wakisema wamefeli wazazi wengi wanaona ni bora mtoto aludi nyumbani , sasa hicho kitemdo kinafanya hasa mabinti kujiingiza katika mifumo isiyosahihi ya maisha kwa sababu anapambana huku akificha siri ili tu kuogopa kurudi kijijini maana wanahisi kama malengo yanaweza yakafia huko village @ Sadaka antie ongea na wazazi paza sauti wazazi wengi ni chanzo cha watoto wao kutofika kwenye malengo yao kwasababu yao , na sio wanapenda ila ni kulingana na maisha ambayo yaliyopo sasa hivi , waangalie hasa namna ya kuwasaidia hawa watoto ambao wanalazimika kufanya pia vitu visivyosahihi ili kutaka kufika katika malengo yao
huyu bibi anaongea sana naona hajui tupo kizazi cha nyoka madada wanajiuza kushoto kulia ni kupiga tigo tu siku hizi hakuna cha mapenzi ni pesa tigo tu mbele kwa mbele..
Wasichana ishini kulingana na uwezo wenu au uwezo wa wazazi/walezi wenu, kweli kama huwezi kujitegemea baki kwenu.
Aunt Sadaka asante kwa point muhimu sana, hivi vyombo vya habari Tanzania kama mpo serious na kumnyanyua mtoto wa kike Aunt Sadaka anatakiwa kuwa na kipindi somewhere kila wiki.
Nyanyueni mabinti kwa saikolojia ukiongezea na imani, tutafanikiwa.
VILEVILE WADADA TUTAFUTE PESA, TUFANYE KAZI NA BIASHARA KWA BIDII ZOTE HATA UKIWA MWANAFUNZI BUSINESS NDOGONDOGO ZINAWEZEKANA.HATA UPATE 20,000 KWA WIKI NI YAKWAKO.TUSAKE SANA PESA TUWEZE KUJITEGEMEA BAADA YA HAPO NDIO TUJE MEZANI NA BOYFRIENDS KUJADILI MAPENZI YA KWELI NA FUTURE.
Ujumbe: GIRL CHILD, SECURE YOUR BAG, MONEY STOPS A LOT OF NONSENSE.
Kwa tafsiri ya haraka:
MTOTO WA KIKE, JIZATITI MFUKONI, PESA INAONDOA UPUUZI MWINGI.
Vipindi kama hivi vinatakiwa viwepo sana kusaidia kuelimisha jamiii Hongera sana Millard na team yako hapo hata makampuni yapo tayali kudhamini kuweka mzigo pesa good content audience watu wengi wanafuatilia kipindi kizuri sana
Had saiz nina miaka 32 sijawahi kumuomba mwanaume pesa na ndy mana napambana sana sana mama nimekuelewa sana yan nina haib mm yan kwanza ile wazaz kumuona huyu mtu kaz nashuru mungu nimepambana had saiz nipo kwenye mikono yangu wazaz wangu sijawahi kuwatia haib za ajabu
Hongera zako
Ahsanteee aunt Sadaka kwa kupigilia pin,This is My always principle in life 😘😘
Millard hongera kwa kujua vitu vizur vyakuwafikishia watu wako wa nguvu, alafu mbona siku hizi huvai kofia jaman zinakupendeza sana siku mojamoja tupia kofia
Mungu ibariki Tanzania kwa vizazi na vizazi vyao sababu Mimi ni Mu congomani Ila na faidika ki maisha psychologia ku pitiya vipindi vya mitandao vya wa 🇹🇿 Tz na na amini ni wengi wana faidika Kama Mimi ,Mungu aibariki media za tanzania na wafanya kazi wema 🙏Mungu abariki mama yetu Aunty sadaka ❤
Huyu Mama namuheshimu sana 👑👑
Nakumbuka kuna mkaka nilpenda sana alinipenda sana ila aliniomba kinyume na maumbir nilimuacha siku yasiku aliniambia mm nolikutania sijawai muamini na nilimuacha akaja niambia ww unajua kisa unapambana una shida ndogo ndogo ndy mana jeur nimjib mm sio jeur ila siwez kufanya vitu ambavyo vitaniasili kisa nitaonekana jeur au kisa kipato changu kiniganye hiv nilipiga chin 😭
This needed to be even 3hrs long.
Ni ndefu, sema millard ayo siku hizi anazikata kata na kuzipost. Nadhani kaona views ndo zinakuwa nyingi na watu kumfuatilia zaidi kutaka kujua mwendelezo.
Tunahitaji zaidi Millard. Moe mama airtime, arudi tena na tena akiwa na mada tofauti tofauti.
Asante sana aunt Sadaka. Somo limeingia .
Mama umejua ,,uko vizuri na mungu akubariki .Tunaona kwenye jamii zetu wapo mabinti wenzetu hadi wanajiingiza kwenye vifungo vya ndoa ilhali hampendi huyo mwanaume sababu kuu ni kuomba pesa na kupewa pesa ,,mwisho wa siku hata hiyo ndoa haiwez kudumu pale pesa ikikosekana so sad😢
Mashaallah mama umeongea maneno mazima hayo wanawake tujue thamani yetu
Millard mbona kama umetuacha njiani, come back with aunt Sadaka please! Sijawahi choka kumsikiliza Aunt Sadaka and even Millard, so you two are my favorite, please tuletee kipande kingine cha madini. Our girls need to learn from Aunt Sadaka
Mama umejua kunipa funzo pia Asante sana kwakutukumbusha majukumu yetu Asante sana millard
Millard we need part 2
Shida haiwezi ikahalalasha umalaya kwa njia yeyote ile. Kulipiwa kodi ni kujiuza
Aisee aunt kichwa snaa h
Dahh Kuna maisha tunaishi lakini naamini ni Kwa sababu ivyo nachoamini mimi ni nguvu za mungu zinaitajika tunaposhikana mikono Ili kufikia malengo. Maisha ni tofauti sana ivyo mungu atusaidie
Millard haupo serious.. wasanii wanaongeaga hapa interview 35-40mins huyu mama mwenye madini 16mins kweli?????
Naomba aunt apewe kipndi kirefu zaidi ana madini mingi snaa anajibu vizur snaa
Asante Sana aunt swadaka
This what we call real Aunt ❤️🩹💯
Mama nimekuelewa sana . Nadhani unastahili kua mshauri wa taifa kwa girls haswa hawa premature
My role model millard ayo
Naomba interview na SAID SALIM BAKHESA pia ANGELINA NGALULA
Very nice topic
Siwezi kukubali kumruhusu mtoto wangu alipiwe ada na mtu yeyote , nitafanya chochote ilihali mtoto wangu asome
I love that spirit mana wazee wengine wa hovyo kwa kwel😂
Maaan!💯💯💯
@@mbunah255 saaaaaana!!!!
Pamoja sana mzee
Ongera sana kumbe unajuwa maana ya kua baba
Kweli kabisa aunt sadaqa
Mama yupo vinzur 👍
Aunt Sadaka, bila kumlaumu kwanza bint tuwalaumu wazazi kwanza, wazazi wakiskia to uko dar na unaishi kwako na hajui kazi unayofanya ndo kwanza anaitisha pesa kila mwezi tena anaweza mwambia vp hujapata chochote huko uturushie
Huyu mzaz gani akamatwe Maramoja
sema uzuri sasa hv siogopi kuombwa hela hata siku ya kwanza,, ukiomba km siridhiki hapo hapo nakataline
Mama asant Sana nimekuhelewa Sana ww ndo mama
Umeongea vizuri Mama
Sipendi nilipe kodi janaume lijijie tu ndani kwangu bila haya
You are really lady
Nakuunga mkono Aunt Sadaka. Pigilia hapo hapo, vijana wanatukosea sana.
MAMA HUYU AKAJENGEWE SANAMU PALE MAKUMBUSHO
Umeongea kwel madam juz tu kuna dada kauliw na mwanaume wake kwa kukosa kujua thaman yake mwanaume ana mdangany anamtumia lkn alikua ana nia nae njema alipo kuja kujitambua akakataa kuenda nae next time aka mvizia kwao aka muua ni tatizo kweli 😢
Vido upo makin atari 📌📌
THANK YOU AUNT SADAKA VIJANA WETU WAMEKUWA MR AVAILABLE NA MADAM AVAILABLE
Uchafu na upumbavu umehalalishwa...!
bro Millard
Hiyo b mkubwa yuko sahihi sana...
100%
Umepajuaje malangali kwetu aunt sadaka
Yaani hii nimependa sanaaa ili mabinti zetu wasiharibiwe,watambue thamani yao
Asatamama
Millard naomba hii nada kuhusu hili umuite tena Aunt nimependa sana nakufuatilia nipo congo
Hiki kizazi cha amapiano ni kigumu sana kuelewa kina Frida hao
Huyu mama huwa namuelewa Sana
mama utaenda mbinguni naona kabisa alaf huyo dada ni kolo wa hapo studio ana support ujingaaa anjaribu kumbishia hata mama yake 😂
Huyu Aunty Sadaka ni Geneous
Paula unasukia huko
Mbona hata wanaume pia wanaomba omba peso!
Part 3:46 - 4:22 😢😢😢
MILLARD TIME IS NOT ENOUGH
Maza ana logic
Yaan nimemwelewa wanaume wanamakosa tena mara 2 maan mwanaume ni kichwa hajui kuwa na sauti kwa family
Aunt sadaka 🌹
Mama aongezwe mda, mbona wasani waongeaga pumba hapo mda mwingi
Nimejifunsamama
ni ngumu anachoongea huyu Mama Kwa hii dunia et kwetu Hakuna pesa za kunisomesha itokee mwanaume ananipenda na ananisaidia nampenda pia nikatae msaada wake mtapiga Kelele Sana
Kweli kabisaaa kaisha chelewa dunia ipo mbele zaidi ya hayo anayo yaongea huyu mama ni vigumu sanaaa
Swadakta
Mama anywe soda Bariiiiiidi ntalipa mimi
About kuomba pesa girls punguzeni inamaana ulipokua single ulikua unaishi je girls lizikeni ulicho nacho kumbukeni akuna vya bule
Part 2 jamn
hapo ni kujitambua na kujilinda ukabiliane vp na hisia zako ili usishawishike mpaka utakapoolewa
APEWE MAUA YAKE HUYU AUNT, NIME PENDA KADONDOSHA NONDO MUHIMU SANA,
VIJANA UPWIRU UNA WASUMBUA NDY MAANA MAFANIKIO HUWA NI HADITHI KWA WASIO NA FOCUS
Mama anaongelea Maadili . Afu kuna kitu kinaitwa UMASIKINI . Kabla ya kuondoa UMASIKINI hakuna mapenzi , wa Maadili , kujielewa Wala chochote. Mama hajaijua shida uyu .
Anaongea mambo mawili tofauti... Umasikini na maadili...
Naona watangazaji mmeishiwa pozi mnagunaguna tuu😂😂😂
👌❤❤❤
namuunga mama kabisa
Hao wanawake wakutongozwa hawapo ,, ndotatzo kubwa
Lililopo
Binti anajitongozesha nawanafosi ngono mpaka unaona ni kipepo flani
hawataki mameno wanataka pesa ndio shida
Mama huyu ajegewe sanamu lake pale makumbusho jmn
Wanawake ni wa kupigwa kila saa kila muda kila saa kila wakati kila wiki kila mwezi kila mwaka...
Wanawake ni washenzi kabisa.. Tutawapiga mpaka Yesu arudi
Ni wako siyo sisi acha makasiriko
@@jescajulius8023 wewe utapigwa tu. Muda siyo mrefu
@@BabaBalingasi-hp6gd uzuri nmeshajiweka mbali na viumbe kama nyie,niko huru na mambo yangu
@@jescajulius8023 hahaha usiogope. Kama hauna kiburi wala hautopigwa.
@@BabaBalingasi-hp6gd siko nayo,naomba kuuliza mbona unanyamaza akiwa anakusema anasema mbona unanyamaza ko naongea na bubu? Ukiongea na pia ni kosa sa ufanye aje????? Nijibu
kwanin mwanaume amefanywa ni chanzo cha mapato
Aunt sadaka kaolew?
mh....ukwel mama yangu🦾🦾
Jamna mbona malangali iringa @aunt sadaka
Namimi nikasema mfano umekuwa kwetu malangali tu au ndo kubaya Sana au haaaa
Nimecheka😂🤣 etitunaomba pesa sana
Jmn mbona kipindi kifup mno wap sehem ya pili❤❤❤❤
inakuja soon Jo
@@millardayoTZA kipindi ni kizuri sana. Kama vipi aongezewe mda jamani. We like to hear more about mahusiano. And kwa ushauri tu, kama itapendeza unaweza collect maswali kwa wasikilizaji au hata wadau wa kipindi ile kuwe na mengi ya ku discuss.
Thanks.
🎉
@@millardayoTZA milard huyo mama inatakiwa dk 40 ai lisaa
Sio Kwa Dunia ya sasa Untie Sadaka.... Now days watu wanakutana kwenye daladala halafu hawajui wanakokwenda wanaenda kufanya nini, so wakikubaliana tu kwenye daladala wanashuka popote wanamalizana
Sio kwichukichu mmbmh😅
Jmn 😂m na baki kumuangalia tu Millard kwa maana anavyoyauliza maswali kwa uzoefu htr Sanaa😂😂
😀😀
@@millardayoTZA mbon fupi hivi 😊
😂😂😂💯
@ Vido.........Mwamba umetisha......Anakupungunzia Mzigo, hahahahahahahahahahh
Sex ni kama petrol kwenye gari, so bila petrol gari haitembei, Likewise kwa mpenzi bila sex, mapenzi hayaendi,
Aunt❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mie naomba kujua umri sahihi wa Kua na Boy friend lakini pia hamjui hawa mabinti wanakutana na nini hasa hawa wa vyuo vya kati huko duniani hakuna maisha marahisi hasa kwa nyakati tulizonazo ikiwepo na Tanzania , wazazi wengi wanapambana lakini nilichogundua hawa wanafunzi wengi wanaingia katika shida kwababu wanakua wameaga kwao wanakuja kusoma na wakifeli wazazi wengi Hawawatiii moyo wa kuwaendeleza kwa kuwalipia ada ili wafikie wanachokitarajia hivyo wanafunzi wengi hawawaambii wazazi ukweli kua wamefeli hivyo wanaanza jitafutia kwasababu wakisema wamefeli wazazi wengi wanaona ni bora mtoto aludi nyumbani , sasa hicho kitemdo kinafanya hasa mabinti kujiingiza katika mifumo isiyosahihi ya maisha kwa sababu anapambana huku akificha siri ili tu kuogopa kurudi kijijini maana wanahisi kama malengo yanaweza yakafia huko village @ Sadaka antie ongea na wazazi paza sauti wazazi wengi ni chanzo cha watoto wao kutofika kwenye malengo yao kwasababu yao , na sio wanapenda ila ni kulingana na maisha ambayo yaliyopo sasa hivi , waangalie hasa namna ya kuwasaidia hawa watoto ambao wanalazimika kufanya pia vitu visivyosahihi ili kutaka kufika katika malengo yao
Pale pale kutojitambua"
Pale pale kutojikubali''
Wewe mtoto wa kike jiamini kama wewemzuri
huyu bibi anaongea sana naona hajui tupo kizazi cha nyoka madada wanajiuza kushoto kulia ni kupiga tigo tu siku hizi hakuna cha mapenzi ni pesa tigo tu mbele kwa mbele..