G-NAKO amtetea DIAMOND baada ya WABONGO kukejeli kauli yake ‘WANAIJERIA wameingia kwenye mfumo'

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 жов 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 80

  • @deniskg310
    @deniskg310 2 місяці тому +6

    WEUSI = Pure Talents + Love + Discipline

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 2 місяці тому +12

    G nako huyu atabaki kuwa juu sana, sikudhani kama anamsikiliza ata NASH MC! One love walawala 🎉🎉

    • @richardsaikong1138
      @richardsaikong1138 2 місяці тому +3

      Sio "wala wala" ni "wara wara" kangkara finest wa R

    • @thomasgunje7640
      @thomasgunje7640 2 місяці тому

      Labda kama umemjua G Nako baada Ya weusi Na Sio Nako 2 Nako.

  • @JacobMaganga-re9ji
    @JacobMaganga-re9ji 2 місяці тому +8

    hata wanavozungumza ni kama familia 💪

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 2 місяці тому +1

    Love+ respect+ desclipine= weusi family

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 місяці тому +1

    Kaka sky naona office imependeza Sana Yan.. hongera..

  • @HijaxZone
    @HijaxZone 2 місяці тому +4

    Oya bro nakubali kazi yako,🔥🔥🔥🔥

  • @giftchristianmeela1409
    @giftchristianmeela1409 2 місяці тому +1

    Napenda G anavyokuwa Flexible kuwaongelea wasanii wengine.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 2 місяці тому

    Nawakubali sana Weusi. Pia hongera SnS kwa Studio kali, muonekano na sound imeongezeka quality. Nasubiria kwa hamu uchambuzi wa GPS katika Studio mpya Inshallah

  • @issajohn5996
    @issajohn5996 2 місяці тому

    One love from south Africa

  • @BHALEEALI
    @BHALEEALI 2 місяці тому

    SnS bonge moja ya studio HONGERENI SANA 🔥🔥❣️

  • @eliasbiya9367
    @eliasbiya9367 2 місяці тому +1

    Studio ya kimataifa. Hongera Sky👏

  • @babel4862
    @babel4862 2 місяці тому +3

    Sns mmetisha san studio kali,sound kali,video kali hongera san

  • @allycaydo9865
    @allycaydo9865 2 місяці тому +2

    bonge moja la interview joh mtulivu sana Gnako anajitahidi sana kutoa darasa haswa miwishoni hapo Lord eyes mniga hip hop kabisaa yupo very free yani, i know hao wawili walidoubt kuhusu dizasta mark this najua dizasta atawaonyesha kitu swala la muda tu ataruka nao tuuuu atawaambia kwa vitendo

  • @SalimuMwashehemu
    @SalimuMwashehemu 29 днів тому

    Joh Makin ww nakukubali sanaa yan akil yako iko deep sanaa ata kujib maswal yako uwag yakiutu uzima

  • @seifally4457
    @seifally4457 2 місяці тому

    Big up brother G nako nimekuelewa

  • @AbasiHassan-w4s
    @AbasiHassan-w4s 2 місяці тому

    Zee speaking good

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 2 місяці тому +3

    SKY WE NEED DIZASTA VINA TULISHE UBONGO

  • @msodokidasilva6739
    @msodokidasilva6739 2 місяці тому

    Unyama uo 🔥🔥🔥

  • @EliasaJuma-z8i
    @EliasaJuma-z8i 2 місяці тому

    Family

  • @paschaldeogratius353
    @paschaldeogratius353 2 місяці тому

    Sns ❤❤❤❤

  • @MackameHassani
    @MackameHassani 2 місяці тому

    Sound ipo so quality sn aiseee, safiiii

  • @johnnycynaite8226
    @johnnycynaite8226 2 місяці тому

    WEUSI on FIre

  • @villyupdates457
    @villyupdates457 2 місяці тому +4

    HIZI MAIC NDO ZENYEWE KAKA SKY ZINAKUPA SAUTI NZURI SANA HONGERA KWA STUDIO KALI ZA ONLINE BONGO

  • @connasideeofficial3995
    @connasideeofficial3995 Місяць тому

    Simba

  • @Joh-p9f
    @Joh-p9f 2 місяці тому

    Weuuusii

  • @cornellmallya4455
    @cornellmallya4455 2 місяці тому

    Comedians wamekuwa km wanasiasa. Lkn Sky, kuna fursa kwenye (PR, public speaking, ethics, nk

  • @lwengephillip7516
    @lwengephillip7516 2 місяці тому

    Fid q bora kuliko jo makin hiyo ni fact, wala chid hamuwezi

  • @flavourboyke
    @flavourboyke 2 місяці тому +2

    Hawa wanifanya nipende hiphop,,,soon natoa yangu kali

  • @topstories2815
    @topstories2815 2 місяці тому

    Weusiii nyie wana noma since day 1. Nawakubali endeleeni hapo hapo.. kazi juu kazi.. endeleeni kubalisha lock.. shamba la kahawa wale tuu makofiii 😄😄😄

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 2 місяці тому +1

    Weusi wana jua saana biashara ya muziki

  • @kevinjames3177
    @kevinjames3177 2 місяці тому

    Pigeni Bongo flavour acha kung'ang'ania piano tu

  • @fanuelpaul-g7u
    @fanuelpaul-g7u 2 місяці тому

    Weusi

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 2 місяці тому

    Brother tafuta siku utuletee kichwa chochote kutokea TAMADUNI MUZIK au kundi zima kwa ujumla la KIKOSI KAZI please please please

  • @jamalmakishe4850
    @jamalmakishe4850 2 місяці тому

    jamaa wanang'aa sana dats Hip Hop

  • @Laizer3
    @Laizer3 2 місяці тому

    Mbona kama lord askilizwi .

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 2 місяці тому

    DIAMOND PLATNUMZ 25:04"

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw 2 місяці тому +1

    Miamba ya kaskazini

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 2 місяці тому

    Dizasta vina kk pls

  • @MTOTOWAvitoto
    @MTOTOWAvitoto 2 місяці тому

    kama hip vs piano so rnb iko wapi,, barnaba, marioo, fobby, belle, mirror, diamond, kiba, harmo, jmerod, au nani?? hajatajwa

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction8438 2 місяці тому +1

    Lord anatakiwa asuburi swali lake anadandia sana majibu ya wenzake😂

    • @epitomeapex
      @epitomeapex 2 місяці тому

      Ye hana Solo trending hits song Ndomaana😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 місяці тому

    Weusi wakiimba piano wataua Sana...ila lod aiz anasauti nzuri akiongea ...awo jamaa wakiimba piano wataua sana

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 2 місяці тому

    Msanii mkubwa wa bongo diamond wasafi simba

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 2 місяці тому

    basata pia ni tatizo wakiguswa ccm tu wimbo hautoki ,uchawa unaaribu hiphop bongo

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 2 місяці тому

    Kaka tuletee kichwa chochote kutoka kikosi kazi....nikki mbishi,dizasta vina,one the incredible au stereo,songa,p the mc

  • @Gilgal-fx5sh
    @Gilgal-fx5sh 2 місяці тому

    Sky mlete Vina Basi

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 2 місяці тому

    Lod mbona ampii nafasi ya kuongea

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri 2 місяці тому

    Huyo wa kati kati si jay melody

  • @kendrickloy9310
    @kendrickloy9310 27 днів тому

    G nako warudishe shule ....

  • @henryedmund1046
    @henryedmund1046 2 місяці тому

    Unaishi mwembe chai haujanywa chai😅😅😅😅😅😅

  • @joesimba
    @joesimba 2 місяці тому

    1:07:32 samper the great

  • @bensonswai-hl6fn
    @bensonswai-hl6fn 2 місяці тому

    DIZASTA VINA aje siku moja

  • @filskischannel9737
    @filskischannel9737 2 місяці тому +1

    Sky , umeshacheck Album ya rema ? Album ya Rema imebuma 😂 , ndani ya ma 10 Akuna ata song Moja imefikisha 60K , streaming Iko very slow 😂😂😂😂. Yeye na Harmo ni Sawasawa tu😂😂😂😂😂

  • @cornellmallya4455
    @cornellmallya4455 2 місяці тому

    Identity yenu ni ipi?

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 2 місяці тому +1

    alafu mwambien joh makini aache kula ugolo

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla 2 місяці тому

    Kula piano kula michano,acha upanganga☠️🙌😂

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 місяці тому

    Basi 😂😂😂 tufanye Jz aimbe piano au did au Rick Ross afu hip hop sio mziki WA watz , wabongo nyimbo zetu tunazijua basi nawachina wachane au wahindi wachane😂😂😂 Nikitu ambacho hakiwezakani

  • @joesimba
    @joesimba 2 місяці тому

    1:10:29 lord 😂

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 2 місяці тому

    DIZASTA VINA

  • @davidlaiser8174
    @davidlaiser8174 2 місяці тому +1

    Sns rotation yako ya kuuliza watu maswali sio fair.How come Gnako unamwuliza mara 2 Joh mara mbili hukumuuliza Lord eyes.
    Hata watoto hujamuuliza lordeyes kuhusu watoto.
    Next time jiboreshe kwa hilo

  • @MTOTOWAvitoto
    @MTOTOWAvitoto 2 місяці тому

    joh makini aliwahi kumtosa diamond platnumz collabo katika enzi anajitafuta,, lkn pia alipopata nafasi ya kwenda mjini aliwahi kusema moja kati ya imterviews zake b4 so nahisi hy joh hakuichukulia positive ndiomana anapongolewa diamond akiwepo joh basi mrejesho wa joh unakua sio nyoofu

    • @kennywizy1009
      @kennywizy1009 2 місяці тому

      Joh huwaga ni boya tu yeye ndio alifanya hip hop ya bongo isiende mbele

    • @supacklaizer7662
      @supacklaizer7662 2 місяці тому

      Sasa kama yy aliifanya usiende mbele ipeleke ww broo, kwan mwana hip hop n yy tu? .......... Stupd

    • @kassiannyamba805
      @kassiannyamba805 2 місяці тому

      😂😂

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 2 місяці тому

    DiZasTa ViNa

  • @bensonswai-hl6fn
    @bensonswai-hl6fn 2 місяці тому

    DIZASTA VINA aje siku moja