UTAIPENDA: MILLARD AYO NA AUNT SADAKA, CHA KUFANYA MWANAMKE AKIKUOMBA PESA AU MWANAUME AKIKUPA PESA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 121

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Рік тому +11

    Wasichana ishini kulingana na uwezo wenu au uwezo wa wazazi/walezi wenu, kweli kama huwezi kujitegemea baki kwenu.
    Aunt Sadaka asante kwa point muhimu sana, hivi vyombo vya habari Tanzania kama mpo serious na kumnyanyua mtoto wa kike Aunt Sadaka anatakiwa kuwa na kipindi somewhere kila wiki.
    Nyanyueni mabinti kwa saikolojia ukiongezea na imani, tutafanikiwa.
    VILEVILE WADADA TUTAFUTE PESA, TUFANYE KAZI NA BIASHARA KWA BIDII ZOTE HATA UKIWA MWANAFUNZI BUSINESS NDOGONDOGO ZINAWEZEKANA.HATA UPATE 20,000 KWA WIKI NI YAKWAKO.TUSAKE SANA PESA TUWEZE KUJITEGEMEA BAADA YA HAPO NDIO TUJE MEZANI NA BOYFRIENDS KUJADILI MAPENZI YA KWELI NA FUTURE.
    Ujumbe: GIRL CHILD, SECURE YOUR BAG, MONEY STOPS A LOT OF NONSENSE.
    Kwa tafsiri ya haraka:
    MTOTO WA KIKE, JIZATITI MFUKONI, PESA INAONDOA UPUUZI MWINGI.

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Рік тому +5

    Vipindi kama hivi vinatakiwa viwepo sana kusaidia kuelimisha jamiii Hongera sana Millard na team yako hapo hata makampuni yapo tayali kudhamini kuweka mzigo pesa good content audience watu wengi wanafuatilia kipindi kizuri sana

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Рік тому +7

    Had saiz nina miaka 32 sijawahi kumuomba mwanaume pesa na ndy mana napambana sana sana mama nimekuelewa sana yan nina haib mm yan kwanza ile wazaz kumuona huyu mtu kaz nashuru mungu nimepambana had saiz nipo kwenye mikono yangu wazaz wangu sijawahi kuwatia haib za ajabu

  • @macrinasalaho2093
    @macrinasalaho2093 Рік тому +3

    Ahsanteee aunt Sadaka kwa kupigilia pin,This is My always principle in life 😘😘

  • @marymolel616
    @marymolel616 Рік тому +12

    Millard hongera kwa kujua vitu vizur vyakuwafikishia watu wako wa nguvu, alafu mbona siku hizi huvai kofia jaman zinakupendeza sana siku mojamoja tupia kofia

  • @mugoliciroyi5088
    @mugoliciroyi5088 Рік тому +1

    Mungu ibariki Tanzania kwa vizazi na vizazi vyao sababu Mimi ni Mu congomani Ila na faidika ki maisha psychologia ku pitiya vipindi vya mitandao vya wa 🇹🇿 Tz na na amini ni wengi wana faidika Kama Mimi ,Mungu aibariki media za tanzania na wafanya kazi wema 🙏Mungu abariki mama yetu Aunty sadaka ❤

  • @rumanyikachange
    @rumanyikachange Рік тому +6

    Huyu Mama namuheshimu sana 👑👑

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Рік тому +6

    Nakumbuka kuna mkaka nilpenda sana alinipenda sana ila aliniomba kinyume na maumbir nilimuacha siku yasiku aliniambia mm nolikutania sijawai muamini na nilimuacha akaja niambia ww unajua kisa unapambana una shida ndogo ndogo ndy mana jeur nimjib mm sio jeur ila siwez kufanya vitu ambavyo vitaniasili kisa nitaonekana jeur au kisa kipato changu kiniganye hiv nilipiga chin 😭

  • @ellydonatus9748
    @ellydonatus9748 Рік тому +14

    This needed to be even 3hrs long.

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy Рік тому

      Ni ndefu, sema millard ayo siku hizi anazikata kata na kuzipost. Nadhani kaona views ndo zinakuwa nyingi na watu kumfuatilia zaidi kutaka kujua mwendelezo.

  • @ibbu-tz
    @ibbu-tz Рік тому +1

    Tunahitaji zaidi Millard. Moe mama airtime, arudi tena na tena akiwa na mada tofauti tofauti.

  • @MisosimitamuC
    @MisosimitamuC Рік тому +2

    Asante sana aunt Sadaka. Somo limeingia .

  • @rehemangowi-zk6qu
    @rehemangowi-zk6qu Рік тому +2

    Mama umejua ,,uko vizuri na mungu akubariki .Tunaona kwenye jamii zetu wapo mabinti wenzetu hadi wanajiingiza kwenye vifungo vya ndoa ilhali hampendi huyo mwanaume sababu kuu ni kuomba pesa na kupewa pesa ,,mwisho wa siku hata hiyo ndoa haiwez kudumu pale pesa ikikosekana so sad😢

  • @khatijakhatija6172
    @khatijakhatija6172 Рік тому +2

    Mashaallah mama umeongea maneno mazima hayo wanawake tujue thamani yetu

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 Рік тому +2

    Millard mbona kama umetuacha njiani, come back with aunt Sadaka please! Sijawahi choka kumsikiliza Aunt Sadaka and even Millard, so you two are my favorite, please tuletee kipande kingine cha madini. Our girls need to learn from Aunt Sadaka

  • @nichorousjohn1659
    @nichorousjohn1659 Рік тому +1

    Mama umejua kunipa funzo pia Asante sana kwakutukumbusha majukumu yetu Asante sana millard

  • @Misskavalau
    @Misskavalau Рік тому

    Millard we need part 2

  • @HermentMrema-fw1kp
    @HermentMrema-fw1kp Рік тому +6

    Shida haiwezi ikahalalasha umalaya kwa njia yeyote ile. Kulipiwa kodi ni kujiuza

  • @samkoka3
    @samkoka3 Рік тому +2

    Aisee aunt kichwa snaa h

  • @raymondmjebe2412
    @raymondmjebe2412 Рік тому +1

    Dahh Kuna maisha tunaishi lakini naamini ni Kwa sababu ivyo nachoamini mimi ni nguvu za mungu zinaitajika tunaposhikana mikono Ili kufikia malengo. Maisha ni tofauti sana ivyo mungu atusaidie

  • @marthaigogo18
    @marthaigogo18 Рік тому +12

    Millard haupo serious.. wasanii wanaongeaga hapa interview 35-40mins huyu mama mwenye madini 16mins kweli?????

  • @samkoka3
    @samkoka3 Рік тому +1

    Naomba aunt apewe kipndi kirefu zaidi ana madini mingi snaa anajibu vizur snaa

  • @VeronicaSalvertory
    @VeronicaSalvertory Рік тому

    Asante Sana aunt swadaka

  • @Kiirumba
    @Kiirumba Рік тому +2

    This what we call real Aunt ❤️‍🩹💯

  • @aikt.
    @aikt. Рік тому +4

    Mama nimekuelewa sana . Nadhani unastahili kua mshauri wa taifa kwa girls haswa hawa premature

  • @linuslucas425
    @linuslucas425 Рік тому +2

    My role model millard ayo

  • @leandrymmassy9916
    @leandrymmassy9916 Рік тому +1

    Naomba interview na SAID SALIM BAKHESA pia ANGELINA NGALULA

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Рік тому +1

    Very nice topic

  • @husseinismailseme6727
    @husseinismailseme6727 Рік тому +32

    Siwezi kukubali kumruhusu mtoto wangu alipiwe ada na mtu yeyote , nitafanya chochote ilihali mtoto wangu asome

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Рік тому +1

    Kweli kabisa aunt sadaqa

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Рік тому +1

    Mama yupo vinzur 👍

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي Рік тому +7

    Aunt Sadaka, bila kumlaumu kwanza bint tuwalaumu wazazi kwanza, wazazi wakiskia to uko dar na unaishi kwako na hajui kazi unayofanya ndo kwanza anaitisha pesa kila mwezi tena anaweza mwambia vp hujapata chochote huko uturushie

  • @Dantaata
    @Dantaata Рік тому +1

    sema uzuri sasa hv siogopi kuombwa hela hata siku ya kwanza,, ukiomba km siridhiki hapo hapo nakataline

  • @charlesjaphet79
    @charlesjaphet79 Рік тому +1

    Mama asant Sana nimekuhelewa Sana ww ndo mama

  • @jumambuma1101
    @jumambuma1101 Рік тому +1

    Umeongea vizuri Mama

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Рік тому +2

    Sipendi nilipe kodi janaume lijijie tu ndani kwangu bila haya

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Рік тому +1

    You are really lady

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Рік тому +1

    Nakuunga mkono Aunt Sadaka. Pigilia hapo hapo, vijana wanatukosea sana.

  • @boscokikoti
    @boscokikoti Рік тому +3

    MAMA HUYU AKAJENGEWE SANAMU PALE MAKUMBUSHO

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Рік тому +3

    Umeongea kwel madam juz tu kuna dada kauliw na mwanaume wake kwa kukosa kujua thaman yake mwanaume ana mdangany anamtumia lkn alikua ana nia nae njema alipo kuja kujitambua akakataa kuenda nae next time aka mvizia kwao aka muua ni tatizo kweli 😢

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 Рік тому +2

    Vido upo makin atari 📌📌

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 Рік тому +1

    THANK YOU AUNT SADAKA VIJANA WETU WAMEKUWA MR AVAILABLE NA MADAM AVAILABLE

  • @danielthomasmsigwa31
    @danielthomasmsigwa31 Рік тому +3

    Uchafu na upumbavu umehalalishwa...!

  • @Tygaspark
    @Tygaspark Рік тому +1

    bro Millard
    Hiyo b mkubwa yuko sahihi sana...
    100%

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Рік тому +2

    Umepajuaje malangali kwetu aunt sadaka

  • @SaraChanjarika-zp5ct
    @SaraChanjarika-zp5ct Рік тому +3

    Yaani hii nimependa sanaaa ili mabinti zetu wasiharibiwe,watambue thamani yao

  • @EsperanceNimubona
    @EsperanceNimubona Рік тому +1

    Asatamama

  • @nichorousjohn1659
    @nichorousjohn1659 Рік тому +1

    Millard naomba hii nada kuhusu hili umuite tena Aunt nimependa sana nakufuatilia nipo congo

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Рік тому

    Hiki kizazi cha amapiano ni kigumu sana kuelewa kina Frida hao

  • @noelmelkior3401
    @noelmelkior3401 Рік тому +1

    Huyu mama huwa namuelewa Sana

  • @testerjeff-f2n
    @testerjeff-f2n Рік тому

    mama utaenda mbinguni naona kabisa alaf huyo dada ni kolo wa hapo studio ana support ujingaaa anjaribu kumbishia hata mama yake 😂

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 Рік тому

    Huyu Aunty Sadaka ni Geneous

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Рік тому +1

    Paula unasukia huko

  • @Hungrydonkey9345
    @Hungrydonkey9345 Рік тому +3

    Mbona hata wanaume pia wanaomba omba peso!

  • @emmanuelstephens1891
    @emmanuelstephens1891 Рік тому +2

    Part 3:46 - 4:22 😢😢😢

  • @Amplifiedtz
    @Amplifiedtz Рік тому +1

    MILLARD TIME IS NOT ENOUGH

  • @wishjrtz
    @wishjrtz Рік тому +1

    Maza ana logic

  • @yakobolusasu1821
    @yakobolusasu1821 Рік тому +1

    Yaan nimemwelewa wanaume wanamakosa tena mara 2 maan mwanaume ni kichwa hajui kuwa na sauti kwa family

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +1

    Aunt sadaka 🌹

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Рік тому

    Mama aongezwe mda, mbona wasani waongeaga pumba hapo mda mwingi

  • @EsperanceNimubona
    @EsperanceNimubona Рік тому +1

    Nimejifunsamama

  • @gilbertprudence3563
    @gilbertprudence3563 Рік тому +2

    ni ngumu anachoongea huyu Mama Kwa hii dunia et kwetu Hakuna pesa za kunisomesha itokee mwanaume ananipenda na ananisaidia nampenda pia nikatae msaada wake mtapiga Kelele Sana

    • @benomdaile7081
      @benomdaile7081 Рік тому

      Kweli kabisaaa kaisha chelewa dunia ipo mbele zaidi ya hayo anayo yaongea huyu mama ni vigumu sanaaa

  • @sakinamixpambe2602
    @sakinamixpambe2602 Рік тому

    Swadakta

  • @franklaurent4042
    @franklaurent4042 Рік тому

    Mama anywe soda Bariiiiiidi ntalipa mimi

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Рік тому +1

    About kuomba pesa girls punguzeni inamaana ulipokua single ulikua unaishi je girls lizikeni ulicho nacho kumbukeni akuna vya bule

  • @FARIDASHABAN-kz5mt
    @FARIDASHABAN-kz5mt Рік тому

    Part 2 jamn

  • @samiahJoseph
    @samiahJoseph Рік тому +1

    hapo ni kujitambua na kujilinda ukabiliane vp na hisia zako ili usishawishike mpaka utakapoolewa

  • @alexmushi6017
    @alexmushi6017 Рік тому +2

    APEWE MAUA YAKE HUYU AUNT, NIME PENDA KADONDOSHA NONDO MUHIMU SANA,
    VIJANA UPWIRU UNA WASUMBUA NDY MAANA MAFANIKIO HUWA NI HADITHI KWA WASIO NA FOCUS

  • @frankomart5801
    @frankomart5801 Рік тому

    Mama anaongelea Maadili . Afu kuna kitu kinaitwa UMASIKINI . Kabla ya kuondoa UMASIKINI hakuna mapenzi , wa Maadili , kujielewa Wala chochote. Mama hajaijua shida uyu .

    • @neemamartine7630
      @neemamartine7630 Рік тому

      Anaongea mambo mawili tofauti... Umasikini na maadili...

  • @MajiTakaMaji
    @MajiTakaMaji Рік тому

    Naona watangazaji mmeishiwa pozi mnagunaguna tuu😂😂😂

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Рік тому +1

    👌❤❤❤

  • @samiahJoseph
    @samiahJoseph Рік тому

    namuunga mama kabisa

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 Рік тому +1

    Hao wanawake wakutongozwa hawapo ,, ndotatzo kubwa
    Lililopo
    Binti anajitongozesha nawanafosi ngono mpaka unaona ni kipepo flani

  • @jumaramadhani7457
    @jumaramadhani7457 Рік тому

    Mama huyu ajegewe sanamu lake pale makumbusho jmn

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Рік тому +1

    Wanawake ni wa kupigwa kila saa kila muda kila saa kila wakati kila wiki kila mwezi kila mwaka...
    Wanawake ni washenzi kabisa.. Tutawapiga mpaka Yesu arudi

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Рік тому

      Ni wako siyo sisi acha makasiriko

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Рік тому

      @@jescajulius8023 wewe utapigwa tu. Muda siyo mrefu

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Рік тому

      @@BabaBalingasi-hp6gd uzuri nmeshajiweka mbali na viumbe kama nyie,niko huru na mambo yangu

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Рік тому

      @@jescajulius8023 hahaha usiogope. Kama hauna kiburi wala hautopigwa.

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Рік тому

      @@BabaBalingasi-hp6gd siko nayo,naomba kuuliza mbona unanyamaza akiwa anakusema anasema mbona unanyamaza ko naongea na bubu? Ukiongea na pia ni kosa sa ufanye aje????? Nijibu

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Рік тому

    kwanin mwanaume amefanywa ni chanzo cha mapato

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Рік тому +1

    Aunt sadaka kaolew?

  • @kulture_jah
    @kulture_jah Рік тому +1

    mh....ukwel mama yangu🦾🦾

  • @jescamichael3901
    @jescamichael3901 Рік тому +1

    Jamna mbona malangali iringa @aunt sadaka

    • @liesharehema5193
      @liesharehema5193 Рік тому

      Namimi nikasema mfano umekuwa kwetu malangali tu au ndo kubaya Sana au haaaa

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Рік тому

    Nimecheka😂🤣 etitunaomba pesa sana

  • @joyce55727
    @joyce55727 Рік тому +2

    Jmn mbona kipindi kifup mno wap sehem ya pili❤❤❤❤

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Рік тому +1

      inakuja soon Jo

    • @adriafurahamatemu6080
      @adriafurahamatemu6080 Рік тому

      ​@@millardayoTZA kipindi ni kizuri sana. Kama vipi aongezewe mda jamani. We like to hear more about mahusiano. And kwa ushauri tu, kama itapendeza unaweza collect maswali kwa wasikilizaji au hata wadau wa kipindi ile kuwe na mengi ya ku discuss.
      Thanks.
      🎉

    • @nicospack3893
      @nicospack3893 Рік тому

      ​@@millardayoTZA milard huyo mama inatakiwa dk 40 ai lisaa

  • @PatrickMuna-u6l
    @PatrickMuna-u6l Рік тому +1

    Sio Kwa Dunia ya sasa Untie Sadaka.... Now days watu wanakutana kwenye daladala halafu hawajui wanakokwenda wanaenda kufanya nini, so wakikubaliana tu kwenye daladala wanashuka popote wanamalizana

  • @abdulkadershabani4570
    @abdulkadershabani4570 Рік тому

    Sio kwichukichu mmbmh😅

  • @asiaahmedy8944
    @asiaahmedy8944 Рік тому +2

    Jmn 😂m na baki kumuangalia tu Millard kwa maana anavyoyauliza maswali kwa uzoefu htr Sanaa😂😂

  • @PatrickMuna-u6l
    @PatrickMuna-u6l Рік тому

    @ Vido.........Mwamba umetisha......Anakupungunzia Mzigo, hahahahahahahahahahh

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 Рік тому

    Sex ni kama petrol kwenye gari, so bila petrol gari haitembei, Likewise kwa mpenzi bila sex, mapenzi hayaendi,

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 Рік тому

    Aunt❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @anethjoseph4542
    @anethjoseph4542 Рік тому +1

    Mie naomba kujua umri sahihi wa Kua na Boy friend lakini pia hamjui hawa mabinti wanakutana na nini hasa hawa wa vyuo vya kati huko duniani hakuna maisha marahisi hasa kwa nyakati tulizonazo ikiwepo na Tanzania , wazazi wengi wanapambana lakini nilichogundua hawa wanafunzi wengi wanaingia katika shida kwababu wanakua wameaga kwao wanakuja kusoma na wakifeli wazazi wengi Hawawatiii moyo wa kuwaendeleza kwa kuwalipia ada ili wafikie wanachokitarajia hivyo wanafunzi wengi hawawaambii wazazi ukweli kua wamefeli hivyo wanaanza jitafutia kwasababu wakisema wamefeli wazazi wengi wanaona ni bora mtoto aludi nyumbani , sasa hicho kitemdo kinafanya hasa mabinti kujiingiza katika mifumo isiyosahihi ya maisha kwa sababu anapambana huku akificha siri ili tu kuogopa kurudi kijijini maana wanahisi kama malengo yanaweza yakafia huko village @ Sadaka antie ongea na wazazi paza sauti wazazi wengi ni chanzo cha watoto wao kutofika kwenye malengo yao kwasababu yao , na sio wanapenda ila ni kulingana na maisha ambayo yaliyopo sasa hivi , waangalie hasa namna ya kuwasaidia hawa watoto ambao wanalazimika kufanya pia vitu visivyosahihi ili kutaka kufika katika malengo yao

    • @mohamedsung4891
      @mohamedsung4891 Рік тому

      Pale pale kutojitambua"
      Pale pale kutojikubali''

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Рік тому +1

    Wewe mtoto wa kike jiamini kama wewemzuri

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Рік тому

    huyu bibi anaongea sana naona hajui tupo kizazi cha nyoka madada wanajiuza kushoto kulia ni kupiga tigo tu siku hizi hakuna cha mapenzi ni pesa tigo tu mbele kwa mbele..