Steve una vituko SI haba. Napenda comedy yako
Hahahahaha Steven bwana xaizz umeixhakuwa mkubwa kwenye hii tasnia ya vichekexho , mungu akubarik!
Madam Hajra kwa kweli wewe ni mrembo. Unapendeza kuanzia mwlini hadi matamshi🥰😋💪
Unashanga nn kashangae feli meli inaeleya shilingi inazama ukiniangalia tena nakulamba makofii😂😂😂😂😂
Safi sana kaka ❤
Steve kazi kama hizi ni nzuri na bora sana kaka tofaut na zile za mkikutana mnaongra weee mpk inaisha haivutii kaz kama hii ni nzurii
Na huyu teacher huwa ameiva mbaya❤
eti na wakwanza 😂 Leo Steve amekuwa wakwanza mmefanya vizuri sana na yeye afurahi😂
Haaaaaaaaahhh striven tumeona makosa blaza amja kaa chin mshakaa chini mhhhhhh edit mbovu bro tafuta mwengine
Ndugu zangu mna kipaji sana japo kaka chazi chales amesha kufa ila sawa. Mungu amlaze maala pema peponi
daaaah leo nimekuwa wa kwanza naomben maua yangu likes zenu
I'm from India..i can't understand the language but i like this video...if possible please give subtitles in English..tq
Which party of india are you from..I'm a foreigner but I know little bit hindi😊 this is called swahili language...aapko bahut swagat hai..
Steve send me the video, I'll include the subtitles for you.
Am a Video Editor from Kenya - Msa.
@@jaintiafun6273 ooh nice..I'm living in western coast party of india Gujarat for 3 years now.😊 mudje aapko jaanakar accha laga..
Steve jitahidi kuweka maneno ya kingereza chini ya hizi video zako mana unatizamwa na wengi sna hapa nauliza na jamaa zangu nini amemanisha nakosa majibu kwakweli from Qatar 🇶🇦
Nawakubali sana Akina stive mweusi ❤
Steve unaigiza vizuri sana unatupa burudani sana hongera sana
inawezkana huyu steve akili zake azipo timamu sisi tunazani ni comedian😂😂😂😂😂😂
Hii sitamai hata iishe nzuri kweli 😄😄😄
Mwalimu nakupenda sana lakini Stiven anakusumbuwa sana uwe unamuchapa fimbo
Napendaa komedy yako blasa.. shukrani
😀😀😀😀 Steve jamani ww wafurahisha..unachomea mwenzako 😂😂
Kila la kher hajra na nyote wahusika love nes ❤
Wa kwanza Leo from Tanzania 😂😂
One love from burundi
Steve ni chuma kilichoshindikan I love our team from tz ubungo
Wakwanza nakupenda kutoka kenya
Mayele anafanya examination😂paaapaaa paaa paaa paaaa 😂😂
We Steve nimtukutu Sana 😅😅 naomba utuletee behind the scenes tafadhali 😂😂😂😂
One love from Congo 🇨🇩🇨🇩🤣🤣🤣🤣
Hahahahahahaha naona raha kweli Steven mtata hahahahaha Yani unacfurahisha kweli like
Watching from Kenya uko sawa kabisa
Steve ume nichekesha sana ww kwa vituko vyako😂😂😂😂
Wa mwisho nipeni like zangu😂
I like this video..""mwalimu huyu ni mrembo that really
Daah nimechelewa jaman nipeni bas like
Yani Steve mimi shabiki wako ningekua bilionea ninge kununulia lenji kama ya hamonize kama zawadi🎉❤❤❤
😂😂😂Ila daah tumetoka mbali
Hapa hakuna mwanfunzi KwaKweli, mayele yupo class sasa domo kama pira, mtihani urudiwe😅😅😅 Karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️
Oyii brother mweus sikudai kwa kwel unauwa kila sku we ndo comedian wengine wafundishe tu😆😆😆😆😆😆
Mashaallah teacher Hajra❤
Hahahahahahha yaan nmeanxa kucheka wakt wanatak kugonga kengelee
Steve umetisha sana.. mimi napenda sana hizi za shule
Nawapenda sana Akina stive mweusi ❤❤❤
Wamenikumbisha mbaliii aisee Steven duuuu, theodero mtundu sanaaa
Kweli Steve unavituko 😀😀😀😀
Daaaaa nimecheka hadi roho inauma
❤❤❤ brother hapa nipe nanamba yako mzee tumit
Stive tabiahio shuleni sionzuli Kbis 🤭🤭 nitabiambaya Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nipeeni like za steve jamen..
😅😅 ni lunch ama ??¿¿?haaaaa mtihani mghumu kweli kachoka na elimu huyo
Steve huna akili😂😂😂😂😂
Nipen 👍 zangu jaman
Bravo my bro Steven. tu as bien raisonné. je suis ton fan depuis DRC 🇨🇩
Wewe Steven kweli uko Simba kabisa liké my
Dah leo stiv kawa wakwanza adi mkuu wake kafrahiii
Sema ili swala la kurudia mtihami misikubaliani nao aseeee
Jey mwinyi kwa kwwli hajra ni moto mke matirio
😂😂kazi safi aisee
Good job mr steve with your Team
Jamani unauwa Watu APA Congo 🇨🇩 jamani 😁🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰
Ila hizi kengele😂😂😂
Umeuwa mwamba saana
Watanzania humour yao iko iko chini sana.Ni humour ya watu wa kawaida
Stive meusi ❤😂❤😂
Mungu akupe maisha malefu 😂nimecheka mpaka🎉❤❤ kichwa chaniuma
Steve mweusi is 1 in millions
Jaman hii movie itatuuaaaa ... kila mda tunacheka tuu ..duh
Am from Kenya Steve nifikishieni 2k subscribers
Huyu steven kweli ni mwenye maadili
😂😂kwani huyu msee wengine wakiwa darasani yeye anafanya nini nje na hatandikwi
Ndiko rwanda tunapenda comedy ya steven
Ahahahahahaahaa mim niwakike ilamamb mnayofany mwanikumbush shl tabiy yang hv hv yniiii
much love kutoka uganda❤❤
Watukutu kwelikweli. Hata kwa shule jirani, jamani
Uyu Théodore anamfanana saana Baba Kaila
Congratulations Steve,I'm frome Kenya.
Mwanafunzi mtukutu kweli anasumbua 😂😂😂😂😂
Pia walim nimewapongeza sana muko vizuri🇰🇪
Steve kwakipaji kama hiki utafika mbali mungu akutangulie2
😂😂😂😂 ila steve nakukubal sana home boy ktv tunajivunia wew
Kwakweli, Steve Yuko vizuri sana aisee
😅😅😅picha ya mayele🤣🤣🤣🤣🤣
Wakwanz nipen like zang😃😃
Mnataka kuwapa vibe sio...hahaha
aki steve uko na vituko sana 😅😅😅
Nilikua na isubil kwa ham kwel Steve umetisha
So nobody is talking about Theodore's shoes 😂😂😂 and the girl seated behind Steven 😜😜😜
Yani stive 😂😂😂anyway you finish us 😂😂❤❤❤
Hahahahhaa na kubali sana your so funny
Idea kubwa sanaaaaa
Aksanti kwa kazi munazo fanya,muna furahisha watu wa inchi mbali mbali🇨🇩