КОМЕНТАРІ •

  • @danielmupenda
    @danielmupenda Рік тому +28

    Aksanti kwa kazi munazo fanya,muna furahisha watu wa inchi mbali mbali🇨🇩

  • @cosmasachoki5191
    @cosmasachoki5191 Рік тому +26

    Steve una vituko SI haba. Napenda comedy yako

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Рік тому +22

    Hahahahaha Steven bwana xaizz umeixhakuwa mkubwa kwenye hii tasnia ya vichekexho , mungu akubarik!

  • @emorutnicholas1893
    @emorutnicholas1893 Рік тому +23

    Madam Hajra kwa kweli wewe ni mrembo. Unapendeza kuanzia mwlini hadi matamshi🥰😋💪

  • @polepoletv350
    @polepoletv350 Рік тому +33

    Nakupenda sana Steve! Kutoka Rwanda Kigali ❤❤

  • @kevinsendora6484
    @kevinsendora6484 Рік тому +27

    Huyu binti "mwalimu" ni mrembo sana❤❤

  • @muhammadjamady-zx1jy
    @muhammadjamady-zx1jy Рік тому +11

    Unashanga nn kashangae feli meli inaeleya shilingi inazama ukiniangalia tena nakulamba makofii😂😂😂😂😂

    • @allymukhsin2962
      @allymukhsin2962 6 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Рік тому +10

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Steve mweusi na Theodore nawakubali pamoja na Madam hajra

  • @Oredicomdeytv333
    @Oredicomdeytv333 Рік тому +23

    Safi sana kaka ❤

  • @frankmwaikambo9784
    @frankmwaikambo9784 Рік тому +8

    Steve kazi kama hizi ni nzuri na bora sana kaka tofaut na zile za mkikutana mnaongra weee mpk inaisha haivutii kaz kama hii ni nzurii

  • @kamaudaniel987
    @kamaudaniel987 Рік тому +17

    Na huyu teacher huwa ameiva mbaya❤

  • @emmanueloinoth
    @emmanueloinoth Рік тому +12

    eti na wakwanza 😂 Leo Steve amekuwa wakwanza mmefanya vizuri sana na yeye afurahi😂

  • @MFINANGA735
    @MFINANGA735 Рік тому +1

    Haaaaaaaaahhh striven tumeona makosa blaza amja kaa chin mshakaa chini mhhhhhh edit mbovu bro tafuta mwengine

  • @user-mx3xn1ex5w
    @user-mx3xn1ex5w 5 місяців тому +6

    Ndugu zangu mna kipaji sana japo kaka chazi chales amesha kufa ila sawa. Mungu amlaze maala pema peponi

  • @DEF832
    @DEF832 Рік тому +16

    Nipeni hata like 10 moja

  • @nashoniclifford172
    @nashoniclifford172 Рік тому +116

    Ambao tunaiangalia tukiwa nje ya Tanzania tuonane hapa

  • @athanasmsigwa4091
    @athanasmsigwa4091 Рік тому +18

    daaaah leo nimekuwa wa kwanza naomben maua yangu likes zenu

  • @jaintiafun6273
    @jaintiafun6273 Рік тому +61

    I'm from India..i can't understand the language but i like this video...if possible please give subtitles in English..tq

    • @ediusgabriely615
      @ediusgabriely615 Рік тому +3

      Which party of india are you from..I'm a foreigner but I know little bit hindi😊 this is called swahili language...aapko bahut swagat hai..

    • @jaintiafun6273
      @jaintiafun6273 Рік тому

      ​@@ediusgabriely615 North East India.. Meghalaya

    • @DirectorDisai
      @DirectorDisai Рік тому +3

      Steve send me the video, I'll include the subtitles for you.
      Am a Video Editor from Kenya - Msa.

    • @ediusgabriely615
      @ediusgabriely615 Рік тому

      @@jaintiafun6273 ooh nice..I'm living in western coast party of india Gujarat for 3 years now.😊 mudje aapko jaanakar accha laga..

    • @xpro-om9rd
      @xpro-om9rd Рік тому

      I am here for you 😂😂

  • @rashidhamisi8301
    @rashidhamisi8301 Рік тому +5

    Steve jitahidi kuweka maneno ya kingereza chini ya hizi video zako mana unatizamwa na wengi sna hapa nauliza na jamaa zangu nini amemanisha nakosa majibu kwakweli from Qatar 🇶🇦

    • @luganojacob
      @luganojacob Рік тому

      Bonyeza kwenye kideo afu utaona neno cc itakua inakufsilia

  • @ThaghembwaEzekiel-fj9jm
    @ThaghembwaEzekiel-fj9jm Рік тому +7

    Nawakubali sana Akina stive mweusi ❤

  • @user-ph7nu9ie6p
    @user-ph7nu9ie6p Рік тому +9

    Steve unaigiza vizuri sana unatupa burudani sana hongera sana

  • @bashirumkopi2638
    @bashirumkopi2638 Рік тому +22

    inawezkana huyu steve akili zake azipo timamu sisi tunazani ni comedian😂😂😂😂😂😂

  • @frankrutashubanyuma3920
    @frankrutashubanyuma3920 Рік тому +5

    Hii sitamai hata iishe nzuri kweli 😄😄😄

  • @t.i.dofficial5074
    @t.i.dofficial5074 Рік тому +1

    Mwalimu nakupenda sana lakini Stiven anakusumbuwa sana uwe unamuchapa fimbo

  • @pesielijah5953
    @pesielijah5953 Рік тому +5

    Napendaa komedy yako blasa.. shukrani

  • @winnymwathi3098
    @winnymwathi3098 11 місяців тому +7

    Zuri sana from Kenya 🇰🇪

  • @faithwachira6688
    @faithwachira6688 Рік тому +5

    😀😀😀😀 Steve jamani ww wafurahisha..unachomea mwenzako 😂😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому +5

    Kila la kher hajra na nyote wahusika love nes ❤

  • @mrproba9141
    @mrproba9141 Рік тому +8

    Wa kwanza Leo from Tanzania 😂😂

  • @ChebaBoy-md4lr
    @ChebaBoy-md4lr Рік тому +8

    One love from burundi

  • @mussamageme2748
    @mussamageme2748 Рік тому +4

    Steve ni chuma kilichoshindikan I love our team from tz ubungo

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Рік тому +9

    Haiwezekan Steve awe wa kwanza😂 kilaza mkubwa😂 warudieeeeeeeee

  • @mossowaweruofficial8121
    @mossowaweruofficial8121 Рік тому +12

    Wakwanza nakupenda kutoka kenya

  • @amonygeofrey3201
    @amonygeofrey3201 Рік тому +9

    Mayele anafanya examination😂paaapaaa paaa paaa paaaa 😂😂

  • @caromelvin
    @caromelvin Рік тому +6

    We Steve nimtukutu Sana 😅😅 naomba utuletee behind the scenes tafadhali 😂😂😂😂

  • @CikuShangalume-sb8ey
    @CikuShangalume-sb8ey Рік тому +8

    One love from Congo 🇨🇩🇨🇩🤣🤣🤣🤣

  • @HimidKombo-di6yt
    @HimidKombo-di6yt Рік тому +2

    Hahahahahahaha naona raha kweli Steven mtata hahahahaha Yani unacfurahisha kweli like

  • @christinegakii192
    @christinegakii192 Рік тому +3

    Watching from Kenya uko sawa kabisa

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 Рік тому +2

    Uyo mwanafunz mweupe mkal knoma

  • @PirfaImanipirfa
    @PirfaImanipirfa Рік тому +5

    Steve ume nichekesha sana ww kwa vituko vyako😂😂😂😂

  • @tesherscot3706
    @tesherscot3706 Рік тому +2

    Wa mwisho nipeni like zangu😂

  • @lewistonmeshoi4097
    @lewistonmeshoi4097 Рік тому +1

    I like this video..""mwalimu huyu ni mrembo that really

  • @YusuphElias-bv2gp
    @YusuphElias-bv2gp Рік тому +9

    Daah nimechelewa jaman nipeni bas like

  • @user-ub9fl9kc7i
    @user-ub9fl9kc7i 5 місяців тому +1

    Yani Steve mimi shabiki wako ningekua bilionea ninge kununulia lenji kama ya hamonize kama zawadi🎉❤❤❤

  • @chuseboy
    @chuseboy Рік тому +5

    😂😂😂Ila daah tumetoka mbali

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Рік тому +3

    Hapa hakuna mwanfunzi KwaKweli, mayele yupo class sasa domo kama pira, mtihani urudiwe😅😅😅 Karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️

  • @emmanuelmwendesha8154
    @emmanuelmwendesha8154 Рік тому +3

    Oyii brother mweus sikudai kwa kwel unauwa kila sku we ndo comedian wengine wafundishe tu😆😆😆😆😆😆

  • @jaymwinyi6957
    @jaymwinyi6957 Рік тому +23

    Mashaallah teacher Hajra❤

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 Рік тому +1

    Hahahahahahha yaan nmeanxa kucheka wakt wanatak kugonga kengelee

  • @ahmedmohammed9394
    @ahmedmohammed9394 Рік тому +11

    Aliesikia methali ya teacher mkono juu na agonge like 😄😄😄😄👍

    • @ahmetmwandu8499
      @ahmetmwandu8499 Рік тому

      Alaf huyo teacher Yuko serious 😅😅

    • @ahmedmohammed9394
      @ahmedmohammed9394 Рік тому

      @@ahmetmwandu8499 umeona ee htr 😂😂😂👍👍

    • @sabdisambiga5983
      @sabdisambiga5983 11 місяців тому

      ❤️🧡💘💝💛💚💖💙💗♥️💜💓💞🤎🖤💕♥️🌟🤍

  • @othmanfaki7443
    @othmanfaki7443 Рік тому +4

    Steve umetisha sana.. mimi napenda sana hizi za shule

  • @ThaghembwaEzekiel-fj9jm
    @ThaghembwaEzekiel-fj9jm Рік тому +9

    Nawapenda sana Akina stive mweusi ❤❤❤

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 Рік тому +2

    Wamenikumbisha mbaliii aisee Steven duuuu, theodero mtundu sanaaa

  • @Ramacomedian
    @Ramacomedian Рік тому +6

    Kweli Steve unavituko 😀😀😀😀

  • @nashoniclifford172
    @nashoniclifford172 Рік тому +6

    Daaaaa nimecheka hadi roho inauma

  • @Philipo-rv1zc
    @Philipo-rv1zc Рік тому +10

    ❤❤❤ brother hapa nipe nanamba yako mzee tumit

  • @dieudonnemugirangabo8174
    @dieudonnemugirangabo8174 Рік тому +1

    Stive tabiahio shuleni sionzuli Kbis 🤭🤭 nitabiambaya Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @babakemilton5591
    @babakemilton5591 Рік тому +12

    Nipeeni like za steve jamen..

  • @MohamedNoor-bb1st
    @MohamedNoor-bb1st Рік тому +1

    😅😅 ni lunch ama ??¿¿?haaaaa mtihani mghumu kweli kachoka na elimu huyo

  • @hayati9453
    @hayati9453 Рік тому +5

    Steve huna akili😂😂😂😂😂

  • @francismuthiani349
    @francismuthiani349 Рік тому +54

    One love from Kenya 🇰🇪🤣🤣🤣

  • @ajaymgalatia-cf6lf
    @ajaymgalatia-cf6lf Рік тому +5

    Nipen 👍 zangu jaman

  • @user-xb5od7vd7o
    @user-xb5od7vd7o 5 місяців тому +1

    Bravo my bro Steven. tu as bien raisonné. je suis ton fan depuis DRC 🇨🇩

  • @RACHIDDOG-SINATASKing
    @RACHIDDOG-SINATASKing 2 місяці тому

    Wewe Steven kweli uko Simba kabisa liké my

  • @jullia639
    @jullia639 Рік тому +1

    Dah leo stiv kawa wakwanza adi mkuu wake kafrahiii
    Sema ili swala la kurudia mtihami misikubaliani nao aseeee

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому +1

    Jey mwinyi kwa kwwli hajra ni moto mke matirio

  • @ShawnLexonke_
    @ShawnLexonke_ Рік тому +2

    😂😂kazi safi aisee

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Рік тому +3

    Good job mr steve with your Team

  • @constantlwamba8445
    @constantlwamba8445 Рік тому +2

    Jamani unauwa Watu APA Congo 🇨🇩 jamani 😁🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому +1

    Ila hizi kengele😂😂😂

  • @user-fs7hl6vg2p
    @user-fs7hl6vg2p Рік тому +1

    Umeuwa mwamba saana

  • @howto3013
    @howto3013 3 місяці тому

    Watanzania humour yao iko iko chini sana.Ni humour ya watu wa kawaida

  • @GatoreSuguabwoy
    @GatoreSuguabwoy Рік тому +6

    Stive meusi ❤😂❤😂

  • @user-ub9fl9kc7i
    @user-ub9fl9kc7i 5 місяців тому

    Mungu akupe maisha malefu 😂nimecheka mpaka🎉❤❤ kichwa chaniuma

  • @mutabazijeansauveur6330
    @mutabazijeansauveur6330 Рік тому +3

    Steve mweusi is 1 in millions

  • @masuoudhamisi6040
    @masuoudhamisi6040 Рік тому +89

    Wakwanza nipeni likes zangu

  • @gerysongratian
    @gerysongratian Рік тому +2

    Jaman hii movie itatuuaaaa ... kila mda tunacheka tuu ..duh

  • @titusjuniort.j3026
    @titusjuniort.j3026 Рік тому +1

    Am from Kenya Steve nifikishieni 2k subscribers

  • @JichoMchanganyi
    @JichoMchanganyi Рік тому +2

    Huyu steven kweli ni mwenye maadili

  • @EzekielAreba
    @EzekielAreba 10 місяців тому +1

    😂😂kwani huyu msee wengine wakiwa darasani yeye anafanya nini nje na hatandikwi

  • @jado116
    @jado116 3 місяці тому

    Ndiko rwanda tunapenda comedy ya steven

  • @SharifaZahabu
    @SharifaZahabu 3 місяці тому

    Ahahahahahaahaa mim niwakike ilamamb mnayofany mwanikumbush shl tabiy yang hv hv yniiii

  • @Taikunofficial
    @Taikunofficial Рік тому +5

    much love kutoka uganda❤❤

  • @MbavikiCulturalGroup
    @MbavikiCulturalGroup Рік тому +1

    Watukutu kwelikweli. Hata kwa shule jirani, jamani

  • @danielmupenda
    @danielmupenda Рік тому +1

    Uyu Théodore anamfanana saana Baba Kaila

  • @Sammy-eb1ls
    @Sammy-eb1ls 10 місяців тому +1

    Congratulations Steve,I'm frome Kenya.

  • @PeacePapidizo
    @PeacePapidizo Рік тому +2

    Mwanafunzi mtukutu kweli anasumbua 😂😂😂😂😂

  • @omarmwagalale3653
    @omarmwagalale3653 5 місяців тому

    Pia walim nimewapongeza sana muko vizuri🇰🇪

  • @FaidaCharles-db2lh
    @FaidaCharles-db2lh День тому

    Steve kwakipaji kama hiki utafika mbali mungu akutangulie2

  • @japharysilvesta
    @japharysilvesta Рік тому +2

    😂😂😂😂 ila steve nakukubal sana home boy ktv tunajivunia wew

  • @BarakaNakododo-ng7ht
    @BarakaNakododo-ng7ht Рік тому +1

    Kwakweli, Steve Yuko vizuri sana aisee

  • @jumacharleskiula6103
    @jumacharleskiula6103 Рік тому +1

    😅😅😅picha ya mayele🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dembabakalimsosa-vd7is
    @dembabakalimsosa-vd7is Рік тому +6

    Wakwanz nipen like zang😃😃

  • @googleus4903
    @googleus4903 Рік тому +2

    Mnataka kuwapa vibe sio...hahaha

  • @DennisMulima
    @DennisMulima Місяць тому +1

    aki steve uko na vituko sana 😅😅😅

  • @Felixndelwa
    @Felixndelwa Рік тому +2

    Nilikua na isubil kwa ham kwel Steve umetisha

  • @danielbarasa3342
    @danielbarasa3342 Рік тому +11

    So nobody is talking about Theodore's shoes 😂😂😂 and the girl seated behind Steven 😜😜😜

  • @marcnsabiyumva1884
    @marcnsabiyumva1884 Рік тому +2

    Yani stive 😂😂😂anyway you finish us 😂😂❤❤❤

  • @jeromeshirima
    @jeromeshirima Рік тому +1

    Hahahahhaa na kubali sana your so funny

  • @mg.47tv28
    @mg.47tv28 Рік тому +3

    Idea kubwa sanaaaaa